VILIO TENA! VIJANA WALIOPOTEA TEMEKE WAFIKIA 4 - MOCHWARI na POLISI HAWAPO - WAZAZI WALIA KUWATAFUTA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- VILIO TENA! VIJANA WALIOPOTEA TEMEKE WAFIKIA 4 - MOCHWARI na POLISI HAWAPO - WAZAZI WALIA KUWATAFUTA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Wazazi tunatakiwa tumuombe sana mungu vizazi vyetu viwe vyenye kutusikiliza kwa kua mtoto wako akiangukia ktk bange panya roood na matukio ya uporaji siku zake zinahesabika.
Uko sawa kabisa yani 😢
Poleni sana.wazaxi.mnapitia wakatimgumu. Allah awape subra kwawingi inaumasana jamani sasa wamewachukua kuwafanya nini. Basi wapigiwesm mapolic wahuko kilwa.
Kama ni wezi... Basi hiyo itakuwa kimya kimya!!
Temeke mh kunatisha mana wanaowachukua sio machiz wanakua wameshafanya upelelez kuhusu wao mana kuna kijana aliuliewa kwa visu wakamuibia cmu yke pia alikua ni mwanafunz mm km mzaz naomba kama walikua watt wema bas mungu awape ulinz walud salama ila km ni wasababishaj matukio ya kuua kupora bas lolote liwakute
Poleni sana aisee
Kwa sura ya huyo kijana kwenye picha duh
Kwaiyo asimtafute kwakuwa alikuwa mwizi
Wakwako ata akiweje utamtafuta maana ni wako@@DaheerK
🎉Allah akupeni subra inshaallah duwa kwa wingi na inshaallah watoto wenu watarudi inshaallah kuweni na amani mtangulizeni Allah mele yeye ndio kila kitu
Nini kime hapeny jaman 😂😂
Sura za marijuana kabisa hizi.😂😂😂😢😢😢
Mama zeto wapata chida kweli mungu awape subra
Poleni San viatu vyenu vinaban San mungu nilindie watt wangu mie
Mlidhani chalamila anawatania
Mmmh 😢
Sura inaonekana kabisa hawa ni wezi siku hz wakichukuliwa hawarud sahauni
Wangekuwa wanao ungesaau kilais
Huyo wa mwisho hiyo sura ngumu hata bangi anavuta
Acha kusema ivo ndugu @@philemonmagesa5548
Msiwaukumu watu kwa sura zao sio vizuri.unakuta ata bangi na wizi hawatumii kabisa.
Sura ya mtu isiwe tishio hata Remi Ongala alikuwa na surab.mbovu
Km niwadokozi. Ndoimetoka. Hvy hameshawauwa kunavijana HK kwetu walipotea 3 mpk Leo nwaka 8
Duh mwaka wa nane?
Wazazi tyonye wanetu waache udokozi hakuna wa kulaumiwa zaidi ya wazazi
Watoto mapanya unafikiri watakuwa wapi
Excuse me??
watoto wenu pengne Niwezi semeni ukweli mana bila shaka Nanyinyi mnajua kwamba watoto wenu Niwezi wanaumiza wengne kazi ya police wakiona mhalifu amekua sugu bx inatakiwa wafanye mpango hao wahalifu wasirudie tena iwe mwisho kabx inauma kweli ila tulieni kama sio wezi pengne wamesafili
Ata km wakiwa wez mzazi ni mzazi uwez kukosa kumlilia mtoto wako
Hayo kweli ni mawazo ya kiscopion, sishangai!
Hata kama wez wawapele polic wabakaji wanawabaka watoto wadogo wanapelekwa polic wanatoka
mahakamani kufanya Nini kama Niwezi wapotee kabx
Hata wakiwa ni wezi kweli wtt wetu wana tabia ambazo hata mzazi uzijui sura si tatizo wapo watt wapole ukija juwa anayoyafanya mzazi uwezi.kuamini cha.singi ni kusali.kumuomba Mungu..na.mzazi lazima alie uchungu watt acheni mambo mengi mtatuuwa wazazi wenu Mungu aweke mkono wake jamani aisee vijana wa Sasa Mungu awasahidie na.malezi ayana ujuzi tusali sana wtt wa.kiume wengi wao ni mwiba yaan uwiiii polisi kwakweli wana kazi.kubwa.mnoo na.kizazi cha Sasa ni ahidaa
Namashaka hii kamata kamata inachangiwa na kifo cha yule mwanafunzi alieuliwa sababu ya cm tuu akatolewa roho yake maskini
Mnalea wezi mkiambiwa mnakua wakali mnaletewa vitu walivyo ibia watu mnakula mnajifaya hamuelewi leo mnalia lia
Ata kama mtu ni mwizi Si anapelekwa mahakamani...au sheria ya Tanzania inaruhusu mtu kupotezwa
Omba yasi kukute
Ayiii 😂
Usiwe mtu wa kuhukumu mzee sura sio roho
@@meckiphasonmorewa2944kwani wao walivyoua mwanafunzi waliruhusiwa
Mitoto mijizi iyoo mbona inaereweka na ukitaka kujua ubaya wa mwizi kutana nae kuku ua kukulawiti kukubaka sio shida zao
Unauhakika uyasemayo?
Subiri kw uwezo wamungu yakufike huna haya kumwambia mtoto wamwezio mwiz kua na sura ngumu ndo kua mwizi au
@@SihabaAbdallah-li6dx haya una wewe ulikuja ku replying kwenye comments ilo dua la kuku alimpati mwewe ushukuru TCRA Kenge
@@SihabaAbdallah-li6dx sikiliza stoli kwa umakini soma na comments za watu wengine mbona unaerewa kabisa sio unakurupuka unaniletea makasiliko mimi hii nchi huru bwana watu kutoa mawazo yetu ili mradi usivunje sheria
@@AholeLifilima KWANI we uss ema Nini hemm nenda kajifunze kusoma ten kidog😂
Mwandishi tafuta na wababa wa hao vijana uwahoji! Maana mtoto mbovu ni mzigo Kwa mama na mtoto mwerevu ni sifa kwa baba
Hayo maeneo Temeke Mikoroshini kuna mtoto wa kidato cha tatu kauliwa kwa kuchomwa visu,aliporwa simu wakamchoma visu mpaka akafariki... Mungu awape subra wazazi hao watoto wenu wasiwe wanahusika kwenye hilo tukio
Msijue kulialia mjue na kuwalea watoto vzr maana wizi upanyarod umewatawala
Wewe usimalize maneno kama haujazaaa
Duuuuh
Mungu nilindie kizazi changu
Hiii nchiii jamani😢😢😢😢😢
Temeke watoto 3 wamebakwa na wameuwawa, temeke vijana wamepotea Mungu Saidia Tanzania yangu 😢😢
Tanzania jamani mbaka naogopa machozo haya.mungu awafute machozo.watapatikana,vijana hawa
Hatujajua kwanini wanatuulia watoto wetu hii ni serikali ndio inatufanyia hivi hata Mimi nimepotelewa na mdogo wetu hatujui haripo mbaka leo hatujajua wanampango gani na sisi hata ukishtaki Hakuna hata hushilikiano😭😭😭
Sema temeke nako daah
Mm wazazi wanapata wakati mgumu basi tuuuu 1:14 1:17
Weeeh sini watu wanaojielewa kwaio Kuna kitu inaendelea chini ya maji .
Shida tusiongee tukamaliza maneno tumuombe mungu atujalie watoto wanaokuwa na hofu ya mungu wazazi wanajua tabia ya watoto wao sema kibaya chako emungu tujalie watoto wema
Ibada,ibada wapendwa acheni mambo ya kidunia lieni na MUNGU yeye ndiyo kila kitu siyo ukiwa na shida ndiyo unakumbuka MUNGU yupo unakuwa unakosea kwa kweli.
Wazazi tunawapenda wanetu sana ila wakifikia umli wa myaka 15,18,20 apo watoto wanapotoka nyumbani huwa wanakuaga na mazingira mengine tupende kufatilia myenendo yao, tusiwaache tu kunamakundi huwa wanapitia kwenye makuzi yao, maana ukiangalia walipo kamatiwa kulikuwa na watu kibao ila wakachukuliwa wao tu, hii inatakiwa wachunguze kwa maragiki zao wakaribu wajuwe historia yao ya nje ya nyumbani.
kiu ya mama kupata mtoto mwawenye kumjua Mungu tuwaonee huruma wazazi wanaopata mitihani ya watoto wao
Hata kama wamikosea simungewapeka polic tuu nakwenda maakamani bac wazazi wanajua watoto wapo polic
Naona mnapotezewa muda kidogo mpooze hasira mwishowe mtaambiwa mkazichukue maiti zenu serekali haina muda na vijana wadokozi hata kidogo😢
Ushaur wangu kwao wajarbu kwenda mochwar ya muhimbili na ile hospital ya keko na wazdishe maombi naumia mno mimi wa kwangu nilimkuta mochwar ya muhimbili na alikua anaanza kuoza
Hawa vijana waliwatenda kosa gani
Wazazi mwende kwa Nabii kiboko ya wachawi Buza tumieni imani nendeni Buza kwa Nabii kiboko ya wachawi mutapata mafanyikio
Huyo kiboko ya wachawi mpk akupe mimba ndio utajua km ni tapel mwiz tuu mshatekwa ufaham hamjielew😂😂😂
Hao wameshapotezwa. Wanasumbua sana mtaa. Panyarodi kukata watu kwa visu na silaha kali, kupora kubaka. serekali inafanya kazi yake..
Kuna mwingine hapa petu makangarawe ana mwezi sasa tumeshaenda mochwari zote hayupo magerezani hayupo
Hapaliki wala Hapalaliki kwa kweli.
Yaan sasa hv wanakiachia wauwaji watekaji kwa magufuli walikua wanaogopa ila sasa hvi hawawaz kabisa polis shida yaan cjui tufanyeje duh mungu tusaidie na saidie familia yangu peke angu cwez ila ni wewe tu ulie juu ndie muweza wa yote simama kwa familia yangu na watt wangu kwa ujumla
MUNGU AINGILIE KATI JAMBO JILO
Wameshauliwa hao ndio polisi yetu inavyofanya kazi yao sasa, mahakamani hakuna tena, wanapigwa risasi ndio hukumu
Kwahiyo kama ni wezi ndio wawauwe kwa kuwapoteza siwangefata sheria na utaratibu wa nchi.....
Point
😢😢😢 inaumiza jamani. .hawawatu wasiyojulikani.nimtihani tz sijuiwi wanatokea wapi Mungu tuhurumie wafichue.haowatu kwauwezowako. Najaalia watoto wapatekane wakiwawazima yaraby
Achatu my sister kapotelewa namwanae j2 mbagala kapatikana j3 amekufa kabakwa kapasuliwa tumbo vitu vyandan yatumbo hamna chaajabu kapatikania jirani2 namaeneo yanyumban jana ndy timezika 😭😭😭😭😭😭inasikitisha sana mtoto wa miaka5 kakosa nn 😭😭😭
@@AminahChaupole Subuhanallah. Yaraby. ,inalillahi wainailahi rajuun .huwoniunyamawa haliyajuu. Jamani sshapohatawakumkatata unashindwa mtuujuininani. Pengine.hatokimbali mualifu.....polenisana Allah awapesubra naatawali0ia.lnshaallah
mhhh mbona huyo Kelvin anaonekana kabisa ni mvuta bange tu hata sura yake
Ccm oyeeeee
Wanakwapua simu na mikoba ya watu, nanyi ni zamu yenu Julia wengine tunalilia Mali zetu ziliporwa. Waleeni vizuri na funikeni mabega yenu.
Tanzania tanzania sisisote niwa Safili tutapita kwanini mnageuka mamba nakuraana nyinyi mtaliwananani? Jiulizeni tabia hizo nizakichawi
Wandugu yetu alipotea jumapili kapatikana j3 amekufa kabakwa kapasuliwa tumbo vitu vyandan yatumbo hamna 😭😭😭😭😭 mtoto wa miaka5
Jamani duh wapi huko
Kama ni majambazi acha wapotee maana wanatuchoma visu usiku mnaona Raha tu kulia Lia pengine nyie wazazi mnajua watoto wenu sio watu wazuri kwa binadamu wenzao kwa hayo macho ya mzee wa Simba sio poa poleni ila mwizi sio mtu mzr
Akipotea ndugu yako ndo utajua kama ni jambazi ama laaah
Unajua tofauti ya jambazi mdokozi?
Mbona wanaolalamika na kuhangaika ni wamama tu,hao vijana walikuwa hawana baba zao?
😂😂😂
Siku hizi mtoto akiwa ni mhalifu sugu ni kimyakimya!!
Viongoz wa police watakupa Iman nenden muhimbili omba maiti za police mtaonyeshwa afu Hawa watoto wetu Kuna matukio wanafanya Bila xx wazaz kujua
Halafu majizi mnaita watoto mijitu mizima!
Chalamila alishawambia kila mzazi achunge mwanae
Hilo limama limevaa ccm hovyo kabisa