Yanga SC 2-1 Red Arrows | Highlights | Mwananchi Day 04/08/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • YANGA DAY | Red Arrows wametangulia kupata bao dakika ya 6 kupitia kwa Ricky Banda lakini Yanga wakasawazisha dakika ya 64 kupita kwa Mudathir Yahya kabla ya penati ya dakika ya 90 iliyofungwa na Stephane Aziz Ki.
    Yanga wanapata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya mabingwa wa Zambia, Red Arrows katika Sherehe za Siku ya Mwananchi ndani ya Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

ความคิดเห็น • 514

  • @josephattz2003
    @josephattz2003 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu dube namuona kabisa anakamba 2 tarehe 8. Mark my words.

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 หลายเดือนก่อน +7

    Mudathir our zanzibar finest❤🎉

  • @MasumbukoMacho
    @MasumbukoMacho หลายเดือนก่อน +7

    Man of the match...Refa wetu kasaidia Sana kama pesa imeenda kialali

  • @ayoubndekela1918
    @ayoubndekela1918 หลายเดือนก่อน +6

    Pacoume is back on his fitness 💪

  • @omarmatata-dc3mv
    @omarmatata-dc3mv หลายเดือนก่อน +5

    Mudathir ndo man of the match 👏 🙌👊💪💛💚

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu Golikipa ni next level😮🤩🤩 nomaa sana

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw หลายเดือนก่อน +7

    Ase yanga hongera, kipa wa red arrows hongera

  • @fadboe772
    @fadboe772 หลายเดือนก่อน +3

    Hii yanga itatikisa Africa kila mtu atakuja kuona 💚💛🙌

  • @chedielGomezulu
    @chedielGomezulu หลายเดือนก่อน +5

    pacoume kawaka sana jana💥ila kuna wachezaji wapo kwenye viwango bora sana na wanashawishi kila kukicha..boka,duke abuya,mzize,pacome,maxi,musonda anazidi kuongeza kitu ila ajitahidi kuwekeza akili zaidi katika eneo la kumalizia..AZIZI katulia sana

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu หลายเดือนก่อน +6

    Kipa wa red arrows apewe hongera yake maana kajituma sana yupo vizuri

  • @Deadskytz
    @Deadskytz หลายเดือนก่อน +108

    Tukiacha ushabiki wa kijinga yanga wangeshinda nyingi Ni kipa tu wa red mzuri pia bahati haukuwa upande wao

    • @andrewIzdory-sk4cu
      @andrewIzdory-sk4cu หลายเดือนก่อน +15

      Ulitaka wacheze bila kipa?

    • @Deadskytz
      @Deadskytz หลายเดือนก่อน +9

      @@andrewIzdory-sk4cu elewa comment ndo ujibu usiwe una comment hujanywa chai Sawa mkuu

    • @sngrafx
      @sngrafx หลายเดือนก่อน +4

      😂😂😂 Unaandika comment ukiwa wapi? 😂

    • @monicakibiki8073
      @monicakibiki8073 หลายเดือนก่อน +1

      Ww umenena bwana

    • @YusufuJafari-fu7og
      @YusufuJafari-fu7og หลายเดือนก่อน +3

      Hakuna nyiny kilicho wasaidia ni upungufu wao tu

  • @Frankb-fn8wf
    @Frankb-fn8wf หลายเดือนก่อน +4

    Aiseee kipa wa Red arrows 🔥🔥🔥🔥

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 หลายเดือนก่อน +10

    Hii Saka Saka mwizi ya Yanga ni hatari sana, naogopa.

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna mwehu alisema penati tumepewa wehu hawawezi kuisha😅😅😅💚💚💚💚

  • @ChrissSamwel
    @ChrissSamwel หลายเดือนก่อน +6

    Wamshukuru kipa wao yupo good wangekula nyingi sana

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani kazi yake kipa ni kudanga au kuzuia magoli? Mmeshindwa hata 3 nyingi mngetoa wapi?

    • @ototek8037
      @ototek8037 หลายเดือนก่อน

      @@emmadora7848 mje na kipa bora

    • @abdallahmindika1641
      @abdallahmindika1641 หลายเดือนก่อน +2

      Mchumba umebebwa 😂😂😂 diara anaongz kutolew bikra 😅😅😅😅

    • @singoimollel5399
      @singoimollel5399 หลายเดือนก่อน +1

      Hii yanga ya kubebwa na refa hadi mechi ya kirafiki penalty laini sana

    • @jumapilimakondo4250
      @jumapilimakondo4250 หลายเดือนก่อน +1

      Ona huyu naye wamshukuru nini sasa,kwani alikuwa pale kwa jukumu gani

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y หลายเดือนก่อน +3

    Nimeridhika na usajiri inatakuwa concentration tu kwa attacking midlfield na strukers.
    Kalumba wa man of Match. Safi sana.

  • @SebastianGeorgeSamuel-yg2zc
    @SebastianGeorgeSamuel-yg2zc หลายเดือนก่อน +3

    Kipa wa red arrows man of the match daaah ilikuaw ni kaziaaaag😢😢

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 หลายเดือนก่อน +4

    Man of the match kipa

  • @kugotwa004
    @kugotwa004 หลายเดือนก่อน +5

    Pacome akishika mpira ningumu kumpokonya alf ana force kubwa kufika mbele na akifika ni shoot kubwa so naongea km mwana simba tareh 8 aangaliwe sana sana alf kipa wetu ayubu au ali salum yanga wana mashut ya mbali hatar hasa pacome chama na aziz ki pamoj na mudthir mznzibar mwenzngu

  • @HabibMakame
    @HabibMakame หลายเดือนก่อน +4

    Huyu kipa wa Red Arrows Mungu amfungulie milango apate timu itakayoweza kumlipa zaidi anavyolipwa sasa.Sincerely speaking,he is the best goalkeeper.

    • @rajabmwange4634
      @rajabmwange4634 หลายเดือนก่อน +1

      Unaweza ukawa mzuka wa mechi moja tu 😀😀

  • @dumyutamu9668
    @dumyutamu9668 หลายเดือนก่อน +3

    Man of the match inaenda kwa kipa wa Red 🫡 ila kwa 🟡🟢⚫️ wamejipata 🙌👏

  • @msholozizuma5428
    @msholozizuma5428 หลายเดือนก่อน +4

    Yanga ya Huu Msimo itakua Kali sana Simba Mjiandae😂😂😂🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @emmawilliesmwangota
    @emmawilliesmwangota หลายเดือนก่อน +3

    Huyu kipa ni mzuri sanaaa

  • @mkombevuai7161
    @mkombevuai7161 หลายเดือนก่อน +4

    Kocha Gamond anaakili saana huez kupanga kikosi no.1 ili Hawa mbuuz makolo wakijue huku ukijua tar 8 mpo nao safi kochaa

  • @revocatusadrian9262
    @revocatusadrian9262 หลายเดือนก่อน +5

    Ila Pacome🔥🔥🔥

  • @NipaSanga-hp4tx
    @NipaSanga-hp4tx หลายเดือนก่อน +3

    daima mbelee yanga💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @rickyramsey1469
    @rickyramsey1469 หลายเดือนก่อน +4

    Makolo roho Zina umaa yanga oyeeeee💚💛🖤☠️🇰🇪

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 หลายเดือนก่อน +1

      Oyeeeh

    • @rickyramsey1469
      @rickyramsey1469 หลายเดือนก่อน

      @@jumakassim8718 yes mtu asiguse comment yangu

  • @DiwaanOnline
    @DiwaanOnline หลายเดือนก่อน +7

    PACOME mtu hatari sana

  • @RashidiMalik
    @RashidiMalik หลายเดือนก่อน +8

    Wanasimb wenzang tumuangalienisana huyu pacommme ..nishida

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu หลายเดือนก่อน +6

    Jana angekua kipa wa simba angekula nyingi sana 7

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj หลายเดือนก่อน +4

    PACOME yupo juu SANA ki-soka.

  • @azizjuma6125
    @azizjuma6125 หลายเดือนก่อน +2

    hawa jamaa wana Bonge moja la Nyanda .... Good Goalkeeper
    marverous saves

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa หลายเดือนก่อน +7

    Pakome ni kisanga na nusu 🔥

    • @user-rt1xt4xh2p
      @user-rt1xt4xh2p หลายเดือนก่อน +1

      Zaid ya san pacome ninomaa

  • @jaymorisonwonder1156
    @jaymorisonwonder1156 หลายเดือนก่อน +6

    PACOME 🙌🙌🙌

  • @maharusimedia8310
    @maharusimedia8310 หลายเดือนก่อน +6

    Maskini kipa wa watu alipata tabu sana 😂😂 ⭐⭐⭐🖐🏼

  • @enockm6101
    @enockm6101 หลายเดือนก่อน +4

    mwaka huu makipa watapata shid sana. Abuya anapiga miwa, Aziz anamabomu, Muda anang'oa minara ya simu, Dube yeye popote nje ndani anakujuka, Pakome ndo ukigoma anakulazimisha mpaka chumbani kwako yaani tuburere.... kipa haelewi nani atatoa pasi au nani atapiga, simba mchukueni kabisa huyu kipa wa Red Arrows awaokoe na ninyi tarehe nani. Sisi tunajua Deborah tu akikamatwa basi!

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 หลายเดือนก่อน +3

    Goal ako vizuri 🙌🙌

  • @JacksonMakalanga-hs8xy
    @JacksonMakalanga-hs8xy หลายเดือนก่อน +2

    My beautiful team

  • @dmswaggbamboostick4576
    @dmswaggbamboostick4576 หลายเดือนก่อน +4

    Pacome +max+Duke 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @HekimaMalila
    @HekimaMalila หลายเดือนก่อน +5

    Yanga ni balaa sijui iyo tarehe 8 mwezi wa 8 watu watalia😢😂 nyie

  • @hamisimasaww4598
    @hamisimasaww4598 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani ushabiki naweka mbali uyo kipa so pouwa angekuwa nikupa wa simba angekula 7

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je หลายเดือนก่อน +5

    Ila.mudathir ana kitu kinaitwa bahati nzuri

    • @NyamongoLife
      @NyamongoLife หลายเดือนก่อน

      Anajua sana sema hapewi heshima yake. Angekua sio Mtanzania angepewa heshima sana

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 หลายเดือนก่อน +6

    Kipa wiki hii haamki Kwa kuokoa mekwaju mingi

  • @raston4gkalonda821
    @raston4gkalonda821 หลายเดือนก่อน +7

    Kosa kubwa la red arrows ni kuvaa nyekundu tu

  • @deoboy9102
    @deoboy9102 หลายเดือนก่อน +2

    Yanga kama yanga 💛🔰💚

  • @user-ii7iz6uf2i
    @user-ii7iz6uf2i หลายเดือนก่อน +4

    Yanga 🎉

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu kipa wa red atari sana la si ivyo zilikuwa nyingi sana leo

  • @mwakwelisaid3152
    @mwakwelisaid3152 หลายเดือนก่อน +5

    Mimi nimkenya lkn napenda yanga kinoma juh wako na game nzuri than any team in Eastern Afrika.

  • @AnnaChales
    @AnnaChales หลายเดือนก่อน +3

    Wamshukuru gor kipa arikuwa vizur

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 หลายเดือนก่อน +1

    Ila hii yanga hii atakufa mtu siku mashaallah ❤

    • @boxdad
      @boxdad หลายเดือนก่อน +1

      Nyoko

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 หลายเดือนก่อน

      @@boxdad unakufa ukiwa wapi

  • @GodfreyMwangila-lr4cc
    @GodfreyMwangila-lr4cc หลายเดือนก่อน +5

    Shikamoo pacome

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 หลายเดือนก่อน +5

    Yanga bingwa mpk wanatrendiiii😂

  • @segelemassawe572
    @segelemassawe572 หลายเดือนก่อน +13

    Wananchi ikitokea pacome anataka kuondoka sababu ni mshahara kubalini hata kuchanga mashabiki asiondoke hii ni tunu

    • @wiltonexon6003
      @wiltonexon6003 หลายเดือนก่อน +3

      Yanga sio pacome tu 😏

    • @felisimshana9088
      @felisimshana9088 หลายเดือนก่อน +2

      Wew unatimo pole

    • @felisimshana9088
      @felisimshana9088 หลายเดือนก่อน +2

      Wew maiwetu njoo telehe 8

    • @frankditrick3109
      @frankditrick3109 หลายเดือนก่อน +1

      Vp kwa chama tuta changa??

  • @salumujaibu1837
    @salumujaibu1837 หลายเดือนก่อน +5

    Yanga kikosi kipana kipo😂😂

  • @hamoudyahya7635
    @hamoudyahya7635 หลายเดือนก่อน +3

    Mmudathir +aziz ki+ pakome+ dube+ musonda. Chama atasubiri sana

  • @yuzlongodfrey1622
    @yuzlongodfrey1622 หลายเดือนก่อน +5

    huyu pacome achunguzwe 😂😂

  • @wachawasemeKagoma
    @wachawasemeKagoma หลายเดือนก่อน +2

    Yanga noma sana

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 หลายเดือนก่อน +9

    Kuna watu wajinga sana duniani, yan mnaona kabisa yanga walivyomiliki mpira mwanzo mwisho mnaona kabisa idadi ya magoli waliyokosa yanafika zaidi 20. Halaf anajitokeza mjinga mmoja unakenua mdomo ukisema yanga imebebwa. Wana simba hovyo sana. Subiri kipigo chenu tar 8.

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n หลายเดือนก่อน

      Toka hapa umebebwa mlionewa huruma tu kasherehe kenu kasihalibike 😂😂watu pungufu vile unahangaiiiika😂😂😂

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 หลายเดือนก่อน

      Mmebebwa bhn ingekuwa aibu

    • @AlexAidan-kq5zn
      @AlexAidan-kq5zn หลายเดือนก่อน

      Washenz nyie ata albu amuoni watoto walefa nyie

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n หลายเดือนก่อน

      @@gerkombo6512 kidogo supu liingie mchanga🤣🤣🤣🤣🤣

  • @johnjava8510
    @johnjava8510 หลายเดือนก่อน +1

    Ila huyu kipa ni mnoma ❤‍🔥

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani nyinyi huyu Pacome mnamuonaje lakini?

    • @EltonMmari
      @EltonMmari หลายเดือนก่อน

      Pacome proffesor wa vyuo vyote africa vya mpira😂😂😂

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt หลายเดือนก่อน +2

    Viva Yanga Viva Wananchiiiiii PACOME Hatare Saaana

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 หลายเดือนก่อน +6

    Zambia kipa mnae @ anajua Kaz yake

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 หลายเดือนก่อน +3

    Red arrows wangeshinda hii gem tatizo walipobadili jezi nyekundi yanga ikaaza kuwaona kama adui wengine

    • @philbertkabengo7905
      @philbertkabengo7905 หลายเดือนก่อน

      Kwani hiyo nyeupe walipowatia moja bila haina utamu wa mnyama🦁

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 หลายเดือนก่อน +3

    HAWA YANGA NYINYI,TIMU IKIJA HOVYO INAWEZA KUCHEZEA NYINGI SANA!

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg หลายเดือนก่อน +6

    Yanga inaweza kucheza mechi mbili siku moja

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +2

      KWA KULA VIDONGE VISIVO RUHUSIWA

  • @kharidikibakulikibakuli9223
    @kharidikibakulikibakuli9223 หลายเดือนก่อน +3

    Kipa wao yupo vzr sana😂

  • @HamidaMzee-m3i
    @HamidaMzee-m3i หลายเดือนก่อน +2

    Timu ya pili ya yanga inajaribu kupiga shoti sana kuliko ya kipindi cha mwanzo

  • @clintonkatyale6891
    @clintonkatyale6891 หลายเดือนก่อน +4

    Yanga baba lao tunasubilia hiyo tarehe nane

  • @SAMWELSOLOMON-w3p
    @SAMWELSOLOMON-w3p 17 วันที่ผ่านมา +1

    Washukuru kipa

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe หลายเดือนก่อน +3

    Imebidi apewe mtu RED CARD ili Vitenge FC waweze kushinda, ikashindikana ikabidi wapewe penati 😂😂😂😂

    • @user-bl1tx8fc9v
      @user-bl1tx8fc9v หลายเดือนก่อน +1

      Tatizo hujui sheria ya football, huyo mchezaji kajitakia mwenyewe hiyo card . Alikuwa tayari kashatoka nje , kisheria ukiwa nje huruhusiwi kuingia tena mpaka matibabu yamalizike ndo maana hata wenzao walimshangaa, anakuwa kama cyo mchezaji bwana . Hata kocha wao aliongea kuwa kadi nyekundu tulijitakia wenyewe.

    • @KennedyJohn-p1i
      @KennedyJohn-p1i หลายเดือนก่อน

      W kolo chakavu em uje uifunge yanga tar 8 ​@@user-bl1tx8fc9v

    • @NURUSANGA-h9p
      @NURUSANGA-h9p 28 วันที่ผ่านมา

      Usiwe unaongea tu yanga wanapiga ball

  • @adamnehemia8316
    @adamnehemia8316 หลายเดือนก่อน +2

    Shikamoo golikipa wa red arrows

  • @samuelelombe6361
    @samuelelombe6361 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu mukubwa

  • @beccasniper-ki4gg
    @beccasniper-ki4gg หลายเดือนก่อน +2

    Mimi kma shbik wa Simba nasema hv nitawashauri viongz tusiplke timu ytu uwanjani😂 Yanga wapo full magazine

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini หลายเดือนก่อน +2

    Safi 🎉🎉🎉🎉

  • @gladyschristian2125
    @gladyschristian2125 หลายเดือนก่อน +1

    love yanga

  • @WAKALA_
    @WAKALA_ หลายเดือนก่อน +1

    Hivi yanga mbona on 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @HamidaMzee-m3i
    @HamidaMzee-m3i หลายเดือนก่อน +2

    Hili goli la mudathir linatosha kukumalizia MB bila kuangalia chengine

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa mpira huu waliocheza Young Africans, tarehe nane Simba wajiandae kisaikolojia,nakiona kipigo kizito zidi yao,nilitizama mechi Ya Simba,hawakutengeneza hata nafasi moja ya goli,lkn Young Africans wametengeneza nafasi za magoli zaidi ya 10

  • @MeddyMusic4
    @MeddyMusic4 หลายเดือนก่อน +3

    Uwezo wayanga nimkubwa sasa waonyesha viwango

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 หลายเดือนก่อน +3

    Beware of pacome pengne ana madhara kulko Azizi ki

  • @user-qg3ku1vq6w
    @user-qg3ku1vq6w หลายเดือนก่อน +14

    Inamana bira cad nyekundu yanga shghur ilikuwepo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +3

      KWELI BRO

    • @hamzaqaacm1869
      @hamzaqaacm1869 หลายเดือนก่อน

      Inaonekana umeumia Sana ​@@magesakhamis4808

    • @thomasnachenga795
      @thomasnachenga795 หลายเดือนก่อน

      Hujui mpira,

  • @danken4153
    @danken4153 หลายเดือนก่อน +1

    yanga iko vizuri

  • @Shija-g4m
    @Shija-g4m หลายเดือนก่อน +2

    Nyie komaeni na matokeo ..lkn jifanyeni hamuoni form ya pacome na zengeli ambao ndio chanzo cha zile 5G .😂

  • @ShadrackMuindi-l9f
    @ShadrackMuindi-l9f หลายเดือนก่อน +1

    Ndio maana ya team akikosekana mmoja n mbaya😊

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน +6

    Red mumepiga sana mpira lakini kilichokuponzeni ni hii jezi, imekaa kimnyama mnyama, na Yanga akiona hii kitu lazima aifanye kitu mbaya!

    • @iamdivineimage
      @iamdivineimage หลายเดือนก่อน

      Kitu mbaya ipi wakati alibebwa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน

      @@iamdivineimage Imekojoa mgongoni

    • @iamdivineimage
      @iamdivineimage หลายเดือนก่อน

      @@hajihassan5433 Hamna kitu utopolo mtupu

    • @ArabianDivaAyesha
      @ArabianDivaAyesha หลายเดือนก่อน

      Wakat wamebebwa 😅😅😅na mlishabebwa sana kwn hatujui

  • @mrmartinipaul2464
    @mrmartinipaul2464 หลายเดือนก่อน +2

    Ndugu zangu wanasimba ambao tumeona kama haya matokeo wameyapata kwa bahati tuache kuongea mengi hawa watu tunakutana nao tarehe 8 tu hapa tusije maliza maneno wakaja kutubamiza

    • @hamisikamanda9933
      @hamisikamanda9933 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂kifo kiko pale pale ndugu yangu

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 หลายเดือนก่อน +1

    What a goal

  • @JohariJuma-u8r
    @JohariJuma-u8r หลายเดือนก่อน +3

    🍎yani goal kipper ndio aliwaokowa

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 หลายเดือนก่อน +4

    Chadrack Boka hatari sana🔥🔥

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb หลายเดือนก่อน +4

    Kawa hawa wavaa vitenge mutale na kamara wanawatosha

  • @djmaxmnyamaglobal7744
    @djmaxmnyamaglobal7744 หลายเดือนก่อน +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน +6

    SIMBA mnamchezaji kama PACOME zouzou

    • @user-ip3qr4mj8u
      @user-ip3qr4mj8u หลายเดือนก่อน +1

      Wamtoe wapi ndengelesi bini kandia makolo

    • @luluray2115
      @luluray2115 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-ip3qr4mj8unyie vibwengo Jana mmebebwa kwenye bonanza lenu alafu mnaongea ongea utumbo ndengelesi

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 หลายเดือนก่อน

      ​@@luluray2115Kabisa yn wanamdomo sana subiri tuwakande tarehe 8

    • @user-ce3tx7mr8v
      @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

      Atapangua defence Yao na Mo atakimbilia DUBAI

    • @SebastianGeorgeSamuel-yg2zc
      @SebastianGeorgeSamuel-yg2zc หลายเดือนก่อน

      ​@@user-ce3tx7mr8v😅😅😅😅

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi siku zote Pacome ni bora kuliko Aziz Ki. Na kama msimu uliopita hakupata injari Yanga ingebeba ubingww wa shirikisho

    • @nkosiyabomasuku1795
      @nkosiyabomasuku1795 หลายเดือนก่อน +2

      Yan hapo umeongea ukweli… Pacome ni bora kuliko Aziz Ki.

    • @rajabmwange4634
      @rajabmwange4634 หลายเดือนก่อน

      Uchezaji wao ni tofauti sana. Achana na Ki nyie 😅😅

  • @user-nu8vg4st5l
    @user-nu8vg4st5l หลายเดือนก่อน +2

    Njooni na kipa wenu mbovu keshokutwa mpigwe nane nane kama siku yenyewe😅😅

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 หลายเดือนก่อน +4

    Pacomeeeee

  • @ibrahimalharthi4599
    @ibrahimalharthi4599 หลายเดือนก่อน +2

    Tunaishukuru Kadi nyekundu iliyotupa ahuweni na kiukweli April ina kiwango bora kuliko Red Arrow

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 หลายเดือนก่อน

      Kwan red arrows si walicheza na Apr kwenye cecafa.. unajizima data.. subir tareh 8.. Simba wangecheza na Red arrows wangeliwa 3 bila

    • @SamwelMtasiwa-ok2qz
      @SamwelMtasiwa-ok2qz หลายเดือนก่อน

      Sio kweli kaka

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 หลายเดือนก่อน +8

    PACOME ni moto

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 หลายเดือนก่อน +3

      Aisee, jamaa ni balaa

    • @DanielErnest-nn2zj
      @DanielErnest-nn2zj หลายเดือนก่อน +1

      Hatari sana anajua sana 💚💚💛💛

    • @joycemmassi5046
      @joycemmassi5046 หลายเดือนก่อน +2

      🎉Thus why katambulishwa wa mwisho mwisho huko ❤❤❤

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI หลายเดือนก่อน +1

      Pacome ni shida sema Aziz kii ana offer mechi nyingi bila injury yani msimu mzima anakuwa anacheza game nyingi

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu kipa noma

  • @brysonjohn5306
    @brysonjohn5306 หลายเดือนก่อน +3

    Ila kipa wanae!

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 หลายเดือนก่อน +7

    Wamebebwa ilikua aibu leo

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 หลายเดือนก่อน +3

      TAREHE 8 Muwekeni Mo awe refa,, Akubebeni na 3 kwenda mbele lazima mchezee,,, ndio maana master gamondi ka mix vikosi msijue wanamme wapi Watakushugulikieni next week

    • @joycemmassi5046
      @joycemmassi5046 หลายเดือนก่อน

      Master Gamond is really a master nakwambia

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@joycemmassi5046NIPE ILE KITU NAMESA MESA MWENSAKE UONE 😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ UBAYA UBWELA

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 หลายเดือนก่อน

      Hatujawahi tarajia jema Toka kwenu

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 หลายเดือนก่อน

      Aibu kubwa ilikua iwakute maana sijaona sababu ya kupewa red mchezaji wa red arrows