Hapa mzee baba amewakata mambanga wote jox jocholo coz ni mweli yeyote anaeimba ana watu wake so kusema ati MC flani anazingua nikumkorogea gape lake so kila mc ana watu wake wanaomkubali....big up kwa majanabaaaaaaaa
Damn ma Nicca these is another ancient rap language which is going to make ancestors come back to life all in all he looks very intelligent person,these happens when a smart man wants to look funny
Hii ndio Arusha Jombaa. Mtoto wa nguruwe kwenye oven nambandua tu pyaaaaaa😆😆😆. Hii kichwa ya kisimiri bhana. Afu bro anaonekana alikua na kichwa mzuri sanaa😊#Vibekamaloteee💪
We unauhakika gani kuwa amepoteza kijana Sa kwataarifa yako ndio ujue kuwa huyu mwamba ni mtu peace na mzuri tuu na anakubalika sana nyumbani na hayo mengine ni mambo ya fani tuu
Ambao wanaamin huyu jamaa, anakitu tujuane kupitia like
Kitu gani
Albeleen Alberto 0692811625 nicheki nikuambie🙏
@@Mahonda8080 😂😂😂😂
Mh
Kama umependa anavyo chana gonga like ku show love😂😂😂
this guy kajibu swali lamwisho kama vile proffesa! he is a legend!
Huyu jamaa anajiona Yuko Jamaica kabisaaa😂😂😂😂
Alaf jamaa nachomkubali zaid anajitambua pia ni mtu peace sana
Yuko peace kinyama
Jamaa Lina akili kakwepa swali technical @ rapa gani humwelewi wote nawaelewa 😄😄😄
Hapa mzee baba amewakata mambanga wote jox jocholo coz ni mweli yeyote anaeimba ana watu wake so kusema ati MC flani anazingua nikumkorogea gape lake so kila mc ana watu wake wanaomkubali....big up kwa majanabaaaaaaaa
Asante kunitoa sterss jmn😂😂😂
Diana Mkuna meonaaa eeh unaeza paliwaaa
Aisee huyuu jamaa yuko vizuri sana, yaani anajua kabisa kila mtu na watu wake wampendao, unaemkataa yupo anemkubali
Ambaye anaamini kuwa huyu jamaa anastahili kuitwa kwenye tamasha Wasafi feistival
Artist mzuri sana mradi ajipange tu vizuri.. Lots of love from Mombasa Kenya.
🤣🤣🤣🤣 majanaba nimemuelewa sana asee
Gongo ya mama veeee anaweka na vitamini"U"
This man is the best comedy
" This man is the best comedian "
Sawa ??
Hahaha huyu jamaa kaniondolea stress za 2019
Duh huyu kipaji...hilo swali la mwisho...genius..
Yaniiiiii huyu anajikuta yupo Jamaicannnnnn kabisaaa 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣
HUYU ANAFANANA KABISA NA JCB WA WATENGWA! GONGA LIKE KAMA UNAMTAKA JCB AJE KUMCHUKUA MDOGO WAKE HAPA! LIKES 1K
Aminii 😂😂😂
R chugaaa ni fuluuuu yedede I love Chuga mzee dingideee
Jamaa ana bonge la talent he's a A star. BongoSTAR search ingeenda mbali zaidikuna talents kubwa za ma actors na comedians wanawaacha.
Mm huyu jamaa namkubali sana, kwanza hajui kutukana, anajua kujibu maswali vizuri sana, best and talent comedian
Chezea vitu vyote lkn c bangi aisee😂😂😂
Akili Mbovu balaaa
Nimemula mtoto wa nguruwe namubandua tuu bandaraaa
🇹🇿🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿Naipenda nchi angu ina kila k2🇹🇿🇹🇿🔥
👍👍👍
Hahahhaa
Nilikunywa gongo kalii. Dahhh
Yaan hiyo akitengenezwa atakuwa faida sn wasimwache wamuelekeze Hizo n sauti z taifa
Mtangazaji kaa mbali asije kukukopoa macho😆😆
Mpaka siku mtu achomwe kisu hadharani, ndio mtajua ..dah
😂😂😂😂 washamuona n mental ill na wao bado tu eti kamuekea mic kw mbali kukimbia mate😁😁
Nakunywa gongo mingi na sigara nyota
😂😂😂😂😂
Jamn huy kak amenifurahisha jamn 🤣🤣🤣🤣🤣
Damn ma Nicca these is another ancient rap language which is going to make ancestors come back to life all in all he looks very intelligent person,these happens when a smart man wants to look funny
Boi im here....
Yupo vizur
Yupo naakili hatakama anatumiya hiyo gogo
Natoka uko orkokola kisimiri ngaramtoni😂😂😂😂
Hawa wa2 wa harusha duuuh htr kwel
Gongo kaliiiy😁 anavurugu huyu pepeee😆
Kawavalia kofia "The joker..."😂😂😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 yan hapo full vurugu aisee
Aboi 4rm Makambako duhuuu hahaaaa ninomaaaa hiyooooo
At first nilihisi kama mnara umeyumba but ulivyojibu swali la mwishooo upo vizuri sana upstairs
Anarusha mateeee😀😀😀😀😀
Namukubali sana kabisa uyu ndo wangu kwa Bongo flever kabisa
Fireeee........pimpiiiiiii
Noma sana
Daa had stress zangu zimeisha jmn duuu huu mtambo wa jiji
😅😅😅😅😅
Jamaa smart sana .kajibu zaid hàta ya wasanii wakubwa wakiulizwa maswali kuhusu wasanii wenzao
Hii ndio Arusha Jombaa. Mtoto wa nguruwe kwenye oven nambandua tu pyaaaaaa😆😆😆. Hii kichwa ya kisimiri bhana. Afu bro anaonekana alikua na kichwa mzuri sanaa😊#Vibekamaloteee💪
Jama anaona kama mtangazaj hayuko chap dah ila gongo kitu kibaya
Big up kwa pachaaa💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
Mama veeee🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Hii jamaa imetisha sana, Arusha jaman mnatuharibia vijana
Jamaa anachana kichaga
Sahvi watu wa mikoani chugastan mnakuja na paspot
jajajajaja siku yangu umeimalizia vizuri kaka
Hahaha Broo sawaa
Anaweza sana 1 tu apunguze pombe na mibange
Kaacha story mitandaon
Chalii yangu katisha sanaa gongo akiacha rap inakaa vizuriii
Hahahaaa sichoki kuitazama daa chuga ni shida
Huyu Jamaa Anatalent xanaa...Xema chizz chizz Babuu....
Majanaba ungesoma ungekua mbali dah😀😀😀😀
Huyu jamaa pombe imeingia hadi kwenye utosi
Anaongeaa Sanaa lakin hatukani hapoo tuu ndo nimempendaaa🥰🥰🥰🥰🥰
Daaaaah jaman Yuko God Sana wote anawakubali but hiyo Mike imepata upepo wa kisulisuli 😀😀😀
Duh mnaoskia kingeleza tunaomba mniambie majanaba anaimba kingeleza
Sio kichaaa anajitambua life style yake
Big up brooo
DJ hazuu umetisha sana hapa DJ b msukumawetu
Bongo wanakuona chizi ila ingekua America ungepig pesa
kama umesikia markuuu majanaba gonga like
Ndio kubwa,nambandua tuu mbararaaa
Me nampenda jamani
😁😁😁😁mtangazaji anaogopa mate
Mwandishi ukiuliza swali la kizushi ila jamaa kakujibu kistaarabu,acheni kuuliza maswali ya ugombanishi.
Huyu jamaa makini sana tu
Nomaaaaa
Arusha ndo kwetu mazeiya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂KUMAA MAKEEEE ARUSHA WAPEWE NCHI YAO HAWA SIO WATANZANIA KWELII KBSAA🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umenchekesha ww cc watz bana
We ni kuma
Aseee natupewe2
uyu jama noma semq gongo zinamzinguwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hatareeee uyo chalii n mkulaaa
Huyu jamaaa anajua kuimba 😎
majanaba baba laaaaaaaaaaooooooooooooooo
Kali
Jibu la swali la mwisho ni funika baba jamaa yuko vizuri
Kumbe bongo tuna vipaji aiseeeeeee
haloweeen vp hahaaa
Chuga sihami ng’oooo
Kipaji cha kuigiza anacho😃😃😃
Nahuyu ndo markuba mwenyewe 😂😂😂
Nimecheka bila kujizuia 🤣🤣🤣😂
Huyu Jamaa pepo lake kali aisee
Kwa mama vanisaa kuna kila kitu wakombaa, kwanzia dadi, gongo, banana, konyagi ya kienyeji karibun sanaa wateja wapyaa...
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zang
Jamaa liko mkide ili🤣🤣🤣
aah hata mapengo pale anajua"
Wamlipe huyu msemo wameutumia wa na nusu
Atakunya mzee
Gongooo kariiiiii,ndooo moja
Oh majanabaaaaaaa 😂😂😂
A.CITY stand up....kubabeki
Pole kwa Mama yake mzazi , kapoteza kijana wake , angekaa sawa angemsaidia Mama na Baba yake , kuzaa si kupata jamani .
We unauhakika gani kuwa amepoteza kijana Sa kwataarifa yako ndio ujue kuwa huyu mwamba ni mtu peace na mzuri tuu na anakubalika sana nyumbani na hayo mengine ni mambo ya fani tuu
Nalitaka nkufungulie kesi nikagundua una tatizo la akili,
Noma
Nashauri kila mwaka wangechukua best wa vituko wote tuwaone
Raisi wetu anashida kweli namuonea huruma 😂😂😂
Hahaaaaaaaaaa
😂😂😂😂😂😂