Mkasi - SO3E06 with Ray
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 มิ.ย. 2012
- Mkasi S03E05 Mgeni wetu ni Vicent kigosi ambaye ni muigizaji wa Filamu za Kitanzania (BongoMovies), Katika kipande hichi cha msimu wa tano, Vincent kigosi anaongelea jinsi gani Jina lake maarufu la RAY lilipotokea, pia anaongelea kuhusu uigizaji kama ajira.
Pia anazungumzia kuhusu changamato wanazokumbatana nazo katika tasnia ya filamu, pia uhusiano wake na Steven Kanumba.
Usisahau kusubscribe kwenye channel.
/ @mkasitv
our website: mkasi.tv/ - บันเทิง
RAY umejielezea vizuri sana, hukuonyesha maringo yoyote, na salama unajitahidi mamii big up
nakukubali saaana
10 Years Today... Big up to you
napenda movie zake ray leo2018 na mm nna xmart toka 2006
Ray .hauna hata malingo nimekukubali broo sichoki kuangali move zako aseee
I love this guy ray he looks hundsme to me
Pliz Vincent kigosi look for wakina Jennifer, Patrick, Sofia, na jamila, utakua sawa na hao watoto tunawapenda sana, asante kwakutafuta johari tunampenda sana
katika mkasi za ukweli kuna hii hapa.yaan maswali wameuliza yamaana na yakajibiwa ki ufundi zaid.pia kulikuwa na maelewano mazuri pande zote....big up sana
Sure,Ray uko vizuri kaka like that
Ray uko poa napenda movies zako
Bongo movies imekua kwa kiasi chake, - but we still have a long way to Go! Keep it up Guys!
Ray movie zako safi sna
We mhandsome mashallah
Nimeipenda Sana interview ya Ray anajibu maswali vizuri na Hana maringo yakujifanya mngereza hivyo ndivyo vinatakikaniwa ukiulizwa swali Kiswahili jibu Kiswahili lakini wengine maringo tuu kujifanya wangereza ilhali hawakijui vizuri sioni umuhimu wakuchanganya lugha,,,,, hongera Sana Ray na salama pia nakupongeza na wenzako wote kina muuba na john
Jefason Kingy Mrs ...Ni kweli kabisa!..pale wasanii wengine wanapochanganya English kibao yani wenyewe wanaona ni ujiko kweli!..kumbe awajui wanapoteza ladha yote!
Kubalini mkatae watanzania jamani English is international language lazima watu wajifunze sio mashauzi
ray anamguu mashallah
Ray nakupenda sana
Mmmmmh ry na hereni jamani mtihani sana hv mwanaume niwakuvaa heleni au ndio kioo cha jamiii
am from Kenya and I love you're movers so much. i like it
Ray nakubali sana tena sana
solute to you bro you know what your are doing,,,, from kenya
Salama hapana chezea!!!!!!!!!!!!
big up Salama umeuliza maswali mazuriii me lav u sanaaa
Fresh sana kigosi mkuu upo vizuri
Da kuwa star ni shida I
love u salama, u r the best
Duhuu rey mzuri jamani
Sai kinasema kinampenda na kilikuwa kinamchukia,, ray utafika mbinguni wewe pia.😭😭
good job guys i love
the shows
maswali mazuri
Sawa mkweli
bro mbna now dayz uko kimnya sana
nakukubali ray na picha zako
Nakukubali ray
we we mkweli
Keep it up
kizazi sana
utafanya nini kama ikikutokea anaetakiwa kukufuta machozi lakini ndie anaekufanya ulie"
so nc rain
Salama umeolewa? unaumri gani? je list ufika watano? we unauliza maswali yakizushi na makali usi panic naomba jibu, mie shabiki wako
2022 still watching 👀
Ray Ray
Nani karudi uku tena tujuane.
nc rain
kichwa kingine !!!
salma kwann ucwe pekee yk kwnye hii game ati?
hawa jamaa wengine hawajui kbs kuinterview hawajaenda skuli
mubah usimkatishe mgeni
"Kaa humo!" hapo mumeenda mchomo neno "Ripuka" ndio sahihi na sio "Lipuka" hakuna neno Lipuka katika kiswahili sahihi
LOL SALAMA MARA YA MWISHO KUNINI?
mkali
nirushien movie v.I.p
Mam Danford mashaallah p
natafuta kiki
First, put on groves brah!! Set up a good example people.. This guys spoke only Swahili and that is good. When people start mixing with English, they start bringing down themselves and there people. Movie that kibongo, au African story is not good tools for upbringing the youths. How are we doing that? How are we empowering the youth through stories?
jamaa kichwa
nice
salama sana
nitafute whatsapp+25779729341
I like this movies
Hhh.pumbafu...
kwanini unasema hivyo?
maswali kama mtu hana wazazi bwana
Inapendeza
Daniel Mbaziro tyu
oya! mi huyu jamaa yako mwenye t-shirt nyekundu anatuharibia kipindi, maswali yake hatumii akili kabisa...na wala hajui wapi pakuliza swali...
good interview ray
Rafiki yako ndiye hadui yako kanumba alikuwa na roho safi sana kwanini ulimuchukia mpaka kanumba alipo jiita the great eti na wewe ukajiita the greatest hmm mimi hata movie zako sizitaki
muuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuba mzuri wewe
K Michelle and