NG'OMBE MKUBWA ARUSHA ANAYEUZWA MILL 9, ANAKAMULIWA LITA 30 KWA SIKU "NILIANZA NA WAWILI NINA 35"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 24

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana!

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sn sn upo vzr

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera Ayo Arusha, hizi ndo taarifa za kuripoti punguza zile taarifa za mtu kameza chupa,sijui Katw mapanga, sijui dangote

    • @bahatilaizer8706
      @bahatilaizer8706 7 หลายเดือนก่อน

      Christopher 😂😂😂😂😂 unanichekesha Atii aache Nini

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 7 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa taarifa nyingine hazitufundishi chochote ktk maisha

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri6961 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana baba! Kazi nzuri sana…👏👏👏

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 7 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana..hii breed inaweza kua nzuri,tatizo mitamba mingi ili iweze kua na consistence ya izalishaji maziwa lazima lishe iwe ya kueleweka..sasa hapo kwenye malisho ndo shida inapoanza. Na productivity inapungua kutoka na factors nyingine nyingi mfano ana mimba au hana mimba, hali ya hewa, umri wa ng'ombe, nk so mambo ni mengi kama matunzo ni issue usitegemee hiyo productivity.

  • @davidmarik4633
    @davidmarik4633 7 หลายเดือนก่อน +4

    Unavyo ona unazani ni rahisi lakini syo rahisi kama unavyo fikiri gharama ya chakula kinachotumika kwa mwezi syo mchezo ngombe 30

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mzee. Unatutia moyo

  • @HappinessSawe
    @HappinessSawe 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera baba

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 7 หลายเดือนก่อน +2

    Aisee, lovely

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 7 หลายเดือนก่อน +3

    HOONGERA SANA MKULIMA MFUGAJI. TUNAJIFUNZA KUTOKA KWAKO BABA.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 7 หลายเดือนก่อน +2

    kusema kweli kama mtu una fanya kazi MUNGU anakupa rizki yani ni kupambana tuu hakuna namna mzee ana komaa na ng'ombe zake una kuta kijana wa dar ana waza ku beti na kulala kama fala badae aje awe mwizi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 7 หลายเดือนก่อน

    safi sana asee bora tuwe tuna angalia mambo ya maana sio kuona kina GIGYMONEY hii iendelee

  • @khalidmdimu4177
    @khalidmdimu4177 7 หลายเดือนก่อน +1

    Habari ya S Africa huko the heague ndo inatrend leo, sjaona kama umeposti au potezea kama haina umuhimu

  • @johnsonkileo7498
    @johnsonkileo7498 2 หลายเดือนก่อน

    Shamba lipo wapi

  • @barakambise1970
    @barakambise1970 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu Baba hizo namba kataja kupiga anakana 😂😂😂😂

  • @barakambise1970
    @barakambise1970 3 หลายเดือนก่อน

    Mwenye namba za huyu Mzee NAOMBA????

  • @angelaonesmo
    @angelaonesmo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mim Nina ngo,mbe Wang kama uyu naumuza

  • @fredrickkaaya
    @fredrickkaaya 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ayo nina jogoo langu pia hapa njoo chap unihoji lina kilo 15 kabla sijaliuza

  • @alextercisio
    @alextercisio 7 หลายเดือนก่อน

    Tuonyeshe hiyo milk record ya ngombe hizo unasema inatoa 30ltrs

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri6961 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana baba! Kazi nzuri sana…👏👏👏