MSWAHILI:TIZAMA STAILI YA BIASHARA KWA UIMBAJI"TUMA NA YAKUTOLEA"/KITUMBUA BEI NDO HIYO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 98

  • @kennethkennedy717
    @kennethkennedy717 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyo Mzee watoto wake kama Wana msikia hawatakiwi kucheza katika masomo yao maana huyo Mzee anafanya kazi Ngumu Sana Blessed Sana Baba

  • @ip_header
    @ip_header 3 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana mzee maisha ni kujituma, hiyo rizki ya halali hata Mungu anabariki kazi yako

  • @blackmamba4331
    @blackmamba4331 ปีที่แล้ว

    Mwenyewez Mungu amsaidie mzee wetu ktk maisha yk ya kila cku.

  • @aboukillo1734
    @aboukillo1734 3 ปีที่แล้ว +1

    Ww sio mtangazaji tu(presenter)no ww pia ni mwalimu unaelimisha umma kwa mfano wa huyu mzee kijana na jua wengine watafuata nyayo za mzee kijana kupambana na maisha hongera sana zembwela your very creative big up man

  • @segusaid5442
    @segusaid5442 3 ปีที่แล้ว +11

    Mzee yuko vizuri Mungu ampe rehma zaidi.

  • @stvrestytongora2825
    @stvrestytongora2825 3 ปีที่แล้ว +4

    Ila sio mzee Sana,sema maisha yamemgonga,miaka 50,Kama maisha Ni mazuri baado Sana,hongera kwake kuliko kuiba au kuomba barabarani,yuupo vizuri Mungu amuongezee

  • @samaamin2501
    @samaamin2501 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali baba wa zamani babu wa leo
    Zambwela. Keep up good job

  • @strong8534
    @strong8534 3 ปีที่แล้ว +10

    Hio introduction mbona kali 🔥🔥🔥

  • @ashaa497
    @ashaa497 3 ปีที่แล้ว +2

    Kazi ya hallali kabisa safi sana keep going babu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 3 ปีที่แล้ว +4

    Mzee kiboko viber lake noma 🔥

  • @AliKhamis-zm1ki
    @AliKhamis-zm1ki 7 หลายเดือนก่อน

    Dah chidi nakukubali mzee nipo saudia nakuwakilisha

  • @officialdee1438
    @officialdee1438 3 ปีที่แล้ว +3

    mzee msela sana💥💥

  • @tunuharun116
    @tunuharun116 2 ปีที่แล้ว

    Hongera babu mungu akuzidishie

  • @JMDunia
    @JMDunia 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu azidi kumsimamia Chidi. Anajituma sana. Maisha ni mapambano.

  • @maliharajabu8917
    @maliharajabu8917 3 ปีที่แล้ว +5

    Babu ana akili sanaa.kaachana na mke wake.sababu mke anataka wauze nyumbaaa😊

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwa mtogole babu handsome sana

  • @maliharajabu8917
    @maliharajabu8917 3 ปีที่แล้ว +1

    Babu ana bidii ya kazi.mungu amzidishie🙏

  • @abuwaleed01
    @abuwaleed01 3 ปีที่แล้ว +2

    Yote tisa mzee amepiga miwani moja kali sana. Usela uko damuni

  • @idd5226
    @idd5226 2 ปีที่แล้ว

    Daaah heee kali knomaa

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mtu nitampataje nimsaidie hata Senti mbili tatu..nitafute Facebook , Mr zembwela...jina..Kibabu madevu

  • @dicksonluena3266
    @dicksonluena3266 3 ปีที่แล้ว +4

    Ugali kidali,,,Tayari Mpenzi😂🤣

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 ปีที่แล้ว

    Babu yuko poa mungu ambariki.

  • @amapiaanocityintz6454
    @amapiaanocityintz6454 3 ปีที่แล้ว

    Duuuh mzee noma sana

  • @tariqjase1966
    @tariqjase1966 3 ปีที่แล้ว +1

    Wewe kiswahili chako kibovu kibovu,sema tazama na sio tizama

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 3 ปีที่แล้ว +1

      Wazaramo hao
      Ukielewa inatosha hujasikia anasema VIMIIISHA badala ya VIMEISHA

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 3 ปีที่แล้ว +2

    Leo Babu umepatikana siokwa nyimboizo 🤣🤣🤣

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee M’badi ‘ msela kitambo..!

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 3 ปีที่แล้ว +5

    Yani vitumbua miatatu kwa siku Sawa na elfu 30 kwa siku so kwa mwezi ni laki9 plasi mwaka1 ni milioni KUMI na laki8 duh anapga hela kinoma man wangu

    • @mbesherejoh4219
      @mbesherejoh4219 3 ปีที่แล้ว

      hapo hujatoa gharama za uzalishaji lakini

    • @mwanaishamkindi7763
      @mwanaishamkindi7763 3 ปีที่แล้ว

      kihudumia familia

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 3 ปีที่แล้ว

      Ana hela nzuri sana hata ukitoa gharama anapata mshahara mkubwa kuzidi hata baadhi ya wafanyakazi wa serikalini

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 ปีที่แล้ว

      Anauza mia mia sio mia tatu

    • @abdiathumani919
      @abdiathumani919 3 ปีที่แล้ว

      @@fatmazullu4933 yaaaani vitumbua vipo Mia tatu

  • @janethmachela3530
    @janethmachela3530 3 ปีที่แล้ว +2

    Kweli Maisha magumu yanazeesha

  • @mbarakamashuka8246
    @mbarakamashuka8246 ปีที่แล้ว

    Mzee wa mtumbwi hauendi shell utakabwa mtaani Kwangu hapo

  • @hamiskhalfan8413
    @hamiskhalfan8413 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimeona sina nia 😂 😂

  • @sharifusilima3234
    @sharifusilima3234 3 ปีที่แล้ว

    Chanjo zinafanya kazi zake.%

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 3 ปีที่แล้ว +3

    Maisha kujituma hila wabongo wengi wavivu

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 ปีที่แล้ว +3

    Nice chuma chapuwa kabal yao

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule 3 ปีที่แล้ว +2

    Mzee katishaa

  • @mcdanta6919
    @mcdanta6919 3 ปีที่แล้ว +2

    Yumba yenyewe ya ulisi unataka tuuze

  • @esnathmwangupili6796
    @esnathmwangupili6796 3 ปีที่แล้ว

    Mzee wa mjini Yuko vzr

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 3 ปีที่แล้ว

    Baab kubwaaa 💪🇴🇲

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 3 ปีที่แล้ว +3

    Nyunba yenyewe ya uridhi 😄🇶🇦

    • @kitomondo
      @kitomondo 3 ปีที่แล้ว +2

      Ila Manji au Mo Dewji mnawaita matajiri/Boss. Kwani wao si wamerithi?

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 ปีที่แล้ว

      @@kitomondo shangaa! Hata hawaelewi watu

  • @kamikazejoseph8799
    @kamikazejoseph8799 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahah angalia asije kimbia na mic🤣🤣🤣

    • @waziriomar1414
      @waziriomar1414 ปีที่แล้ว

      Sasa akimbie na Mike apeleke wapi ndio nyienyie wa hovyo msiojielewa mnamuona mzee chiz watoto wa mama kwamba hajielewi au

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimecheka zembwela eti hii njia?! Hahaaa ukuta ndo njia doh

  • @yunussera4146
    @yunussera4146 ปีที่แล้ว

    Iwe safari yake ya mafanikio

  • @suleykilindi5117
    @suleykilindi5117 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee anamjengo wa urithi wa baba

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂 mzee msela kinoma

  • @mbarakamashuka8246
    @mbarakamashuka8246 ปีที่แล้ว

    Mwambie tunae wajina wake huku kaburu chid bwenga

  • @victoriabulambo2029
    @victoriabulambo2029 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahahaha majangaaa kwa mselaa

  • @boss-rh3ic
    @boss-rh3ic 3 ปีที่แล้ว +1

    Oh

  • @ahmadyahya9961
    @ahmadyahya9961 3 ปีที่แล้ว +1

    Sasa yule kabwili si angeanda hata kwa huyu Mzee akamdundisha kuimba

  • @eliasludani4201
    @eliasludani4201 3 ปีที่แล้ว +1

    Tandale kwa Mkunduge

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 3 ปีที่แล้ว +1

    Diamond wazee wa kuwainua ndo has sasa mzee anajitumaaaaaa

    • @kamanda007
      @kamanda007 3 ปีที่แล้ว

      Kishajiinua huyu, yupo vizuri

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂kwa mkundugwe kweli noma

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 3 ปีที่แล้ว

    😄😄😄uyu mze kama mnala 😄😄😄kweli biashara anaiweza

  • @asaajuma9961
    @asaajuma9961 3 ปีที่แล้ว +3

    Kwa mkunduge

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 ปีที่แล้ว +1

    Vimiisha chidi bwenga

  • @godfreyeliabu2582
    @godfreyeliabu2582 3 ปีที่แล้ว

    Kufanya inacho Fanya saa hapo ndio kuna ugumu kwa vijana wengi ila kuiangalia inacho fany a kubeti, kuuungiwa,

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 3 ปีที่แล้ว

    Baba vitumbua nimempenda bure

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 3 ปีที่แล้ว

    Injiniaaaaaaaa simbaaasss hiyoooooo

  • @dicksonluena3266
    @dicksonluena3266 3 ปีที่แล้ว +1

    Chamtungi

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 3 ปีที่แล้ว +2

    😆😆chidi bwenga duuh

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 ปีที่แล้ว +1

    Akitoka hapo analewa bwi kwenye nyumba ya urithi

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣 Sasa vitumbua anaviandaaje jamani

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 ปีที่แล้ว +1

      Acha alewe ajipongeze sio rahisi kuamka usiku wa manane! Hata ya urithi bado ndo yake au aitupe kisa ya urithi?

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 ปีที่แล้ว

      @@lampadshigonko3006 habari ndio hiyo!

    • @nicksonruwaichi3426
      @nicksonruwaichi3426 2 ปีที่แล้ว

      Inakuhusu nini kuma la mama akoo

    • @nicksonruwaichi3426
      @nicksonruwaichi3426 2 ปีที่แล้ว +1

      @@lampadshigonko3006 wanazingua maisha yake magumu bado maneno machafu etiii nyumba ya urithi analewa sasa mambo gani ni kuma tu kama kuma wengine wa mpalange

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 ปีที่แล้ว +1

    Muongezeni mtaji si kasema vimeisha au

    • @godfreyonyango2782
      @godfreyonyango2782 3 ปีที่แล้ว

      Yan Leo ataimba mpaka

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 ปีที่แล้ว

      @@godfreyonyango2782 kwakweli kuimba kumempata MTU!

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 3 ปีที่แล้ว +3

    🤣

  • @alexsimon2476
    @alexsimon2476 3 ปีที่แล้ว +1

    ukagonga ugali😊😊

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว

    Ubunifu

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 3 ปีที่แล้ว

    Hii Ni Dar au Pwani?

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 3 ปีที่แล้ว +1

    Daaah! Kweli hali mbaya mtu anaonekana mzee kumbe bado jamani

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga6687 3 ปีที่แล้ว

    Ugali kidary. Na kupatta mpenzi ,,.🤣👊👊

  • @godfreyonyango2782
    @godfreyonyango2782 3 ปีที่แล้ว

    Kuna mtu kapita na jeneza

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 3 ปีที่แล้ว

    Mtoto fety mrembo

  • @mozasultan5152
    @mozasultan5152 3 ปีที่แล้ว +1

    Chanjo kazini

  • @rehemaalex3948
    @rehemaalex3948 3 ปีที่แล้ว

    Chidi bwenga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣