Mim nikiwa kwenye uzazi nakula kama adhabu tu na maziwa bado hayatoki, kumbe najishindilia uji, supu na mtori hadi kunenepeana, asanteni sana kwa elimu hii
Asante Kwa mafunzo mazuri sana sana nimejifunza mno 🙏 swali nimejifungua unfortunately nina UZITO MKUBWA je naruhusiwa kufanya mazoezi???? Je mazoezi hayaadhiri unyonyeshaji???
Dah yaan mimi nilivoenda tu hospitali baada ya wiki nesi akaniambia KAZANA KULA IVI SAIVI NNA KILO 78 WAKATI NILIKUWA NA KILO 45. Tumbo sasa utadhani kiloba. Ningepata makala hii tangu mwezi wa nne ningekuwa na ka mwili kangu ka tumbo 28. All in all Shukrani. Zamaradi kwa elimu hii murua
Da zama lile swali mbona sijapata majibu? Kuhusu ikitokea nimembebea mtoto kabla ya miaka miwili ni sahihi kumuachisha kwasababu anadhohofu mwili na Ana harisha Sana, kiuswazi tunaiga luse
Yaan hawa ndo lactation experts..wanaelezea vzur mno..japo kwenye kipengele cha mtoto kukataa nyonyo gafla...umekatisha..tafadhal tutafutie hiko kipengele na namna ya kutatua hilo tatzo ..hasa watt umri kuanzia miez 2
Jamani ungeweka simu tungeuliza maswali mengine uliyoyasahau....but mtoto Yuko chini ya miezi sita hajaanza Kula chochote ananyonya tu ila anapata choo kigumu ana analia sana wakati wa kupata choo Hadi kumpelekea anye kidogo kidogo nakilio hii mekaaje nitafanyaje Ili choo kiwe kilaini??
Dah ahsanteni kwa mada!! Mimi Sina fridge na natamani kuendelea kumkamulia mtoto maziwa nimwachie je,na atayatumia kwa siku nzima je hapo Yale niliyoacha asbh ataweza kuyatumia kutoka saa moja asbh mpaka saa tisa alasiri?
Shukran mm nimeanza kula wali baada ya wik 2😀
Nimefrai sana
. Mtoto ana miezi miwili sasa lkn tumbo n la Peter msechu😅😅
Masha Allah. Doctor Mariyam uvaaa stara umepndeza san. Kiheshm
Asante sana madaktari kwa mada nzuri kama hii,kwa kweli nimejifunza mambo mengi mno,
Asantee Kwa elimu nzuriiiii dada Zama 🥰
Mim nikiwa kwenye uzazi nakula kama adhabu tu na maziwa bado hayatoki, kumbe najishindilia uji, supu na mtori hadi kunenepeana, asanteni sana kwa elimu hii
This discussion is superb!! Thank you Zamaradi TV & the docs, for passing this knowledge!
Thanks dada zamarani
Asante Kwa mafunzo mazuri sana sana nimejifunza mno 🙏 swali nimejifungua unfortunately nina UZITO MKUBWA je naruhusiwa kufanya mazoezi???? Je mazoezi hayaadhiri unyonyeshaji???
Dah yaan mimi nilivoenda tu hospitali baada ya wiki nesi akaniambia KAZANA KULA IVI SAIVI NNA KILO 78 WAKATI NILIKUWA NA KILO 45. Tumbo sasa utadhani kiloba. Ningepata makala hii tangu mwezi wa nne ningekuwa na ka mwili kangu ka tumbo 28. All in all Shukrani. Zamaradi kwa elimu hii murua
Tunashukuru sana dada kwa kutuelimisha
Ahsantee da zama nimejifunza
Asantee Sana kwa SoMo mbona sasa wanatuambia ukila mboga mboga mtoto anaharisha kijani
Da zama lile swali mbona sijapata majibu? Kuhusu ikitokea nimembebea mtoto kabla ya miaka miwili ni sahihi kumuachisha kwasababu anadhohofu mwili na Ana harisha Sana, kiuswazi tunaiga luse
Asante sana kwa somo zuri🙏
Yaan hawa ndo lactation experts..wanaelezea vzur mno..japo kwenye kipengele cha mtoto kukataa nyonyo gafla...umekatisha..tafadhal tutafutie hiko kipengele na namna ya kutatua hilo tatzo ..hasa watt umri kuanzia miez 2
Asante sana kwa Elimu tuliopata
🙏
Axante xaan dada zama ❤❤
Dah mmetuokoa uku uchagwni unawekewa mtori nusu sado bado mbege inakusubiri yaani mpka unahisi kupasuka na utakula tu
Dazama ubarikiwe Sana nimejifunza vingi
Ahsante sana
Jamani ungeweka simu tungeuliza maswali mengine uliyoyasahau....but mtoto Yuko chini ya miezi sita hajaanza Kula chochote ananyonya tu ila anapata choo kigumu ana analia sana wakati wa kupata choo Hadi kumpelekea anye kidogo kidogo nakilio hii mekaaje nitafanyaje Ili choo kiwe kilaini??
😮😮😮huku mi nanyimwa hadi mbogamboga na maji ya kunywa yaani wabibi hawa
Mashalaaa nimelipenda somo
Ahsante sanaaaaa❤❤
Zamaradi kipindi hiki ni muhimu sana kina mafunzo mazuri sanaa
Mm maziwa yatatoki na nyonyesha bado mtoto ana mienzi 3 na nusu ananyonya ila hayatoki na nakula vyakula vya kutia hadi maziwa ila hayatoki nifanye nn
Unakunywa uji?
je?ikiwa mtoto bado hajafikisha miaka miwili na mama amebeba ujauzito,huyu mtoto atatumia nini ili kumyonyesha mtoto wake mpaka atimize mda wake?
Dah ahsanteni kwa mada!!
Mimi Sina fridge na natamani kuendelea kumkamulia mtoto maziwa nimwachie je,na atayatumia kwa siku nzima je hapo Yale niliyoacha asbh ataweza kuyatumia kutoka saa moja asbh mpaka saa tisa alasiri?
Wataalamu wameenielekeza yanakaa nje kwa masaa sita nami nafanya hvyo
asanten sana
Niambie vyakula sahihi kwa mzazi