Tatizo ni kuwa Zanzibar si dola tena. Mzee Karume katutia kwenye muungano usiotambulika, kwa khofu yake ya kuja kupinduliwa. Kidogo kidogo Zanzibar inakwenda zake, wajukuu wetu watasikia hadithi tu. Allah atunusuru.
Kweli. Mimi nimekwenda Nairobi January 1963 nikajiunga na chuo fulani. Nilikuwa naonekana mtu tafauti na karibu kila mmoja akawa rafiki yangu. Nilipendwa sana.
Naomba vitabu vya JECHA ni mtoto mtoro vyote virejeshwe ndani ya mahule ya Zanzibar 01/01/2025 Wanafunzi waanze kusomeshwa tena kwa vitabu vya Jecha,Qur-an na kina Social Cience.
Zanzibar ilikuwa Dola ila kwasasa ishakuwa shiling au rand. Kwasasa tusahau kuwa dolla tena hadi kiama. Wenyewe Zanzibar washakufa tuliobakia sisi s wenyewe sisi ni wakaazi tu.
Tufanyeni Sensa ya Wapemba walioko Mikoa yote ya Tanganyika na Watanganyika waioko Zanzibar kisha tijumlishe upande upi wakimbizi/wabamizi watakuwa wengi? Kisha jibu hili swali kwa usahihi.
Sisi wenyewe tunagombana na kuchukiana wakati sote ni ndugu kisa vyama vya leo hivi tushagawana sana. Hivi sasa tunanyongana kwa vyama. Tusubiri tufe tu hapa wakati tushakuwa mizoga kabisa. Zanzibar ileeeeee! Yabuju.
Utacomet mara mia kuwasema Wapemba, kuwasema wapemba au kuwachukia ni sawa na kujamba kwenye maji kazi bure, Wapemba kwa Tanzania hii ni Top kwa kila jambo iwe la kheri na hata akipotea mpemba akikufanyia la ubaya utatembea ukisema peke yako, wapemba wachukie tu lakini Allah amewanyanyua kwa kila fani na pemba yao, wewe bakia na chuki husda uadui na roho mbaya dhid ya wapemba, lakini kwa Tanzania hii Pemba ndio bado kuna angalau iman na aman japo kwamba wapo kina nyie munaifanya pemba isikalike kwa itikad zenu mbaya na siasa zenu chafu,
Wagawane wagombane ili upate kuwatawala huwezi kuwatala wakati wako kitu kimoja sisi hivi sasa ndugu baba mmoja mama mmoja hawapendani chuki hasama ndio ibada yetu
Hivi mauzinde kaharibiwa na wamachinga wa tanganyika? Dunia nzima mauzinde anajulikana,, hivi omar kopa alikuwa mtanganyika Acheni politics kwenye utamaduni
MUUNGANO NI KOTI LA NGUVU ZA KANISA✝️ @IddiKhamis-u6c.Kama ni ndugu ni damu kwa nini wanawatala na kuwauwa? Hawa ni ndugu wa ujirani tu. Na sio wa damu kama Manyan'gau wanavyosema na kupotosha Waislam.😂
Masihara makubwa mnafanya upotoshaji kinachotoa znz na Tanzania bara hivyo hivyoo,, vijana wa Leo wameibadili DUNIA na wanaiga ulaya nknk siasa mnaziweka kwenye mjadala wa utamaduni ,, hivi hujaona waZungu wanaokwenda sound Arabia kutalii..
BAADA YA MAPINDUZI MWAKA KOGWA PIA UMEPINDULIWA Mwaka Kogwa au Nairuz (Mwaka Mpya) hufanyika Iran (Persia), Afghanistan na Zanzibar. Pia na neno ZANZIBAR ni la Kishirazi sawa na neno la SERIKALI. Lakini, Mwaka Korogwa ulianza baada ya Muungano na kupinduliwa na Serikali ya Kupinduwa.
Salmin hivi sasa Allah anamuonesha hapa hapa duniani kufa hafi na akhera hendi!tunakumbuka alivyodhalilisha watu kulisha watu mapicha ya MaalimSeif na kuruhusu watu kulawitiwa na kufavywa vitendo vya kinyama mbele ya familia zao,alipoelezwa akasema waacheni vijana wafurahi!Kwa hili hatumsamehe kamweeee!
DODOMA NI LANCASTER YA KUDAI UHURU WA ZANZIBAR @fahadfaraj6474 Bila ya Vita vya Msalaba, huitwa Mapinduzi Matukufu (Holy Crusade), kusingekuwa na Muungano (Ukoloni) sawa na Ukoloni wa Uingereza wa Ukatoliki Anglikana.✝️ Wazanzibari walikwenda kudai Uhuru Lancaster ya Uingereza. Baada Karume kuondoshwa Wazanzibari wanakwenda Dodoma. Ni Lancaster ya Tanganyika.
Saudia tu leo kina Ronaldo wanakaa na vimada, disco zinapigwa hao wazungu nao wanalalamika wageni wamekwenda wengi wameharibu utamaduni hakuna sehemu ilobaki vilevile lazma wakubali vitu hubadilika.
Hata kama Saudia imeharibika lkn wageni wote wanaingia Kwa utaratibu wa kisheria na wanajulikana hata wanapokaa,na kuhusu Zanzibar kama haina mwenyewe hata Mh Rai's Hussein alisema Zanzibar haina mwenyewe na nyote mulikaa kimyaaa!
Mwenyezi Mungu anawalipa kwa yale mulio wafanyie waarabu kuwadhulumu na kuwauwa bila hatia sasa malipo yake ndio hayo
Tatizo ni kuwa Zanzibar si dola tena. Mzee Karume katutia kwenye muungano usiotambulika, kwa khofu yake ya kuja kupinduliwa. Kidogo kidogo Zanzibar inakwenda zake, wajukuu wetu watasikia hadithi tu. Allah atunusuru.
Mnatutowa machoz kwa kwel zanzibar dah utajir wote umepotea
Natamani kama muwepo skuzote jamani rashid wapangie tena kipindi ❤❤❤
26/04/1964 hapo ndo Zanzibar kwisha kila kitu. Allah tusamehe sisi wakaazi wa Zanzibar sote.
Ameen
Tunaomba utuletee sheikh Shaharani
Na pia utletee professor Abdul Sharifu
Kweli. Mimi nimekwenda Nairobi January 1963 nikajiunga na chuo fulani. Nilikuwa naonekana mtu tafauti na karibu kila mmoja akawa rafiki yangu. Nilipendwa sana.
Hongereni wazee wetu kwa kutupa elimu
Napenda niwasklze tu wazee wetu❤❤❤❤
Hawa wameongea kwa uchungu sana kwa kupotea
Asili yao
Nice conversations..thanks for sharing.
Yote hayo yamekuja baada ya huu muungano ambao haukupata ridhaa ya wazawa.
Huo ndo utawala Bora
Zanzibar imekufa na kheir zake zimeletwa tabia za kibara watu kwenda uchi na ulevi na madawa ya kulevya na mengi Tu.
Burdaaani....😊❤❤❤
Shida viongoz wetu wnaogopa kusema
Zbar ilikufa siku ya Muungano 1964 na ikazikwa rasmi 1977 kulipounganisha Vyama vya Siasa😢😢
Zanzibar aijawai kuwa na utulivu ata mwaka mmoja,
kabisa wazee wangu
Kwasababu marais wenyewe waizi kwa hiyo wafanyi kazi wa serikali wanatanuka haraka.
Msiache kuendelea wazee wetu kipindi kizuri juu ya kuwa mama yangu tu ndio Mzanzabari baba mtanga bali nafurahikia kipindi
Hii combination tunaitaka tena
Naomba vitabu vya JECHA ni mtoto mtoro vyote virejeshwe ndani ya mahule ya Zanzibar 01/01/2025 Wanafunzi waanze kusomeshwa tena kwa vitabu vya Jecha,Qur-an na kina Social Cience.
Zanzibar ilikuwa Dola ila kwasasa ishakuwa shiling au rand. Kwasasa tusahau kuwa dolla tena hadi kiama. Wenyewe Zanzibar washakufa tuliobakia sisi s wenyewe sisi ni wakaazi tu.
Wellcome Sizini
Mleteni Sheikh Muhiddin (Maalim Siasa)
Tufanyeni Sensa ya Wapemba walioko Mikoa yote ya Tanganyika na Watanganyika waioko Zanzibar kisha tijumlishe upande upi wakimbizi/wabamizi watakuwa wengi? Kisha jibu hili swali kwa usahihi.
Wamachinga wamejaaa wapi na mapemba yamejaa wapi?; wapemba nyinyi ,, zama hizi unazungumzia ujinga huu
Sisi wenyewe tunagombana na kuchukiana wakati sote ni ndugu kisa vyama vya leo hivi tushagawana sana. Hivi sasa tunanyongana kwa vyama. Tusubiri tufe tu hapa wakati tushakuwa mizoga kabisa. Zanzibar ileeeeee! Yabuju.
Watawanye (Wagombanishe) Ili Uwatawale.
Izo stori za mwisho kama Kali hivi Izo jamaa wa samaki na uyo fundi baskeli
Mzee umetugusa Sizini tupe historia yake
❤❤❤❤❤❤
Ukiwa mchoyo usiwe mroho
Miaka hii vijana wengi wameishi ulaya na wamerudu znz ,, huwezi kuwadhibiti,, globalization DUNIA hii
Utacomet mara mia kuwasema Wapemba, kuwasema wapemba au kuwachukia ni sawa na kujamba kwenye maji kazi bure, Wapemba kwa Tanzania hii ni Top kwa kila jambo iwe la kheri na hata akipotea mpemba akikufanyia la ubaya utatembea ukisema peke yako, wapemba wachukie tu lakini Allah amewanyanyua kwa kila fani na pemba yao, wewe bakia na chuki husda uadui na roho mbaya dhid ya wapemba, lakini kwa Tanzania hii Pemba ndio bado kuna angalau iman na aman japo kwamba wapo kina nyie munaifanya pemba isikalike kwa itikad zenu mbaya na siasa zenu chafu,
Unasema nn ww kama hamtaki watu waje kwenu nyinyi kwenye miji ya watu mnafata nn
JA'AHIL
Wagawane wagombane ili upate kuwatawala huwezi kuwatala wakati wako kitu kimoja sisi hivi sasa ndugu baba mmoja mama mmoja hawapendani chuki hasama ndio ibada yetu
Hivi mauzinde kaharibiwa na wamachinga wa tanganyika? Dunia nzima mauzinde anajulikana,, hivi omar kopa alikuwa mtanganyika
Acheni politics kwenye utamaduni
Zamani ipi maana miaka 30 ilopita ni kelele za siasa tupu zamani inaanzia wapi?
Itazidi kuharibika kama serikali ya Zanzibar bado inazidi kukumbatia ndugu zetu wa damu.
MUUNGANO NI KOTI LA
NGUVU ZA KANISA✝️
@IddiKhamis-u6c.Kama ni ndugu ni damu kwa nini wanawatala na kuwauwa?
Hawa ni ndugu wa ujirani tu. Na sio wa damu kama
Manyan'gau wanavyosema na kupotosha Waislam.😂
Nani aliyekwambia znz inaharibiwa na watanganyija,, hivi mauzinde ni mtanganyika? Au omari kopa alikuwa mtanganyika?
@@salummussa9871 Unataja watu wawili tu. Kwani hao ndio walioiharibu Zanzibar? Huoni watu wanaokwenda uchi hapa Zanzibar wengi sana kutoka Tanganyika?
Unapinga bar unajua wanaokunywa ni wazanzibar ? DUNIA imebadilika shekhe.
Mnataka watu waingie na viza kutoka wapi? Hao wapemba waliojaaa Tanzania bara
Tatizo nyege zinakusumbua unatafuta basha
Wewe nunua ndege yako uandike znz
Unawashwa we m,bongo
Masihara makubwa mnafanya upotoshaji kinachotoa znz na Tanzania bara hivyo hivyoo,, vijana wa Leo wameibadili DUNIA na wanaiga ulaya nknk siasa mnaziweka kwenye mjadala wa utamaduni ,, hivi hujaona waZungu wanaokwenda sound Arabia kutalii..
Mwaka Kogwa = MWAKA KOROGWA
BAADA YA MAPINDUZI
MWAKA KOGWA
PIA UMEPINDULIWA
Mwaka Kogwa au Nairuz (Mwaka Mpya) hufanyika Iran (Persia), Afghanistan na Zanzibar.
Pia na neno ZANZIBAR ni la Kishirazi sawa na neno la SERIKALI. Lakini, Mwaka Korogwa ulianza baada ya Muungano na kupinduliwa na Serikali ya Kupinduwa.
Kipande cha 3 mbn hakipo youtube
Lakini Leo anatokea MTU anasema historia haifai eti Kwa Kasi ya maendeleo ya awamu ya nane sasa hao ndio wazanzibari na hiyo ndio Mila ya wazenji
Unajua wameuleta watawala wenu salmini Amour ndio kiongoz aloleta ubaguz wa hali juu znz mpka akiruhusu watu wa taarab watunge nyimbo za ubaguz
Salmin hivi sasa Allah anamuonesha hapa hapa duniani kufa hafi na akhera hendi!tunakumbuka alivyodhalilisha watu kulisha watu mapicha ya MaalimSeif na kuruhusu watu kulawitiwa na kufavywa vitendo vya kinyama mbele ya familia zao,alipoelezwa akasema waacheni vijana wafurahi!Kwa hili hatumsamehe kamweeee!
Subhanaallah
Kwakweli ni mtihanj
Mamlaka ziliopo ndio chanzo cha yote haya mabaya
Masaallah
Tupe mzee historia ya Sizini
Tatizo ni aina ya watu wanaowekwa😢katika izo idara hawajui majukumu yao me nadhani wakiwa wanajua nini majukumu yao basi kila kitu kitakua sawa
Si mulitaka mapinduzi ndio matunda yake hayo
Kwahiyo mapinduzi ndo yameleta hayo au
@@fahadfaraj6474 ndio
DODOMA NI LANCASTER
YA KUDAI
UHURU WA ZANZIBAR
@fahadfaraj6474 Bila ya Vita vya Msalaba, huitwa Mapinduzi Matukufu (Holy Crusade), kusingekuwa na Muungano (Ukoloni) sawa na Ukoloni wa Uingereza wa Ukatoliki Anglikana.✝️
Wazanzibari walikwenda kudai Uhuru Lancaster ya Uingereza. Baada Karume kuondoshwa Wazanzibari wanakwenda Dodoma. Ni Lancaster ya Tanganyika.
Kwakwakwakwakwakwa upumbavu tu
Acheni upitishaji DUNIA mzima imeharibika hata uarabuni,,
Saudia tu leo kina Ronaldo wanakaa na vimada, disco zinapigwa hao wazungu nao wanalalamika wageni wamekwenda wengi wameharibu utamaduni hakuna sehemu ilobaki vilevile lazma wakubali vitu hubadilika.
Sasa kwakua Warabuni imearibika na Zanzibar ndo iaeibike? Akili Gani hii? Kwa hiyo kama mwenzio kaiba na wewe Uibe?
WARABU NA WAZANZIBARI
@salummusss9871. Huko
Uwarabuni kuna Mamlaka Kamili. Uzanzibarini kuna Ukoloni kulinda Ukafiri.✝️
@@zanzibarboyzanzibar509 ndio hapo wanachekesha khasaa eti flani anafanya hata km baya na mimi ndio nilifanye sijui watu wawapi hao
Hata kama Saudia imeharibika lkn wageni wote wanaingia Kwa utaratibu wa kisheria na wanajulikana hata wanapokaa,na kuhusu Zanzibar kama haina mwenyewe hata Mh Rai's Hussein alisema Zanzibar haina mwenyewe na nyote mulikaa kimyaaa!