KWAKO MAMA MPYA UNAENYONYESHA MTOTO!! JIFUNZE MAMBO YA KUFANYA NA YA KUACHA KIPINDI UNANYONYESHA!!

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 34

  • @christinamwambalaswa5055
    @christinamwambalaswa5055 2 ปีที่แล้ว +6

    Shukran mm nimeanza kula wali baada ya wik 2😀

  • @florianafrimin9066
    @florianafrimin9066 8 หลายเดือนก่อน +4

    Nimefrai sana
    . Mtoto ana miezi miwili sasa lkn tumbo n la Peter msechu😅😅

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah. Doctor Mariyam uvaaa stara umepndeza san. Kiheshm

  • @Mohamudnoor5821-gw5qg
    @Mohamudnoor5821-gw5qg ปีที่แล้ว

    Asante sana madaktari kwa mada nzuri kama hii,kwa kweli nimejifunza mambo mengi mno,

  • @neypaul6416
    @neypaul6416 ปีที่แล้ว +1

    Asantee Kwa elimu nzuriiiii dada Zama 🥰

  • @YustinaNemes
    @YustinaNemes หลายเดือนก่อน

    Mim nikiwa kwenye uzazi nakula kama adhabu tu na maziwa bado hayatoki, kumbe najishindilia uji, supu na mtori hadi kunenepeana, asanteni sana kwa elimu hii

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 2 ปีที่แล้ว

    This discussion is superb!! Thank you Zamaradi TV & the docs, for passing this knowledge!

  • @FeristerPaul-kz5fj
    @FeristerPaul-kz5fj ปีที่แล้ว +1

    Thanks dada zamarani

  • @BeatriceNandrie-yk4wz
    @BeatriceNandrie-yk4wz ปีที่แล้ว +1

    Asante Kwa mafunzo mazuri sana sana nimejifunza mno 🙏 swali nimejifungua unfortunately nina UZITO MKUBWA je naruhusiwa kufanya mazoezi???? Je mazoezi hayaadhiri unyonyeshaji???

  • @maryreginald9362
    @maryreginald9362 2 ปีที่แล้ว +2

    Dah yaan mimi nilivoenda tu hospitali baada ya wiki nesi akaniambia KAZANA KULA IVI SAIVI NNA KILO 78 WAKATI NILIKUWA NA KILO 45. Tumbo sasa utadhani kiloba. Ningepata makala hii tangu mwezi wa nne ningekuwa na ka mwili kangu ka tumbo 28. All in all Shukrani. Zamaradi kwa elimu hii murua

  • @hajrahmtolea2709
    @hajrahmtolea2709 ปีที่แล้ว +1

    Tunashukuru sana dada kwa kutuelimisha

  • @zuhrahamza9077
    @zuhrahamza9077 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsantee da zama nimejifunza

  • @fatumaabduly5086
    @fatumaabduly5086 ปีที่แล้ว

    Asantee Sana kwa SoMo mbona sasa wanatuambia ukila mboga mboga mtoto anaharisha kijani

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 2 ปีที่แล้ว +3

    Da zama lile swali mbona sijapata majibu? Kuhusu ikitokea nimembebea mtoto kabla ya miaka miwili ni sahihi kumuachisha kwasababu anadhohofu mwili na Ana harisha Sana, kiuswazi tunaiga luse

    • @linamremi4166
      @linamremi4166 ปีที่แล้ว

      Asante sana kwa somo zuri🙏

  • @si-qm1ki
    @si-qm1ki 9 หลายเดือนก่อน

    Yaan hawa ndo lactation experts..wanaelezea vzur mno..japo kwenye kipengele cha mtoto kukataa nyonyo gafla...umekatisha..tafadhal tutafutie hiko kipengele na namna ya kutatua hilo tatzo ..hasa watt umri kuanzia miez 2

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa Elimu tuliopata

  • @suzanne7717
    @suzanne7717 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    🙏

  • @AsiaMkwizu
    @AsiaMkwizu ปีที่แล้ว

    Axante xaan dada zama ❤❤

  • @fatumaabduly5086
    @fatumaabduly5086 ปีที่แล้ว +1

    Dah mmetuokoa uku uchagwni unawekewa mtori nusu sado bado mbege inakusubiri yaani mpka unahisi kupasuka na utakula tu

  • @fadyaidris220
    @fadyaidris220 2 ปีที่แล้ว

    Dazama ubarikiwe Sana nimejifunza vingi

  • @singuadam2092
    @singuadam2092 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana

  • @BeatriceNandrie-yk4wz
    @BeatriceNandrie-yk4wz ปีที่แล้ว

    Jamani ungeweka simu tungeuliza maswali mengine uliyoyasahau....but mtoto Yuko chini ya miezi sita hajaanza Kula chochote ananyonya tu ila anapata choo kigumu ana analia sana wakati wa kupata choo Hadi kumpelekea anye kidogo kidogo nakilio hii mekaaje nitafanyaje Ili choo kiwe kilaini??

  • @YustinaNemes
    @YustinaNemes หลายเดือนก่อน

    😮😮😮huku mi nanyimwa hadi mbogamboga na maji ya kunywa yaani wabibi hawa

  • @fatmamateru7992
    @fatmamateru7992 ปีที่แล้ว

    Mashalaaa nimelipenda somo

  • @JohnphaceSengo
    @JohnphaceSengo 29 วันที่ผ่านมา

    Ahsante sanaaaaa❤❤

  • @claratemba44
    @claratemba44 ปีที่แล้ว +1

    Zamaradi kipindi hiki ni muhimu sana kina mafunzo mazuri sanaa

  • @badria5771
    @badria5771 9 หลายเดือนก่อน

    Mm maziwa yatatoki na nyonyesha bado mtoto ana mienzi 3 na nusu ananyonya ila hayatoki na nakula vyakula vya kutia hadi maziwa ila hayatoki nifanye nn

  • @Mohamudnoor5821-gw5qg
    @Mohamudnoor5821-gw5qg ปีที่แล้ว

    je?ikiwa mtoto bado hajafikisha miaka miwili na mama amebeba ujauzito,huyu mtoto atatumia nini ili kumyonyesha mtoto wake mpaka atimize mda wake?

  • @dativachuwa2317
    @dativachuwa2317 ปีที่แล้ว

    Dah ahsanteni kwa mada!!
    Mimi Sina fridge na natamani kuendelea kumkamulia mtoto maziwa nimwachie je,na atayatumia kwa siku nzima je hapo Yale niliyoacha asbh ataweza kuyatumia kutoka saa moja asbh mpaka saa tisa alasiri?

    • @priscabanzi166
      @priscabanzi166 ปีที่แล้ว

      Wataalamu wameenielekeza yanakaa nje kwa masaa sita nami nafanya hvyo

    • @yustasanga5152
      @yustasanga5152 ปีที่แล้ว

      asanten sana

  • @neemasulle6240
    @neemasulle6240 ปีที่แล้ว

    Niambie vyakula sahihi kwa mzazi