RAIS SAMIA ASIMULIA ALIVYOKAMATWA NA TRAFFIC USIKU "ALINIULIZA WEWE NI NANI NIKAMWAMBIA MI SAMIA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ธ.ค. 2021
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Desemba, 202 ameshiriki katika Mahafali ya Kufunga Mafunzo ya Uofisa Kozi No. 1/2021 katika Chuo cha Taaluma ya Polisi, Kurasini, Jijini Dar es Salaam
    akihutubia mbele ya maafisa hao na viongozi mbalimbali amesimulia changamoto za Traffic alizowaikukutana nazo barabarani.

ความคิดเห็น • 788

  • @nzizajovinpaul4955
    @nzizajovinpaul4955 2 ปีที่แล้ว +39

    Huyu Mama nimpole sana tena sana tumpende wote kwaujumla iliaweze kuchapa kazi kwa bidii, angekuwa mtu mwingine angefukuza mkuu wamapolice TZ nahao majambazi Traffic police ambao walikuakazini usiku huo. No one like Mama samia" JAH bless🙏

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 2 ปีที่แล้ว +53

    MAMA SAMIA SULUHU HASSAN MAY ALLAH GIVE YOU MORE YEARS TO LIVE ALLAHUMMA AMEEN.

  • @salimally8496
    @salimally8496 2 ปีที่แล้ว +35

    Maaasha Allah mama nakukubali sana umekuwa msfahmilivu tangu zamani maskini walikubagua ila leo umefika mahali Mungu aliamua ufike. Hongera sana nakupenda sana na nakukubali kinowmaa

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 2 ปีที่แล้ว +25

    Hapa unaweza kujifunza mengi kupitia hii story,kwanza ni jinsi ya uendeshaji mbovu wa taasisi hii,pili ni harufu ya rushwa iliyokithiri na tatu ni uwajibikaji mdogo na uvunjwaji wa sheria,mm nilishangazwa majizi niliwaona trafic ni viumbe wazito sana wao wapo kuangalia magari yenye makosa tu kuna mama anakatiza kwenye congestion badala wamsaidie yaani kama hawaoni vile wanasumbuka na fine za kijinga tu

  • @kandayaziwa378
    @kandayaziwa378 ปีที่แล้ว +11

    Maneno ya busara na hekma kutoka kwa Rais wetu na mama yetu SSH, Allah akupe afya njema na akupe umri mrefu inshaa Allah, Nakupenda sana mama ❤ hii video imeniuma sana eti "waarabu" kwahiyo angelikua mwafrika yasingetokea hayo wala kauli hizo za kibaguzi na ukabila!!, waarabu ni ndugu zetu na tunawapenda sana, wewe unaewachukia utajua mwenyewe, huwapunguzii chochote. Mama piga kazi, wabaguzi wapo tu, hata ukiingia mitandao ya jamiiforum n.k wapo tu, sisi ndugu zako tuko nyuma yako inshaa Allah, Allah awe nawe ❤

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 2 ปีที่แล้ว +50

    Salute,
    Tujifunze kitu hapo wewe polisi angalia kauli na vitisho hunaye mtisha leo hujui kesho yake atakuwa nani.

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwa kweli shida tu!

    • @autorashautoelectrician2205
      @autorashautoelectrician2205 2 ปีที่แล้ว

      Kweli uwa wapuuz Sana awa jamaa

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว

      @Angelina meki wewe ikiwa una mambo ya ufuska kauze uko uko kwa wenzio usituletee sie mambo ya Kisenge senge apa fuck off!!!

    • @stanslausmhema1482
      @stanslausmhema1482 2 ปีที่แล้ว

      Wana bahati sikuwa Mimi baada yao kuniweka kwenye mmbu na wao wangeipata pata POLICE WASINGEKUWEPO TU TUKABAKI NA JESHI

  • @danielmpigasupi2212
    @danielmpigasupi2212 2 ปีที่แล้ว +11

    Pole sana Mama yetu ndiyo Askari Traffic wetu wanaotusumbua mitaani hao

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani3283 2 ปีที่แล้ว +18

    Mama umeongea point kubwa Sana kutoka oman mama fanya kazi mashaallaah

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว

      Ucjali bro tutalifanyia Kazi apa Kazi💯 kwenda mbele tu!! 😜

  • @dennowderullow1118
    @dennowderullow1118 2 ปีที่แล้ว +17

    Watanzania mnabahati sana huyu Mama nimkarimu kiasi kisicho mithilika la sivyo jeshi zima la polisi lingehara kwa maamuzi yake("watching from🇰🇪")

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 ปีที่แล้ว +21

    Huyu Mtu yeye anasema taratibu hila Anajua Mengi Sana Moyoni mwake...Bravo Samiath Suluhu Hassan.Songa mbele Usiogope.

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 2 ปีที่แล้ว +12

    Mimi kweli kweli unawajua wao wao kasheshe hawa jamani ukikutana nao hawana mchezo afadhali uwajua ubarikiwe Rais wetu

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 2 ปีที่แล้ว +23

    Yaani mama Samia ndivyo walivyo kabisa afadhali umepitia kuwajua bila kuambiwa

    • @gideonmwenda2959
      @gideonmwenda2959 2 ปีที่แล้ว

      Trafick wabogo wanakera wengine cio wastarabu kabisa mwez uliopita wameniandikia fain nipo na jeneza naenda kubeba mwili hospital kisa buku

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 2 ปีที่แล้ว

      @@gideonmwenda2959 😂😂😂😂😂😂

  • @mosesnandi
    @mosesnandi 2 ปีที่แล้ว +29

    Inafurahisha na kusikitisha vilevile!

  • @ngogedecoration3649
    @ngogedecoration3649 2 ปีที่แล้ว +24

    Rais wetu mungwana sana M/mungu ametaka kukuonyesha hali halisi ya askari unaowaongoza na dhulma wanazo zifanya kwa raia spat picha hali ingekuaje rais wa nchi angelikua mbabe

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 2 ปีที่แล้ว +38

    Safi sana mama, nimependa busara yako, hao askari wana tabia chafu sana. Hua wanatumia nguvu kuliko akili. Bora nawe ulishapitia hayo, hawana akili wala ustaarab hata kidogo

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 2 ปีที่แล้ว +1

      Shule Yao ndo hiyo waliofeli shule wanatumia nguvu kuliko akili Wana maneno mabaya Sana busara hekima hawakupewa kabisa

    • @bodosam7798
      @bodosam7798 2 ปีที่แล้ว

      Ni mwafrika akipewa cheo kidogo hawatumii kutoa huduma bali kunyanyasa wananchi. Hi tabia iko kila pahali kwanza hi Kenya wacha tu.

  • @dominiquemushy895
    @dominiquemushy895 2 ปีที่แล้ว +17

    Mama Mungu akukinge na ajali za roho na mwili ,unaongea point sana

  • @cristalclear2499
    @cristalclear2499 2 ปีที่แล้ว +43

    Just imagine if the bosses didn't know her.

  • @shabanhassan4272
    @shabanhassan4272 2 ปีที่แล้ว +11

    Umefanyiwa wewe Samia ambaye historia imesimama nawe, wasiojulikana wana hali gani.

  • @eddynassor9223
    @eddynassor9223 2 ปีที่แล้ว +14

    Baadhi ya police Wana ubaguzi Sana hasa wakiona wanzibar anatuona sisi washamba sana

    • @zamzamabdi5279
      @zamzamabdi5279 2 ปีที่แล้ว

      Walizani yeye ni barawa ya somalia.aw Malika Mohamed ndogo wake

  • @kipandesonlinetz4602
    @kipandesonlinetz4602 2 ปีที่แล้ว +59

    Kiukweli Trafiki wanakera sana Hasa huku Kigoma.
    Gari YANGU ilisajiliwa kufanya biashara, hivyo basi nilivyochelewa kupata Plate number nyeupe nilipigwa faini nikakubali na huku nina risiti za kulipia hizo Plate number.
    Nilivyoenda kuuliza jamani hizi Plate Number zinachelewa nafanyaje sasa wakaniambia mwambie Dereva wako atembee na risiti za malipo ya Plate number kwenye gari,
    Nikasema sawa, ruhusa nimeipata leo, kesho narudisha gari barabarani tu nakamatwa na kupigwa faini tena, na WAKATI wao ndio waliniruhusu kuingiza Gari barabarani,
    Wanakera sana,kwa kweli wanakera.

    • @ibrahimgwasma1223
      @ibrahimgwasma1223 2 ปีที่แล้ว +1

      Wanakera kinoma

    • @fadhilimgalla271
      @fadhilimgalla271 2 ปีที่แล้ว +1

      Hawa jama mm nasema balabala yakwenda mbinguni ingepita kwetu wangenikoma

    • @lemburismamasita6583
      @lemburismamasita6583 ปีที่แล้ว

      Kweli kwa kweli Wana kera ila kweli biblia inatwambia mxamehe 7x70

    • @LinusLucas-ck1xc
      @LinusLucas-ck1xc ปีที่แล้ว

      Wanazingua

  • @Mzalendo-
    @Mzalendo- 2 ปีที่แล้ว +8

    Kama umewaona askari wamepeana tano😀 baada ya mama kusema aliambiwa hao mbu hawana shamba waache wale.......like kwa sana🔥🔥

  • @evansmudaki4772
    @evansmudaki4772 2 ปีที่แล้ว +18

    Mama your humility is good for the country. But the people in uniform need more training on how to conduct themselves

    • @neziajoseph9726
      @neziajoseph9726 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli tena warudishwe shule kbs

  • @samuelmuchiri7587
    @samuelmuchiri7587 ปีที่แล้ว +7

    That soft spoken meaning laden SWA is poetically heavenly

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 ปีที่แล้ว +18

    Police wanacheka! Ni mbaya Sana,uonevu wa police ni mkubwa Sana waonye mama.

  • @esterandson7367
    @esterandson7367 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Sana Malikia Samia Kwa KAZI nzuri Rais wetu kipenzi

  • @annamelchiard9363
    @annamelchiard9363 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante mama..afadhali umeyaongea yatasaidia ktk jeshi la polisi ktk kujitekebisha

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 2 ปีที่แล้ว +14

    Sheria ifanyiwe marekebisho, police Wana mamlaka kubwa Sana znazoumiza raia Kwa upande mwingine,

  • @stevebupamba5009
    @stevebupamba5009 2 ปีที่แล้ว +12

    Mama samia kanichekesha kweli...Daah,, "kuwa mbu hawana shamba, duuh..Jamani ndo polisi wetu hawa

  • @hamisikaberege2759
    @hamisikaberege2759 2 ปีที่แล้ว +2

    Mama yetu ana busara sana. Mungu akusimamie Rais wetu, watu wanaumizwa San katika mambo mengi hali ya kuwa wao hawajui.

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 2 ปีที่แล้ว +12

    Mpaka nimependa manake yanatukuta kila siku hatuna pakuyasemea ukienda kusemelea polis unapewa kesi kubwa zaidi

  • @watototunawezatuwezeshwe6126
    @watototunawezatuwezeshwe6126 2 ปีที่แล้ว +5

    Raha sana kiongozi ukiwa kujulikani kwa sura maana unagundua madhaifu mengi ya viongozi wengine. Kwa sababu wanafanya bila ya kujua wewe nani.

  • @geroldmwinuka6411
    @geroldmwinuka6411 2 ปีที่แล้ว +9

    Duuuh Pole polisi walikuwa hawakujui wewe ni nani?

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว +1

      Wameingia cha kike 😂😂😜

    • @mwana4599
      @mwana4599 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwa JPM ilikuwa hamna nani wala nani?

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 ปีที่แล้ว +1

      Ni kitambo sana. Hakujigambia cheo!

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 ปีที่แล้ว +1

      @@mwana4599 Unayumba. Wakati wa JPM alikuwa hatembei bila king'ora. Hiyo ni kitambo kabla ya kuwa makamo wa rais!

    • @princevan3747
      @princevan3747 2 ปีที่แล้ว +1

      Sas kam ni nan askamatwe police walifanya kaz yao nawao mm naona saw tu tukamatwage ss tu😂😂😂😂😂

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica ปีที่แล้ว +5

    Words of wisdom mama💪🏿

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 2 ปีที่แล้ว +16

    Hapo ndo utajua mtu baki atazidi kunyanyasika tu mwenye cheo na fedha ndo atathaminiwa, ila Kwa Mungu uwe na fedha uwe hauna sote tutakuwa sawa tu.

  • @adriamushi9297
    @adriamushi9297 2 ปีที่แล้ว +4

    Yaani umeongea ukweli mama! Yaani shida kidogo ya kuonya tu lkn utasumbuliwa hata siku nzima

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 ปีที่แล้ว +2

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yangu kama hautojali

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 ปีที่แล้ว +8

    Leo mama umesema labda sasa wataweka ubinadamu kidogo🙏 asante mama yetu 🙏🙏🌺🌺🌺

    • @mariajoseph3743
      @mariajoseph3743 2 ปีที่แล้ว +2

      Mama Leo umesema ukweli

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว +1

      Mheshimiwa Rais Mamaetu kipenzi chetu kiukweli wewe ni Muungwana sana na kiukweli unahitajia heshima kubwaa lkn watu walikua hawajakuelewaa! Mungu akulinde na akupe Afya njema ya kuliongoza Taifa letu la Tanzania Mungu Ibariki Tanzania Ameen!!!

  • @biddii1972
    @biddii1972 2 ปีที่แล้ว +15

    Polisi wa sasa wanajali watu wenye pesa kama ww nimaskini siku ikatokea bahati mbaya unabahati

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 ปีที่แล้ว +10

    Hii nchi kuilewa inatakiwa uwe punguani kwa kweli ,juzi wamesema wanataka askari ambao walipata ziro na hiyo ndio outcome ya ziro.

  • @mathewssilungwe7692
    @mathewssilungwe7692 2 ปีที่แล้ว +17

    Afadhali wewe Mama Samia ulikua unajulikana na hawo ma boss. Mimi nimejuta jamani na hawa police. Sitaki niyaseme hapa. Ila wapeni elimu ya ki psychology wafanye kazi yawo vizuli.

  • @junaytadarwesh4708
    @junaytadarwesh4708 2 ปีที่แล้ว +14

    Lugha zao kweli mbaya sana. Na kuwaita watu waarabu sujui wahindi ndio kauli zao. Sasa uarabu na uhindi umekhusi nini kutajwa, hata kama umefanya kosa, kwani kabila ndio lilofanya kosa. Waache hizo kauli, hebu wafundisheni adabu kidogo kuheshimu watu.

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว

      Sahihi ni ivyo alivyoambiwa Mheshimiwa Rais yeye mwenyewe kaambiwa ivyo na inabidi kiukweli kuweka sheria Askari akikuletea lugha mbaya unakua na haki ya kumshitaki kwanini lkn wanakua na Viburi ivyo???

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 2 ปีที่แล้ว +10

    Eti warabu hawa wamezidi. Kwani mwarabu sio binadamu!? Kweli mama ubaguzi hautakiwi nchi hii.

    • @mwana4599
      @mwana4599 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwani Raus ni mwarabu?

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว +2

      Watz tunatofautiana kwa rangi, kwa kabila, kwa jinsia, kwa dini, kwa vyama, lakini sisi sote Watz... Tuheshimiane, jamaani ! Mungu ibariki Tz

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว +2

      Si wanaangalia Rangi wao wanajua nani mwarab nani sio mwarab??? ndugu ilo sio suala apa kinachoongelewa ni Ubaguzi sio chingine au una lako na ww??

    • @hoseaseif2720
      @hoseaseif2720 ปีที่แล้ว

      Doria yapolice wakikukamata umepakiza mshikaki ujuwe pesazitakutoka nirushwa

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 2 ปีที่แล้ว +2

    Wanatumia nembo ya jeshi vibaya, mama Samia kumbe unawajua hao vizuri. Duh sio poa hata kidogo.

  • @sebastianjacob8915
    @sebastianjacob8915 2 ปีที่แล้ว +13

    Hiyo mama iliyokukuta ww hatamie iliwahikunikuta hivyohivyo hawana lugha za kingwana kabisa badala wao wawe msaada Wao ndio shida hamna anaowapenda labda awe na masirahi nao.

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว +1

      Mie yashanikuta alafu kweli kabisa wana Ubaguzi mkubwa Siku wakiamka nao ikiwa ndio wamekerwa uko alipotoka hasira yake yote ata kumalizia ww!

  • @shadrackaluoch8863
    @shadrackaluoch8863 2 ปีที่แล้ว +11

    This is touching, it's high time we need to change for things to go well

  • @penetronadvancedwaterproof664
    @penetronadvancedwaterproof664 2 ปีที่แล้ว +3

    yes muda mwengine hekma kwa kila mtendaji wakazi.

  • @drnickysarapion134
    @drnickysarapion134 2 ปีที่แล้ว +5

    Mama leo umeupiga mwingi sana leo.
    Yaani nimecheka sana leo.
    Numb nawe unazijua kero za barabarani ndo akili zao zilivyojongea za ovyooo

  • @c2nfcommunications238
    @c2nfcommunications238 2 ปีที่แล้ว +5

    All praise President Nwalimu in his blessed memory and prayers to these current presidents to carry on and no to always be carried away by crowd laughters.

  • @rajabmohamed2631
    @rajabmohamed2631 2 ปีที่แล้ว +3

    Hawana shamba hao acha wale 😂😂😂

  • @BrunoMushi-uc1tv
    @BrunoMushi-uc1tv หลายเดือนก่อน

    Hongera. Kaka. Kwa mvi. Zako

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias2551 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante ,mama,kiukweli,baadhi ya polisi,sii wote,kuna baadhi yao,ni hatari kweli,akikumata anakuwekea bangi alafu anakwambia,ngoja uone Kama hii kesi utatoboa.huku kitaa polisi hawapendwi wanaonekana ni maadui kinyume na kazi yao na pia wanatumika kisiasa.hatari,Asante mama kwa kulijua Hilo mapema.kunahitajika rifomu kubwa ndani ya jeshi la polisi.

  • @jumasimba572
    @jumasimba572 2 ปีที่แล้ว +3

    Mamangu naanza kukuelewa sasa,bola ulivoanza kuwatambia mapema hao hizo tabasamu zao wakikitana na mwananchi had rushwa.

  • @TiffahMihayo
    @TiffahMihayo 2 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana kiongozi wangu Mama angu kipenzi Mama samia suluhu Hassan. Mungu akuzidishie hekma na busara nyingi kama Suleiman love u Mama

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 2 ปีที่แล้ว +2

    yaani kwamba maafisa hawamjui Rais? mbona ajabu hii!!

  • @crershawmafia1009
    @crershawmafia1009 2 ปีที่แล้ว +8

    Polisi wana makusudi sana sikuhizi anakusimamisha na kukusingizia kosa ukigoma anakuandikia kibabe sababu cha kwanza anaomba leseni yako akiishika tu utaamua mawili umpe elfu 10 au akuandikie 30!

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว

      Ivyo ivyoo izo ndio zao wanasumbua sana km wakishika leseni kuangalia ndio wanapokupiga apo apo alafu wanakuaga na Viburi Sanaa!

  • @fauzhaji7149
    @fauzhaji7149 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwalimu nyerere was absolutely right...tanzania talking about tribes....what tribes got to do with citizenship...if you are tanzanian...

  • @tabumpate9762
    @tabumpate9762 2 ปีที่แล้ว +1

    NAMUOMBA M/MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUONDOSHEE MARAZI.NA AKUPE UFAHAMU KATIKA UONGOZI WAKO WA KILA SIKU.INSHALLAH.

  • @musaumutinda6541
    @musaumutinda6541 ปีที่แล้ว +2

    I wish you were our president mama much love from kenya 🇰🇪

  • @amdunshomali3971
    @amdunshomali3971 2 ปีที่แล้ว +6

    Mimi nauliza police waliambiwa kuwa FUSSO na CENTER azirusiwi kupita mbele yao? Hata uwe umekamilika lazima wakuzingue tu. Ndo maana tunatembea usiku mara nyingi sisi wenye hizo gari make mchana wanaboa sana hata jamaa

    • @alhajbayakas6622
      @alhajbayakas6622 2 ปีที่แล้ว

      sio fusotu coster na hice ata kama ilikua kalala ataamka2

  • @abednegosimoni7716
    @abednegosimoni7716 2 ปีที่แล้ว +5

    Hapo ungeweka rushwa hata usingeenda

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 2 ปีที่แล้ว +4

    Hii n nchi inoongozwa kwa mfumo wa non_ democracy.. tusishughulishane uwo ndo ukweli... hmna chochote..

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 2 ปีที่แล้ว +9

    GOD BLESS OUR POLICEMEN, WE LOVE THEM

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 2 ปีที่แล้ว +4

    Umshukuru mungu ww upo serikalini upo na vyeo vyako sasa uliza lahiya wako 😭😭😭😭

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 ปีที่แล้ว +3

    Sasa ixo changamoto na ss twapitiaaaaaa jua ivyo mama

  • @ruu6592
    @ruu6592 2 ปีที่แล้ว +1

    Eeh I imagine uhuru kenyatta afanyiwe ivi waaaah eeeeeeeeeh ongera tz

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 ปีที่แล้ว +2

    KAZI NI NDOGO TUU, VUNJA JESHI LOTE LA POLISI ULIUNDE UPYA, LINA MAASKARI HOVYO KABISAA SIJAPATA WAHI ONA

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa5496 2 ปีที่แล้ว +11

    Waboresheeni maslahi yao na makazi, wanaishi katika mazingira magumu sana na pengine ndiyo sababu ya wao kufanya wanayoyafanya.

    • @bennie7239
      @bennie7239 2 ปีที่แล้ว

      Kila mtu anaeishi mazingira magumu akiamua kujitoa kwa style hizo patakalika humu!!? Sababu wao wanajikwamua kupitia barabarani wapo wataojikwamua kuingia majumbani huko...mazingira magumu sio sababu ya msingi.

    • @swahibually1723
      @swahibually1723 2 ปีที่แล้ว

      Hao wana LAANA,hata waboreshewe maslahi,hali yao ni hiyohiyo

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 2 ปีที่แล้ว +2

    Mama na elimu ya watu wanaojiunga na jeshi iangaliwe upya. Yaani kuna madudu mengi

  • @masumbukoclement4582
    @masumbukoclement4582 6 หลายเดือนก่อน

    Mama Wona Sikuzote Madereva Tunanyanyaswa Sana Barabarani 🙏♥️🇹🇿

  • @domisianpeter558
    @domisianpeter558 2 ปีที่แล้ว +2

    Ndo umejionea sisi raia wa kawaida tunavyo onewa

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana wanakera sana hao kosa la kukuonya kesho usirudie wanakomandi sana

  • @mamudidrisa385
    @mamudidrisa385 2 ปีที่แล้ว +1

    Imani....ukweli na busara nimeiona kwako mama yetu...mungu akutangulie

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 2 ปีที่แล้ว +3

    Trafick ni watu wa hovyo sana waseme sana

  • @naamanhaji4913
    @naamanhaji4913 2 ปีที่แล้ว +1

    Love u so much my mama president♥️♥️♥️♥️♥️

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mama kazi njema

  • @innocentsteve9160
    @innocentsteve9160 ปีที่แล้ว +2

    This is very sad. It's like policemen across the world doesn't know their duties. Instead they have become rouge

  • @christianmtei2671
    @christianmtei2671 2 ปีที่แล้ว +2

    Hawa traffic wamezoa sana kula jasho la watu kunasiku zitawatokea puani

  • @ibneumar3717
    @ibneumar3717 2 ปีที่แล้ว +21

    Afadhali mama anajua vinazotokea

    • @frolawihenge2078
      @frolawihenge2078 2 ปีที่แล้ว +3

      Yaani mama umenena kweli kabisa mimi siku moja nilikuwa napeleka mgonjwa mafinga hosp.kufika changarawe trafik mmoja akapiga mkono akasema huko ulikotoka ulikuwa mwendo kasi!!nikasema samahani nina mgonjwa akasema hata kama akifa atakuwa kama wenginewafao,baadae akasema haya.acha hio.elfu tano uchape.mwendo!!!!

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 ปีที่แล้ว

      @@frolawihenge2078 Daaah aisee pole sana inasikitisha hawa Polisi wetu yaani wanaendekeza sana!

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 ปีที่แล้ว

      @@frolawihenge2078 Ebana eeh!

    • @esterjohn3729
      @esterjohn3729 2 ปีที่แล้ว

      @@frolawihenge2078 yan huyo ungemkata kibao alaf ukaondoka

  • @manasengobei9968
    @manasengobei9968 2 ปีที่แล้ว +1

    Goodest, mama tunaomba sana mradi wa umeme wa Rufiji uendelee!

  • @ashamakwaiya8749
    @ashamakwaiya8749 2 ปีที่แล้ว +2

    Waambie mama.,uonevi umezidi ,mafuta alikuwekea wakati wa kukurudisha

  • @elimumwawa8373
    @elimumwawa8373 2 ปีที่แล้ว +3

    Kweli kabisa mama tunateswa sana na hawa jamaa. Ni miungu dunia wakiwa barabarani

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 ปีที่แล้ว +5

    Mama yetu raisi wetu tunakushukuru kwa kuzema ukweli mm jusi nimepingwa tochi ikiwa ina soma 59 wakanilazimisha kutoarushwa nilikata nikaona bora waandike watu hata musamaha hawajui utasani hawana watoto wala ndugu nili mwambia baada ya haya kuna maisha mengine Mungu akulinde raisi wetuu

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 2 ปีที่แล้ว +3

    Bora mh.raisi ulivyosema ukweli kuhusu tabia za hawa ndugu zetu

  • @melchizedeknyarora2490
    @melchizedeknyarora2490 2 ปีที่แล้ว +3

    Rais Samia namtilea Ghofia kwa mawaidha mazuri sana. Police wanahitaji kubadirisha tabia na kumakinika na kuwahudumia wananchi kwa nidhamu ya hali ya juu.Mama Rais SAMIA ni kiongozi shupavu.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 ปีที่แล้ว +3

    Lugha ya vitisho inatumika ili ujae upepo na uingiwe ubaridi, lengo ni Rushwa tu hapo, Anzeni na kituo cha Msimbazi maana pale wangekuwa wanaomba Rushwa ya pesa tungejua ndio Tanzania yetu, ila wanawadhalilisha saaana wanawake na wadada yaani wanaombwa rushwa za ngono hatari, na kuwajua ni kazi rahisi saaana muwahoji askari wapelelezi wa pale watasema yote

  • @alawysaid3719
    @alawysaid3719 2 ปีที่แล้ว +8

    Mama hongera Sana, lazima askari wetu wajifuze ukarim kwa watu wakawaida na hata mwenye hatia, ili ifikie kwamba Tanzania isifikane.

  • @joshuabartonpolelaab4985
    @joshuabartonpolelaab4985 2 ปีที่แล้ว +11

    Polisi wetu hawana heshima hata kwa watu wazima

  • @user-el3jf1yx1k
    @user-el3jf1yx1k 6 หลายเดือนก่อน

    The fast women in the ward mama Samia chapa kazi kiongozi

  • @jastinlihawa4654
    @jastinlihawa4654 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo mtumishi ananyanyaswa raia inakuwaje

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 ปีที่แล้ว +1

    Mama Ana Hekma Sana Majibu Yahekma Nakawahurumia Vijana wake Bila Kuwafukuza Kazi

  • @saidfhamad
    @saidfhamad 2 ปีที่แล้ว +3

    YEYE ANA JINA SAMIA NA SISI JE???

  • @lindajoasine8806
    @lindajoasine8806 2 ปีที่แล้ว +1

    I love you Maman Samia suluhu 💕❤️

  • @lottikishapui7377
    @lottikishapui7377 2 ปีที่แล้ว +2

    Mama umenichekesha sana pole sana my mum

  • @winniemartin7647
    @winniemartin7647 2 ปีที่แล้ว +2

    Mama unashangaa nini? Ndo kinacho tukuta wananchi huko mitaani

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 2 ปีที่แล้ว +1

    Kama wameweza kumfanyia Boss wao hivi.,.
    Wwngine watakua kweny hali gan😁😁😁😁

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 ปีที่แล้ว +2

    Na Leo wewe ndy rais wao...waache kiburi wanaona Kama wamemaliza kila kitu wanajibu kwa jeuri sana

  • @user-og4wh1xr2c
    @user-og4wh1xr2c 6 หลายเดือนก่อน

    Huku Kenya raise hutembea na.convoy nzito...police bosses ndio huwa kwenye guard ...walahi kidudu mtu hawezi mfikia...pole maa. . you're very humble

  • @florianpeter4727
    @florianpeter4727 2 ปีที่แล้ว +1

    Mama toa namba ya simu utapigiwa Sana kuhusu polisi wa barabarani

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 2 ปีที่แล้ว +2

    YAAN APO NDO UNAJULIKANA SASA UTOKE HUKU ZANZIBAR CJUW PEMBA UKAMATWE CJUW MOROGORO UKO MKOA WWT NDO UTAJUWA UTANYANYASWA KAMA MKIMBIZI..

  • @JaredLangat.
    @JaredLangat. 4 หลายเดือนก่อน +1

    How comes police wasimamshe President?? Hao waende nyumbani