Labda hao wanawake wa uko wanashukurani na wanajitambua . Lakini wahapa Tanzania ni sawa na kumuosha mbwa asiye na mwenyewe kwa mema utayo mfanyia. Nilifanya mengi sana kwa aliye kua mke wangu ikiwepo kumnunulia magari mawili kwa siku moja lakini aikusaidia. Ndiyo maana naishi peke yangu mwaka wa 16 sasa. Wanawake wengi wa kiafrika awana shukurani na awajitambui na awajui wanacho taka katika maisha yao. Wanaume kueni makini sana na wanawake wengi ni tatizo kubwa kwa maisha yetu na wengine ni wezi usaliti tamaa mbaya. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani Kamanda.
Tatizo wanaume wa kiafrika nao ni balaa tupu. Wanawake wa nje kila kona, kuheshimu mke ni shughuli yani kifupi ni 50/50. Ila mwanaume wa kiafrika apate mwanamke mzungu anavomnyenyekea sasa utasema tuko enzi za kina Kunta Kinte. Badilisheni mfumo wa mawazo yenu mtaishi vizuri tu na wake zenu no matter nationality
Na mwanaume wa marekani anaemnunulia mondi viws mbona utuletei abari 😅😅ila pdd konde gang kwetu ni sherehe ukitaka amini mond kaliwa ckiliza intv ya dudu baya inayotirend namba 2 yutubu bombo claaaaaaa jeshiiiiiiiiiii 🌺 🌺
Mungu awazidishie mapenzi muzikane
😂😂😂😂 sio ww unahonga IST zogo mtindo mmoja dar hain raha
Labda hao wanawake wa uko wanashukurani na wanajitambua . Lakini wahapa Tanzania ni sawa na kumuosha mbwa asiye na mwenyewe kwa mema utayo mfanyia. Nilifanya mengi sana kwa aliye kua mke wangu ikiwepo kumnunulia magari mawili kwa siku moja lakini aikusaidia. Ndiyo maana naishi peke yangu mwaka wa 16 sasa. Wanawake wengi wa kiafrika awana shukurani na awajitambui na awajui wanacho taka katika maisha yao. Wanaume kueni makini sana na wanawake wengi ni tatizo kubwa kwa maisha yetu na wengine ni wezi usaliti tamaa mbaya. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani Kamanda.
Pole sana wakat mwingine naogapa hata kuoa naogopa sana kusalitiwa
Pole bro
Polesana ila kunawenyeshukrani my brother 😊
tupo tusiojua kusalit na tumekosa wanaume wauminifu kma nyie mmekosa wanawake wauminifu😊@@SudyKamonongo
Tatizo wanaume wa kiafrika nao ni balaa tupu. Wanawake wa nje kila kona, kuheshimu mke ni shughuli yani kifupi ni 50/50. Ila mwanaume wa kiafrika apate mwanamke mzungu anavomnyenyekea sasa utasema tuko enzi za kina Kunta Kinte. Badilisheni mfumo wa mawazo yenu mtaishi vizuri tu na wake zenu no matter nationality
Pesa Ni sabuni ya roho
Mbona comenti nyingi niza wivu tu 😂😂 kama hujahi kupenda ama kupendwa kaushiya tu,mapenzi yapo ameumbwa na mungu 😎😎
Na wewe mtangazaji sio Kiliharimu, kiswahili fasaha ni KILIGHARIMU
Aminunulie na Pepo pia 😂
Uyu mtangazaji ni mbunifu wa vitu vivutavyo hongera sns
Hahaha 😂 dàaaaah 🥺 Hawa wenye Hela wanafanya sisi lalahoi tusiambulie watoto wakali hahaha 😂
Uku kwetu ati mtu anakimkebe cha gari ati na yeye anapesa .
Wakijakuwachana khaa hio itarudishua atabaki peupe aniulize mimi😂😂😂😂
Apo mwanamke aki cheat lazima apigwe bastola
Wakwanza
Duuh!
Hamisa akimjua hilo danga ataenda dubai eti
Mnatudanganya mmesema ili aweze kuvaa bikin! Hapana huyo itakuwa anabembelezwa kufanya mapenzi kinyume na maumbile
@@KhairatBundala good point
Na mwanaume wa marekani anaemnunulia mondi viws mbona utuletei abari 😅😅ila pdd konde gang kwetu ni sherehe ukitaka amini mond kaliwa ckiliza intv ya dudu baya inayotirend namba 2 yutubu bombo claaaaaaa jeshiiiiiiiiiii 🌺 🌺
Ma Shaa Allah dda yetu una suti nzur yakutangza❤
Hakuna lolote apo, money can not buy happiness. Mbona mdada anaonekana hana amani usoni. Fujo tuuu🤪🤪haya njooni uku mnishambulie kunambia mawazo ya kimaskini au sijui naumia nikiwa wapi. Siumii wala nini kuogelea kwenyewe sijui wala sitaki😊🥴
Unatka acheke hovyo kma mshamba wengine vitu vya kawaida hvo
Pesa bhna