Huyu ndio mmiliki wa Gugu Beauty Salon, alivyoanza utashangaa, ana wateja balaa! Hii ni siri yake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.com/store/apps/de...
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 35

  • @aminashayo9263
    @aminashayo9263 5 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu dada anajali hata wale walio nyuma yake si wa kawaida ana roho wa Mungu ndani yake, wengine wamebarikiwa ila hawawajali watu wanao wafanyia kazi, be blessed more and more - ameeeen

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 5 หลายเดือนก่อน +5

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ninavyo waza kupambana kufungua kitu changu kumbe nita weza ngoja nikaze

  • @user-ji1bc5ti8r
    @user-ji1bc5ti8r 5 หลายเดือนก่อน +4

    Gugu ni mrembooo alafu anaongea vizuriii
    Mungu azidi kukubariki ktk biashara zako

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ni hivi unapotaka kufanya jambo njema usimwambie kila mtu sio vizuri ya takiwa ufanye kila kitu kwasiri ,nime jifunza mengi kupitia huu dada

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 5 หลายเดือนก่อน +3

    Napenda rafiki yangu awe mwajuma jaman usimuache ata akuuzi vipi nirafikibwa kweli

  • @Norahskitchen
    @Norahskitchen หลายเดือนก่อน

    So inspirational 🎉nimejifunza uthubutu ndo kila kitu Kama unawazo lako kuliko kulifungia ndani we thubutu hujui ni Wazo lipi litakutoa

  • @hellenmwasalwiba6555
    @hellenmwasalwiba6555 หลายเดือนก่อน

    Gugu nakuelewa sana. Mungu akuzidishie

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 5 หลายเดือนก่อน +5

    Nime furaia sana mahojiani yako na uyu dada tena dada ana ongea kweli ya kumfanya mtu asiogope majaribu ata akianguka malangapi

  • @lilyanmongi4545
    @lilyanmongi4545 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hii ndio interview sky m2 anajitafuta mwenyewe anaanzisha biashara kwa hela yake sio biashara ya family au capital kapewa na wazazi

  • @ruthmukami7573
    @ruthmukami7573 5 หลายเดือนก่อน +3

    Very nice interview. Dada have you ever thought of opening a beauty school? Think about it. Just a recommendation. Diversify your brand. You would be great. The sky is the limit.

    • @annajoseph907
      @annajoseph907 5 หลายเดือนก่อน

      thanx dear ila beauty shool ipo dear nimesahau tu kuitaja ni @gugubeauty_trainingcentre

  • @lucybatista2631
    @lucybatista2631 5 หลายเดือนก่อน +1

    Gugu nilijieleza hukunielewa nilipokuwa na matatizo ila yote yalikuwa ya Mungu...ila una roho nzuri. Na pia leo nimekuelewa leo

  • @annekamugisha4194
    @annekamugisha4194 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Anna. Ni muda sahihi kukuona na strategies zako ni kabambe. Hongera sana

  • @lnspirational2
    @lnspirational2 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ooh My God!, wow , price-skimming Strategy… mfano wa kuigwa, big up sana sister, & thank you always Bro kwa kutupa productive Interviews.. Gid bless you 🙏🏾

  • @LilianFelix-my1ew
    @LilianFelix-my1ew หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda iyo naomba kujua hao wadada anawalipa mshahara au wanajilipa wenyewe

  • @deboramsuya2940
    @deboramsuya2940 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli unachesema karibu sana 😊

  • @lnspirational2
    @lnspirational2 5 หลายเดือนก่อน +5

    Njoo UK @gugu beauty utapata sana

    • @annajoseph907
      @annajoseph907 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa dear very soon

    • @lucybatista2631
      @lucybatista2631 5 หลายเดือนก่อน

      Ohooo my dear tunasuka sana ila connection za mbele hatuna tunaomaba msaada wenu

  • @babel4862
    @babel4862 5 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana nimekupenda bure gugu wangu

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 5 หลายเดือนก่อน +1

    Na penda sana sauti ya huu mtangazaji

  • @gladnessfinda7534
    @gladnessfinda7534 5 หลายเดือนก่อน +1

    duuuuuuhhhh waaaaooooh

  • @fatmamayunga6250
    @fatmamayunga6250 2 หลายเดือนก่อน

    nimekupenda bure

  • @rithaalberto7521
    @rithaalberto7521 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hivi hakuna interview ya watu wanaopambana , ila bado hawajajipata? Naona interview nyingi dunia, waliojipata tuu

    • @lucympelembwa7836
      @lucympelembwa7836 5 หลายเดือนก่อน +4

      Wanaleta waliojipata ili tujifunze ,wasio jipata watatuvunja moyo

    • @evergreenmushi2171
      @evergreenmushi2171 5 หลายเดือนก่อน +1

      Utajifunza nini kwa ambao hawajajipata, hao ambao bado hajajipata saiv tutawaona baadae wakijipata

    • @velurakawiche5338
      @velurakawiche5338 4 หลายเดือนก่อน

      Hahaha

  • @user-lv8pu9fn4x
    @user-lv8pu9fn4x 4 หลายเดือนก่อน

    Daah nmekupenda dada gugu naomba namba ako bas

  • @lucybatista2631
    @lucybatista2631 5 หลายเดือนก่อน +1

    By the way ukwel tunavo vyakuelezea ila tu hatuna nafas

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanzo mgumu dah😢

  • @HipHop_2024
    @HipHop_2024 5 หลายเดือนก่อน +2

    Biashara n kuni2ma na kuto kula kula hela hovyo utajikuta kijijin 😂

  • @velurakawiche5338
    @velurakawiche5338 4 หลายเดือนก่อน

    Mwanzo mgumu ila yajayo yanafurahishaaa

  • @guccij6236
    @guccij6236 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna watu wanakojoa pazuri😢

  • @manumeni5057
    @manumeni5057 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dada mbona sauti yke ni kma yule mwenye hu advice jinsi yaku care nywele kwa tiktok na ako na saloon,she might be the one kma sikosei