This is the big love n something you don't know about Arusha sisi sio wakorofi bali ni watu ambao hatuvumilii uonevu sasa tunapo react wanaona sisi wababe mliofasaidia nawapongeza sana kazi kubwa
Majanaba ni mpole sana hapendi ugomvi mtu alimchokoza na hakuweza kuvumilia ni kawaida ya watu wapole watu huwachokoza makusudi ili wafanye jambo ili waonekane wakorofi yamenitokea mimi ni mpole sana watu huwa wananichokoza lakini mimi wakinichokoza sifanyi lolote nawaacha jinsi walivyo
Kama niupendo mama Wawatu umemvunja taya leo yuko ndani unajua analisha vip watoto wake na hio kusema ulipigwa ni uongo hakuna alie kupiga wea ulikua unagombana na na mvuta bangi mwenzio kisa demu wako
Proud to be a Chugamaican!
A town forever!
United States of Arusha forever! #USA
Love you mama markuba! #OG sana
❤❤❤Big up Mama❤❤❤
Ume2kumbusha Kupunguza Hasira kwa kujali kwako ila pia Mitungi sio poa maana ndio sababu ya hayo majanga.
Fido ana ubinadam sana
Fido katisha sana 💪
Big up sn fido vato.hiyo ndio hip hop kaka..god bless you..👊
Big up fido bro
Auna baya jamn m/mungu akulinde sana
May God Bless Aslam Topiwalla!!!
This is the big love n something you don't know about Arusha sisi sio wakorofi bali ni watu ambao hatuvumilii uonevu sasa tunapo react wanaona sisi wababe mliofasaidia nawapongeza sana kazi kubwa
Sas unahisi nisifia kujisifia ujinga,akili zako bn
😂😂😂 malkuba bhana
Yaan unaweza cheka kama mazuri yaaan!! Pole sanaaa mkuu!!
dah hata mm nilicheka
umetisha fido muhim kushikana mikono kwa kila jambo
Aseeeh markuba ubarikiwe❤
Big up Fido bro...❤❤❤
Fido upo vizur sana mkuu
Nomaaa majanabaa
Markuba anaongeaga kiungwana sanaa
Respect sana Fido
Ni kweli ni mchekeshaji toka tumesoma naye Kalole primary school
Fido brooo
Kumbe haijaimba chuga kama wimbo TU kumbe chuga ipo moyoni pamoja na Wana chuga wenzako barikiwa sanaaaaaaaaaaaaa
Dah markuba.majanaba umechekesha
Mama anafuraha juu tu wamekukata nywele nyau wewe😅😅😅😅
Big up sana fido
Pole bro, umekunywa kitu ya kuamsha mashetanii?
#MajanabaBackAgain 😅
Let’s love lead us❤
Dah life
Hiyo siku ulikuwa hujala
Majanaba ni mpole sana hapendi ugomvi mtu alimchokoza na hakuweza kuvumilia ni kawaida ya watu wapole watu huwachokoza makusudi ili wafanye jambo ili waonekane wakorofi yamenitokea mimi ni mpole sana watu huwa wananichokoza lakini mimi wakinichokoza sifanyi lolote nawaacha jinsi walivyo
Hahahaa malkuba huyu bhna daaa😂😂😂😂
Kwa hio mmechanga 20 wote duhhh
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nice mnyama mkali fido ✌🏻
Fidooo salute kwakooooo chaliii anguuuu
Marakuba hama kule unapokaa Asee mama yukosawaa sana. Afu cuba unazinguaa Asee brooo unajua mpkaa sema nini Acha Unyani bwanaa. Wewe fundi afu uzii mwingii wewe sio wakujitafuta Ulisha jopata sema nini wale makapurwa wayeme fanya kazii mkuu wewe tajiri sio mfanya usafi. Najua kazi yako kaka Vato katisha sana hapoo ubinadamu mbelee safi sana kaka mkubwaa . Ajili 😂😂😂
#MarkubaUraianiTena 💥💯
Kama niupendo mama Wawatu umemvunja taya leo yuko ndani unajua analisha vip watoto wake na hio kusema ulipigwa ni uongo hakuna alie kupiga wea ulikua unagombana na na mvuta bangi mwenzio kisa demu wako
Wacha sasa siungeenda mahakamani tu ukatoe ushaidi sasa ila wabongo bn😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@@salomeemmanuel9059 nenda wew kama huna kazi
Pole sana bro
Fido nakubali
BIG UP BRO VATO
Big fido mpe hii abuu hapo. Namuona
Mama mzuri sana hii sura markuba kapata wapi sasa
😂😂😂labda kwababa ake
😂
Hana surambaya ila ukizidisha maulevi mabaya Sura inakua km mnyama vile
Baba ake
,,,,😂😂😂😂jamani
Tanzania Kila mtu msanii 😡
This is real love
🤣🤣🤣🤣 malkuba bhna
Fido alivoskia OB kachekaaa, fiiiiiidooooooooooo niaje mwana
😂 OB NDO WAPI
Sasa marucuba mara anaishi kwenye vibanda vibovu vibovu kumbe home poa punguza uhuni bana
😂😂😂😂 wakishua tu kumbe
Pale Kwa wazazi SI KWAKE ndugu yangu
😂😂😂
Fido.vato.naaminia
Fido Fanya naye ngoma majanaba
Fido anachekea chini
markubwa polee
Dah nywele zilikosa nn Sasa..
Fido vato kitoto chako kizuri
Fido vatoo
Fido mbunge wa Chuga
Mpk OB
fido vato mwamba
🤣🤣🤣🤣 bora uarestiwe kuliko utusuliwe na raiaaa
Ni kutunguliwa😂😂
Walijichanga wskatoa rushwa ise polisi wa bongo hatari
Polisi walifanya makosa kutokumjua markuba maana hapo sasa wameshamta miguu yake maana nywele alimuharibia sana
Kwani yeye ninani ata police wamjue ,yeyote mwenye kufanya kosa lazima sheria ifuate
Obey the law always you will be safe
Wachana na huo mjina wa uchafu!
Fido yupo vizuri sana, basi tu amezaliwa nchi ya wajinga wengi
Dingi ake ni mhindi
mwamba mkwel
😂😂😂oh lalala
Fido anambavu...