Mkasi - SO2E13 with Kibonde

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 114

  • @MwanamkuuMumbe
    @MwanamkuuMumbe 2 หลายเดือนก่อน

    ❤ tulimpenda Ila mungu amempenda zaidi

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 3 หลายเดือนก่อน +1

    KIBONDE UMKUTE ANAFANYA TANGAZO LA VIDEO,,,😊,,,UYO MZEE NUKSI

  • @darlinmamawatatu6411
    @darlinmamawatatu6411 5 ปีที่แล้ว +3

    Plz salama bring back mkasi

  • @jeffersonsimon477
    @jeffersonsimon477 4 ปีที่แล้ว +2

    R.I.P kibonde we miss u broh

  • @angelntandu4648
    @angelntandu4648 5 ปีที่แล้ว +5

    Salama rudisha hiki kipindi hewani umefanyia watu mahojiano mazuri sana yanaonekana mapya kila siku.hapa ndio watu wanaelewa hawa watu waliongea nini kabla ya kufa

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 5 ปีที่แล้ว +7

    Walotangulia mbele za haki na waliowahi kuhojiwa katika mkasi, Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 6 ปีที่แล้ว +21

    Salama una kipindi gani kwa sasa? You know I miss your work jamaniii. Bring back mkasi or tunaomba something new jmn fans tunakumiss

    • @mydiary39
      @mydiary39 5 ปีที่แล้ว +2

      Ana kipindi kinaitwa Shabiki On Saturday kila Jumamosi saa 5 asubuhi Eatv

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 4 ปีที่แล้ว

      I love Jesus same to me

  • @neycoleclassic4426
    @neycoleclassic4426 6 ปีที่แล้ว +4

    hawa watangazaji wote, nilikua nawapenda na nitawapenda. maana wana utofauti

  • @mohamedalaraimi6813
    @mohamedalaraimi6813 5 ปีที่แล้ว +3

    Kibonde katutoka jamani Inna lilah waina ileihi Raj un

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri 5 ปีที่แล้ว +8

    Rip Kibonde ulikuwa smart..

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 5 ปีที่แล้ว +5

    Kanumba, Ruge, Kibonde, King Majuto, wote hawa Salama alipata bahati ya kuwahoji kipindi cha uhai wao katika kipindi cha Mkasi. May there souls rest in peace

  • @sandekanyamala2456
    @sandekanyamala2456 5 ปีที่แล้ว +3

    dah!!... Nilianza kukufuatilia toka kipind hiki kirushwe,Ni wanaume wachache wenye uelewa kama wako,Pumzika kibonde,kila nafsi itaonja mauti

  • @embedodo11
    @embedodo11 12 ปีที่แล้ว +6

    kibonde this interview umeiweza..bigup salama!!

    • @sadimiko1387
      @sadimiko1387 5 ปีที่แล้ว

      salama rudisha hichi kipindi tafadhali r.i.p kaka kibonde

  • @alfanshonde2438
    @alfanshonde2438 5 ปีที่แล้ว +4

    Daaa kibonde jaman pumnzika kwa aman

  • @hurumaevarest1690
    @hurumaevarest1690 5 ปีที่แล้ว

    Salama huwa nakukubali sana ila mwanzo nilikua sikuelewi elewi lakini nakuelewa sasa uko vizuri sana hiki kipindi hebu kiendeleze tena nakukiboresha zaidi. Tunapata elimu kwanjia moja au nyingine. By the way R.I.P Kibonde

  • @emanuel4148
    @emanuel4148 5 ปีที่แล้ว +4

    Daah jamaa katutoka RIP

  • @emmanuelimaxxaka754
    @emmanuelimaxxaka754 5 ปีที่แล้ว +1

    R.l.p kibonde good Ailaze Roho yako mahali pema pepon Amen🕯🕯🕯🙏🙏🙈

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 5 ปีที่แล้ว +1

    Rest In Peace Kibonde

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 6 ปีที่แล้ว +1

    very professional nimempenda mno huyu kaka pole na msiba

    • @saidangel8958
      @saidangel8958 5 ปีที่แล้ว

      Hapa ulimpa yy pole leo na yy kaenda aisee inauma

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e 5 ปีที่แล้ว

    INALILAH WAINAILAYH RAJIUNI.

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya3147 5 ปีที่แล้ว +2

    R.i.P kibonde 😭😭😭

  • @doramwanyika5826
    @doramwanyika5826 5 ปีที่แล้ว +4

    Rip kibonde😭😭

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows 5 ปีที่แล้ว +2

    Asee hichi kipindi kirudishwe Jaman dah

  • @evelynmon6491
    @evelynmon6491 5 ปีที่แล้ว +6

    Afadhali salama mwenzetu ulikuwa unamwambia mtu ukweli kama unampenda unampa sifa zake kabla ajafa

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 11 ปีที่แล้ว +1

    Yemeni ni nchi maskini sana uarabuni; hivyo hawana nguvu ya kijeshi au kiuchumi kuweza kurudisha influence yao kwenye makoloni ya awali hasa inapohusisha kuwepo kwa malighafi kama mafuta; Wangekuwa na nguvu kijeshi wa kupingana na marekani na wababe wangweza kurudi zanzibar wakafanya uchimbaji wa mafuta yaliyogunduliwa katika bahari pale; Lakini ubavu hawana.

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 3 หลายเดือนก่อน

    😢 SHAME SO much memories

  • @janekapela1967
    @janekapela1967 5 ปีที่แล้ว +1

    Daaaaah 😢😭

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535 3 หลายเดือนก่อน +1

    Gadna na kibonde daah tutawakumbuka sanaaa❤

  • @motanzanya6723
    @motanzanya6723 5 ปีที่แล้ว

    Daaah umauti hauna urafiki ,,,,,,,punzika kwa aman KIBONDE

  • @nakukanyatena3060
    @nakukanyatena3060 11 ปีที่แล้ว +5

    jameel871 wewe ni sawa na nguruwe, maneno unayo sema ni kama kula mavi yako nafikili ha muonekano wako utakuwa kama nguruwe, hata mkeo unaishi nae kwa maneno ya kijiweni kwa akili huna

    • @antoniageorge5369
      @antoniageorge5369 5 ปีที่แล้ว

      nakukanya tena una hadabu

    • @zumbaabiyah3184
      @zumbaabiyah3184 5 ปีที่แล้ว

      Huyo jamaa asamehewe bure, kuna haja kbs SERIKALI HII SIKIVU,IMTAFUTE NDIPO AKILI YAKE ITAKAA SAWA,ana ujasiri gani, wakuongea huo utumbo? KI UKWELI, BNAFSI NIMEUMIA SANA, KUMTUKANA BABA WA TAIFA?!! 😷😱😇😤❗️TCRA, Polisi, tafuta hii Jamaa. 😱😱❗️ili aadabishwe ili liwe fundisho.

  • @hamzambasha8577
    @hamzambasha8577 3 ปีที่แล้ว

    R.i.p kibonde jahazi kumepoa Sana now

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign 12 ปีที่แล้ว +2

    Salama hivi kuhusu BLOCKING, ulikuwa una uhakika kama FACEBOOK hakuna kitu kama hicho?...FACEBOOK ndio rahisi kushinda TWITTER basi kama hujui nakuabalisha...kuweni makini mnatazamwa na watu wengi so mkiwa vitu vidogo kama hivyo hamu vifahamu inakuwa inatia udhuni,,,maana naona bora nije mimi hapo nisikilizwe!...pamoja sana!

  • @pikipiki_market
    @pikipiki_market 5 ปีที่แล้ว +2

    🔥🔥🔥

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 5 ปีที่แล้ว +1

    R.I.P BROO

  • @marymathew6529
    @marymathew6529 5 ปีที่แล้ว

    R.I.P Kaka Kibonde

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 5 ปีที่แล้ว +2

    Rip kibonde

  • @ahmedkapera6989
    @ahmedkapera6989 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka ndungu yangu

  • @suzanpatrick8381
    @suzanpatrick8381 5 ปีที่แล้ว +1

    r.I.p baba

  • @a.856
    @a.856 5 ปีที่แล้ว +1

    Salama rudisha mkasi dada

  • @Frankvanmuniko
    @Frankvanmuniko 11 ปีที่แล้ว

    KIBOBOBOBOBOBOBO a.k.a KIBzzzzz

  • @jeremiahmujinja4451
    @jeremiahmujinja4451 ปีที่แล้ว

    R. I. P Kibonde

  • @lutemelele9619
    @lutemelele9619 5 ปีที่แล้ว +1

    r.i.p kibonde

  • @hamisreegan3738
    @hamisreegan3738 5 ปีที่แล้ว +2

    Pumzka Kwa amani kibonde

  • @bahatymsungu2779
    @bahatymsungu2779 5 ปีที่แล้ว

    Rip baba

  • @a.856
    @a.856 5 ปีที่แล้ว

    Rip baba poleni wte

  • @sultankaburutajr7422
    @sultankaburutajr7422 5 ปีที่แล้ว

    Pumzika kibonde r. i . p

  • @shedrackmaluli1373
    @shedrackmaluli1373 5 ปีที่แล้ว

    RIP Kibondee

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 5 ปีที่แล้ว

    Pumzika kwa amani kaka...sote tulikuja na tutaondoka

  • @fredyqmaa4680
    @fredyqmaa4680 7 ปีที่แล้ว

    Haya

  • @princehamad4225
    @princehamad4225 5 ปีที่แล้ว

    Tutakukumbuka daima

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 5 ปีที่แล้ว

    salama, hivo ulivokua umekaa si ustaarabu wala maendeleo mbele ya mkubwa wako unaemfanyia interview. tizama leo tumempoteza Kibonde, utaweza vipi kurudi myuma. na yeye bila ya shaka alikua pia anaona hivo.

  • @kevinbona7669
    @kevinbona7669 10 ปีที่แล้ว

    hehehehhehehe eti huwezi blck mtu facbk haya bhana ila sio kosa lako ni kujua ti hop now utakua umeshaelewa

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid8381 5 ปีที่แล้ว +1

    Kaka tumekupenda ila mungu kakupenda zaidi

  • @askaounga6456
    @askaounga6456 5 ปีที่แล้ว

    Vipi mrembo ana sagg

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign 12 ปีที่แล้ว +4

    nywere zimekwisha kichwani mbona unaendelea kunyoa?...una nyoa nini hapo?

  • @mihayoonline1573
    @mihayoonline1573 4 หลายเดือนก่อน

    Endelea kupumnzika

  • @rehemahassan4779
    @rehemahassan4779 6 ปีที่แล้ว

    Pole my bro

  • @ElizabethHosea
    @ElizabethHosea 12 ปีที่แล้ว

    Salama, unaweza kuwazuia watu kukuandikia facebook pia :)

  • @rajabk1
    @rajabk1 11 ปีที่แล้ว +1

    Salama ana tendency ya kukatisha maswali yake na kulazimisha yake. its her say kwanza the wengine wafuate

  • @AbouDalgubay
    @AbouDalgubay 11 ปีที่แล้ว +2

    Ni kipindi chake sasa unategemea nini? kama unataka useme wewe zaidi then uanzishe chacko ama sivyo??

  • @jandaboytztz6314
    @jandaboytztz6314 5 ปีที่แล้ว

    RipKibonde

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 11 ปีที่แล้ว +8

    Seminari zinafundisha dini na elimu ya kawaida. Automatically wakristo watakuwa na wasomi wengi hivyo kuwa wengi serikalini; Huweezi soma madras pekee halafu uweze kujiunga na CHUO! au uwe waziri wa fedha!. Nyerere alibadili Pugu, Kwiro na seminaries nyingine kuwa public schools na wasomi wengi waislamu kama Lipumba walisoma kwa juhudi hiyo. Jiulize waislamu wangekubali shule za kiislamu zibadilishwe kuwa shule za wote?

    • @narrob4teentebeconnexion
      @narrob4teentebeconnexion 5 ปีที่แล้ว +1

      Hao wakristo waliweka maseminari yao kwa lengo la kutunyonya tuu sio wakupe elimu kwa maslahi yako. Ndio maana mpk leo makanisa yamekuwa ni bihashara kama magenge ya mbogamboga. Mkasi, kibonde wapi na wapi na uislam. Waislam ndio walipigania uhuru wa nchi wakiiwa na nyerere kama kijana msomi wakamwachia madaraka, wakristo wangeweza kupambania uhuru zen waache waislam waongoze? Uislam haupo kama akili zako zinavyokutuma........

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 5 ปีที่แล้ว

    Salama hio mikao angejamba hahahahah r.i.p kibonde

  • @jandaboytztz6314
    @jandaboytztz6314 5 ปีที่แล้ว

    #RipKibonde

  • @ramadhanimagomba7395
    @ramadhanimagomba7395 6 ปีที่แล้ว +2

    Mtaalam na mkongwe wa #Jahazi

  • @festomlowegypsum8214
    @festomlowegypsum8214 5 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwaamani blo mseimie boss RUGe

  • @IshiKistaa
    @IshiKistaa 5 ปีที่แล้ว

    TEMBELEA UKURASA WETU KUFAHAMU NYOTA YAKO th-cam.com/channels/xBrgr6eSdKzbt1PUSZ9dWQ.htmlvideos?view_as=subscriber

  • @gervasmkini6341
    @gervasmkini6341 4 ปีที่แล้ว

    unanyoa MTU hana nywele

  • @erickemmanuel9511
    @erickemmanuel9511 5 ปีที่แล้ว

    May your soul rest in eternal peace brother

  • @ramadhanihayeshi5812
    @ramadhanihayeshi5812 10 ปีที่แล้ว +1

    Kila nisomapo maoni ya baadhi ya Watanzania wenzangu hususan juu ya masuala ya imani na dini, napata hisia kuwa tunakoelekea ni kule kule kama walipo Jamhuri ya Afrika ya Kati.

    • @masoudmanya7488
      @masoudmanya7488 10 ปีที่แล้ว

      Kwa kuwa hutujui shida ya kujuana kiimani ndo mana hizi Choko choki zinakuwepo,serious we need kukemea ujinga wa kutetea ujinga wa udini

    • @ramadhanihayeshi5812
      @ramadhanihayeshi5812 10 ปีที่แล้ว +1

      Masoud Manya Ni hatari sana bro, inatia hofu na kama ulivyosema yatupasa kukemea huu ujinga kwa nguvu zote, halafu kinachonishangaza, ukimuuliza Mtanzania yoyote yule kuhusu mafungamano yake na mtu au watu wa imani tofauti na yake lazima utakuta nao mpaka ndugu wa damu, jamaa na marafiki wa karibu, sasa ifike mahali tukubali jambo hili halina tija wala maslahi kwa taifa letu.

    • @ombenisomi2210
      @ombenisomi2210 9 ปีที่แล้ว

      Ramadhani Hayeshi Hili ni taztizo kubwa na ukubwa unaongezeka maana nchi imekosa wakukemea kila mtu analalamika ukiona hata wenye kutuonesha njia wanalalamika uone hatari zaidi. Nchi imekua ya wafanya biashara viongozi wanaongoza wanatafuta pesa, nchi hii kila mwenye pesa anawaza kuwa kiongozi. Angalia Prof Lipumba anataka kuwa rais wetu lakini na yeye kashaingia kwenye mkumbo wa dini unawaza anaweza kutusaidia?? We seriously need to change, getting a very respected man like J.K Nyerere will take us years

    • @ramadhanihayeshi5812
      @ramadhanihayeshi5812 9 ปีที่แล้ว

      Inatia hofu Ombeni Somi lakini hapa tusimlaumu Lipumba peke yake, hata wengine pia wapo kwenye mkondo huo wa dini. Kifupi tuseme Misikiti na Makanisa nayo imeamua kuwatumikia watu

    • @ombenisomi2210
      @ombenisomi2210 9 ปีที่แล้ว

      You are very right Brother!

  • @briannyiti208
    @briannyiti208 5 ปีที่แล้ว

    Duuuu! E Mola tusaidie tupate akili ZA kujua siku ZA kukaaa hapa duniani!

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 ปีที่แล้ว +1

    Nisaidieni takwimu za waliofanya interview na hatunao tena !!!!!!!!

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 5 ปีที่แล้ว

      Mama Chris yaaani naona orodha inazidi kupungua tuuu...Mungu awasaidie kwa neema yake.

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 5 ปีที่แล้ว +2

      Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.

    • @witnessmbwasi892
      @witnessmbwasi892 5 ปีที่แล้ว

      Mungu awape kauli dhabiti

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 5 ปีที่แล้ว

    Kwa hapo kwa Nyerere kukuta watu sio wasomi marehemu hakusema kweli. Wasomi walikuwepo na yeye aliwakuta akaishia kuwafukuza na wengine kuwauwa kwa hofu ya kupinduliwa.

    • @paulmpazi5358
      @paulmpazi5358 5 ปีที่แล้ว

      Mohamed Othman wasomi waliokuwepo wakati huo walikuwa na elimu ya kikoloni na tabia za kikoloni na ndio waliokuwa wanatumika kuwanyanyasa wazawa.

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 5 ปีที่แล้ว

      @@paulmpazi5358 Elimu ya kikoloni ndo ikoje hiyo, unataka kusema hata Osca Kambona, Bibititi Mohamed hakusoma.....? Soma historia acha kusikiliza maneno ya watu bro

    • @mariaedward6946
      @mariaedward6946 5 ปีที่แล้ว +1

      Nadhani walikuwepo lakini sio kwa idadi iliyohitajika supply was less than demand

    • @djsantah9429
      @djsantah9429 5 ปีที่แล้ว

      r. I. p kibonde

    • @lucasdismas4314
      @lucasdismas4314 3 ปีที่แล้ว

      kibonde alisema kweli ila wewe ndio hujui Historia,ngoja nikupe mfano wa Congo,Rais Mobutu alikuta nchi haina msomi hata mmoja wa chuo kikuu Congo nzima na ukubwa wake wote,mimi kuna wazee walinambia wakati wanasoma chuo kikuu hapa Tanzania walikuwa ni wachache mno kiasi kwamba wanafahamiana wote,hapakuwa na wasomi wengi Tz nadhani hata hawakufika 50 (university graduates)

  • @jacksonrichard6639
    @jacksonrichard6639 5 ปีที่แล้ว

    Rip kibonde

  • @shedrackmaluli1373
    @shedrackmaluli1373 5 ปีที่แล้ว

    RIP Kibondee

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 5 ปีที่แล้ว

    Rip kibonde

  • @shiraann632
    @shiraann632 5 ปีที่แล้ว

    Rip kibonde