Eshe Buheti ni mpishi mzuri sana wa viwango vya juu Ila kibiashara shishi yupo vizuri Yani ana brand kubwa zaidi. Wote wako vizuri ila kila mtu kamzidi mwenzie kwenye Jambo fulani. Ni maoni yangu tuu
No no big no kila.mtu hapao anatest yake kwenye upishi wake tofauti ya esha na shishi ni spaice tu shishi hatumii viungo vyingi esha anawrka viungo vingi.so kama unapenda maspices mengi nenda kajilambe kwa.eaha ila kama hupendi kajigalagaze kwa shishi
Esha anajua kupika Sanaa ila category haijamaanisha mpishi imesema catering service of the year na c mfanya biashara bora wa chakula ni mtoa huduma bora 😂
Shilole ni brand kubwa mm nilishawahi kula chakula chake dodoma huyu dada anajua anajua tena ,buhet anapaswa amuheshimu sanaa shishi kwan anadeserve kawekeza sana
Shilole hamshindi esha. Halafu kitu kimoja shishi hana ustarabu kauri zake. Vipi angesema inshallah next time mwenzangu nae atapata. Ndio maana silipendi mimi
Huyo shilole ni mwanasiasa so kwa nchi km hii kila ki2 kipo chini ya viongozi ni ngumu sana kutoboa km unashindanishwa na watu km hao, ukwel sijawah kula kwa yyt kati yao ila nafuatilia sn namna mastaa na wanasiasa wanavyokwenda sana kwa Shishi pia yeye alishajitambulisha kuwa ni chawa wa mama😁 so kushinda ilikuwa lazima tu hata km buheti ni mkali.
Harafu shishi inaonekana waz kabisaaa anapenda ugomvi hakukua na sababu ya yy kuongea yoote hayo why? Mwisho wa siku yatakuja kuwa kama ya sinura. Kwan kulikuwa na haja gn kusema kwa jazba hivyo? Mara kumpikia bwana kweny TV umeyasema maana yake yana muuma si na yy ampikie huyo wake kwan shida ni nn
Yani kuna kupika na kuna kujibrand nimekula kwa shishi na nimekula kwa Isha … mazingira tofauti sana sana shishi kulikuwa kusafi haswa choo … Isha sikupenda mazingira yalikuwa machafu na choo ndio balaaa… unapouza chakula sio utamu wa chakula tu mazingira ya usafi na mvuto ni muhimu sana
@@rosemahenge9071 yani mimi nilichoona insta picha za chakula na nilivyoenda sikuamini haki ya Mungu… mitandao na live vitu tofauti sana sana… kushinda kwa shilole ni muhimu coz watakuwa wameangalia vigezo tofauti. Esha anahitaji maboresho sana sana ili apate iyo Tunzo …chakula kizuri bila usafi ni sawa na bure
Ukweli usemwe kura zipo na tulizihesabu shilole kazidiwa kura na malkia foods na esha iyo tuzo wamepeana na shoga ake bwana,, ,uyo bwana mwenyewe wakumpikia unae??? Mwenzio anampikia bwana na wateja ndo mana uso mpya miguu ya zamani
Kwan imekua vita? Shilole acha dharau basi sijapenda jinsi unavyojibu maswal ,mim sijawah kula chakula ya shish na esha cjui mapishi yenu lkn shilole umeniudhi sana
Hata ktk kura esha buheti kamuzidi shishi ila hata katika mapishi esha buheti zaidi lkn pia esha mfanya biashara 😂😂😂😂😂shilole pale mmetupinga yaani anakura 400 serious
Shishi nikwelikupiga sisi wote tunapiga tuvizuli wewe hataburunditunakuelewa Rwanda pia nibrandi kubwa pia ,ninandoto yakulachakura chako, so nahuyo dada asijali kesho nikwake
Ila ungekuwa unafupisha maneno mengine umeongeya kwazarawu nakumushusha mwenzio mwana mke sio poa hadi wemwenye ikosa umeona umeongeya makashfa mengi hadi unasema wasi posti entaviyu yote . Hata yeye pia niwa Mungu hakuna washetani.mmm nihatari
Sawa tunakubali ww mkubwa unahela mtoe basi baba Yako hapa igunga anazunguka anauza mishikaki kwenye vilabu vya pombe haogi mchafu Yani kwamaneno haya tu nikama Aibu baba huyu hapa naandika namuona anapita jitaidi kutengeneza Nyumbani
Eshe Buheti ni mpishi mzuri sana wa viwango vya juu Ila kibiashara shishi yupo vizuri Yani ana brand kubwa zaidi. Wote wako vizuri ila kila mtu kamzidi mwenzie kwenye Jambo fulani. Ni maoni yangu tuu
Kabsaaa
Esha buheti ndio mpishi mzuri sana naona bado hajajiwekeza na ndio sababu shishi akapewa hiyo tuzo maana amejiwekeza sehemu nyingi
Basi ushasema
Mwanasheria wangu yupo marekani 😅😅😅
No no big no kila.mtu hapao anatest yake kwenye upishi wake tofauti ya esha na shishi ni spaice tu shishi hatumii viungo vyingi esha anawrka viungo vingi.so kama unapenda maspices mengi nenda kajilambe kwa.eaha ila kama hupendi kajigalagaze kwa shishi
Nikweli ila esha anapika sana ila bas
@@Lulucut MAMA WALA ODO HAWAMFAHAMU
Shishi mbad kabisa kwenye hizi kazi hiyo brand kubwa jaman anafanya kazi huyu mama mwacheni❤❤❤
Shishi yupo sahh mim nilikua sijaona. Kama kuna shida
Esha anajua kupika Sanaa ila category haijamaanisha mpishi imesema catering service of the year na c mfanya biashara bora wa chakula ni mtoa huduma bora 😂
Asante kutuelimisha sisi hatukuwa tunalijua hilo
Shilole ni brand kubwa mm nilishawahi kula chakula chake dodoma huyu dada anajua anajua tena ,buhet anapaswa amuheshimu sanaa shishi kwan anadeserve kawekeza sana
Mimi napènda shishi nanikirudi tz nitaenda nafamila yangu shishi nimmoia tu❤❤❤❤❤
Shishi nakupenda sana kwa kazi yako nzuri may❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Shishitipwatipwaaa❤❤❤❤😂😂😂😂mie nampenda anapambana.yy anapikia jamii SIO MUME HAPO SHISHI UMEJIPATAAA😅
Shilole hamshindi esha. Halafu kitu kimoja shishi hana ustarabu kauri zake. Vipi angesema inshallah next time mwenzangu nae atapata. Ndio maana silipendi mimi
Mbona hata hakujui dada😂😂
Mbona hata hakujui we mwenyewe hatukupendi mbona mpishi wako huyo hakusema yeye hayo maneno
Kwani alikuambia anakupenda
Huyo esha akapewe tuzo na mumewe jamn
Shishi food is the best in TANZANIA 🇹🇿
Shishi n mkubwa bana haswa haswa yeye n mfanyabiashara mkubwa.. shishi brand bana achen masiara
Kweli kabisa
Jamani Shilole ameshikilia nchi hakuna mtu wakushindana nae yeye siyo mpishi lkn popote itakapokuwa serikali ye yuppo.., mrs Samia ❤
Shishi anaaminika hadi na RAIS MAMA SAMIA
Mange kimambi kashasema😂
Shishi uko sahihi
Huyo shilole ni mwanasiasa so kwa nchi km hii kila ki2 kipo chini ya viongozi ni ngumu sana kutoboa km unashindanishwa na watu km hao, ukwel sijawah kula kwa yyt kati yao ila nafuatilia sn namna mastaa na wanasiasa wanavyokwenda sana kwa Shishi pia yeye alishajitambulisha kuwa ni chawa wa mama😁 so kushinda ilikuwa lazima tu hata km buheti ni mkali.
😅😅😅😅😅duseme ukweli mimi.ningekua eshe hata kwa hio tuzo nikijiona tu ningewambia wanitoe😅😅😅😅 kupika napo kila mtu anajikubali kimupango wake
Unajulikana duniani sio mbinguni haileti maana ukijulikana mbinguni ni bora zaidi
Harafu shishi inaonekana waz kabisaaa anapenda ugomvi hakukua na sababu ya yy kuongea yoote hayo why? Mwisho wa siku yatakuja kuwa kama ya sinura. Kwan kulikuwa na haja gn kusema kwa jazba hivyo? Mara kumpikia bwana kweny TV umeyasema maana yake yana muuma si na yy ampikie huyo wake kwan shida ni nn
Yani kuna kupika na kuna kujibrand nimekula kwa shishi na nimekula kwa Isha … mazingira tofauti sana sana shishi kulikuwa kusafi haswa choo … Isha sikupenda mazingira yalikuwa machafu na choo ndio balaaa… unapouza chakula sio utamu wa chakula tu mazingira ya usafi na mvuto ni muhimu sana
Niliona Instagram baadhi ya watu walicomment kwa Esha ukiona vyombo tu unashiba nikajua labda ni utimu unawasumbua kumbe kweli mchafu😂😂
@@rosemahenge9071 yani mimi nilichoona insta picha za chakula na nilivyoenda sikuamini haki ya Mungu… mitandao na live vitu tofauti sana sana… kushinda kwa shilole ni muhimu coz watakuwa wameangalia vigezo tofauti. Esha anahitaji maboresho sana sana ili apate iyo Tunzo …chakula kizuri bila usafi ni sawa na bure
Shishi ni jina tuu kubwa lkn msosi mtamu ni eshe bwana
Shishi the best❤
Mbona anikome😂😂😂😂😂
Kuna kazi nzuri na kuna bahati ya mtu...
Haijarishi shilole alifundishwa na esha lakini shishi ana upepo wake wakeetu😂😂
Esha Buhet kakufanyaje' mwache dada wa watu na heshima zake
Safi shishi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ukweli usemwe kura zipo na tulizihesabu shilole kazidiwa kura na malkia foods na esha iyo tuzo wamepeana na shoga ake bwana,, ,uyo bwana mwenyewe wakumpikia unae??? Mwenzio anampikia bwana na wateja ndo mana uso mpya miguu ya zamani
Ebu niache uswahili na ushamba mie naye huku nilipo nanjilinji😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 interview ya shishi kiboko
Shishi🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Eisha nili msikiya, an aongeya fact sana, shishi ana ropoka sana.
Esha anajua kupika kuliko shishi... Ila shishi anajua biashara
Hata mimi nimesema ivoivo
Shishi is the best
Shishi kamaliza kila kitu sio mpishi mfanya bihashara 😊
Umeongea Ukweli shishiii
Kwan imekua vita? Shilole acha dharau basi sijapenda jinsi unavyojibu maswal ,mim sijawah kula chakula ya shish na esha cjui mapishi yenu lkn shilole umeniudhi sana
Shilole na esha ni usingizi na kifo 😅😅😅
Nimekukubali Sana hao ni wanafiki
Tuzo alistahili shishi ila kupika na mengineyo buheti yupo juu mnoo
Hata ktk kura esha buheti kamuzidi shishi ila hata katika mapishi esha buheti zaidi lkn pia esha mfanya biashara 😂😂😂😂😂shilole pale mmetupinga yaani anakura 400 serious
Aaaaaaaah wacha uongo!!!!!
@@BarbaraPatience-qt9cc kahesabu kura si zipo wapi dear 🤣🤣🤣🤣
@@BarbaraPatience-qt9cc pale tumeambiwa tang yupi bora kahesabu 😁
😂😂😂ukweli
Kwenye biashara Esha bado sana usimlinganishe na Shilole
Esha anapika shi shi no😅😅😅😅😅
Jmn shishi ni mwanabiashara hasa...anapambania sana biashara yake mpaka kufungia migahawa...mgala muuwe haki yake MPE
Sauti ka ya Mirad
Shishi anajua na watoto wa 2000 hawajui kupika
Esha bukheti mpishi mzuri chakula chake test huyo ni paruparu sana ndio anaonekana yule mstarabu
Duh hatari sana
Mbon hii saut km si ya shishi
Ili kubalance habari mtafute na Eshe umuhoji
Aya maneno duh 😢😢😢kwhy esha ana mpikia!! bwnaa 😢sijapenda
🤣🤣🤣si ni kweli anaingia Instar live akimpikia mmewe SHISHI yeye anaonyeshaga akipikia kandamnazi
Mbona umekuwa kibiashara na c kwa mpishi bora
Shishi unajua bn we mfanyabiashara umehusle on ur own huyo hela kapewa na mwanaume ya uwekezaji anajifananishaje aache uswahil akampikie mumewe huko
Apo nimesha elewa shishi ana haki ila sasa mashabiki njo wachonganishi
Kasema kweli nimfnya biashara mkubwa sana kwa upnde huu ila kwa kupik esha ni hodari zaid ya shishi😂
Kwahio wale walio comment wamelipwa shishi😂😂😂😂
Shishi acha dharau mbna wewe ulikua unapikia mabwana zako na unatupostia ukweli Esha kakuzid kupika kubali tu
Mmhhhhh mimi napita tyuuuuu
Hata mimi ni mpishi mzuri mwaya najua kumpikia mume wangu tatizo sina brand tu,😂😂
❤❤
Sokwel esha njo wa kwanza kupika mungu yupo
Shishi kastahili anafanya sana biashara
😂😂😂Shilole Bana eti kumupingia bwana esha buheti mzishi siyo tuh bwana kila siku anapost chakula chake ukweli usemwe Ile tuzo mmetupinga
Mmmmmh
😭😭Duh
ungemwambia huyo Dina asikulinganishe na Esha
Hivi huu ana mzidi nini Esha!
@@Sidrasidra636 kila kitu, Branding, customer service, marketing, investment,
Shishi kna shishi
Nimekula chakula chako kizuri lakini kina mchanga 😂
Swishing anastahili
Acheni utoto wa kugombana nyinyi mmeisha kuwa wamama mkifanya hivyo watoto wenu wafanyeje
Siku za mbeleni uko watakuja kupigiana kurjuan😂😂
Shilole hasira za nini 😂😂😂😂😂😂😂
Wanaugomvi hawa
Shishi nikwelikupiga sisi wote tunapiga tuvizuli wewe hataburunditunakuelewa Rwanda pia nibrandi kubwa pia ,ninandoto yakulachakura chako, so nahuyo dada asijali kesho nikwake
Ila ungekuwa unafupisha maneno mengine umeongeya kwazarawu nakumushusha mwenzio mwana mke sio poa hadi wemwenye ikosa umeona umeongeya makashfa mengi hadi unasema wasi posti entaviyu yote . Hata yeye pia niwa Mungu hakuna washetani.mmm nihatari
Shishi😂😂😂😂😂
Sawa tunakubali ww mkubwa unahela mtoe basi baba Yako hapa igunga anazunguka anauza mishikaki kwenye vilabu vya pombe haogi mchafu Yani kwamaneno haya tu nikama Aibu baba huyu hapa naandika namuona anapita jitaidi kutengeneza Nyumbani
Aisee kweli hii?
Mbona kama Shishi kapanik 😂😂😂
Mtu ana matawi na brand ya shishi food ni kubwa atapaniki aje kwa mtu hata tawi moja uwekezaji changa moto
Aliye pank ni hesha 😂😂😂
@@Zuu673 ni Shishi buana anaongea kwa jazba hampi hata Millard Ayo nafasi ya kuuliza na kapendelewa kweli 😂😂
@@ashaabdallah9729 ni maoni yako lkn kwangu kaongea vizuri tu
Esha alifanyaje kwani? Yeye ali panic mbona hajanyamaxa???
Esha anajuwa kupika bhana ww mdomo