Nakupongeza sana Rais wetu wa yanga. Manara alikosea sana,alijirudisha kazini bila kutoa taarifa rasmi kwenye uongozi. Aliifanya yanga kama ya watu wahuni. Hata yanga day haikuwa na mvuto kwa vile alionekana kama wote tuna shabikia mambo ya ajabu. Apumzike
Eng Hersi kapima utendaji wa Manara na Ally Kamwe kaona Dogo anafaa sana. Sio Mropokaji, anajieshimu, na speech zake zimenyooka; yani zinampangilio unaoeleweka, pia hana uchangudoa kama Haji Manara. Ally kamwe yuko vizuri.
Nimefurahi sana kusikia ALLY SHABAN KAMWE tunayee yule mzee wetu mzungu apangiwe tu majukumu mengine yanga yetu ni dude kubwaaaaa so nafasi za kazi zipo nyingi sana😂😂
Manara adabu hana,wala heshima hana kwa watu,anaropokwa tu kwa kila mtu,Ali Kamwe anafaa,anajilewa,na ana limit ya kuongea kwa kila kitu,ana heshima,na kwasasa ka fit kuwa msemaji wa Yanga 100%
Confusion haikuwepo kwetu wengine. Taratibu za kikazi zilimuweka Ally Kamwe. Huyu mwingine aliporudi utaratibu ni uongozi kumpangia majukumu ya kufanya chini ya Kamwe au idara nyingine.
Manara yanga huwezi kuifanya kama simba bro huyu hersi ni kichwa sana hataki uje uitie shoti yanga kama simba na wangeendelea wawili pale yanga ingefeli mpasuko
Kusema ukweli,Kamwe hafanyi bidii ya kufaamu taarifa/takwimu za Yanga,pia anasindwa kuipamba Yanga sawa na mafanikio tunayoyapata kwa wakati huu.#Mafanikio haya ya Yanga,angelikuwa Haji Bugati madarakani,kila mwana Yanga angelikuwa anatembea kifua mbele sana.Lkn wote ni watu wazuri kwa kila mmoja kadiri ya talanta yake.Ila ukiona comments negative kwa Haji ujue hao ni wa upande wa pili,wanamuogopa,wanajifanya ni Wana Yanga!🤝🙏
Hersi akiwa na interview nchi inatulia kumsikiliza kuliko hata rais wa nchi maana Kuna madini anatema ambayo yanatusaidia wengi ambao ata sio mashabiki wa mpira sio kma yule anaetutambulishia dada zake🤣🤣
I Salute you Mr Heris, ( The Chairman for Young Africans ) YANGA ,Well said, Hiyo ndiyo Misimamo ya Kiongozi. Big Up 💪
Wow!❤ Ally Kamwe mitano tena!
Msemaji wetu pendwa Ali shaban kamwe tunae natunatamba nae
Nakupongeza sana Rais wetu wa yanga.
Manara alikosea sana,alijirudisha kazini bila kutoa taarifa rasmi kwenye uongozi.
Aliifanya yanga kama ya watu wahuni.
Hata yanga day haikuwa na mvuto kwa vile alionekana kama wote tuna shabikia mambo ya ajabu.
Apumzike
Kabisa!!
Ukweli mtupu Kila nabii na zama zake huyo manara atuachie kidogo akiitajika ataitwa
Akafie mbele
Likes za hersi hapa
Safi sana, mh Rais
Eng Hersi kapima utendaji wa Manara na Ally Kamwe kaona Dogo anafaa sana. Sio Mropokaji, anajieshimu, na speech zake zimenyooka; yani zinampangilio unaoeleweka, pia hana uchangudoa kama Haji Manara. Ally kamwe yuko vizuri.
Ni kwel na ni mtabiri mazuri
Umeeleweka vizur
Rais tunaye na tunatamba naye❤
kamwe pia tunaye na tunatamba naye.BIG UP Eng.Hersi❤❤❤
Nimefurahi sana kusikia ALLY SHABAN KAMWE tunayee yule mzee wetu mzungu apangiwe tu majukumu mengine yanga yetu ni dude kubwaaaaa so nafasi za kazi zipo nyingi sana😂😂
Aende azam tu sisi tuna mtambua Ally kamwe
Sawa ukishba uwez jua mwenye njaa nilikua wa kwanza swala la manara kuondoka simba mimi kama mwana simba leo tumepotea tuna wabana pua tu
Kulingana na kauli ya mwenye Yanga yake , Haji Manara kwa sasa ni kama Mzee Mpili.
😂😂😂
Mzee mpili ana cheo gani? 😁😁😁😁😁
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅umetishaaa
Rais MAKINI.... swali limejibiwa ki-rahisi saana Oscar 😂😂😂
Hakuna anayehukumiwa kwa mtazamo wake au mapenzi yake , dogo yuko vizuri upstairs ktk kuplan speech
Oscar maswali yko yakishoga ila umepat mtu makin sna
Kila mtu mzuri ila Ally Shaban Kamwe ni the best to me
Nimependa san kubaki kwa semaji la kimaifa. Ally kamwe
Good
Ni razima kuwa na M2 mwenye fikira kama huyu
Umetisha
HAJI huna kitu jitambue
Kamwe kaachwa mbali sana na manar
Yeye ni Rais, ni boss wa wa mawasiliano huyu ni sawa na Rais tz
No politics,facts
Kumbe lokole yuko sawa 😂😂😂😂😂
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiioo❤❤hii imeendaaààa❤Rais kasema❤❤Ally shaban Kamwe❤❤❤❤kuna mwenye nyonqeza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Safi sana"manara misifa hatumtaki
best view
Akufukuzaye hakwambii toka
Nimekuelewa
Oscar mkolofi
This Africa period!!!
Kumwembe na adela kaa vizur
Sasa haji alale tu asiropokeropoke Hana kazi maalum pale😂😂
Mpeni mhamasishaji supuday
Manara adabu hana,wala heshima hana kwa watu,anaropokwa tu kwa kila mtu,Ali Kamwe anafaa,anajilewa,na ana limit ya kuongea kwa kila kitu,ana heshima,na kwasasa ka fit kuwa msemaji wa Yanga 100%
Tunaweza kuona interview yote national vipande vipande
kweli
Pyee pyee pyee pyee pyee pyee kwisha kabisa mdomo umekuponza kuda dadek
Hawa waandishi wanapenda chokochoko
Confusion haikuwepo kwetu wengine. Taratibu za kikazi zilimuweka Ally Kamwe. Huyu mwingine aliporudi utaratibu ni uongozi kumpangia majukumu ya kufanya chini ya Kamwe au idara nyingine.
Mimi ni simba dam lakini Alli Kamwe ndiye anayefaa Yanga. Manara Njaa tu
Manara yanga huwezi kuifanya kama simba bro huyu hersi ni kichwa sana hataki uje uitie shoti yanga kama simba na wangeendelea wawili pale yanga ingefeli mpasuko
Haja manara typing and deleting 😂😂😂
Rudisha yanga ww kwawenyewee kinamangomaa
Sasa siku ya kutambulisha wachezaji Haji Manara Alienda fanya nn?
Masikini Hajji,,,,dah!
Hi inaenda kuipasua Yanga, Raisi ame gusa uti wa mgongo wa Yanga....mtanambia nyie subirieni. Yanga aija cheza karata yake vizuri kuusu Manara
Mbona maelezo mengi manaraaa
Mhhhh aje anaumbea sana kavile nikwake akomeeeee.
Alikamwe is the best, hana lugha kali, kashfa na roho mbaya kama Manara
Uyu jamaa anaubinafsi ndani yake,na nawaona yanga wakifarakana sana msimu ujao.
Manara yeye zaidi kazi aiyokuwa akiifanya ni kuisimanga Simba kila kukicha badala ya kuijenga Yanga
Utopolo hapa mmepigwa
Jamani alikuja shapu Sana jamani aibu
Ndo mana mzee magoma anapigana na kutaka katiba ya zaman hapo unatak madarak yote usimamie ww
Kusema ukweli,Kamwe hafanyi bidii ya kufaamu taarifa/takwimu za Yanga,pia anasindwa kuipamba Yanga sawa na mafanikio tunayoyapata kwa wakati huu.#Mafanikio haya ya Yanga,angelikuwa Haji Bugati madarakani,kila mwana Yanga angelikuwa anatembea kifua mbele sana.Lkn wote ni watu wazuri kwa kila mmoja kadiri ya talanta yake.Ila ukiona comments negative kwa Haji ujue hao ni wa upande wa pili,wanamuogopa,wanajifanya ni Wana Yanga!🤝🙏
Haji amekwisha.
Kila mtu anataka uboss😂😂😂😂😂 yanga yangu hii
Jamaa na zungu haziivi😂😂😂..
Sema kamwe mtu saana anakpiga spana ila hana makelele kelele
Huo sio mkao mzur kwa mtu aliyekaa jirani yako
Saf
Oscar wa tabora kadhalilishwa saana na Engineer kama alikuwa anamletea utani ila ndani yake kuna ukweli
Katiba ya magoma je
Me ally kamwe simuelewi
Umuelewe tu kwa sababu aliajiriwa kwenye hiyo nafasi, na ameitumikia kwa Miaka 2, sio 6 Months ya Matazamio hapana Wala sio kibarua.
Ok, kwa hiyo si tufanyeje?
Huezi kumuelewa Ally kama unakula maboga acha sisi tunao muelewa aendelee na kazi🎉
😂😂utaelewa tu pole pole
Hapo rais wetu kanena vizuri sana .. ni kweli mumpe manara kitengo kwani ni mtu wa mpira na anajua namna ya kuitangaza clab
😂😂😂😂😂😂😂😂zungu chali
Kwa waliomwelewa raisi manara arudi tu simba au aende namungo yanga hatumtaki!!!
Tuna semeji la caf huo uchafu tuupeleke wapi sisi labda watupieni tabora united😂😂😂
Vp ubaya ubwegez😬🐓🐰🐓🐓🐓🐓🐓😁😁⚽⚽🎧🎧⚽🎧⚽⚽
alikamwe imeisha hiyo
Ila yanga wanafki xna,kamwe nilimuacha nje yanga day.leo wanamtangaza tena Aliy komwe 😅😅😅😅
Kweli we ni mbumbumbu aliachajwe sasa we sanda fc
😂😂😂😂 kazidi umbea acha wambwage
Waandishi wa habari wachokonozi
Ujinga mtupu timu za Afrika janja janja nylngi greey like aaa
Alikuq msemajiq😂qqq maskini zeruzeru
Kijana kuwa na kauli nzuri
Njooni na huku kwangu Mu SUBSCRIBE basi
WANAO KUBALI MANARA APEWE NAFASI YA MAGOMA LIKES ZENU HAPA.😂
Hersi akiwa na interview nchi inatulia kumsikiliza kuliko hata rais wa nchi maana Kuna madini anatema ambayo yanatusaidia wengi ambao ata sio mashabiki wa mpira sio kma yule anaetutambulishia dada zake🤣🤣
Akili yako iko matakoni wewe
Rais Tena Umeenda Mbali Sana. President Ndio Kila Siku Hkuna Wakumfananiza Nae.
Safi sana rais wetu Ali kamwe ni kijana mdogo lkn anajitambua ktk nafac yake tunampenda
Ali kamwe ndiyo bora sana kuliko huyo mzee jamani sasa hivi waachieni vijana.
Siyo bora kuliko MANARA
@@mbokanitaribo5106 Ni bora Sana tena sana Kuliko manara, tena zaidi kwa namna ya usemaji wake.
Kamwe kaachwa mbali sana na manar
Kamwe kaachwa mbali sana na manar