VILIO TENA! VIJANA WALIOPOTEA TEMEKE WAFIKIA 4 - MOCHWARI na POLISI HAWAPO - WAZAZI WALIA KUWATAFUTA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
  • VILIO TENA! VIJANA WALIOPOTEA TEMEKE WAFIKIA 4 - MOCHWARI na POLISI HAWAPO - WAZAZI WALIA KUWATAFUTA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 100

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 หลายเดือนก่อน +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 3 หลายเดือนก่อน +11

    Wazazi tunatakiwa tumuombe sana mungu vizazi vyetu viwe vyenye kutusikiliza kwa kua mtoto wako akiangukia ktk bange panya roood na matukio ya uporaji siku zake zinahesabika.

    • @Rehema-h6t
      @Rehema-h6t 3 หลายเดือนก่อน

      Uko sawa kabisa yani 😢

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 หลายเดือนก่อน +7

    Poleni sana.wazaxi.mnapitia wakatimgumu. Allah awape subra kwawingi inaumasana jamani sasa wamewachukua kuwafanya nini. Basi wapigiwesm mapolic wahuko kilwa.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 3 หลายเดือนก่อน +9

    Kama ni wezi... Basi hiyo itakuwa kimya kimya!!

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 3 หลายเดือนก่อน +8

    Temeke mh kunatisha mana wanaowachukua sio machiz wanakua wameshafanya upelelez kuhusu wao mana kuna kijana aliuliewa kwa visu wakamuibia cmu yke pia alikua ni mwanafunz mm km mzaz naomba kama walikua watt wema bas mungu awape ulinz walud salama ila km ni wasababishaj matukio ya kuua kupora bas lolote liwakute

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 3 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana aisee

  • @JamesSichimata-w1u
    @JamesSichimata-w1u 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kwa sura ya huyo kijana kwenye picha duh

    • @DaheerK
      @DaheerK 3 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo asimtafute kwakuwa alikuwa mwizi

    • @abelmwakipesile9868
      @abelmwakipesile9868 3 หลายเดือนก่อน

      Wakwako ata akiweje utamtafuta maana ni wako​@@DaheerK

    • @madinasilima6925
      @madinasilima6925 3 หลายเดือนก่อน

      🎉Allah akupeni subra inshaallah duwa kwa wingi na inshaallah watoto wenu watarudi inshaallah kuweni na amani mtangulizeni Allah mele yeye ndio kila kitu

    • @Rehema-h6t
      @Rehema-h6t 3 หลายเดือนก่อน

      Nini kime hapeny jaman 😂😂

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 3 หลายเดือนก่อน +5

    Sura za marijuana kabisa hizi.😂😂😂😢😢😢

  • @FatmasaidhamesaHamesa
    @FatmasaidhamesaHamesa 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mama zeto wapata chida kweli mungu awape subra

  • @latifamubba100
    @latifamubba100 3 หลายเดือนก่อน +3

    Poleni San viatu vyenu vinaban San mungu nilindie watt wangu mie

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mlidhani chalamila anawatania

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh 😢

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 3 หลายเดือนก่อน +9

    Sura inaonekana kabisa hawa ni wezi siku hz wakichukuliwa hawarud sahauni

    • @latifamubba100
      @latifamubba100 3 หลายเดือนก่อน +2

      Wangekuwa wanao ungesaau kilais

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 3 หลายเดือนก่อน +2

      Huyo wa mwisho hiyo sura ngumu hata bangi anavuta

    • @Officialjidaa-sn9cs
      @Officialjidaa-sn9cs 3 หลายเดือนก่อน

      Acha kusema ivo ndugu ​@@philemonmagesa5548

    • @charlesmugisha6529
      @charlesmugisha6529 3 หลายเดือนก่อน +1

      Msiwaukumu watu kwa sura zao sio vizuri.unakuta ata bangi na wizi hawatumii kabisa.

    • @samwa9496
      @samwa9496 3 หลายเดือนก่อน

      Sura ya mtu isiwe tishio hata Remi Ongala alikuwa na surab.mbovu

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 3 หลายเดือนก่อน +8

    Km niwadokozi. Ndoimetoka. Hvy hameshawauwa kunavijana HK kwetu walipotea 3 mpk Leo nwaka 8

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 3 หลายเดือนก่อน

      Duh mwaka wa nane?

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 3 หลายเดือนก่อน

      Wazazi tyonye wanetu waache udokozi hakuna wa kulaumiwa zaidi ya wazazi

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 3 หลายเดือนก่อน +8

    Watoto mapanya unafikiri watakuwa wapi

    • @chemstry409
      @chemstry409 3 หลายเดือนก่อน

      Excuse me??

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 หลายเดือนก่อน +8

    watoto wenu pengne Niwezi semeni ukweli mana bila shaka Nanyinyi mnajua kwamba watoto wenu Niwezi wanaumiza wengne kazi ya police wakiona mhalifu amekua sugu bx inatakiwa wafanye mpango hao wahalifu wasirudie tena iwe mwisho kabx inauma kweli ila tulieni kama sio wezi pengne wamesafili

    • @DaheerK
      @DaheerK 3 หลายเดือนก่อน +3

      Ata km wakiwa wez mzazi ni mzazi uwez kukosa kumlilia mtoto wako

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 หลายเดือนก่อน

      Hayo kweli ni mawazo ya kiscopion, sishangai!

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 3 หลายเดือนก่อน

      Hata kama wez wawapele polic wabakaji wanawabaka watoto wadogo wanapelekwa polic wanatoka

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 3 หลายเดือนก่อน +1

      mahakamani kufanya Nini kama Niwezi wapotee kabx

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hata wakiwa ni wezi kweli wtt wetu wana tabia ambazo hata mzazi uzijui sura si tatizo wapo watt wapole ukija juwa anayoyafanya mzazi uwezi.kuamini cha.singi ni kusali.kumuomba Mungu..na.mzazi lazima alie uchungu watt acheni mambo mengi mtatuuwa wazazi wenu Mungu aweke mkono wake jamani aisee vijana wa Sasa Mungu awasahidie na.malezi ayana ujuzi tusali sana wtt wa.kiume wengi wao ni mwiba yaan uwiiii polisi kwakweli wana kazi.kubwa.mnoo na.kizazi cha Sasa ni ahidaa

  • @khadijauvuruge9700
    @khadijauvuruge9700 3 หลายเดือนก่อน +4

    Namashaka hii kamata kamata inachangiwa na kifo cha yule mwanafunzi alieuliwa sababu ya cm tuu akatolewa roho yake maskini

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mnalea wezi mkiambiwa mnakua wakali mnaletewa vitu walivyo ibia watu mnakula mnajifaya hamuelewi leo mnalia lia

    • @meckiphasonmorewa2944
      @meckiphasonmorewa2944 3 หลายเดือนก่อน +2

      Ata kama mtu ni mwizi Si anapelekwa mahakamani...au sheria ya Tanzania inaruhusu mtu kupotezwa

    • @RidhiwaniMrisho
      @RidhiwaniMrisho 3 หลายเดือนก่อน

      Omba yasi kukute

    • @Rehema-h6t
      @Rehema-h6t 3 หลายเดือนก่อน

      Ayiii 😂

    • @DeejDullah
      @DeejDullah 3 หลายเดือนก่อน +1

      Usiwe mtu wa kuhukumu mzee sura sio roho

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@meckiphasonmorewa2944kwani wao walivyoua mwanafunzi waliruhusiwa

  • @AholeLifilima
    @AholeLifilima 3 หลายเดือนก่อน +7

    Mitoto mijizi iyoo mbona inaereweka na ukitaka kujua ubaya wa mwizi kutana nae kuku ua kukulawiti kukubaka sio shida zao

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 3 หลายเดือนก่อน

      Unauhakika uyasemayo?

    • @SihabaAbdallah-li6dx
      @SihabaAbdallah-li6dx 3 หลายเดือนก่อน

      Subiri kw uwezo wamungu yakufike huna haya kumwambia mtoto wamwezio mwiz kua na sura ngumu ndo kua mwizi au

    • @AholeLifilima
      @AholeLifilima 3 หลายเดือนก่อน

      @@SihabaAbdallah-li6dx haya una wewe ulikuja ku replying kwenye comments ilo dua la kuku alimpati mwewe ushukuru TCRA Kenge

    • @AholeLifilima
      @AholeLifilima 3 หลายเดือนก่อน

      @@SihabaAbdallah-li6dx sikiliza stoli kwa umakini soma na comments za watu wengine mbona unaerewa kabisa sio unakurupuka unaniletea makasiliko mimi hii nchi huru bwana watu kutoa mawazo yetu ili mradi usivunje sheria

    • @SihabaAbdallah-li6dx
      @SihabaAbdallah-li6dx 2 หลายเดือนก่อน

      @@AholeLifilima KWANI we uss ema Nini hemm nenda kajifunze kusoma ten kidog😂

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi tafuta na wababa wa hao vijana uwahoji! Maana mtoto mbovu ni mzigo Kwa mama na mtoto mwerevu ni sifa kwa baba

  • @aggysammy6756
    @aggysammy6756 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo maeneo Temeke Mikoroshini kuna mtoto wa kidato cha tatu kauliwa kwa kuchomwa visu,aliporwa simu wakamchoma visu mpaka akafariki... Mungu awape subra wazazi hao watoto wenu wasiwe wanahusika kwenye hilo tukio

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 3 หลายเดือนก่อน +5

    Msijue kulialia mjue na kuwalea watoto vzr maana wizi upanyarod umewatawala

    • @rajabuidd45
      @rajabuidd45 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe usimalize maneno kama haujazaaa

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 3 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuuh

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu nilindie kizazi changu

  • @navioma4882
    @navioma4882 3 หลายเดือนก่อน

    Hiii nchiii jamani😢😢😢😢😢

  • @claudiangowi9628
    @claudiangowi9628 3 หลายเดือนก่อน

    Temeke watoto 3 wamebakwa na wameuwawa, temeke vijana wamepotea Mungu Saidia Tanzania yangu 😢😢

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania jamani mbaka naogopa machozo haya.mungu awafute machozo.watapatikana,vijana hawa

  • @alu_tz1
    @alu_tz1 3 หลายเดือนก่อน

    Hatujajua kwanini wanatuulia watoto wetu hii ni serikali ndio inatufanyia hivi hata Mimi nimepotelewa na mdogo wetu hatujui haripo mbaka leo hatujajua wanampango gani na sisi hata ukishtaki Hakuna hata hushilikiano😭😭😭

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 3 หลายเดือนก่อน +3

    Sema temeke nako daah

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mm wazazi wanapata wakati mgumu basi tuuuu 1:14 1:17

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 3 หลายเดือนก่อน +1

    Weeeh sini watu wanaojielewa kwaio Kuna kitu inaendelea chini ya maji .

  • @IssaKigwanya
    @IssaKigwanya 3 หลายเดือนก่อน

    Shida tusiongee tukamaliza maneno tumuombe mungu atujalie watoto wanaokuwa na hofu ya mungu wazazi wanajua tabia ya watoto wao sema kibaya chako emungu tujalie watoto wema

  • @HASSANJUMAKIMARO
    @HASSANJUMAKIMARO 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ibada,ibada wapendwa acheni mambo ya kidunia lieni na MUNGU yeye ndiyo kila kitu siyo ukiwa na shida ndiyo unakumbuka MUNGU yupo unakuwa unakosea kwa kweli.

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 3 หลายเดือนก่อน

    Wazazi tunawapenda wanetu sana ila wakifikia umli wa myaka 15,18,20 apo watoto wanapotoka nyumbani huwa wanakuaga na mazingira mengine tupende kufatilia myenendo yao, tusiwaache tu kunamakundi huwa wanapitia kwenye makuzi yao, maana ukiangalia walipo kamatiwa kulikuwa na watu kibao ila wakachukuliwa wao tu, hii inatakiwa wachunguze kwa maragiki zao wakaribu wajuwe historia yao ya nje ya nyumbani.

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 3 หลายเดือนก่อน

    kiu ya mama kupata mtoto mwawenye kumjua Mungu tuwaonee huruma wazazi wanaopata mitihani ya watoto wao

  • @TatoTato-t7s
    @TatoTato-t7s 3 หลายเดือนก่อน

    Hata kama wamikosea simungewapeka polic tuu nakwenda maakamani bac wazazi wanajua watoto wapo polic

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 หลายเดือนก่อน

    Naona mnapotezewa muda kidogo mpooze hasira mwishowe mtaambiwa mkazichukue maiti zenu serekali haina muda na vijana wadokozi hata kidogo😢

  • @leilayathumani2295
    @leilayathumani2295 3 หลายเดือนก่อน

    Ushaur wangu kwao wajarbu kwenda mochwar ya muhimbili na ile hospital ya keko na wazdishe maombi naumia mno mimi wa kwangu nilimkuta mochwar ya muhimbili na alikua anaanza kuoza

  • @EdwardOkemba
    @EdwardOkemba 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa vijana waliwatenda kosa gani

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 3 หลายเดือนก่อน

    Wazazi mwende kwa Nabii kiboko ya wachawi Buza tumieni imani nendeni Buza kwa Nabii kiboko ya wachawi mutapata mafanyikio

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 3 หลายเดือนก่อน +4

      Huyo kiboko ya wachawi mpk akupe mimba ndio utajua km ni tapel mwiz tuu mshatekwa ufaham hamjielew😂😂😂

    • @mwaget0815
      @mwaget0815 3 หลายเดือนก่อน

      Hao wameshapotezwa. Wanasumbua sana mtaa. Panyarodi kukata watu kwa visu na silaha kali, kupora kubaka. serekali inafanya kazi yake..

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna mwingine hapa petu makangarawe ana mwezi sasa tumeshaenda mochwari zote hayupo magerezani hayupo

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 3 หลายเดือนก่อน

    Hapaliki wala Hapalaliki kwa kweli.

  • @MariamKileo-mu8rv
    @MariamKileo-mu8rv 3 หลายเดือนก่อน

    Yaan sasa hv wanakiachia wauwaji watekaji kwa magufuli walikua wanaogopa ila sasa hvi hawawaz kabisa polis shida yaan cjui tufanyeje duh mungu tusaidie na saidie familia yangu peke angu cwez ila ni wewe tu ulie juu ndie muweza wa yote simama kwa familia yangu na watt wangu kwa ujumla

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 3 หลายเดือนก่อน

    MUNGU AINGILIE KATI JAMBO JILO

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wameshauliwa hao ndio polisi yetu inavyofanya kazi yao sasa, mahakamani hakuna tena, wanapigwa risasi ndio hukumu

  • @rajabuidd45
    @rajabuidd45 3 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo kama ni wezi ndio wawauwe kwa kuwapoteza siwangefata sheria na utaratibu wa nchi.....

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢 inaumiza jamani. .hawawatu wasiyojulikani.nimtihani tz sijuiwi wanatokea wapi Mungu tuhurumie wafichue.haowatu kwauwezowako. Najaalia watoto wapatekane wakiwawazima yaraby

    • @AminahChaupole
      @AminahChaupole 3 หลายเดือนก่อน

      Achatu my sister kapotelewa namwanae j2 mbagala kapatikana j3 amekufa kabakwa kapasuliwa tumbo vitu vyandan yatumbo hamna chaajabu kapatikania jirani2 namaeneo yanyumban jana ndy timezika 😭😭😭😭😭😭inasikitisha sana mtoto wa miaka5 kakosa nn 😭😭😭

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 3 หลายเดือนก่อน

      @@AminahChaupole Subuhanallah. Yaraby. ,inalillahi wainailahi rajuun .huwoniunyamawa haliyajuu. Jamani sshapohatawakumkatata unashindwa mtuujuininani. Pengine.hatokimbali mualifu.....polenisana Allah awapesubra naatawali0ia.lnshaallah

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 หลายเดือนก่อน

    mhhh mbona huyo Kelvin anaonekana kabisa ni mvuta bange tu hata sura yake

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m 3 หลายเดือนก่อน

    Ccm oyeeeee

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 3 หลายเดือนก่อน

    Wanakwapua simu na mikoba ya watu, nanyi ni zamu yenu Julia wengine tunalilia Mali zetu ziliporwa. Waleeni vizuri na funikeni mabega yenu.

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania tanzania sisisote niwa Safili tutapita kwanini mnageuka mamba nakuraana nyinyi mtaliwananani? Jiulizeni tabia hizo nizakichawi

  • @AminahChaupole
    @AminahChaupole 3 หลายเดือนก่อน

    Wandugu yetu alipotea jumapili kapatikana j3 amekufa kabakwa kapasuliwa tumbo vitu vyandan yatumbo hamna 😭😭😭😭😭 mtoto wa miaka5

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kama ni majambazi acha wapotee maana wanatuchoma visu usiku mnaona Raha tu kulia Lia pengine nyie wazazi mnajua watoto wenu sio watu wazuri kwa binadamu wenzao kwa hayo macho ya mzee wa Simba sio poa poleni ila mwizi sio mtu mzr

    • @aishathkalugira3296
      @aishathkalugira3296 3 หลายเดือนก่อน

      Akipotea ndugu yako ndo utajua kama ni jambazi ama laaah

    • @DeejDullah
      @DeejDullah 3 หลายเดือนก่อน

      Unajua tofauti ya jambazi mdokozi?

  • @saidismailgatalya8174
    @saidismailgatalya8174 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona wanaolalamika na kuhangaika ni wamama tu,hao vijana walikuwa hawana baba zao?

    • @StevenGiven
      @StevenGiven 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 3 หลายเดือนก่อน

    Siku hizi mtoto akiwa ni mhalifu sugu ni kimyakimya!!

  • @leilayathumani2295
    @leilayathumani2295 3 หลายเดือนก่อน

    Viongoz wa police watakupa Iman nenden muhimbili omba maiti za police mtaonyeshwa afu Hawa watoto wetu Kuna matukio wanafanya Bila xx wazaz kujua

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 3 หลายเดือนก่อน

    Halafu majizi mnaita watoto mijitu mizima!

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 2 หลายเดือนก่อน

      Chalamila alishawambia kila mzazi achunge mwanae

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 3 หลายเดือนก่อน

    Hilo limama limevaa ccm hovyo kabisa