KIPINDI: UMUHIMU WA SHAMBA LA NGERENGERE KWA WAFUGAJI NCHINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 เม.ย. 2021
  • Shamba la Mifugo la Ngerengere lililopo mkoani Morogoro ni miongoni mwa mashamba ambayo yamekuwa yakitoa mchango Mkubwa kwa wafugaji hapa nchini ambapo mbali na kutoa mbegu bora za mifugo, wataalam wake wamekuwa wakitoa elimu kwa wafugaji wanaolizunguka.... Tazama zaidi hapo
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 18

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @matukiosafaris6508
    @matukiosafaris6508 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahi sana kuona hii video nimepata vitu ambavyo nimevitafuta kwa muda mrefu

  • @alexlwalilo7970
    @alexlwalilo7970 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana,ufugaji wenye tija unawezekana

  • @rongangasmwita5557
    @rongangasmwita5557 ปีที่แล้ว

    Naomba mawasiliano please

  • @alexlwalilo7970
    @alexlwalilo7970 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimefurahi kuwaona Boers kwenye shamba la serikali

    • @mwitawakimara3649
      @mwitawakimara3649 ปีที่แล้ว

      Naweza kutmbelea shamba utalatibu wake ukoje

  • @tysonmhewa6863
    @tysonmhewa6863 ปีที่แล้ว

    Naombabeiyambuzi nanambayasm

  • @omaryayubu7958
    @omaryayubu7958 3 ปีที่แล้ว

    Naomba namba za hapo shambani nataka kuwatembelea kesho.

  • @tysonmhewa6863
    @tysonmhewa6863 ปีที่แล้ว

    Mbuzi mnawauza beigani

  • @uwezaeliyaadam2292
    @uwezaeliyaadam2292 3 ปีที่แล้ว

    Naomba namba au maelekezo ya kufika hapo

  • @yohanasefue869
    @yohanasefue869 2 ปีที่แล้ว

    Kipindi kixuri lakini mawasiliano hakuna nitawapatajeee nshitaji mbuzi na kondooo

  • @davidmalamshamalamsha962
    @davidmalamshamalamsha962 2 ปีที่แล้ว

    Mawasiliano nitapataje

  • @augustinobazil7484
    @augustinobazil7484 2 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua Bei ya Mbuzi mmoja aina ya Boar

  • @salimazizi9506
    @salimazizi9506 2 ปีที่แล้ว

    tutapata vipi namba zenu

  • @omaryayubu7958
    @omaryayubu7958 3 ปีที่แล้ว

    Naomba namba za hapo shambani nataka kuwatembelea kesho.

  • @uwezaeliyaadam2292
    @uwezaeliyaadam2292 3 ปีที่แล้ว +1

    Naomba namba au maelekezo ya kufika hapo