7 LESSONS People Learn Too Late In Life

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
    • FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
    Kama ukizungumza na wazee wengi utagundua kuwa wanatamani wangefanya vitu fulani kwenye maisha yao laity kama muda ungerudi nyuma.
    Sisi kama vijana ni muda muafaka kujifunza mengi toka kwao ili badae tusiwe katika kundi la kulalamika au kuwa na majuto kwa kufanyia kazi mambo haya saba ambayo ni majuto kwa watu wengi kwa vile hawakutumia muda wao vizuri. Somo la leo ni seven (7) LESSONS People Learn Too Late In Life
    1. Everything Is temporary - (Kila kitu si chenye kudumu)
    2. Life isn't fair - (Maisha hayako sawa)
    3. Family matters more than friends - (Familia ni bora kuliko marafiki)
    4. Others treat you the way you treat yourself - (Wengi watakuona vile unavyojiona wewe)
    5. Happiness is a choice and requires hard work - (Furaha ni chaguo lako na inahitaji uifanyie kazi)
    6. A lifetime isn't very long - (Maisha ni mafupi)
    7. You played it too safe - (Ulikua woga au umakini uliopitiliza)
    #7Lessons #TooLate #EzdenJumanne

ความคิดเห็น • 188