JOKATE MWEGELO: NATAMANI KUWA NA MUME NA FAMILIA YANGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • Unaweza Ukawa na Ndoto ya Kuwa Mtu Mkubwa Sana Katika Nchi ... Lakini Hujui Upite Njia Gani .
    .
    Hii Ni Sababu Mojawapo Ambayo Ilimbeba @jokatemwegelo na Kumfanya Mheshimiwa Rais Kumteua Kama Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe .
    .
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 653

  • @jacobodongo3917
    @jacobodongo3917 5 ปีที่แล้ว +124

    She speaks eloquent english , she is respectful , obedient , hardworking n have big vision not only for her district but Tanzania as a whole , may God give you the best soul mate, big up sister Jokate you're a blessing n inspiration n roll model to youths , 👌👌👌 your big fan from 254

    • @venturymwakilebwa6611
      @venturymwakilebwa6611 5 ปีที่แล้ว

      Yote yamezungumziwa sina kitu ila nakupenda mno katika kazi zako. Davis 0717119469

    • @jakobolenginai6518
      @jakobolenginai6518 4 ปีที่แล้ว

      Jokate mm ni masai nakupenda sana na niko tayari kukuoa naomba unipe na fasi +254756350277 niko kazini kenya

    • @dottnatta310
      @dottnatta310 4 ปีที่แล้ว

      Sasa number ya nn 😂😂

  • @polloz77
    @polloz77 4 ปีที่แล้ว +11

    Humble N lovely person
    Sisi tupo Canada tunataka tutoe mchango tuweze kuwa pamoja kujenga Tanzania mpya chini President John Pombe Magufuli
    Kwa pamoja tunaweza na kujitolea hata kidogo
    H

  • @akothbake1096
    @akothbake1096 5 ปีที่แล้ว +14

    Uyu dada ni mfano wa kuigwa,she inspires me alot❤

  • @mtotowaspurs
    @mtotowaspurs 5 ปีที่แล้ว +25

    Intelligent, kind, humble and lovely lady, stay blessed Mh Mwegelo..!

    • @mwitaisack7689
      @mwitaisack7689 5 ปีที่แล้ว

      Jokate uko vizuri sana piga kazi dada

  • @Itarusii
    @Itarusii 5 ปีที่แล้ว +1

    Umeongea vizuri sana. Vijana wengi hawamaanishi. Wanataka vitu bila kujibidisha. Hakuna ufanisi bila kujitahidi. Hongera Dada.

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 5 ปีที่แล้ว +14

    Beautiful I like Jakate, she's very wonderful girl I pray to God gives you great husband👍👍😀😀

  • @pastoryconrad7313
    @pastoryconrad7313 4 ปีที่แล้ว

    Presenter jitahidi kuwa bora zaidi Mh. Jokate was far away smarter and tackled the questions so easily.

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 4 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana mheshimiwa mi nakupenda sana ki ukweli,na ulivyo mzuri ukizaa watoto watakuwa wazuriii...maradufu.YNWA

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 5 ปีที่แล้ว +30

    Hey!she can make a good wife she's pretty well mannered much love from Nairobi

  • @fadhiliefron6356
    @fadhiliefron6356 5 ปีที่แล้ว +14

    One of the leader I like and appreciate kazi zao nakujituma especially to touch The societies.. Is you DC Jokate for natamani Sana day to meet you... I learn from you just keep it up usirudi nyuma wala usiharibu pia

    • @mosesmashala244
      @mosesmashala244 5 ปีที่แล้ว

      Umeongea vizuri sana Dc Kisarawe

    • @estermwakalindile1106
      @estermwakalindile1106 5 ปีที่แล้ว

      Hongera Mh kwa hatua unazopiga katika maendeo

    • @sedekiashedrack529
      @sedekiashedrack529 3 ปีที่แล้ว

      Hongera Dada unachapa kazi, umenifanya nipate ngvu ya kuchapa kazi

  • @boscomaboga1021
    @boscomaboga1021 5 ปีที่แล้ว +21

    Nashindwa kuelewa kabisa inakuwaje binti smart mchapakazi, intelligent mrembo,na mwenye heshima,adabu na utii eti mpaka sasa bado hajapata mume ? Jaman kweli dunia haiko fair, may god bestow her with his blessings

    • @dr.sarahbusongo
      @dr.sarahbusongo 5 ปีที่แล้ว +2

      😑😑 wanaume bana wana matatizoo... Mwanamke akiwa mchapakazi na msomi Sana wanamuogopa wanahisi Kama hawatapata heshima ndani ya nyumba. Hapo utashangaa Dada wa watu aje aolewe na lizee 😎😎. Hope she will get someone ambaye anamdeserve

    • @mariammbezduhsamumahelammh4620
      @mariammbezduhsamumahelammh4620 5 ปีที่แล้ว

      Hi mmmh

    • @jescardamas5717
      @jescardamas5717 4 ปีที่แล้ว

      Any time analindwa na mitutu sasa njemba ataanzia wp kwenda kutupa nyavu ? Getin utasemaje unaenda kufanya nn?

    • @rahmadavid2499
      @rahmadavid2499 4 ปีที่แล้ว

      These kind of women hawaolewag wanaume wanawaogopa

  • @martinkoome4157
    @martinkoome4157 4 ปีที่แล้ว +1

    Hon. Jokate we appreciate you very much. NAIROBI feels you and much love from Nairobians. If in anyway you need a man pay Nairobi a visit. You will love it. We can even organize a district in Nairobi for you to head.

  • @comfortsevera8330
    @comfortsevera8330 5 ปีที่แล้ว +3

    Jokate, you are such a wonderful brilliant woman. God created you knowing all your journey in life and he will give you what your heart desires most. I adore you!

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 4 ปีที่แล้ว +2

    She is really brilliant,
    She prefers to be a nice wife
    Due to her position her husband must be educated and very understanding
    I like her so much
    Congratulate to her

  • @maryaugustino2087
    @maryaugustino2087 5 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyezi mungu azidi kukuinua na kukulinda ktk majukumu yako mh joketi. Hakika ni maono ya mungu kuteuliwa kwako najua mungu atazidi kukuinua zaidi ya hapo tena nafasi ya juu zaidi. Roho wa mungu azidi kukupigania. May god bless you.

  • @hevenlightminja8032
    @hevenlightminja8032 5 ปีที่แล้ว +26

    Kweli unastahili kuwa Dc maana unakitu kilionekana kwako,huna makuu huna mashauzi uko cool kwa kila mtu.big up sana namungu akusaidie uendelee namoyo huyo

  • @emuthree
    @emuthree 5 ปีที่แล้ว

    Naikumbuka Kisarawe....nimeishi huko miaka minne nikiwa sekondari Minaki,...naona Muheshimiwa umepaboresha hongera sana.... vijana huo ndio ujana, tuonyeshe vipaji vyetu, elimu zetu , kwa vitendo,...ili jamii ifarijike na elimu uliyo nayo. Hongera Jokate

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 5 ปีที่แล้ว +3

    A young soul full of wisdom!!!
    Go go go swt girl na Mungu akujalie Mume mwema inshallah!!!

  • @rosenjau3576
    @rosenjau3576 4 ปีที่แล้ว +3

    Dada jokate ur soo insparational surely😙😙😙😙💕❤❤❤

  • @winfridaw.mwashala289
    @winfridaw.mwashala289 4 ปีที่แล้ว +1

    Love you Jokate! May God open the door for you, and your family! No hurry in marriage God time is the best! I respect your work, being a Tanzanian mother, I can imagine how far you are stretching to do what you do. Let us be honest jameni, Tanzania is beautiful, so as Jokate!Tanzania ni kuzuri sana , najivunia kuwa Mtanzania!

  • @halima23862
    @halima23862 5 ปีที่แล้ว +15

    UNGEKUWA BADO UKO NA NASIBU USINGEWEZA KUYAFANYA HAYA YOTE MAAAN NASIBU NI DRAMA JUU DRAMA IM SO PROUD OF YOU.

    • @hadijaabdallah5477
      @hadijaabdallah5477 5 ปีที่แล้ว

      @masilya inno8 🤣🤣🤣🤣apo sasa

    • @happykimaya2762
      @happykimaya2762 5 ปีที่แล้ว

      Yanaongelewa mambo mengine ww umeng'ng'ana na Nasibu. Huko timamu?

    • @rhinaamiry8535
      @rhinaamiry8535 5 ปีที่แล้ว

      @masilya inno8 ttzo ilikuwa dini

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 5 ปีที่แล้ว

      @masilya inno8 kabisa

    • @azizamkindi1784
      @azizamkindi1784 5 ปีที่แล้ว

      Kwel

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 5 ปีที่แล้ว +13

    U are down to earth very intelligent lady❤️

  • @happyjohn4835
    @happyjohn4835 3 ปีที่แล้ว +1

    Datc y I love jokate mwegelo! Mh DC

  • @euniceakudai4203
    @euniceakudai4203 5 ปีที่แล้ว +3

    Intelligent, hardworking, humble, kind, lovely and beautiful, God bless you dear

  • @zawdigaare9559
    @zawdigaare9559 5 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kwa ujasiri maneno yako yamenipa nguvu sana maana na mm niko kwenye harakati umenipa nguvu kutumikia wananchi wetu, takushukuru cku moja kwa maneno yako dear,

  • @evodiamhumba4764
    @evodiamhumba4764 5 ปีที่แล้ว

    HONGERA DADA! MUNGU AKUTIE NGUVU ZAIDI. AMINI KAMA ULIFANIKIWA KATIKA HILO NA MUME UTAPATA TU. HAKIKA YOU ARE THE ROLE MODAL OF ALL LADIES! LOVE YOU!

  • @jordanfromyt2861
    @jordanfromyt2861 5 ปีที่แล้ว +5

    Mungu amjalie apate mume atakaye mjali naku mtunza she so cute
    Atamimi natamani nimuoe leo hii 😉👍

    • @YAHYA2846
      @YAHYA2846 5 ปีที่แล้ว

      Joketi nakupenda usiniangushe plz

  • @joycemlawa2620
    @joycemlawa2620 5 ปีที่แล้ว +5

    yaani jokate unaniinspire Sana this year to me it will be of succession

  • @abdallaruwa1530
    @abdallaruwa1530 3 ปีที่แล้ว

    In African we need more great leaders such as joycate much love from 🇰🇪

  • @andongolilemwakibwili9650
    @andongolilemwakibwili9650 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wangu azidi kukubariki na kukulinda Mheshimiwa Joket, utapata mume bora MUNGU WETU mwema anajibu maombi YETU.

    • @lucyhusein4043
      @lucyhusein4043 3 ปีที่แล้ว

      Mungu akulinde nakupenda sn muheshimiwa jkt

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana DC jokete, kwel unajua na unastahili,
    Mungu atakubariki zaidi

  • @mtetezihassani2285
    @mtetezihassani2285 5 ปีที่แล้ว +10

    Wewe dada nakupenda sana ur interview. Ur so good. Hukoseagi unaongea points sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mustafahaji7112
    @mustafahaji7112 5 ปีที่แล้ว +10

    JoJo mungu akusimamie chapa kazi dada wasafi tv iko juu mawinguni 👍👍👍👍🤸🤸🤸

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 ปีที่แล้ว

    Uyu dada hanaga skendo mbovu tokea yupo bongo move yani anajielewa honger sana mh joket 😘😘😘😘

  • @alexmurithi1327
    @alexmurithi1327 5 ปีที่แล้ว +7

    Two beautiful ladies

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana mheshimiwa JOKATE,hakika upo vizuri sana.YNWA

  • @janethemmanuel2313
    @janethemmanuel2313 5 ปีที่แล้ว

    Nakupenda Jokate Mungu naazidi kukupa nguvu za maarifa zaidii.

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 5 ปีที่แล้ว +70

    Jokate marriage comes from heaven don’t worry it’s not ur time don’t be on hurry ❤️ from +254

  • @muttarutta1963
    @muttarutta1963 5 ปีที่แล้ว +2

    Powerful,lovable and disciplined figure 👍👍

  • @mariamchimbwai218
    @mariamchimbwai218 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana jokate kuliko nitakavyoelezea unapoongea najiskia kulia Kwa UPENDO.Hongera Wazazi wko Kwa malezi mazuri

  • @kibwanamashaka1459
    @kibwanamashaka1459 4 ปีที่แล้ว

    Mh Jokate Mwegelo Allah atakujaalia utafika mbali kiuongozi inshaallah unaweza kuongoza

  • @japhetscharles3903
    @japhetscharles3903 4 ปีที่แล้ว +2

    Mme mwema anatoka kwa Bwana, we kindly pray for you expect great immerse from God🙏🙏

  • @alexbazilio9374
    @alexbazilio9374 3 ปีที่แล้ว

    Hongera mh.kwa kazi nzuri Mungu yupo nawe muda wote

  • @mwigni2796
    @mwigni2796 5 ปีที่แล้ว +2

    Very nice interview well planned bigup jokate i like the way your are working you have approved that vijana tukiwezeshwa tunaweza Mungu atakupa mume mwema keep o praying...

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza5339 4 ปีที่แล้ว

    Mungu atakulinda na watu wabaya...LKN elewa watu Wa pwani wanapenda MTU anayeonesha kuwapenda.....

  • @irenekimambo7244
    @irenekimambo7244 5 ปีที่แล้ว

    nakupenda sana joketi nafurah sana kukusikiliza kweli nafas uliyonayo ni Mungu kakupa nakuombea kwa Mungu uendelee kuongoza wanaich wako Mungu akubariki

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 5 ปีที่แล้ว +2

    Piga kazi Dada yangu, wewe ni malkia wa nguvu hata mbuyu ulianza kama mchicha nipo upande wako siku zote,wewe na shilole ni wapendwa wangu always as usual.

  • @khadijaqatar9080
    @khadijaqatar9080 5 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiw mh jokate mungu akubarik uzid kusaidia vizazi vipy na wnye wanahtaj msaad amin

  • @agnethamlelwa6769
    @agnethamlelwa6769 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda dada Jokate ni mfano wa kuigwa sana

  • @benedictokikot6619
    @benedictokikot6619 5 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akupe afya njema na kumweka mungu mbele katika majumu yako na imani utafika mbali sana nimekupenda bule .Amina.

  • @zacharialameck1980
    @zacharialameck1980 4 ปีที่แล้ว

    Mwigelo ur up ze radar MADAM DC ur words together are inspirational and testimony to here.

    • @danieljackson6655
      @danieljackson6655 4 ปีที่แล้ว

      Tatizo mnajianika mno mambo yenu mitandaoni wanaume wanaogopa nipatie namba mume nipo

  • @habibtyismailhassanismailh714
    @habibtyismailhassanismailh714 4 ปีที่แล้ว +1

    God will u will get the best one sister everything is plan by God

  • @alihaji7201
    @alihaji7201 4 ปีที่แล้ว +1

    Kule Mombasa Kenya huongea kiswahil saaafi kbs huku sijui tunakwama wapiiii you know nyingiiiii

  • @immaculatakadyanji5927
    @immaculatakadyanji5927 4 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu akujaalie wewe ni mfano wa kuigwa jokate.

  • @beatricejoseph3537
    @beatricejoseph3537 5 ปีที่แล้ว +46

    Jokate utaolewa tuu kiba alikupotezea mda Ila jua wa kwako anakuja tena kwa muda usio tarajia

    • @michaelevarist5518
      @michaelevarist5518 5 ปีที่แล้ว

      Nipoo apaa nitakae muoaa ye asubiri tu nitakutana nae ckuu

    • @asrymohd6690
      @asrymohd6690 5 ปีที่แล้ว

      BEATRICE JOSEPH kwelieeeh

  • @attumassawa5921
    @attumassawa5921 5 ปีที่แล้ว +1

    hongera sana mwanangu. Mungu akupe mume mwema. Unafanya kazi nzuri sana.

  • @elpidusludovick7876
    @elpidusludovick7876 5 ปีที่แล้ว +5

    Hii ndio dhana halisi ya kuamini na kuwekeza ktk vijana,kaza Uzi kesho yako ni nzuri zaidi, DC Jokate

  • @julianarichard574
    @julianarichard574 5 ปีที่แล้ว +1

    Jokate anajiheshimu nampenda sana cutee mwenzanguuuuuuu na anauweza uongoziiiiii.

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah ongera kwa kazi ndowa itakuja tu kama mungu alivyo kupandisha daraja ya kazi

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 4 ปีที่แล้ว

    Good kiongozi Jokate Upo vizuri sana

  • @DennisDidas
    @DennisDidas 4 ปีที่แล้ว +2

    Ngoja nitoe hadithi moja nadhani itawafunza wadada wengi hapa mjini. Kuna rafiki yangu mmoja wa kike nilisoma naye Chuo ila yeye aliendelea mpaka akapata PHD, Nitampa jina Diana wakati anasoma walijitokeza wachumba wengi sana wakitaka kumuoa ila alikuwa na msimamo mpaka amalize PHD yake.
    Kweli Mungu alimsaidia na alimaliza vizuri sana. Dada Diana huyu alikuwa rafiki yangu mkubwa sana maana alikuwa akinishirikisha mambo mengi sana yanayomsibu na pengine changamoto zilizokuwa zinamsibu na nilikuwa nampa ushauri. Wakati alipokuwa teyari kuolewa kama alivyopanga baada ya kumaliza PHD. Diana tatizo likawa ana chagua sana, katika kumchunguza alikuwa anaangalia mwonekano na elimu ya mtu au uwezo wa mtu. Mimi nikampa ushauri hivyo sio vitu muhimu vya kuangalia, angalia mwanaume mwenye upeo mzuri wa kimaisha, mwanaume mwenye mikakati mizuri ya kimaisha, mwanaume atakayekuheshimu na kukusikiliza ila sio mali wala elimu kubwa maana Diana alitaka mwanaume atakayemuoa awe mwenye Masters au Uwezo wa kifedha mbaya zaidi akawa ananiambia wazazi wake wanataka awe na elimu zaidi yake. Basi mimi nikasema ushauri nimetoa mwenye maamuzi ni mhusika mwenyewe.
    Siku zikapita akiwa anawakatalia vijana wengi nikamwambia Diana unaringa sana kweli wanaume wote hakuna hata mmoja, Siku moja akajitokeza kijana mmoja anaitwa John anauza spaire za magari kariakoo, mimi nilimpenda sana John maana alikuwa mtaratibu sana, Mwelewa, Upeo wa maisha upo vizuri, maisha ya ujana yamepita alikuwa anaelekea miaka 35, siku moja Diana akaniambia Dennis nampenda sana huyu kijana ila ni Darasa la saba, sifa nyingine zote anazo ila darasa la saba na mimi siwezi kuolewa na mtu wa darasa la saba kwanini nilolewa na mtu ambaye hajasoma, Nimeona biashara anayofanya ni ndogo.
    Kwa upande wangu nikasikitika nikasema kumbe akina dada ndvyo wanavyotukagua, nikasikitika sana ila kwa upande wangu kila nikikaa na Yule John maana ni mwanaume mwenzangu namwelewa ni mtu anayejielewa na wala hana shida sema tatizo kijana huwa hapendi kuonyesha uhalisia wa maisha yake ila ameshajenga nyumba zake mbili sema bado anaishai chumba kimoja kinondoni.
    Nikamuuliza kwanini unafanya hivi akanieleza siwezi kupata mke kwa kuonyesha nilichonacho naamini sitapata mke kwa namna hiyo, baada ya kunipa maelezo hayo akanisisitizia nisimwambia Diana, John alikuwa anaenda nyumbani kwa Diana mara kwa mara, ikafika hatua sasa kwavile Diana anajua John amempenda sana akawa anampelekesha anavyotaka, mimi sikupenda kitendo kile nikaamua kumwambia Diana sio sawa unavyomfanya kijana wa watu kama humhitaji usimpotezee muda wake, kwa kuchunguza nikagundua kumbe Diana kapata mtu mwingine mwenye sifa anazotaka, nikamweleza Diana mwambie John ukweli maana mimi ni mwanaume na sitapenda nifanyiwe kitu kama hiki, kwahiyo kama humpendi John usimpotezee muda wake.
    Kweli Diana na John waliachana kutokana na yeye kutokukidhi vigezo, basi mahusiano na mtu aliyesema amempata mwenye vigezo yakaendelea, Siku moja nipo nyumbani Diana akanipigia simu na kunieleza yaliyomsibu, alikuja kugundua kumbe Yule aliyemwona anafaa kumbe alikuwa mume wa mtu, na teyari ameshamzalisha watoto wawili mapacha, Nikamuuliza ilikuwaje mpaka ukajisahau bila kuchunguza akanieleza ni mapenzi na sikuwa na mashaka maana nilikuwa naenda nyumbani kwake na wakati mwingine ninakaa huko na kufika muda wowote ninaotaka, alichogundua mwanaume alikuwa na mke ambaye alikuwa anafanya kazi UN nchini South Africa, walikuwa na nyumba na familia yake huku Dar es salaam sema mwanaume alikuwa na yumba mbili, moja ameweka familia yake, na nyumba ya pili ni nyumba ambayo familia yake walikuwa hawaifahamu sema ilikuwa na kila kitu ndani, Kuna nyakati alikuwa namdanganya amesafikiri kikazi ila ndio muda aliokuwa akitumia kukaa na familia yake hapa hapa Dar es salaam sehemu nyingine.
    Diana leo anatafuta mume, anataka kuachana na mume wamtu maana bado yupo naye ameshindwa cha kufanya, ameshindwa kuwaeleza wazazi wake mpaka sasa na wazazi kila siku wanauliza lini mnaoana bila kuwa na majibu, alimkumbuka sana Johna na kumtafuta ila kijana Yule akamwambia teyari ameshaoa. Diana amefikia hatua anaficha watoto wake ili aolewe, Leo Diana anaficha elimu yake ili aolewe, Leo Diana anasema anatamani apate mwanaume yoyote.
    Ninachoweza kuwaeleza wanawake muache tabia ya kuchagua wanaume, wengi nwenu mnateseka kwenye ndoa maana mlichagua sana mpaka mkapata visivyofaa, leo mnalia kila siku, wengine mpaka leo hamjaolewa, wengine mmezalishwa na kuachwa kutokana na kuchagua sana.
    Diana yupo single mama mpaka leo ila bado anatafuta mume wa kumuoa, kuna wakati anakata tama lakini namtia moyo, Mungu ni mwema atamleta anayekufaa zaidi.

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 2 ปีที่แล้ว

    Happpybirthdays to youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhuuuuuuu mamaJJL Looks since ago she is baby's but strongestssssssssssssssssssssssssssssssssss assassinations ,Congratulations for that ,go forwards and not go through Mr Jerald is behinds as supporting everything's you do about your future or dreams or your visions ,be strongx100% and came to eating income

  • @bakarali3093
    @bakarali3093 3 ปีที่แล้ว

    Good. committed DC

  • @greysonoukonkwo9704
    @greysonoukonkwo9704 4 ปีที่แล้ว

    God Almighty will grand you with your dream family. Love you Malkia wa nguvu.

  • @aminamgaya7511
    @aminamgaya7511 5 ปีที่แล้ว +7

    I wish one day nije kuwa kama JoJo respect sana my Dada joketi mwegelo nakupenda kuliko yani since way back

  • @noelwandera8617
    @noelwandera8617 2 ปีที่แล้ว

    This lady Jokate

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro4523 2 ปีที่แล้ว

    Thanks your feelings and refreshingly my heartssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss for youuuuuuuuuuuuuurrrrrr

  • @sophiahenry1488
    @sophiahenry1488 3 ปีที่แล้ว

    God bless you

  • @johnsonkai4964
    @johnsonkai4964 4 ปีที่แล้ว

    MUNGU AKUBARIKI SANA MHE. JOKATE MWEGELO, NA MUNGU AKUPE NEEMA NA UPATE MUME MWEMA ATAKAYE KUELEWA NA KUKUPA SUPPORT KWA KAZI ZAKO ZOTE.

  • @Sanyah-le1od
    @Sanyah-le1od 5 ปีที่แล้ว +2

    This girl can go places.
    Very wise, hard worker etc

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 ปีที่แล้ว +19

    Safiii sana Mh Mwegelo❤

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 ปีที่แล้ว +4

    Leo ndo nmegundua kwann Diamond anajuta kukuacha kizembe ww ni visionary and very strong women.

    • @pangapaul659
      @pangapaul659 5 ปีที่แล้ว

      ur very smart DC .....penda sana we

    • @noahlameck1564
      @noahlameck1564 4 ปีที่แล้ว

      Alipo sasa napo ni poa sana but Muslim tunaoa zaidi ya wake kumi

  • @abadanirajabu2804
    @abadanirajabu2804 5 ปีที่แล้ว +1

    May Allah bless u to get the best husband of yours. Myself I have only one wife. Remain three chances. So don't worry Allah with you, what's needed is to pray had to meet your spouse. Nice moment.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 ปีที่แล้ว

      Good Abadani Rajabu she looks to be good wife that every man can admired BUT for you as Muslim as I am it is impossible to have any marriage couple with non Muslim including Hon. Jo.

  • @dazbilioneaofficial3751
    @dazbilioneaofficial3751 4 ปีที่แล้ว

    That's great@Jokate, you are doing good

  • @rakhmamtish278
    @rakhmamtish278 5 ปีที่แล้ว

    Kiswali sio unapenda watu ila unaupendo Sana Kwanzaa umeokoka hongera nakupenda dear

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas3074 5 ปีที่แล้ว

    Ile sherehe ya tokomeza zero kisarawe ingekua na maana sana ingefanyika kisarawe kwenyewe na si mlimani city lkn hongera sana, ila mwenyezi Mungu hana taimingi kwa mwanaadamu so kupanga ni kuchagua fanya maamuzi maisha (umri haukusubiri).

  • @salmaaman2813
    @salmaaman2813 5 ปีที่แล้ว +26

    Point ya pili kwa mh. Nimeinyaka
    Hakuna mafanikio bila changamoto

  • @marylyimo7340
    @marylyimo7340 5 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana Dada jokate Mungu akuongoze ktk majukumu yako

  • @suzankomba1862
    @suzankomba1862 5 ปีที่แล้ว +2

    Jokate sichoki kuangalia hii. Uliniinspire zaidi ulipofika udsm nayaishi maneno yako. Coz I blv in wot u planted on me .

  • @qaymoqaymobama2908
    @qaymoqaymobama2908 3 ปีที่แล้ว

    uko vizuri mkuu sasa mume akikosea sio atakaa masaa 48 ndani

  • @jazimuseremani947
    @jazimuseremani947 5 ปีที่แล้ว +2

    we believe you,we support you and we will still love you DC mwegero

  • @nelsongodfreylumalisha2857
    @nelsongodfreylumalisha2857 4 ปีที่แล้ว

    Big up Jokate,!
    But it's true umeteuliwa coz ulikua ndani ya UVCCM,but now you are a leader,don't speak about politics,wewe ni mtumishi wa serikali n not political

  • @folonatuszongo475
    @folonatuszongo475 4 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu akujalie Maisha Marefu yenye fanaka tele ,Mkuu wa Wilaya.

  • @folonatuszongo475
    @folonatuszongo475 4 ปีที่แล้ว

    Kweli kazi ya kiongozi ni kuonyesha uelekeo Mkuu wa Wilaya ya kisarawe uko sawa.

  • @generationtransformation-
    @generationtransformation- 5 ปีที่แล้ว +1

    your my roll mode I really love you jocate

  • @joycematonya1241
    @joycematonya1241 5 ปีที่แล้ว

    honger mh jokate mungu ni mwema utampata mume bora mwaka huu hauishi

  • @ireneranga7024
    @ireneranga7024 5 ปีที่แล้ว

    Nakupenda jokate kuanzia leo.your very smart darling, you don pretend yaan unasema kile unachoamin bila uongo mama ...

    • @winniewendy8390
      @winniewendy8390 5 ปีที่แล้ว

      254 love here,, nakupenda bure dada

  • @samwelchilumba464
    @samwelchilumba464 3 ปีที่แล้ว

    Joketo Nampenda sana.

  • @elijahlinus5450
    @elijahlinus5450 5 ปีที่แล้ว

    Very smart mh.hongera sana

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 3 ปีที่แล้ว +1

    Congrats sister

  • @aiahajumanne4642
    @aiahajumanne4642 5 ปีที่แล้ว

    mungu azidi kukuweka jokate na akusimamie ktk kazi zako. uko vzr sana

  • @wairimu9113
    @wairimu9113 3 ปีที่แล้ว

    Wengine wakipewa traits kama hivi na nilikua wapi?if "anything is possible" was a person❤️

  • @celinebabylon7111
    @celinebabylon7111 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah jojo mzuri ❤🎀

  • @elisantempanda169
    @elisantempanda169 4 ปีที่แล้ว

    Nice interview, Jokate...GO

  • @saudamanyongo5766
    @saudamanyongo5766 5 ปีที่แล้ว +5

    Love you jokete ❤

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 5 ปีที่แล้ว +1

    J. Mh. Give your chance but if huko na hofu ya Mungu.
    God Blessed you kwa kuwatumikia wanakijiji.

  • @salmahassan617
    @salmahassan617 5 ปีที่แล้ว

    Mh jokate jamani kipenzi chawengi hongera sana mama upo poa.

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa1069 5 ปีที่แล้ว

    Maashaallah mungu akupe umri wa maisha marefu

  • @elishaeliasimathiasi2833
    @elishaeliasimathiasi2833 5 ปีที่แล้ว

    Huu nimpango wa mungu kumuweka mh.jokate mwegelo mpaka sasa hajawa namume lakini nikiongozi bola kwa wananchi wa wilaya ya kisalawe. Lakini tupo vijana wenye maadili mazuri tunaoweza kua pamoja na jokate asiwe mpweke.

  • @salmaaman2813
    @salmaaman2813 5 ปีที่แล้ว +1

    Its true hakuna kitu kinakuja kirahis tu bila kujitoa