Mfahamu Mkuu wa Wilaya ya Temeke Tanzania Jokate Mwegelo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Jokate Mwegelo ni mwanamke mwenye umri wa miaka 34 na licha ya umri wake mdogo alijiingiza katika medani za siasa mapema tu na sasa ni mkuu wa Wilaya ya Temeke , iliyopo Dar es Salaam Tanzania. Sikiliza safari yake.
#bbcswahili #uongozi #tanzania