Makosa ya kibinadamu? Kusahau?? Are you serious??? Mtangazaji sio kasuku. Anapoongea kwenye microphone ubongo wake bado unafanya kazi. Makosa kama haya yanaaibisha taifa zima. Na hii haikuwa 'live broadcast' kwa hivi na mhariri ni yale yale. Unapotetea kitu kama hiki, wewe huna tafauti na hawa. Jamani Tanzania imekuwaje tukazama mpaka kiasi hiki? What has happened to our country???
wewe jemedali saidi unamaana gan sasa kuweka hii sauti
Uyo mtangazaji hajui geografia ya Nchi uyu alikuwa kilaza kabisa
Uchawa😅😅😅
Kwani hiyo nindege😂😂😂 shida upambe unazidi hadi kero
Makosa ya kibinadamu? Kusahau?? Are you serious??? Mtangazaji sio kasuku. Anapoongea kwenye microphone ubongo wake bado unafanya kazi. Makosa kama haya yanaaibisha taifa zima. Na hii haikuwa 'live broadcast' kwa hivi na mhariri ni yale yale. Unapotetea kitu kama hiki, wewe huna tafauti na hawa. Jamani Tanzania imekuwaje tukazama mpaka kiasi hiki? What has happened to our country???
😂😂😂😂 huyu jamaa geography hakuielewa kabisa 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 dahh mtangazaji hata haiwezekani kumtetea... Ni siasa tu
Mhariri anafanya kazi gani adi watangazaji wanaongea vitu vya hovyo ivi 😂😂😂
😂😂😂😂😂 huyu jamaa hajui hata anachoongea! Kikubwa hatukani mtu!
Wakwaza leo
Sasa Zambia itafika vip😂😂😂😂😂😂
Lbda Ina gia yakupaa😂
Tv ya taifaaaaaa 😂😂😂😂
Uchawa ukipitiliza
Tbc Wote Nivilaza
Hiyo meli au gari😂😂😂😂😂
Kupitiwa tu
Aibu!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ishakua Basi sasa
uchawa
😂😂😂
Yuko sahiii coz meli itabeba vitu vya nchi hizo