Kiasi wanacholipa YouTube kwa kila view

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 127

  • @zaromedia5027
    @zaromedia5027 2 ปีที่แล้ว +26

    Ndugu yang mungu akulipe, kwan kuna kipindi cha nyuma nilikupigiaga simu.. nikaomba maelekezo flani kuhusu youtube nawe ulinielekeza bila ya gharama yeyote.. sasa sasa ivi japo chanel yang ni ndogo ila naona dalili nzuri.. naheshimu saba mchango wako broo . God bless u

    • @manuelraulchimangande
      @manuelraulchimangande 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ulipata wapi number ya huyu bro mbona natafuta sana.from mozambique

  • @ibnmasoud8151
    @ibnmasoud8151 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante boss nakubali sna kazi zako💪

  • @saimontech2530
    @saimontech2530 2 ปีที่แล้ว +5

    Nzur Sana hii ivi kwa mfano ukiw unatumia video ambazo license reuse allow hazitakuwa na re used content wakat wa monetization naomb jb

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +3

      Kutumia content nyingine inaruhusiwa aila lazima uwe umeziongezea vitu ama kuzi edit ama kuzichambua haitakiwi uzi upload kama zilivyo

  • @schoolofsuccess666
    @schoolofsuccess666 2 ปีที่แล้ว +7

    Hii muhim xna rich, umejua content ya kuandaa!!

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Asante sana kuna nyingi zinakuja

  • @gama_liely
    @gama_liely 2 ปีที่แล้ว +4

    Vizuri sana brother

  • @MangiAlex-bh8cr
    @MangiAlex-bh8cr 23 วันที่ผ่านมา

    Kwanin toto viz zinapungua alafu viewers Zina panda

  • @amosgolola1203
    @amosgolola1203 2 ปีที่แล้ว +8

    content creator 😊

  • @ejntv
    @ejntv 2 ปีที่แล้ว +5

    Asante bro🤗🤗🤗kwa elimu yaan ukipata viewers kutoka malvides 500 tu unakula kitimoto😀😀😀CPM ya huko ni balaa

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Hahahaha noma

    • @ejntv
      @ejntv 2 ปีที่แล้ว +1

      @@Richstartz aisee kuna nchi ukipata Viewers wa huko umetoboa

    • @zemasterbeatz
      @zemasterbeatz 2 ปีที่แล้ว +1

      @@ejntv nchi zipi hizo broh

    • @ejntv
      @ejntv 2 ปีที่แล้ว +2

      @@zemasterbeatz kuna malvides ndo inaongoza then zinafata USA,UK,South Africa,Canada,japan

  • @lizzotech
    @lizzotech 2 ปีที่แล้ว +6

    Kwa mfano ukapat viewers 100k mwezi wa kwanz ila mwez wa pil haukufikish haulipw pesa kwa sababu haukifikish viewers 100k kwa huk mwez wapili

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Yes watajumlisha na views zitakazopaikana mwezi ujao

    • @Wangeuye
      @Wangeuye 8 หลายเดือนก่อน

      Naomba niandikie namba zako Ili nikupigie

    • @AzaniJuma
      @AzaniJuma 29 วันที่ผ่านมา

      We namba broo​@@Richstartz

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubaarik

  • @Japhalazard54
    @Japhalazard54 ปีที่แล้ว +1

    Brother naomba unijibu nataka kujua masaa 100 miamoja ni sawa na views wangapi 🙏🙏🙏 naomba nijibu

    • @Richstartz
      @Richstartz  ปีที่แล้ว

      Inategemea. Swali lako ni pana sana.

  • @kamatiaraza3132
    @kamatiaraza3132 2 ปีที่แล้ว +2

    Sawa na ngap

  • @ROMTV5
    @ROMTV5 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Kaka mkubwa 💪💪 somo zuri

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Asante kwa kuwa hapa pamoja

  • @ROMTV5
    @ROMTV5 2 ปีที่แล้ว +2

    Very nice content 👍

  • @ONEdreamfilmtz
    @ONEdreamfilmtz ปีที่แล้ว +1

    Umetoa elimu kubwa sana mkuu

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana..

  • @SAYMON794
    @SAYMON794 3 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @elycreativetz9947
    @elycreativetz9947 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante maana nimejua ambayo nilikuwa siyajui🙏🏿

  • @macthebandlaber..
    @macthebandlaber.. 2 ปีที่แล้ว +3

    Bro mimi nataka kujua ni kitu gani nifanye Ili TH-cam channel yangu iweze kukua kwa kasi yani

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Jifunze hapa th-cam.com/video/AMWn_yPmoJU/w-d-xo.html

  • @Tinoshootit
    @Tinoshootit 2 ปีที่แล้ว +6

    Nashukuru kwa somo, sasa kwa nini siku hizi video kwanye youtube matangazo hazitokeze?

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Sijaelewa swali lako

    • @Tinoshootit
      @Tinoshootit 2 ปีที่แล้ว

      Matangazo hazionekanaki tena kwenyi video zote za TH-cam

  • @joelmedia_
    @joelmedia_ 2 ปีที่แล้ว +2

    Here we go

  • @andrewbenard53
    @andrewbenard53 2 ปีที่แล้ว +3

    Aisee

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana. Usisahau ku subscribe katika channel hii

    • @youngdavizytz1626
      @youngdavizytz1626 ปีที่แล้ว +1

      Bro mambo vp aiseee uko vizuri sana kwaelimu yako sisi tunapata matumaini kwakeli nafurahi Sana na nnakufatilia San kila chaneli yako ila mi naomba kitu kimoja tu kak eti ukiwa umefikia wakati wakulipwa je wanakulipeje ama iyo hela unayolipwa unaipateje? Kak naomba unielekeze apo afu pia umesemea na upande wa matangazo kwenye video yani ili video yako iwe na tangazo unafanyeje apo kaka naomba nipate ujuzi uo ama unitumie namba yako bro nikupigie unielekeze Ila sorry kwa usumbufu kidog kak

  • @𝐏𝐚𝐜𝐡𝐨𝐛𝐨𝐲12
    @𝐏𝐚𝐜𝐡𝐨𝐛𝐨𝐲12 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro Niko swali

  • @ShadrackaZakayo
    @ShadrackaZakayo 3 หลายเดือนก่อน

    Sawa Kiongoz Umetisha.

  • @Lodybeat36
    @Lodybeat36 2 ปีที่แล้ว +3

    Ok thanks broo ivi atakama ujakizi vigez utalipwa ilaa autaipata ety broo?

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      Kama hujakizi vigezo maana yake hauwexi kulipwa kwa sababu haupo katika mfumo wa malipo japo matangazo yanaweza onekana

    • @Lodybeat36
      @Lodybeat36 2 ปีที่แล้ว +1

      @@Richstartz Ooooh sawa brooo nashukulu sana ila nilikua nauitaji wa namba yako brooo

  • @Official_robert_tz
    @Official_robert_tz 7 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉

  • @pastorappy7680
    @pastorappy7680 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa kuelewesha

  • @franknkonjerwa
    @franknkonjerwa ปีที่แล้ว

    Naitaji kujua je nikijiusixha na mambo ya michezo nikawa na post game au Short video goal

  • @jaynationtz2100
    @jaynationtz2100 2 ปีที่แล้ว +4

    Kaka mi naomba namba yako tafadhali

  • @ejntv
    @ejntv 2 ปีที่แล้ว +2

    Kuna watu wa tech pia wanapiga RPM balaa unakuta mtu anapiga RPM ya $38 kwahiyo kwa viewers 1k anapata $38 daah

  • @Kingshine
    @Kingshine 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante mwalimu

  • @paulngusa192
    @paulngusa192 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kwa ufafanuzi wako mzuri, naomba unifafanulie tena kwamba nitajuaje kama nimetengeneza pesa na nitaipataje?

  • @halisimediatz
    @halisimediatz 2 ปีที่แล้ว +4

    Kaka Please Tuwekee Somo Nini Chakufanya TH-cam channel ikizuiliwa Kumonetize

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Sawa nitalifanyia kazi

  • @kyelaonlinetv2
    @kyelaonlinetv2 2 ปีที่แล้ว +1

    Nime elewa sana kuna mengi ume niongeza kitu kichwani

  • @PizzoBeatz
    @PizzoBeatz 2 ปีที่แล้ว +5

    Mimi mwemyewe nilikuwa naisubiri hii course

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Asante sana usisahau ku subscribe na kushare video hii

    • @PizzoBeatz
      @PizzoBeatz 2 ปีที่แล้ว +1

      @@Richstartz Kuna somo Fulani Hivi nalisubiri kuhusu code zote za piano na jinsi ya kitengeneza beat

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +1

      @@PizzoBeatz Nitalifanyia kazi

  • @hamysonpictures7274
    @hamysonpictures7274 2 ปีที่แล้ว +6

    Je unaeza lipwa views wakati subscribers wako chini ya elfu moja?

    • @brunokisubi
      @brunokisubi 11 หลายเดือนก่อน +1

      Apana

  • @KymNicky
    @KymNicky 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran san rich je kuusu kusaji channel nimuhim kwa kila channel au inategemea na channel inausu nini

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Usajiri wa TCRA ama ?

  • @khamishaji2037
    @khamishaji2037 2 ปีที่แล้ว

    kusajili channel ya kawaida ya elimu unalipia sh ngapi TCRA. asante kwa kutielimisha

  • @talentdzonetv
    @talentdzonetv ปีที่แล้ว

    Asante kwama yote ila kk misijuwi lakimoja ningapi kwa kifaranca ni explique kidogo yani laki moja100 ama 1000

  • @nicholausmsaki358
    @nicholausmsaki358 2 ปีที่แล้ว +2

    Bro mi Kuna kitu kinanichanganya je unaweza kulipwa bila kwenda basata

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      basata kufuata nini

  • @official-gift-m6u
    @official-gift-m6u 2 หลายเดือนก่อน

    Samahani naomba niulize,, channel yangu ya TH-cam inamiaka miwili na sijafikia monitazation je inafaa kuendelea nayo au nifungue nyingine? Maana naona vigezo ni miezi 12 tuu

  • @chachmedia
    @chachmedia ปีที่แล้ว

    Mr Rich Tunaomba Utupe Kipindi Juu Ya Namna Gani Unaweza Ifanya TH-cam Kuwa Biashara ya Kudumu

  • @RumarineWistonly-jv2of
    @RumarineWistonly-jv2of ปีที่แล้ว

    Thanks

  • @heavenmusicbeats894
    @heavenmusicbeats894 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana somo zuri

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว +2

      Asante sana kwa. Ubarikiwe

  • @computersales-tz
    @computersales-tz 2 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe malipo ni kila mwezi

  • @MTIMKAVUTV6073
    @MTIMKAVUTV6073 3 หลายเดือนก่อน

    Kk nitajuaje kama you Tobe wame nilipa

  • @Yangaonetv
    @Yangaonetv 10 หลายเดือนก่อน

    kaka unafundisha vizuri sana nilikuwa napenda niombe namba yako tuwe tunachati kwa mawasiliano ya kawaida

  • @KANUMBAMASINDE
    @KANUMBAMASINDE 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi naitaji kijua namna ya kufungua google adsens

  • @mtangawisse6o1
    @mtangawisse6o1 ปีที่แล้ว +2

    Je video short una lipwa

  • @sanganyivagmailcom
    @sanganyivagmailcom ปีที่แล้ว

    asante sana
    Dugu nikiwa na swali nda ku suali

  • @Jay-Ningo
    @Jay-Ningo 11 หลายเดือนก่อน

    Sasa mimi Nina chaine yangu nikifanikiwa kupata vieus nyingi nikataka kuripwa nitaripwa nabani?

  • @paulngusa192
    @paulngusa192 ปีที่แล้ว

    Je, hizo Dola nazipataje

    • @Richstartz
      @Richstartz  ปีที่แล้ว

      Zinaingizwa katika account yako

  • @bekamboy910
    @bekamboy910 9 หลายเดือนก่อน

    Samahan kwahyo ukifikisha masaa elf4 kabla ya mwaka mzima kuisha huwezi ukalipwaa au n lazima mwak uishe

    • @giant_701
      @giant_701 5 หลายเดือนก่อน

      Siyo lazima mwaka uishe

  • @user-xu7ri8kq2u
    @user-xu7ri8kq2u ปีที่แล้ว +1

    Kaka ili ufungue youtube chanel ambayo itakua inakulipa inatakiwa uwe na vigezo gani

    • @Richstartz
      @Richstartz  ปีที่แล้ว

      Subscribers 1000
      Watchtime 4,000 hours
      Views 10,000+

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 ปีที่แล้ว

    Nani anaeruhusu matangazo yapite kwenye channel ya TH-cam?!

  • @zabronnduwayo9857
    @zabronnduwayo9857 ปีที่แล้ว +1

    Hivi kaka matangao huwa wanaweka wenyewe ama ni wew mhusika wa ocount ndo unaweka?

    • @Richstartz
      @Richstartz  ปีที่แล้ว

      Wewe unayaruhusu wao wanaweka automatically

  • @MiwagoTz
    @MiwagoTz ปีที่แล้ว

    Mambo vipi kaka,mimi nataka unisaidie njia za kujisajiri hili nipate pesa account yangu ndo hii

  • @gabrieljakobondolezi2388
    @gabrieljakobondolezi2388 ปีที่แล้ว +1

    Naomb unpigie xamhni maana nahitji msaad wako

  • @Mrlucas-ic6ks
    @Mrlucas-ic6ks ปีที่แล้ว

    Nikweli anachoongea😂😂

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 2 ปีที่แล้ว +2

    Mmh kinyonge sana yaan 1k= 2-5$ nitafika nimechoka sana mm nikajua inaanzia $50 hiv ?

    • @BigDreamsWorldwide
      @BigDreamsWorldwide 2 ปีที่แล้ว

      @Njoo Studio yeah najua hilo but wastani ni $2-5 ina hata nipate CPM ya india haiwez vuka $50, kwa 1k sio uhakika japo

  • @moneemusic76
    @moneemusic76 ปีที่แล้ว

    Pitia monee music

  • @alexmbuku1791
    @alexmbuku1791 2 ปีที่แล้ว +2

    Alaf ukiwa 1.3k unapata pesa gap

  • @teachingtrueofgod
    @teachingtrueofgod 2 ปีที่แล้ว +1

    *Hili somo lazima tuwe sambamba kaka*

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 ปีที่แล้ว

      Shukrani

    • @EPHRAIMRAMADHANI-is1du
      @EPHRAIMRAMADHANI-is1du 2 หลายเดือนก่อน

      7:24 ninashida boss ​@@Richstartz

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 หลายเดือนก่อน

      @@EPHRAIMRAMADHANI-is1du 0714250356

  • @FunnyDarypink
    @FunnyDarypink 10 หลายเดือนก่อน

    Kaka je tik Tok

  • @SaidIsack-xl8kl
    @SaidIsack-xl8kl ปีที่แล้ว

    Jinsi yaku angalia vuwazi na kiasicha mapato

  • @youngdavizytz1626
    @youngdavizytz1626 ปีที่แล้ว

    Bro ikiwa nimeanza kulipwa je iyo hela naipateje

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 ปีที่แล้ว

    Bado nakufatilizia kaka

  • @RAYZAAGAMETZ
    @RAYZAAGAMETZ หลายเดือนก่อน

    Mm nashida naomba no yako ya wtsp tuongee

  • @jaxmelodyog4163
    @jaxmelodyog4163 ปีที่แล้ว +1

    You Tube studio yakwangu haionyeshi views kama kawaida Naomba msaada kwailo ndugu yangu utakuta mtu ana views zaidi ya 15k ila wanaonyesha 2k

    • @Richstartz
      @Richstartz  ปีที่แล้ว +1

      Switch from 28 Days to life time Time frame ktk analytics

    • @jaxmelodyog4163
      @jaxmelodyog4163 ปีที่แล้ว

      @@Richstartz Ina badilika kwa ule mda unao weka lifetime kaka ila kwa kwenda kwenye dashboard moja kwa moja haiendi Naomba msaada wako zaidi nipe namba zako sa simu ili tuweze kuwasiliana WhatsApp maana naona kama huku sio sehem sahihi Sana kaka

    • @IbrahWAKITENGA
      @IbrahWAKITENGA 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@Richstartz hello

    • @Richstartz
      @Richstartz  7 หลายเดือนก่อน

      @@IbrahWAKITENGA Hello

    • @IbrahWAKITENGA
      @IbrahWAKITENGA 7 หลายเดือนก่อน

      Mzma wew

  • @amillotiger5981
    @amillotiger5981 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako nameng yakukuuliza ndugu

  • @ApipaTV
    @ApipaTV 8 หลายเดือนก่อน

    Bro sorry, maiki kama yako sh ngapi

  • @Zetiboy
    @Zetiboy 5 หลายเดือนก่อน

    bro mim naitaji namba yako

  • @smartboyvevo1573
    @smartboyvevo1573 ปีที่แล้ว

    Mambo yako

  • @daudshadrack4465
    @daudshadrack4465 ปีที่แล้ว +1

    Vp subscribe wapo 11 na video yenye views weng ni 1 je ntalipwa