Safi sana..hii breed inaweza kua nzuri,tatizo mitamba mingi ili iweze kua na consistence ya izalishaji maziwa lazima lishe iwe ya kueleweka..sasa hapo kwenye malisho ndo shida inapoanza. Na productivity inapungua kutoka na factors nyingine nyingi mfano ana mimba au hana mimba, hali ya hewa, umri wa ng'ombe, nk so mambo ni mengi kama matunzo ni issue usitegemee hiyo productivity.
kusema kweli kama mtu una fanya kazi MUNGU anakupa rizki yani ni kupambana tuu hakuna namna mzee ana komaa na ng'ombe zake una kuta kijana wa dar ana waza ku beti na kulala kama fala badae aje awe mwizi
Hongera sana!
Hongera sn sn upo vzr
Hongera Ayo Arusha, hizi ndo taarifa za kuripoti punguza zile taarifa za mtu kameza chupa,sijui Katw mapanga, sijui dangote
Christopher 😂😂😂😂😂 unanichekesha Atii aache Nini
Ni kweli kabisa taarifa nyingine hazitufundishi chochote ktk maisha
Hongera sana baba! Kazi nzuri sana…👏👏👏
Safi sana..hii breed inaweza kua nzuri,tatizo mitamba mingi ili iweze kua na consistence ya izalishaji maziwa lazima lishe iwe ya kueleweka..sasa hapo kwenye malisho ndo shida inapoanza. Na productivity inapungua kutoka na factors nyingine nyingi mfano ana mimba au hana mimba, hali ya hewa, umri wa ng'ombe, nk so mambo ni mengi kama matunzo ni issue usitegemee hiyo productivity.
Unavyo ona unazani ni rahisi lakini syo rahisi kama unavyo fikiri gharama ya chakula kinachotumika kwa mwezi syo mchezo ngombe 30
Hongera mzee. Unatutia moyo
Hongera baba
Aisee, lovely
HOONGERA SANA MKULIMA MFUGAJI. TUNAJIFUNZA KUTOKA KWAKO BABA.
kusema kweli kama mtu una fanya kazi MUNGU anakupa rizki yani ni kupambana tuu hakuna namna mzee ana komaa na ng'ombe zake una kuta kijana wa dar ana waza ku beti na kulala kama fala badae aje awe mwizi
safi sana asee bora tuwe tuna angalia mambo ya maana sio kuona kina GIGYMONEY hii iendelee
Habari ya S Africa huko the heague ndo inatrend leo, sjaona kama umeposti au potezea kama haina umuhimu
Shamba lipo wapi
Huyu Baba hizo namba kataja kupiga anakana 😂😂😂😂
Mwenye namba za huyu Mzee NAOMBA????
Mim Nina ngo,mbe Wang kama uyu naumuza
Shingapi
Ayo nina jogoo langu pia hapa njoo chap unihoji lina kilo 15 kabla sijaliuza
Duuuh uko wp
Tuonyeshe hiyo milk record ya ngombe hizo unasema inatoa 30ltrs
Hongera sana baba! Kazi nzuri sana…👏👏👏