MKE WA DR MWAKA, WATOTO WANGU NALEA MWENYEWE ,SINA MPANGO NA NDOA KWA SASA , BIASHARA TU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
    TWITTER: shorturl.at/luzLZ
    FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 78

  • @MwajumaWillson
    @MwajumaWillson 8 วันที่ผ่านมา

    Dada hongera sana kwa sasa mungu akusimamie tu

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 11 หลายเดือนก่อน +8

    Hasbiallah waneemal wakeel Bismillah Mashallaah yani wewe dada ni mzuri mpaka mzuri tena kama umetoroka peponi wallah

    • @aminajuma4743
      @aminajuma4743 10 หลายเดือนก่อน

      @zawadidadzie2600nadhan hujamuelewa hajamaanisha kwamba kwa Dr mwaka ni peponi kasema urembo wake kama mrembo flan alietoroka peponi

  • @zulekhaal-mandhry757
    @zulekhaal-mandhry757 8 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah keep going lea watoto wako usirudi nyuma

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 10 หลายเดือนก่อน +6

    Background drums zimeharibu interview

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipenda hiyo "nice one".😂😂😂

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 11 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu akuepushe na Hassad za walimwengu

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera rangi ya yellow unaipenda kwa nguo na ngozi yellow

  • @hawaomary1957
    @hawaomary1957 10 หลายเดือนก่อน

    Kwa hapo Umekomaa kiakili my dear hasa upande wa dini hujaweza kuyumba kwenye dini umebaki na msimamo uleule wa kubaki kwenye uislam kwa ajili ya kuepuka kuyumbisha watoto kwenye dini allah akufanyie wepesi na atakulipa maana ameona moyo wako. Na usilazimishe mtu ajue moyo wako.akijua mungu inatosha

  • @RebeccaEzekiel-d6x
    @RebeccaEzekiel-d6x 10 หลายเดือนก่อน +2

    Interview yenu inakelele sana haijatulia

  • @KagemuloKashumba
    @KagemuloKashumba 10 หลายเดือนก่อน

    Yes Dada lazima uwe matured

  • @Erico-e3o
    @Erico-e3o 10 หลายเดือนก่อน +12

    NEEMA YA MUNGU IKUTEMBELEE UMRUDIE YESU.

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 10 หลายเดือนก่อน

      Na sjui Kwa nn mnapenda kumtaja yesu kweny comment mhhh

    • @neemadaniel9209
      @neemadaniel9209 10 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@nahlahassan-fd6lekwani Kuna ubaya

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@nahlahassan-fd6lehata watu hupenda kumtaja Allah sijui kwa nini?

  • @christinamwangoc4779
    @christinamwangoc4779 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa anahojiwa kama mwanamke alie achana na shujaa, sijapata point

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 9 หลายเดือนก่อน +3

    Kama kweli DR Mwaka alikuwa mbaya kihivyo mbona jina lake Ndo huwa kichwa cha habari? Dr Mwaka sio Malaika hukosea kama binadam wengine, kama kweli hamtumii nyota yake muwe mnamtaja mtalaka wake Kwa jina lake , namuombea kila la Kheri Ila asikubali mahojiano yanayohusi x wake , hata nyinyi waandishi msipende saana kuchonganisha, DR Mwaka kumuoa huyu binti imekuwa kama adhabu Sasa kwake , mwacheni dada apambane na Mungu Ndo mtoa rizk Ila msipende kuweka vichwa habari vya Dr Mwaka huku hapo hausiki tena

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hasbiallah waneemal wakeel Bismillah Mashallaah yani wewe dada ni mzuri mpaka mzuri tena kama umetoroka peponi wallah

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 10 หลายเดือนก่อน

      Subuhanallah...lntakillah

  • @Mateen7912
    @Mateen7912 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani mjukuu wa bibi yangu Mama Masanja wa Kisosora Tanga Lulu Masanja RIP ndio mama yako kina Osca Masanja

  • @rukiaabdul7191
    @rukiaabdul7191 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe huna uislam wowote.Mwanamke wa kiislam anajistiri.

  • @jyjang6155
    @jyjang6155 10 หลายเดือนก่อน

    Waooo kijitonyama sekindari nimesoma pia❤

  • @mbaroukrashid6201
    @mbaroukrashid6201 9 หลายเดือนก่อน

    ELIMU KUBWA KWA BINADAMU KWANZA NI KUMTAMBUA MOLA WAKE UMEVUA MITANDIO UPO UCHI THEN UNAJISIFIA 😅😅

  • @aminajuma4743
    @aminajuma4743 10 หลายเดือนก่อน

    Sauti ya music ipoh jus hatak mtumba haskii.vzr ukiongeza Saudi keeler zinazid

  • @MwalimuKivava
    @MwalimuKivava 4 หลายเดือนก่อน

    hata iwe vipi usijekumdai matumizi ya watoto

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 5 หลายเดือนก่อน

    mtangazaji nisaidie kumpata huyo hata kama anakataa Tena ndoa nisaidie

  • @MwalimuKivava
    @MwalimuKivava 4 หลายเดือนก่อน

    mpeni kichwa hio uzuri ina mwisho

  • @ummuraw6372
    @ummuraw6372 10 หลายเดือนก่อน

    Muonea huruma sana huyu dada hta kma alipta matatizo kwa mume hakutakiwa amkere na mola wake nahisi katangaza vita na Mola wake. Allah amuongoe hamkomoi dr mwaka anakomoa nafsi yke ikiwa hakubadilika atakuja kujuta

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 10 หลายเดือนก่อน +1

      Sawa mwaya😂😂😂😂😂njaa itakuua

    • @stellafurael2925
      @stellafurael2925 9 หลายเดือนก่อน +1

      Dada queen sio muislam mwenzio alibadili dini kwaajili ya ndoa

  • @samiramohamed5925
    @samiramohamed5925 10 หลายเดือนก่อน

    The music is so loud

  • @liliantemu2709
    @liliantemu2709 9 หลายเดือนก่อน

    Mshauri awe ba duka lake la nguo na urembo atatoboa

  • @stellacosmacy4785
    @stellacosmacy4785 9 หลายเดือนก่อน

    Nikuombee tufanye kazi wote

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 5 หลายเดือนก่อน

    naomba unijb

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 10 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji akiri yake inasema daah bonge la lishangaziiii😀😀😀

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 10 หลายเดือนก่อน +2

    Muislam gani ama muislam wa kisasa maana ujajisitiri sura

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 หลายเดือนก่อน

      Huo ni Uislamu wa kisasa hujaona misikiti ya ulaya mtu anaingia msikitini kavaa kapelo akifika anaigeuza anasali kisha akimaliza ibada anarudi zake achana na uislamu wenu wa kizamani wa kiarabu wenye mashart mengi kama uganga wa kienyeji

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huna mpango wa ndoa lkn kuzini ndio mnapenda

    • @deboramartin8111
      @deboramartin8111 11 หลายเดือนก่อน +4

      Tulia ww shoga wa kiume

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 10 หลายเดือนก่อน +3

      Unaongea tu kw avile. Aliopoitia we ujapitia

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@deboramartin8111Tena shogale😅

    • @annakbunga8377
      @annakbunga8377 10 หลายเดือนก่อน +3

      Ujuwi mtu anapitia Nini akuna mwanamke asie taka kuolewa kaka

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 9 หลายเดือนก่อน +1

      Amekwambia anapenda uzinzi???😢

  • @CatherineKabelege-te3yo
    @CatherineKabelege-te3yo 11 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu dada ana akili

  • @MwalimuKivava
    @MwalimuKivava 4 หลายเดือนก่อน

    ndio maana

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 5 หลายเดือนก่อน

    mmeachana kwer ? nichk in Bobo bc

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 11 หลายเดือนก่อน +1

    Bui bui liko wapi Leo ?

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 10 หลายเดือนก่อน +1

      Buibui ndio nn na ww😂😂😂😂

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 10 หลายเดือนก่อน

      Ataonekana vipi nawadogozake mwaka Duniani😂😂

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@salamasaidi6620😂😂😂the

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 11 หลายเดือนก่อน +3

    Peponi tena usinichekeshe😅😅

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 11 หลายเดือนก่อน

      Chiz huyo hajielew wana wake wa pepon ata mfano wake tu huku duniani hamna

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@awadhally1052 Aache kufuru...wazuri hawajitembezi😃

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 10 หลายเดือนก่อน +2

    Uroho wa umaarufu una mwisho wake. Ndoa umeikataa mwenyewe na ukadai talaka kwa nguvu sasa kazana kulea watoto maana kila jambo zuri lina ubaya wake pia.

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 10 หลายเดือนก่อน +2

      Hayajakufika ila siku yakikufika ndo utaelewa, utatambua kama hakuna mwanamke anaekataa ndoa pasi na sabab za msingi, narudia Tena, hayajakufika na uombe yaskufike

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 10 หลายเดือนก่อน

      Mh!

    • @theresiamwandara7990
      @theresiamwandara7990 10 หลายเดือนก่อน +2

      Km unaona kwako ndoa ndio maisha endelea nayo na acha kuyaangalia ya wengine

    • @pueblo148
      @pueblo148 10 หลายเดือนก่อน +2

      Aliacha mwaka kulea watoto.mwaka mzima hatoi matumizi Sasa si Bora uwe huri ujipange badala ya kua na nfoabjiba?

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 10 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@nahlahassan-fd6leKweli umesema sawa.

  • @elizabethmuli5911
    @elizabethmuli5911 10 หลายเดือนก่อน

    Karibu Kenya kwa pastor Ezekiel wa new life church,ufuguliwe kwa vile ulikuwa mchepuko kwa hio ndoa,kwa maana ulikuwa umeoleka mke wa pili,njoo uvunje Roho ya taraka na upate ndoa ya kwako peke yako iyo ya ku shere

    • @onlyonetztv610
      @onlyonetztv610 10 หลายเดือนก่อน +2

      Acha utapeli wewe

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 10 หลายเดือนก่อน +2

      Hiyo ndoa ya mke mmoja lakini huyo mwanaume wa mke mmoja ana michepuko kila kona tofauti ipo wapi maana nawashangaa mimi nyinyi wenye ndoa moja lakini hamutulii na huyo mmoja bado munawaendea nje

    • @vailethmbulule8339
      @vailethmbulule8339 10 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@FatimaAli-of4ghkuna baba ana wake watatu lkn anachepuka mpaka na mabint wadogo😂😂

  • @elizabethmuli5911
    @elizabethmuli5911 10 หลายเดือนก่อน

    Karibu Kenya kwa pastor Ezekiel wa new life church,ufuguliwe kwa vile ulikuwa mchepuko kwa hio ndoa,kwa maana ulikuwa umeoleka mke wa pili,njoo uvunje Roho ya taraka na upate ndoa ya kwako peke yako iyo ya ku shere

    • @onlyonetztv610
      @onlyonetztv610 10 หลายเดือนก่อน

      Acha utapeli wewe Tapeli mchanga

    • @gonsalvamswaga6471
      @gonsalvamswaga6471 10 หลายเดือนก่อน

      MMMHHHH

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@onlyonetztv610😂😂😂😂

    • @onlyonetztv610
      @onlyonetztv610 10 หลายเดือนก่อน

      @@nahlahassan-fd6le 😂😂😂

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 11 หลายเดือนก่อน

    Ndowa ya nini nawewe mzuri na tendo la ndowa au zinaa siunafanya freshi tu pesa ndokila kitu mungu aloamrisha watu waoane hana maana pumbavu zako

    • @Faridkhalid-z3p
      @Faridkhalid-z3p 9 หลายเดือนก่อน +2

      Ebwana umesoma shule gani aisee? Hata kuandika kuwezi duuu😅😅

  • @TimciTanzania
    @TimciTanzania 10 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi mbona kama na wewe unamtamani mama wa watu

    • @BerthaModest
      @BerthaModest 10 หลายเดือนก่อน

      Yani😂😂ila wangependezana ee

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 10 หลายเดือนก่อน

      @@BerthaModest San tu

    • @NEEMANdembwe
      @NEEMANdembwe 10 หลายเดือนก่อน

      Yaani mtangazaji mroho huyo