MAJUTO MAKUBWA BAADA YA SHULE (NA SULUHISHO LAKE)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Mara nyingi ukiwa shule kuna vitu wazazi wanapokusisitiza ufanye wewe unakuwa hupendi kwa kuona kwamba wewe ndio unazijua ratiba zako vizuri, lakini wazazi mara zote huona mbali,
na mambo mengi ambayo huwaeleza watoto wao huwa ni katika yale ambayo watu wengi hujutia sana maishani kipindi ambacho hawawezi tena kurudi shule, lakini mmajuto hayafai kitu sababu huwezi tena kubadilisha ile hali.
Lakini kwa kuwa maisha ni kama mbio za vijiti, tunapokezana basi wewe na mimi hii ni jukumu letu kuwaandaa watoto wetu wasijekuwa kati ya wale wenye majuto haya. Video hii itakusaidia sana. Ukimaliza kutazama tafadhali niambie wewe umepata majuto gani ambayo mimi sikuongelea ili tuendelee kujifunza zaidi....
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Whatsapp Group : (+255)759191076
#SuccessPath #EachOneTeachOne #EzdenJumanne
Hii ni video inayohitaji kutazamwa na kila mtanzania..Is very deep video🙏..Success Path ni sehemu sahihi kuwepo..Mungu Azidi kukuinua Brother Ezden!
Asante sana
I know it's kinda off topic but do anyone know of a good site to stream new movies online ?
@Asher Aidan I would suggest Flixzone. You can find it on google =)
Kweli kabisaa
Ahsante Mkuu kwa Elimu hii acha tufundishe watoto, sikuhizi ghetto langu kama makitaba aise 🙏🤝💪
باراك الله فيكم وجزاكم الله خيرا
Brother Ezden Jumanne
Aisee nakufatiliaga sana kaka pia nasave hizi kwa niaba ya wanangu kusikiliza natumai watajifunza vyema
Bro,,,,,Nafatilia Saana video zako .lakin hii video kalii mno . umeipangilia vizuri na ujumbe wa kipekee sana, hongera.
Sijawahi jutia ndani ya Darasa hili🙏🙏 Each one Teach one 🤝
Broo umenibadilisha sana, Ahsante sana.
Mashallah that was very cool....
Asante sana kwan kila ninapokusikiliza unanitia hamasa nanimejifunza meng nilikuwa siyajui
Yani ukweli mtupu hongera sana kaka, allah azidi kuku ujuzi zaidi uwatoe watu gizani.nakufatilia sana kaka
Mmh! Shukraan brother ujumbe tumeupata Allah akubariki sana 🙏 🙏
Na huku upo..
🙏💯👍
@@suleymanazizabdallah8165 ndio
You though and your feeling create me alot you ceate my on universe's as you go along/thanks and thank you alot inspired me alot...
Brother asante sana japo hata Mimi nimechelewa kidogo nazani chuo nitafata ushauri wako.
Hakika kila muangariaji wa video zako lazima aongeze zaidi roho ya uthubutu brother God blessed you more
MUNGU akubariki sana aisee sijuwi kwanini sikukufahamu mapema nimejifunza sana
@ezdenJumanne Ni vizur kk unazidi wasirisha kile kilicho sahihi katika jamaii.
Binafsi mie mwenyew Huwa Nataman Familiya na Jamii Ijue NI KWANINI MTU ANAENDA SHULE, AU KWANINI MTOTO ANAENDA SHULE.. WENGI TUMECHUKULIA SHULE KAMA NI KIPINDI TU CHA KUPITIA AMA NI SEHEM TU YA MTOTI AENDE ILI AEPUSHE FUJO NYUMBAN..
Hilo sahihi kabisa! We learn from each other pia we learn from our experience n mistakes 👍🏼
Asante sana kaka yangu ubarikiye sana kwamafunzo yak mazuri
Very true....books books books me binafsi naona matokeo makubwa sana ....thanks bro
Ahsante san
Thanks brother clip zako zimenifanya nijione wa tofauti sana yan!!!
kichwa cha neno kimehusu wanafunzi ila kiukweli somo hili linahusu jamii kwa ujumla hata kwa sisi ambao tumeshakuwa mbali na shule tunahusishwa bado maana tunayo nafasi tena yakutumia mbinu hizi hata katika jamii (kazini, ibadani, mitaani, safarini, mikutanoni nk.). chukua juice hapo ulipo bwana Ezden I hope one day tutaonana nitailipa tu; shukrani sana!
Asante bro umenibadilisha kutoka division 3 to division 1
Shukraan Kaka Ezden Allah azidi kukuongoza in Shaa Allah
Ahsante brother kwa masoma mazuri
Mungu akubariki broo
Asante bro ezden
Nakubali mkubwa
Mwanangu akirudi shule leo namuekea aisikilize. Shukran kaka
brother uko makin sana
we are together
You kill it Ezden! Umenikosha saaaana leo..BigUp
Asante sana
Ujumbe mzuri sana ndugu Ezden Barikiwa sana
Shukrani
always najifunza kila siku vitu vipya kupitia wewe...keep it broo
Kweli msaisha ya shule ni raha kweli
Thanks brother ezden for giving us good skills on how to become good generation
🙏
U really inspire brother nakupenda mungu akulinde daima nahitaj vitabu navipataje xaxa!
Shukran Mydia #Ezden j
This video is more of me, cause me I was always alone at in school and till today I don't like associating myself with others
Kutoa ni moyo na sio Utajiri. True kaka. Asante sana
Umetisha
Shukran kwa ujumbe nzur.
Mtt wangu amebadilika sana kimasomo ameshuka mnoo awali alikuwa na maendeleo mazur sana tangia shule ya msing lkn alipofika form 2maendeleo 0.
Yaan hata kujisomea ni shida naumia kwakwel na mm nipo mbali naye kwa sasa utanisaidiaje kaka yang please nijibu ujumbe wangu🙏🙏
Asante kaka nimejifunz vitu ving sn
Asante
It true bro
Good my brother
Shukran kk jumanne
Asante kaka
Vipi utaratibu wa WhatsApp group
Asante kk nimekuelewa vzr
Ahdante kwa elimu
Umenipa kitu cha ziada kwenye maisha yangu sitojuta tena bali nitamfanya mwanangu asipite nilipopita mimi
Respect brother ezden
I LOVE BROTHER
Barikiwa sana kaka.
Thank you Ezden ..
Naitwa crisant atanazi nipo dar kwenye wasapu naomba kujua kila video mpya unaweza kunitumia Kama tafazari nijibu jumanne
So incredible brother 💪🏽
Asant sana
Shukran jazila Alla akulipe kheri insha Allah
Broo mungu akuweke uwepo wako hututoa kwenye giza nene
Nashukuru sana kaka. Pamoja
Naitwa james...Brother ezden ninahitaji kitabu cha Dina marious nipo temeke dar es salaam nisaidie tafadhali naomba kaka
Hello James, naomba angalia ile video ninayoongelea hicho kitabu halafu nenda chini kwenye description uchukue namba za wauzaji.
OK...thanks
You're my Hero bro ❤
Nisome vitabi vyaina gani kaka?..
Kaka Eziden tuwekee link ya kujiunga na group lako WhatsApp
number zangu izi za watssap +1816-803-3623 uni add emo please
shukrani sana kaka nmejifunza vitu vingi sana.