MAJANABA JAMAA WA ARUSHA ANAYETREND KWENYE BSS ALIVYOIMBA "NIMEJENGA GHOROFA YA MATOPE,ALI KIBA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2020

ความคิดเห็น • 747

  • @compworks1161
    @compworks1161 3 ปีที่แล้ว +144

    Mimi ni Mkenya lakini Tanzania mna talent.. 👍

    • @dennisseggyjoseph7597
      @dennisseggyjoseph7597 3 ปีที่แล้ว

      Sante san kwa kuappriciate

    • @deestarsniper3315
      @deestarsniper3315 3 ปีที่แล้ว +1

      Don’t say that bruv coz kwa saiv Kenya ao artist wakubwa wanaapreciate kitu kinachofanywa na wasanii wa Tanzania
      Watu kama hawa wanakua sio wasanii ni watu wa funny tuu
      Note this

    • @simbamiliki8701
      @simbamiliki8701 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @simbamiliki8701
      @simbamiliki8701 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @user-un3df1sl2h
      @user-un3df1sl2h 3 ปีที่แล้ว

      Mkenya wawapi?

  • @mashajohanes7727
    @mashajohanes7727 3 ปีที่แล้ว +174

    Alieona meno ya lily wayne aguse like button apa 😅

    • @shebaminde7656
      @shebaminde7656 3 ปีที่แล้ว +5

      We Masha umenchekesha eti meno ya lily Wayne 😂

    • @priscallawendy4063
      @priscallawendy4063 3 ปีที่แล้ว +3

      Haaaaa

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣

    • @marcelmarco5182
      @marcelmarco5182 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁👒😇

    • @egideniyonkuru9705
      @egideniyonkuru9705 3 ปีที่แล้ว

      @@shebaminde7656 ninatoka🇧🇮🇧🇮rakini umenichekesha kinoma yaani nimecheka yote eti meno yani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bashirumwimba6494
    @bashirumwimba6494 3 ปีที่แล้ว +27

    Kumbe anaweza kuimba endapo atajifua lkn aimbe kiswahili anaweza kwani kuna mwingine amemuelewa kama mimi kwakuimba nyimbo ya kiba like twende sawa

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 3 ปีที่แล้ว +42

    Gonga like kama umeirudia zaidi ya Mara moja .......

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 3 ปีที่แล้ว +5

    Kweli leo alikuwa amepooza! Safi Sana kwa mtangazaji kumuwezesha! Ubarikiwe!

  • @dicksonngaina6526
    @dicksonngaina6526 3 ปีที่แล้ว +105

    Achana na manzese ya kule daresarade😂
    Kama umesikia hiyo honga like.

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 ปีที่แล้ว +6

    Bless your heart mtangazaji angalau umemtoa atapata cha kucgangamsha kidogo awwww so nice of you

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 3 ปีที่แล้ว +187

    KAMA UMEMSIKIA HUA ANAKULA MAHINDI YA KUKAANGWA KISADO KIMOJA BASI GONGA LIKE TWENDE SAWA

    • @marcelmarco5182
      @marcelmarco5182 3 ปีที่แล้ว

      👒😁😁😁👒🤣😇😇😇🤣😁🤣🤣🤣

  • @elishangoma8235
    @elishangoma8235 3 ปีที่แล้ว +57

    Mdogo wangu sijapata utaalamu😂😂😂😂

  • @tinalucas6284
    @tinalucas6284 3 ปีที่แล้ว +115

    Rasta mwenye nywele mchmbuko😂😂

  • @gibsonmzuma3691
    @gibsonmzuma3691 3 ปีที่แล้ว +6

    Hakuna sekunde ambayo nimeitazama bila kutabasamu ukiachilia mbali kucheka. Kipaji cha kufurahisha si kulazimisha bali kufanya kile ulichonacho katika uhalisia wake. Big up Majanaba.

  • @adrianignas5119
    @adrianignas5119 3 ปีที่แล้ว +89

    Nimevutiwa sana na huyu jamaa kitu kimoja tu, mwaka jana alishiriki lakini hakupata nafasi ila mwaka huu amekuja tena licha ya kuwa alishindwa na kuonekana kama kituko tu. jambo jema la kujifunza ni hili tusikate tamaa na ndoto zetu hata kama tumekutana na kikwazo kikubwa kiasi gani simamia unachokiamini, dunia isikuyumbishe wala uvumi wa maneno usikutoe mahali ulipo. Bruce Lee aliwahi kusema, nanukuu " mtu mwenye hekima anaweza kujifunza kitu kikubwa kwa maswali ya mpumbavu kuliko mpumbavu kwa mwenye hekima" hiyo ikawe tafakari yetu sisi Vijana ambao kila siku mpya tunakuja na mipango mipya isiyotekerezeka.

  • @fortunatusgwaje2333
    @fortunatusgwaje2333 3 ปีที่แล้ว +12

    "Me ni rasta mwenyew nywele mchambuko"
    😂😂😂😂😂😂

  • @mojavestudio
    @mojavestudio 3 ปีที่แล้ว +4

    Wakenya wako wapi...kama umetambua pia tanzania wanakula bangi sana pita na like

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 3 ปีที่แล้ว +61

    Alikiba njoo uchukue mtu wako huku 😂😂😂

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 3 ปีที่แล้ว +115

    Kuna watu wa Arusha alafu Kuna wenye Arusha Yao Sasa😂😂😂

  • @UMUSEKETV
    @UMUSEKETV 3 ปีที่แล้ว +1

    Nguyu turamuzanye!!! Uramukunda? Reba iyi Video ukore Share unatange COMMENT, ni Sudi MAVENGE!!! th-cam.com/video/k6zkFX1QSXA/w-d-xo.html

  • @mashombomashombo9233
    @mashombomashombo9233 3 ปีที่แล้ว +26

    Mjasiriamali mwenye Rasta ake nywele mchambuko

  • @jumaibrahim4297
    @jumaibrahim4297 3 ปีที่แล้ว +2

    Rasta mwenye nywele mchambuko, Dah asee hii ni talent kubwa sana

  • @chunzaalex6275
    @chunzaalex6275 3 ปีที่แล้ว +3

    Kipaji walai yeye unibamba na hizo meno Kama za lil Wayne ,big up Ayo Tv ,Kenya mwakaribishwa

  • @sheillahowitti9725
    @sheillahowitti9725 3 ปีที่แล้ว +6

    i love him. he can do comedy and shine from +254

  • @godfreychaba9673
    @godfreychaba9673 3 ปีที่แล้ว +26

    Chuga nawakubali sana,

  • @samkiria450
    @samkiria450 3 ปีที่แล้ว +28

    Rasta nywele mchambuko 😂😂😂
    Hii dunia sii yetu kidela 😂😂😂
    My home town A... Toooownnn

  • @goodluckmomburi5372
    @goodluckmomburi5372 3 ปีที่แล้ว +6

    I love the guy he's so really 😂😂🙌

  • @chale0ify
    @chale0ify 3 ปีที่แล้ว +72

    *Mtangazaji:* _Leo unashiriki kwenye mashindano?_
    *Kidela:* _Kwakweli ntajaribu kushiriki_
    😂😂😂

    • @fatumagodfey8838
      @fatumagodfey8838 3 ปีที่แล้ว +1

      Huyu mtangazaj noma ndiye aliyeibua hizi talent za Arusha

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 3 ปีที่แล้ว +47

    Mwamba katisha🔥🔥

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 ปีที่แล้ว +5

    Wapo vizuri Sana Arusha.......

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 3 ปีที่แล้ว +14

    Yeh baba🔥
    Kumbe hata wewe umeona kwamba king hana mpinzani 😂😂👌

  • @mwahijahamisi9846
    @mwahijahamisi9846 3 ปีที่แล้ว +18

    Jamaa Ana Talent yuko Fullpackage

  • @sandrakamikazi1943
    @sandrakamikazi1943 3 ปีที่แล้ว +2

    Ooh meen🙈I just looove this guy🙈🥰

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 3 ปีที่แล้ว +71

    Watoto Kama majanaba wanasumbua Sana huko tumboni kwa mamazao uspo mzaa utaumwa chango Sana😅😅😅😂🤣🤣

  • @abdulrahmankanduka1977
    @abdulrahmankanduka1977 3 ปีที่แล้ว +8

    Mshikaji umemuelewa na kihispanyola chake gonga like basi...

  • @tompatel849
    @tompatel849 3 ปีที่แล้ว +4

    I love this guy he is so funniest.

  • @gloriousn6425
    @gloriousn6425 3 ปีที่แล้ว +44

    🤣🤣🤣🤣🤣, I am literally rolling ,Huu mkoa uuzwe tu kila mtu apewe kama ni jero au buku buku zao wasepe

    • @officialkhantz785
      @officialkhantz785 3 ปีที่แล้ว +3

      😂😂😂 Kweli asee jomba

    • @geoffreycalvin2288
      @geoffreycalvin2288 3 ปีที่แล้ว +2

      Glorious mwehu ww😂😂😂

    • @ramadhankhamis8059
      @ramadhankhamis8059 3 ปีที่แล้ว +2

      th-cam.com/video/DtTJ3v6mTR0/w-d-xo.html🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ramadhankhamis8059
      @ramadhankhamis8059 3 ปีที่แล้ว +3

      @@officialkhantz785 Salam kwako Ibra konde gangth-cam.com/video/DtTJ3v6mTR0/w-d-xo.html

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 3 ปีที่แล้ว +2

      🤣🤣🤣🤣

  • @ummytv5164
    @ummytv5164 3 ปีที่แล้ว +2

    Hii video nimei watch zaidi ya mara kumi mpka nimeamuwa nii download 😂😂😂😂 from 🇧🇮 muogope Mungu we kidela 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sellah4603
    @sellah4603 3 ปีที่แล้ว +32

    Rast nyewele mchambuko

  • @charlzcon6812
    @charlzcon6812 3 ปีที่แล้ว +4

    Mimi hao walioshinda BSS hata siwajui namfahamu tu Makuba all the time😄😄 huyu ndo mshindi wangu.

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 3 ปีที่แล้ว +39

    Muogope Mungu we kideraa😂😂😂😂

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 3 ปีที่แล้ว +4

    Huyu jamaah Yuko vizur anahitaji mtu anaeye husika na ushauri wakaribu... Wanao omba Ayo TV wahusike na afya ya akili ya uyu jamaah aacha like

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 3 ปีที่แล้ว +35

    Jina lenyewe ni cheche😅

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 ปีที่แล้ว +3

    huyu jama tusmdharau nimzima ila maisha ndo mtihani kwake bwana majanaba.

  • @joycemichael4920
    @joycemichael4920 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwani hii dunia ni yetu? Kwani hii dunia ni yetu!?? Muogope Mungu we Kidela

  • @mtabeagusti4553
    @mtabeagusti4553 3 ปีที่แล้ว +26

    ujasiria mali wa kuokota vigaron vya watu

    • @johnsombi545
      @johnsombi545 3 ปีที่แล้ว +1

      Maana yake alikuwa anawaibia aisee

  • @nozgeniuz1812
    @nozgeniuz1812 3 ปีที่แล้ว +48

    Daaaa aiseee CHUGAAAA PAACHENIIII TU

    • @madyjr2249
      @madyjr2249 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwelii man

    • @rosehillary8742
      @rosehillary8742 3 ปีที่แล้ว

      Yaani BSS napasubirigi kishenzi maana nachekaga hadi naumwa Kichwa🤣🤣🤣🤣🤣

    • @abrahamcharles8895
      @abrahamcharles8895 3 ปีที่แล้ว

      😂😂🙌

    • @ambitiousholyspirit395
      @ambitiousholyspirit395 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli yaaan chuga wanaume hawalambi icecrem!

  • @rajabuhassan4678
    @rajabuhassan4678 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa ndio ametuletea msemo wa na nusu Kama hubishi weka like

  • @addelineantony3622
    @addelineantony3622 3 ปีที่แล้ว +15

    Nifanyie vibe interview inoge

    • @ERIMINATSHINE
      @ERIMINATSHINE 3 ปีที่แล้ว +6

      Chezea mtu wa Arusha , yani aongee bure watu wacheke bure apoteze muda wake kwenye kamera akalale njaa wakat muuliza maswali hela inaingia? Ana akili sana na ndio zetu

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 3 ปีที่แล้ว +28

    Jamaa ana kipaji sana. Angepewa nafasi angefanya jambo kubwa

  • @nehemiaelias5535
    @nehemiaelias5535 3 ปีที่แล้ว +2

    Best interview kati ya za Millard

  • @hyasintndimbo2998
    @hyasintndimbo2998 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa anamkubali sana
    KING KING KING KING

  • @dainagano3656
    @dainagano3656 3 ปีที่แล้ว +1

    Kuna arusha na kuna tanzania naomba ieleweke hv😂😂😂😂😂hv watu wa chuga mnakuwaga na shida gani kwani😂😂😂

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 3 ปีที่แล้ว +7

    Eminem akimskia ataacha mziki..
    Lakini vyema kutambulika dunia kwote, big up eminem

  • @ramadhanikibenga6317
    @ramadhanikibenga6317 3 ปีที่แล้ว +12

    Hamna kwere kweche dingilii HAHAHAHA CHUGA NI SHIDA DUNIANI DAH

  • @lucasdiscoveriesmedia3695
    @lucasdiscoveriesmedia3695 3 ปีที่แล้ว +6

    Iyo logo ya Millard Ayo mngeiweka pembeni , itoe Hapo katikati mwa screen bana

  • @mgmiles1138
    @mgmiles1138 3 ปีที่แล้ว +5

    Kusoma na simu changamoto Sana , Yani Nina Pepa leo Ina nilivyoona jamaa nimeshindwa kujizuia kumcheki nikasema dk 4 sio kitu😂😂😂

  • @samxongwambiye4217
    @samxongwambiye4217 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyuuu jamaaa alinifurahishaaa sanaaa wakatii uleee aisee

  • @kramsjunior4447
    @kramsjunior4447 3 ปีที่แล้ว +4

    Hii nchi inakila aina ya binadamu😂😂😂nimecheka sama

  • @radiIbrahimnuhu
    @radiIbrahimnuhu 3 ปีที่แล้ว

    KARIBU KWENYE CHANNEL HII KUSIKILIZA VISA NA MIKASA YA KUSISIMUA..YA KWELI NA YAKUFIKIRIKA -
    BOFYA th-cam.com/users/SwahiliSHORTSTORIES

  • @BataBatanii
    @BataBatanii 3 ปีที่แล้ว +10

    Oyaaaa We Fanya piga nae hata lisaa limoja mzee ....,,,

  • @pamelauwera3830
    @pamelauwera3830 3 ปีที่แล้ว +1

    Hivi mnajua kuwa arusha ni nnje ya nchi..........

  • @dicksonherman1205
    @dicksonherman1205 3 ปีที่แล้ว +5

    nadhani kings music music tumemuonaaa🎼🎼🎼🎼🎼☠😜😜😜

  • @roseboaz1819
    @roseboaz1819 3 ปีที่แล้ว +2

    Wameru wenzangu mpooo....aloskia maboboroo gonga like twende sawa...😅

    • @ibrahimmpallnjo1828
      @ibrahimmpallnjo1828 3 ปีที่แล้ว

      Kanikumbusha mbali sana😂😂😂😂

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 3 ปีที่แล้ว

      Mbee jamaa ulya anshikumburusa maboboro!

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 3 ปีที่แล้ว +1

    Watu wa hivi ni watu waliobet sana maisha wakakaribia kushinda bingo kubwa halafu wakakosa dakika za mwishooo🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 3 ปีที่แล้ว +10

    Daah huyu jamaa ni nyoko sanaaaa,😂😂😂😂

  • @fastermore8726
    @fastermore8726 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ndo rasta wa kwanza kuwa na rasta mchambuko😂😂😂

  • @bahatijoseph8763
    @bahatijoseph8763 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahhaahah Eti hiii mpya mimi sina hata kiredio geto mpaka nipete bar kushangaaaa jamaaa katishaaa😀😀😀😀

  • @zuumlondwa9518
    @zuumlondwa9518 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa ni comedian mzuri sana🤤🤣

  • @janethkimaro3410
    @janethkimaro3410 3 ปีที่แล้ว +3

    Noma na nusu aisee, RChugga watu wanaisaka chapaaa hakuna mtembea bure

  • @mavuzijiwe6805
    @mavuzijiwe6805 3 ปีที่แล้ว +2

    This dude is from Another World 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abrahammichael8417
    @abrahammichael8417 3 ปีที่แล้ว +2

    Iyo semu sehemu ya mwisho ya maneno ya kispanyola nimeiskiliza sana .....yaani nlikua narudia rudia tu haichoshi kusikiliza😂😂.

  • @mbwanakonk453
    @mbwanakonk453 3 ปีที่แล้ว +1

    Nmesoma mbaka la nne mekwa

  • @amnahleilahaliloh6746
    @amnahleilahaliloh6746 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Jamaa anaweza kufanya comedy

  • @geom4051
    @geom4051 3 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania ipo juu on talents

  • @teedrack8791
    @teedrack8791 3 ปีที่แล้ว +1

    He is a comedian with humor

  • @Manshyne
    @Manshyne 3 ปีที่แล้ว +28

    Mfanyie vibe interview inogee 😂😂

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 3 ปีที่แล้ว +42

    Kwani hii dunia ni yetu 🤣🤣

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 3 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣 leo yupo Neat kwel🙌🙌....
    Ajanywa kbs😂😂😂
    Like kama Upo Daresaladiiiii🇹🇿

  • @Ab113tech
    @Ab113tech 3 ปีที่แล้ว +18

    Komblome Shigiliye 🤣

  • @furahinikisapi9987
    @furahinikisapi9987 3 ปีที่แล้ว +1

    Ani nimecheka jaman,,,,,nakupenda bure

  • @mayamerali9264
    @mayamerali9264 3 ปีที่แล้ว

    Mm nimerud kumuangalia huyu jamaa,, mwenye rasta zake mchambuko,, ananifurahisha saanaa,,,,

  • @lidus752
    @lidus752 3 ปีที่แล้ว +1

    Dully:"Umetisha..."
    Majanaba:"Na nusu..."
    😂😂🤣🤣😅😅

  • @lylyanefletcher6958
    @lylyanefletcher6958 3 ปีที่แล้ว +3

    This dude is another world🤣🤣🤣🤣

  • @YoungVee994
    @YoungVee994 3 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda Aiseee

  • @kiflyhassan8582
    @kiflyhassan8582 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa ni Msanii kabisaa 👍🏻

  • @voicejoachim1370
    @voicejoachim1370 3 ปีที่แล้ว +1

    Verry funny men, but hiyo pesa umempea ni ya bhangi sio kingine:)🤣🏃‍♂️

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa tu izo nywele zake

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 3 ปีที่แล้ว +2

    Asee uwe unamuhoji hoji every day namkubali sana em

  • @DanielAmos-eg7bh
    @DanielAmos-eg7bh 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aliyeskia gorofa la matope twende saw

  • @samuelypaulo820
    @samuelypaulo820 3 ปีที่แล้ว +4

    Ebanae nywele kama za shaggy msanii wa American😂😂😜

  • @kenngunjiri1978
    @kenngunjiri1978 3 ปีที่แล้ว +1

    Chukua namba zangu hapo dhen nitafute by mwezi wa 12 nikupe hata mtaji aseee majanaba ili family urudishe home hapo.

  • @manchestercitybettartv5922
    @manchestercitybettartv5922 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwan ii dunia ni yetu muogope mungu we kideraaa

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 3 ปีที่แล้ว +2

    Big up R chuga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @badboy2577
    @badboy2577 3 ปีที่แล้ว +1

    King Kiba for life

  • @salvatorypolicarp7927
    @salvatorypolicarp7927 3 ปีที่แล้ว +1

    Arusha ni kama ka Independent State hapa Tz

  • @brunobaragomwa5611
    @brunobaragomwa5611 3 ปีที่แล้ว +3

    We kidela 😂😂😂😂😂
    Nimecheka sana

  • @faridaabdallah3913
    @faridaabdallah3913 3 ปีที่แล้ว +4

    Aiseee alikiba inabidii ununue radio 😁😁😁

    • @mengethedon7359
      @mengethedon7359 3 ปีที่แล้ว +1

      Hhhhhhhh ameimba ukamaliza kwa kusema kawaida muogope mungu we kidela

  • @nassibmasoud3406
    @nassibmasoud3406 3 ปีที่แล้ว +2

    Da Nimeirejea Mara 3
    hahahahaa Unyago wa kima

  • @d.shotit7855
    @d.shotit7855 3 ปีที่แล้ว +3

    “Daresalade” 😂😂

  • @aoman5214
    @aoman5214 3 ปีที่แล้ว +1

    Jaman Arusha huwa kuna nini daaaah nimechek Hadi machoz wallah Kaka hatar

  • @flambeauxducentre5758
    @flambeauxducentre5758 3 ปีที่แล้ว

    Uyu jamaha uwaga namu kubali sana kabisa mupaka muna nifanya niwe Na tizama Ayo tv

  • @athumanijuma1475
    @athumanijuma1475 3 ปีที่แล้ว

    Pig keleleee kwa king 🤴 kibaaa wanamkubal mpak wauni respects kak kubwa✊