Majina yangu ni mtumishi wa MUNGU kutoka KENYA kipindi na kifuata mia kwa mia na inapendeza Sana kwa vipanji ni nazo ziona zikiona na wanafunzi Kama patronize MUNGU akubariki sana baba joan.
Kabisa,hasa kwa season hii ameonesha mabadiliko makubwa,kapiga hatua kubwa ,tangu nianze kumfuatilia kwenye MREMBO NYOKA ,naona kabisa kuna Improvement kubwa
From USA ,I love it this happen to me in 2013 in kakuma refugee camp In kenya but in good like mwalimu MGENI atashida hii case kama nilivyo ishinda ukweli upita kwenye moto mungu niwamajabu mwalimu MGENI anipigiye in box Niko nazawadi yake na
Hakika ni mmejua kuelimisha jamii especially kwa upande wa walimu hili limekuwa funzo kubwa sana ni jinsi gani ya kuwa na misimamo na jinsi ya kuishi maeneo yetu ya kazi
Yaaani ndo picha LINAANZA........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ukweli upi karibu kudhihirika,,,,,,,,Magesa ako karibu kuomba msamaha,makingi naye ajipange kufungwa... I appreciate everything... salute to team BABAJOAN.....NAFATILIA KUTOKA KENYA💯💯💯📌📌
This story touched me bro I had sach a problem in my career 😢. And by bad lack i was teaching in UGANDA and my country is KENYA it was not easy only God. ❤❤❤
Mimi nimekua nafatilia kutoka USA 🇺🇸 Washington dc. Nampenda sana patronize na mwalimu mgeni hasa moyo wake safi sana. Naomba hii series iendelee kwa miaka kadhaa tafadhali.
Ukweli ukidhihiri uongo ufichama na siku zote subra huvuta kheri. Mwalimu mgeni amepitia matatizo mengi kwa sababu ya upendo wake kwa wanafunzi ila amekuwa mvumilivu na amesimama na mungu kutokana na wivu wa walimu wenzake.
Kutoka Kenya mi ni msanii nipewe like zangu
Huyu patronize ni version ya mbosso kabisa yani,anaimba vizuri sana dogo...
Majina yangu ni mtumishi wa MUNGU kutoka KENYA kipindi na kifuata mia kwa mia na inapendeza Sana kwa vipanji ni nazo ziona zikiona na wanafunzi Kama patronize MUNGU akubariki sana baba joan.
Mwanzo wa ubaya ni aibu oneni sasa moja badaa ya moja wakuu wapi maua ya shujaa wetu mwalimu mgeni🎉🎉🎉❤❤❤
Jamani nimekuwa wa mwisho leo lakini naomba like zangu from 🇴🇲
How are you
Mkitumia Maarifa makubwa kwenye uandishi wa script mtapata pesa sanaaaaa hii movie wengi wanaifuatilia hongereni sanaa
The first tuwatch from Kenya in Qatar mnipe likes zangu😂😂
Nimekupa
Nimekupa like
@@oliviansondieki7473 nakuona
Salute kwako patronize kila sik ww ndio unaefanya me niwe nafatilia hii tamthilia yenu ❤❤
Baba Joan kwakwel ume-Improve kwa kiwango kikubwa sana, Hii season iko vizuri,Hongeren sana
Baba Joan anaweza sana
Kabisa,hasa kwa season hii ameonesha mabadiliko makubwa,kapiga hatua kubwa ,tangu nianze kumfuatilia kwenye MREMBO NYOKA ,naona kabisa kuna Improvement kubwa
Kibokoo yaooo ni baba joan
Amechinja sanaa
Nawapenda sana ,ktk kenya
Kazi nzuri sana team mwalimu mgeni tujuane
Huyu patronise mungu amwinuwe namufatilia nikiwa saudi arabia ❤❤
🎉
Anajua kuimba
Mwalim mgeni you are very intelligent to serve you problem
Still following this episode1 1-12 tukiwa pamoja from Kenya nawapenda sana
Namkubali sana mwalim mgeni
Tunaomwombea dua mwalim mgen asipate shida tujuane hapa tunakikao Cha dharura❤❤❤❤🎉🎉🎉
Asipo pat shd na move itakuwa imeisha
Sema mungu atamvusha
Hahahahha
Vip uyu dogo anaishi wapi
Mungu amsaidie🙏🙏🙏
MashaAllah TabarakAllah. Kumbe hii move wenye wako serious nakuifatilia n wa kenya..much love my country ❤
C❤
th-cam.com/video/YzptPl9g7QI/w-d-xo.html
Majungu kazini
That's why Tanzania should always respect Kenyans in terms of promoting others
Majungu yapo tu kila sector
Kwakweli hii story muandaaji katumia ubunifu mkubwa sana iko vizuri na inafundisha sana
Napeda mwalimu mugeni sana saudia Arabia tune from kenya
Napenda jinsi Patronize anavyoimba Mwenyezi Mungu amzidishie nina imani atafika mbali🙏Nawafwatilia kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤
a.
❤,penda sana
Patronize ataenda mbali
Unaitwa na Anti
Napenda iyi filamu kutoka Congo kabisa ongera🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mwalimu Mgeni fanya Makeke huyo Patronize aende Studio🎉🎉🎉🎉
Ubarikiwe mwalimu mugeni nilikufata mwanzo wa episode 1 mupaka 12 nikonapatamafundisho mengi saanakutokakwako ukonamusimamo wakweli
From USA ,I love it this happen to me in 2013 in kakuma refugee camp In kenya but in good like mwalimu MGENI atashida hii case kama nilivyo ishinda ukweli upita kwenye moto mungu niwamajabu mwalimu MGENI anipigiye in box Niko nazawadi yake na
Hata baba Joan anaweza bhana nipeni likes yangu
tufe wote baba john❤️🔥🔥💯💯🔥💯🔥💯
Wakwanza mimi upande wa muheza- Tanga🎉🎉🎉❤
Sehem gan jamn waooo
😅😅 Me Niko Tanga mjini
Poa
Wakwanza kutoka Kenya nipeni mauwa yangu likes zikuje
Like zangu
Daaaah movies kali sana,patronize kipaji tz🇹🇿🇹🇿
Huo mwalim mgeni bbhana anaenda polepole hadi misho
Much love from Angola Luanda ❤❤❤❤❤❤
Hakika ni mmejua kuelimisha jamii especially kwa upande wa walimu hili limekuwa funzo kubwa sana ni jinsi gani ya kuwa na misimamo na jinsi ya kuishi maeneo yetu ya kazi
Xafi xan
Baba Joan nakufuatilia sana. Much love from Kenya. Unajua vizuri. Naona mwanafunzi kabudaa hapo🥱🥱😊
th-cam.com/video/YzptPl9g7QI/w-d-xo.html
Kiukweli Mungu awabariki Sana Kwa Sanaa watanzania miye kutoka kenya
Asante twakupenda pia❤❤❤
Mwanafunzi huyu mkali sana anapashwa kwenda kwa Diamond
Huyu patronize ni fund hasaaa! Mungu amfikishe mbali🎉
8:52 Simplest comedian ever😂😂
Good JOB.........MMETUSAIDIA SISI WALIMU KUWA MAKINI
Mitego migumu sana mara unazama😂😂
😢
Mungu asimame upande wa mwalimu mgeni 🙏🙏
Unajua sanaa hongera sanaa
@babajoan nakupata vyema sana nikiwa hapa mpanda Katavi town
Mwalimu mgeni wewe nimwenyehekima Sana unanifulaisha moyoniangu ❤️ ninakupenda Sana ninakuamini tena Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
th-cam.com/video/YzptPl9g7QI/w-d-xo.html
Nipen like zangu
Big up patronize,,bila kusahau baba joan❤❤much love from kenya
😂😂😂😂😂 yaani nimecheka 😂😂😂😂 jaman 😂😂😂😂😂
Naipenda sana kazi yenu.❤❤❤❤ Utamu wa hii filamu umezidi. Nafatilia nikiwa nchini Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mamb
😇 halo
Move nzuri ongereni sana
Hahahaha 🤣🤣🤣 mwalimu mwenyewe amecheka😂😂😂mm sicheke kisa😅😅😅😅😅😅
Salute Kwa Mwalimu Mgeni🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Namba8❤ 🎉 mi ndo mtazamaji mgeni
Nan kamuona kibonge mayele🤣🤣🤣😂😂😂
Nyie watoto adi me nimecheka mamaae 🔥🔥🔥
Naipenda Sana kazi yenu Mungu azidi kuwainua naifatilia saba
Much love from Nakuru Kenya, I relate it
Safi tena sana oya mzee b john huwimbo itoeni
Patronize namupenda sana na mwalimu mugeni da hasa hasa hasa patronaize toka Congo
Move nzuri sna naifatilia nikiwa Kenya ❤❤
wenye tumecheka tupowangap tujuane kwa Comet mwalim mgeni ongera😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
Napenda wote wa nasogeleya mwalimu mugeni na wapenda ila mwelimu mugeni ana kipaja ana juwa fundisha sana.
Nimetoka Kenya nitua huku napendeswa na mwalimu ❤❤huyu
Kutoka kenya but nko Qatar. Big up.
Wow much love from Kenya ❤❤❤
Mwarimu mgeni kwahilo jina nzmpenda ni la kiha.burundi.*Mr NTUSUBIRE*
Jamani hii filamu iko sawa zaidi naipenda sana. Mwalimu mgeni ukopowa sana
Mbona munachelewa jamani tamueeeee❤❤❤❤❤
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇸🇦
Yaaani ndo picha LINAANZA........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ukweli upi karibu kudhihirika,,,,,,,,Magesa ako karibu kuomba msamaha,makingi naye ajipange kufungwa... I appreciate everything... salute to team BABAJOAN.....NAFATILIA KUTOKA KENYA💯💯💯📌📌
Nawakubali kusema ukweli nawafuwatia Sana jitahidini zaidi mambo mazuri muposawa sana nipo Zanzibar 🥀🌹✨
Lakini kwanini season inachelewa kutoka kuna shida gani baba joan
Pongezi kwako baba joan
Nimejifunza kuwa hekima inafaida nmependa sana busara za mwalimu mgeni ❤❤❤
Mwalim ntusibile Kandi bileke bigende ibindi biloza muha kweli 😂😂😂😂😂 ila twasubili 13 kwa kishindo Cha kisuli suli more love
This story touched me bro
I had sach a problem in my career 😢. And by bad lack i was teaching in UGANDA and my country is KENYA it was not easy only God. ❤❤❤
Pole sana
Sorry everything is gonna be okay 😢
Pole sana na kama alivyo sema mwalim mgen kwamba dawa ya Nuqs ni ALLAH pekee
Nakuombea Mungu Akuondolee mtihan in sha ALLAH ❤❤❤
@@msambi1251😅😊🎉🎉😊😢
th-cam.com/video/YzptPl9g7QI/w-d-xo.html
Episode ifuatayo mjitahidi kuwahisha mwendelezo jamani 🎉❤❤❤ ni nzuri sana
Wakwanza mda huu nipe like zangu
Ule bnti aseme kweli,Mwalimu mugeni bamoteshe ko ile mugogoro.Mimi nawafwatilia kuktoka Rwanda
Baba Joan my best Kenya
Mko sawa ❤mary mwendia from Nairobi Kenya
Jamani wa kwanza hapa kutoka mbeya. Hii simulizi tamu sana isiishe tu
THIS IS ABSOLUTELY PERFECT AND TOUCHING..THERE IS MORE TO LEARN IN THIS MOVIE.GOD BLESS TANZANIA ......🇿🇲from Zambia on the map
waiting for episode 13, sijui itakuaje much creativity from kenya❤❤❤💛🧡
🎉
🎉
Twende kaz
Mungu abariki kipaji chako baba joan utafika mbalii
🎉mwalimu mgeni twakuombea uishi maisha marefu ❤❤❤
Much love from kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤
We jamaa unajua sana
Patronize the upcoming singer and super star 🌟
Afisa ya elimu mchukulie hatua mwalimu mkuu.mbn amuonee mwalimu mgeni
Just loving the script big up, following from Kenya
th-cam.com/video/YzptPl9g7QI/w-d-xo.html
Pale kwa kucheka nilidhani itakuwa ni upuuuzi,,,likini mwenzenu hapa nimecheka haki vitunguu vikaungua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na mimi umenichekesha😂
Wanangu wa Kenya mnatisha xna kutoka mwnza mwanza Tanzania ❤❤
Jamani wadau muwe mnatuwahishia vedeo zeni tunazipenda
Mimi nimekua nafatilia kutoka USA 🇺🇸 Washington dc. Nampenda sana patronize na mwalimu mgeni hasa moyo wake safi sana. Naomba hii series iendelee kwa miaka kadhaa tafadhali.
th-cam.com/video/YzptPl9g7QI/w-d-xo.html
Lovely mwalimu mgeni❤
Ukweli ukidhihiri uongo ufichama na siku zote subra huvuta kheri. Mwalimu mgeni amepitia matatizo mengi kwa sababu ya upendo wake kwa wanafunzi ila amekuwa mvumilivu na amesimama na mungu kutokana na wivu wa walimu wenzake.
Kweli
Much love from Mombasa Kenya ❤❤❤❤❤
Bungoma kenya
Niko wa kwanza kutoka DRCongo. Nataka ❤ zenu🎉
Hahaha uliweka WAP hzo like rafik Ang😅😅😅😅😅
❤❤from Mombasa Kenya atleat nipate likes tatu.
th-cam.com/video/YzptPl9g7QI/w-d-xo.html
Nimekupa like ya kumi jirani
@@josephstephen2047 Asante Sana kaka. Much love
Movie nzuri sana 😂😂😂
Sir magesa bado ujasema na utasema yan bado apo badooo😂