Jamani selikali ya sanaa Tanzania hii series inahitajika apewe zawadi nzuri baba joana maana alichokifanya amefundisha vitu ambavyo wasanii wote wanaofanya online movie hawajawahi fanya mwaka 2023 Niombee muangalie kwa jicho la pili inshaalah tumejifunza mengi kupitia hii 😢😢
Yaani kama kuna kipindi nimekipenda sana ni hii filamu ya "Mwalimu mgeni"kwa kweli nimekukubali sana Baba Joan!!!Season 2 ikuje kwa haraka basi tunaisubiria kwa hamu❤❤
Daah, kwakweli hongera sana @BabaJoan nimekufatilia mwanzo mpaka sasa japo kuwa sijawah kucoment ila acha nisiwe mchoyo wa fadhila, namuomba mungu akubariki na azidi kukunyanyua ili ufike mbali zaidi ya hapo maana unakipaji sana kazi zako nzuri kwanza zinafunza na pia zinaelimisha hivyo bas muhimu jitihada zaidi uzidi kuonyesha kipaji chako zaidi na usikate tamaa mungu atakusaidia ........ pia nimesikia wimbo mwisho wa hii film naomba Jina la wimbo 😊😊😊
Yanii ni mafundisho WA aliyajuu nimefurai Sanasa,nakuomba kazi yandalee,,,,Sasa mimi ninaswali,iii mimba ya fetyy itakuaje kwasababu mume ndyo tayali amikamatya...
Safi sana nimeipenda na Nadhani kila shabiki kaipenda. Kwa kweli mnatuelimisha sana katika maisha kupitia hizi tasnia za uigizaji. Hongeraaa.....😅😅😅❤❤❤
Infekuwa kwa uwezi wangu singekumbali iishee, mwalimu mgeni alikuwa ananipea moyo hata kama nko kwa machungu ,,naomba mkirydishe baada ya wiki Moja🙏🥰🥰,na imekuwa kielelezo kwa jamii kupitia mwalimu mgeni , kwa njisi au namna ya kuishi na watu katika jamii
Hongera sana mwalimu mgeni nimefatilia kipindi kutoka mwanzo hadi mwisho, kumbe pia ww unakipaji ndio maana ulikuwa unapenda kusikia vipaji vwa wanafunzi. Nasubiria season 2 nikiwa saudi
TUNAKUSHUKURU KWA KAZI NZURI NAAMINI UTAJIPANGA TENA IPASAVYO. NA UTARUDI UKIWA UMEJIPANGA ZAIDI YA HAPA MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI TULIANZA KWA HUZUNI NA TUMEMALIZA TUKICHEKA/TUKIFURAHI NAWAPA PIA HONGERA WATU WALIOKUZUNGUKA HAKIKA WANAJUA BILA KUMSAHAU DIRECTOR HAKIKA AMEWEZA GOD BLESS YOU MY BROTHER BABA JOAN ❤❤ PIA HUYO KIJANA ANAEIMBA ANAJUA SANA NA ANAJUA SANA SANA
Natokea Kenya , mwalimu mgeni napenda kazi zako ,nakuombea mungu uzidi kuinuka zaidi,unatoa mafunzonmengi katika uhalisia wa maisha,uwe na moyo wa unyenyekevu mungu anakupeleka mbali❤❤
❤❤❤❤❤❤Mungu akupe maisha marefu Sanaa kwakwel umenifundisha mengi Sanaa kwenye maisha haya hasa kumuheahimu Kila mtu kwenye haya maisha uishi maisha marefu kaka
Napenda sana jinsi ulivyoigiza naimani walimu wanaofwatilia hii watajufunza mengi sana kutoka kwako ili kukuza sekta ya elimu Mungu Akubariki sana mwalimu ufanye utulete movie nyingine ❤❤🎉🎉🎉🎉
We are waiting season 2 from kenya actually we have learnt alot..... may Allah be your director and protector to whenever and whatever you may be doing InshaAllah
Naipongeza sana timu ya mwalimu mgeni kwa kazi mliyoifanya kwenye movi hii kutoka ep 1 hadi 14..Mungu awabariki sana inafurahisha sana hii season..pia nipo sambamba nanyi kwenye kivumbi kingine..NEVER GIVE UP
Asante kwa fundisho Tume jifunza mengi.yajayo yatafuraisha zaidi. Watching from Birchenonught-bridge 🇿🇼 zimbabwe,,, Cross border machipanda 🇲🇿 We are together🇿🇦 Estamos juntos 🇲🇿 Nous sommes ensembles, 🇨🇩 Pamoja sana 🇹🇿 By international 🇨🇩💪✊🙏 connecting africa
safi sana hii move imenilkumbusha mbali sana haswa ina uharisia wa shule kabisa haswa huyo mwl mgeni anae fundisha bila kitabu haswa masomo ya science amenikumbuka walimu wangu 1 Patrick madiwa now yupo mara natumain wanafunz wa huko wana enjoy sana namba mbili mwl mayewa mzigua wa handeni tanga mazingara (mkata) nawakumbuka sana walimu wangu pamoja na mwalimu wenu enginear Rama maarufu rama matawi
Asante sana Kwa KAZI yako mzuri sana utawafunika sana Allah atakupa nguvu uko vizuri sana unajifunza mengi sana na jamii itajifunza mengi sana hora sana
Waaaah mungu wangu baba Joan umeimba Hadi nimetokwa na majozi kuringana na message ya wimbo unaoimba 💪🤝🙏kutoka Kenya nimejufunza more about this video thank you.
Mimi kama mimi naona kama huyu jamaa anajitahidi na bila shaka atafahamika mbali mbali sana 😢😢😢😢. Na hiki alichokifanya kiukweli wengine wanashindwa kukikamilisha❤❤😢😢😢 hongera sana mtusivile😢😢❤❤
Woow this is wonderful,you people you were talented , especially mwalimu mgeni congratulations good work keep it's up,may God continue to expand your talents,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 but watching from Saudi Arabia
Wow ma sha ALLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹maua kwa Wing maana kaz imefanyika tu kiutaratib na utamu ndan Asanten nyote much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🤲🤲 ALLAH Awazidishie vipaji vyenu vionekane na kuskika zaid Ongeren team Baba Joan 😊😊😊😊
Sijawh ku comment kwa youtube but hii ya mwalim mgen imenfanya n comment broo big up sana kwa kazi nzuri unayo ifanya mungu azid kkupa nguvu utuletee vitu vitamu kama hivi
Wee mwisho w ubaya aibu kweli mwalim tusvile icho kisong nikee ntakihitaji siku chache kuna mtu anaumbuka kma mwali makingi😅😅😅😅,hongereni sana jmni tumejifunza kitu kutoka kwenu mungu awaongee vipaji vyenu inshaallah. From kenya 🇰🇪 love moo❤❤❤
Jamani selikali ya sanaa Tanzania hii series inahitajika apewe zawadi nzuri baba joana maana alichokifanya amefundisha vitu ambavyo wasanii wote wanaofanya online movie hawajawahi fanya mwaka 2023 Niombee muangalie kwa jicho la pili inshaalah tumejifunza mengi kupitia hii 😢😢
Kabsa❤❤❤
Kabisa
Mr tusufile hongera sana hebu nimabie nimsanii Gani aliimba hiyo nyimbo❤❤❤❤
Tupo hapa ❤
Honger San kwako baba joan
Walio fatilia iyi serie mpaka mwisho gonga like hapa hongera sana kwa wote waliofanya ichi kitu
🙏💪🔥🔥✌
🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤
Pia mim namupenda sana mwalimu mgeni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwalimu Mgeni we ni star sana kiukweli hongera unajua sana utafika mbali
Yaani kama kuna kipindi nimekipenda sana ni hii filamu ya "Mwalimu mgeni"kwa kweli nimekukubali sana Baba Joan!!!Season 2 ikuje kwa haraka basi tunaisubiria kwa hamu❤❤
Daah, kwakweli hongera sana @BabaJoan nimekufatilia mwanzo mpaka sasa japo kuwa sijawah kucoment ila acha nisiwe mchoyo wa fadhila, namuomba mungu akubariki na azidi kukunyanyua ili ufike mbali zaidi ya hapo maana unakipaji sana kazi zako nzuri kwanza zinafunza na pia zinaelimisha hivyo bas muhimu jitihada zaidi uzidi kuonyesha kipaji chako zaidi na usikate tamaa mungu atakusaidia
........ pia nimesikia wimbo mwisho wa hii film naomba Jina la wimbo 😊😊😊
Mwalim mgeni unakitu utafika mbali sana mungu akubariki inshallah
🇰🇪🇰🇪 tumekuwa pamoja tangia episode ya Kwanza Hadi Sasa....Nmepata funzo kuu. Hongera kwa mtunzi.
Love from GOGO LOVE OFFICIAL to BURUNDI, naitaji sapoti yenu wapendwa munipatie ma likes jameni
Safii
Utapata tyuj boss
Heloooooo mrembo
Hi baba Joan umenikumbusha mambo mengi sana enzi hizo nilipokuwa shule ubarikiwe sana ,❤❤❤ tuko pamoja🔥🔥🔥🔥
Ulipata mimba au
Mwalimu mkuu kaona aibu mana aliende kuchochea Kwa afisa elimu kaz nzur Baba Joan asant Kwa movie nzur ya mwalim mgeni nimejifunza mengi
Mwalimu mgeni nimefurahiswa na wimbo wko wa msamaha ongera sana kwa mafundosho yenu ❤❤❤
Vipaji😂
Yanii ni mafundisho WA aliyajuu nimefurai Sanasa,nakuomba kazi yandalee,,,,Sasa mimi ninaswali,iii mimba ya fetyy itakuaje kwasababu mume ndyo tayali amikamatya...
Waiting for season two na mrembo nyoka pia mlete season two.mwalimu mkuu ametorka aibu mana pia alikua hampendi mwalimu mgeni 🎉🎉🎉🎉❤
Safi sana nimeipenda na Nadhani kila shabiki kaipenda. Kwa kweli mnatuelimisha sana katika maisha kupitia hizi tasnia za uigizaji. Hongeraaa.....😅😅😅❤❤❤
Pongezi sana nyote mlio husika kwa hii movie imenifundisha mengi sana jinsi ya kukaa na jamii na pia mahadui
Leo wa Kwanza naombeni like zenu hata kumi tu jaman 😢😢😢
kwenye hii Chanel?
Kwenye Movie kiukweli washiriki wote mmefanya vizuri sana Big up sana kwa Baba Joan a.k.a Mwalimu mgeni👏👏👏👏
Infekuwa kwa uwezi wangu singekumbali iishee, mwalimu mgeni alikuwa ananipea moyo hata kama nko kwa machungu ,,naomba mkirydishe baada ya wiki Moja🙏🥰🥰,na imekuwa kielelezo kwa jamii kupitia mwalimu mgeni , kwa njisi au namna ya kuishi na watu katika jamii
Ahsanteni sana KWA filam nzuriiii sana Allah awajalie maisha marefu na ubunifu mwingine ufanyike mtu toleee nyingine tena by moudy shirazy singida
Hii ni tamthilia nzuri sana. Hongera baba Joan. From Kenya.
Duh kweli tumejifunza mengi kupitia Tamthilia hii hongera Baba Joan Kwa kazi nzuri
At least there's season 2, applause to the whole crew
Congratulations, nafurahi kabisa kwa kazi kubua ya mashauri kabiyi. Congo DRC, tuko pamoja
Nice work
Much inspiring congratulations 👏👏👏; from kenya
Brother unatokea DRcongo sehemu gani? Nami Niko congo
Woow.... Congratulations babajoaa.... Watching from 🇰🇪.... Eagerly waiting for season 2....❤❤❤
❤❤❤
Hongera sana mwalimu mgeni nimefatilia kipindi kutoka mwanzo hadi mwisho, kumbe pia ww unakipaji ndio maana ulikuwa unapenda kusikia vipaji vwa wanafunzi. Nasubiria season 2 nikiwa saudi
This series deserves an award🔥🔥🔥Maua yangu kwenu from Kenya🇰🇪
TUNAKUSHUKURU KWA KAZI NZURI NAAMINI UTAJIPANGA TENA IPASAVYO. NA UTARUDI UKIWA UMEJIPANGA ZAIDI YA HAPA MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI TULIANZA KWA HUZUNI NA TUMEMALIZA TUKICHEKA/TUKIFURAHI NAWAPA PIA HONGERA WATU WALIOKUZUNGUKA HAKIKA WANAJUA BILA KUMSAHAU DIRECTOR HAKIKA AMEWEZA GOD BLESS YOU MY BROTHER BABA JOAN ❤❤ PIA HUYO KIJANA ANAEIMBA ANAJUA SANA NA ANAJUA SANA SANA
Gongen like ataka kumi maan ii movie ya mwalim mgen nimeipenda San nazan wot 2meipenda
kweli Mwalimu mgeni hongera kwa kazi nzuri yenye maalifa na mafunzo nakwombea Mwangaza huwe mbele yako.
The Truth will always set us free and separate us from evil intention.
Pongezi kwa kazi safi bomba!
Natokea Kenya , mwalimu mgeni napenda kazi zako ,nakuombea mungu uzidi kuinuka zaidi,unatoa mafunzonmengi katika uhalisia wa maisha,uwe na moyo wa unyenyekevu mungu anakupeleka mbali❤❤
❤❤❤❤❤❤Mungu akupe maisha marefu Sanaa kwakwel umenifundisha mengi Sanaa kwenye maisha haya hasa kumuheahimu Kila mtu kwenye haya maisha uishi maisha marefu kaka
HONGERENI SANA TEAM NZIMA YA MWALIMU MGENI Mmefanya Kazi NZURI SANA Kwanzia Sehemu ya Kwanza Mpaka ya Mwisho... BIG UP TO YOURSELVES 👏👏👏👏👏
Mm nimejifuja kusamee msamaha ni wamaana Asant sana wote mlio tuandalia tuko pamoja nawapenda wote ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Congratulations 👏👏,, iko na mafunzo mazuri sana tena zaidi,, tunawapenda sana na tunaendelea kuwatazama tukiwa kenya,,
Yaani baba Joan umenitesa mke wangu kashindia mwalimu mgeni mala kama mia 😢😢www mwalimu una😅😅😅😅😅Sha sana🎉🎉🎉🎉congratulation keep up father keep up
Congratulations 👏👏 nimefuatilia ady mwisho💖this is impressive 💖💖
Nmefurah Sana... Hongera baba joan kwa Kaz nzuri... Nlkuwa nanyi mwanzo had mwisho❤
Leo nimekua wa kwanza naomba maua yangu baba john
Kabisa namimi nime penda iyi tamsiriya baba joar mimi nimekuwa shabiki wako number moja toka DRC Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Naipenda kwanin inaisha
I like your videos baba Joan..yamenitoa machozi nikifikiria nilivyo teseka kwa sababu ya uchawi..you are a good teacher
Aisee hii move mmetishaa Sana kuanzia mwalimu mgeni na kikosi chake chote mmetisha by yusufu kïñyøgøly kutoka kisemvule mpera moja
Walipenda season 2 itoke ata kesho tujuane kwa like
Napenda sana jinsi ulivyoigiza naimani walimu wanaofwatilia hii watajufunza mengi sana kutoka kwako ili kukuza sekta ya elimu Mungu Akubariki sana mwalimu ufanye utulete movie nyingine ❤❤🎉🎉🎉🎉
We are waiting season 2 from kenya actually we have learnt alot..... may Allah be your director and protector to whenever and whatever you may be doing InshaAllah
Tujifuze na mwalimu mugeni nimweje subira hakasiriki upesi Hana mripuko ya hasira na nimuvumilifu somu muzuri kwetu
Nimefatilia kutoka mwanzo hongera sana 👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉🎉 mpenzi mtasamaji kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪
Movie nzuri nazani wote tulofatilia tumeenjoi tatzo mwalim magesa kwenye kushtuka hayuko vizuri
It has been so wonderful thank you beyond my limits. You people, your s incredibly exceptional.
Naipongeza sana timu ya mwalimu mgeni kwa kazi mliyoifanya kwenye movi hii kutoka ep 1 hadi 14..Mungu awabariki sana inafurahisha sana hii season..pia nipo sambamba nanyi kwenye kivumbi kingine..NEVER GIVE UP
Kwani inafikaje mwisho haraka hvi??? I thought itafika episode 30.. waau kumbe Kuna season 2 😅😅😅am happy now
Asante kwa fundisho
Tume jifunza mengi.yajayo yatafuraisha zaidi.
Watching from Birchenonught-bridge 🇿🇼 zimbabwe,,,
Cross border machipanda 🇲🇿
We are together🇿🇦
Estamos juntos 🇲🇿
Nous sommes ensembles, 🇨🇩
Pamoja sana 🇹🇿
By international 🇨🇩💪✊🙏 connecting africa
Hakikaka imefana Sana mungu akusimamie Katka KAZI zako🙏🙏
safi sana hii move imenilkumbusha mbali sana haswa ina uharisia wa shule kabisa haswa huyo mwl mgeni anae fundisha bila kitabu haswa masomo ya science amenikumbuka walimu wangu 1 Patrick madiwa now yupo mara natumain wanafunz wa huko wana enjoy sana namba mbili mwl mayewa mzigua wa handeni tanga mazingara (mkata) nawakumbuka sana walimu wangu pamoja na mwalimu wenu enginear Rama maarufu rama matawi
waoh kazi nzuri kweli kweli
Aise nimeipenda inatuelimisha sana ongera ndugu mtungaji wa filamu hii Allah akupe maisha marefu Love you
Kabisa kazizuri nimeifatiliya mwanzo mwisho ongereni kwaote kabisa😘 mimi nafata nikiwa congo bukavu
Asante sana Kwa KAZI yako mzuri sana utawafunika sana Allah atakupa nguvu uko vizuri sana unajifunza mengi sana na jamii itajifunza mengi sana hora sana
Km umekua n mm kwa mwalimu mgeni kwanzo adi mwsho like apa mm ndio wa kwanza Leo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Waaaah mungu wangu baba Joan umeimba Hadi nimetokwa na majozi kuringana na message ya wimbo unaoimba 💪🤝🙏kutoka Kenya nimejufunza more about this video thank you.
Ndio hata mimi nimeupenda huo wimbo unahuzunisha unagusa sana moyoni
Very good job honestly & touching good job @baba joan all the best ahead more successful
Hongera Kwnu,, Piah Hongera Magesa , Kuna kitu unacho Jitahd, Kaza Buti, Jiamini, Usikate Tamaa
Nafurahixhwa xna na upendo kutoka kwa wanafunzi kwako. Patronize pia aendelee vivyo hivyo🎉🎉🎉❤❤❤
Keep it up brother, sky is the limit, hav4 watched from episode 1 up to episode 14. Joshua nyandega ftom kenya🇰🇪
Napenda sana imeweza sana hii series yaani bonga la story big up sana Baba Joan Kenya tunakuwelewa sana
I'm follow from USA, Tanzania l appreciate for funny 👍👍👍
Mimi kama mimi naona kama huyu jamaa anajitahidi na bila shaka atafahamika mbali mbali sana 😢😢😢😢. Na hiki alichokifanya kiukweli wengine wanashindwa kukikamilisha❤❤😢😢😢 hongera sana mtusivile😢😢❤❤
Mungu Awabariki Sana Awape Wepesi Wa Kutengeneza content za kuelimisha Jamii 🙏
Nakubali kabisa kwamba hatawewe mwalimu mgeni unakipaji kweli. Courage sana kabisa
baba Joan u're talented 😢😢😢😢😢
Bonge Moja la kazi nimefuatilia mwanzo mwisho 🤝🔥🔥🔥
Mnaacha kuview mnakimbilia tu mm wakwanza mm wa kwanza
Wow amazing i have learnt alot be blessed even the Bible says clearly say the truth and it will set you free
Parabens pelo trabalho, continue assim chegará longe❤❤❤❤
Nafurahi sana kwa mchezo wenunawafata nikiwa Rwanda Gisenyi hongera
Naipenda sana hii series yaani inafrahisha na inafundisha hongereni
Daa ndoo haienderei Tena jamani nawakati imefikia sehemu mzuri sana hayeni bwana IRA bado tunawapenda sana🎉🎉🎉🎉🎉
Congratulations 🎉❤
Ni movie mzuri sana ina mafunzo mazuri sana kazi nzuri waliyo ifanya ❤❤
Mwalimu mgeni nakupenda....kazi nzuri
Mbn me huwa sipati like jamani
Woow this is wonderful,you people you were talented , especially mwalimu mgeni congratulations good work keep it's up,may God continue to expand your talents,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 but watching from Saudi Arabia
Watched from EP 1 to the last ep Soo nice movie
Nawapenda sana nyote kazi nzuri sana maa shaa 🎉🎉🎉
Wow beautiful episodes with lessons learnt
Congratulations baba Joan kwa funzo nmepata kwa hii filamu
killed it my brother 🎉🎉🎉
Djamani najikuta Na lia kwa.nyimbo ya mwalimu mgeni.
Nimekua wa kwaza naomba like zangu wapenz wangu 💋💋💋
Wow ma sha ALLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹maua kwa Wing maana kaz imefanyika tu kiutaratib na utamu ndan Asanten nyote much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🤲🤲 ALLAH Awazidishie vipaji vyenu vionekane na kuskika zaid Ongeren team Baba Joan 😊😊😊😊
Sijawh ku comment kwa youtube but hii ya mwalim mgen imenfanya n comment broo big up sana kwa kazi nzuri unayo ifanya mungu azid kkupa nguvu utuletee vitu vitamu kama hivi
Wee mwisho w ubaya aibu kweli mwalim tusvile icho kisong nikee ntakihitaji siku chache kuna mtu anaumbuka kma mwali makingi😅😅😅😅,hongereni sana jmni tumejifunza kitu kutoka kwenu mungu awaongee vipaji vyenu inshaallah. From kenya 🇰🇪 love moo❤❤❤
We jamaa si umesomea mpwapwa ttc? Hongera sana umepga hatua kubwa 👍👍👍
Leo nimechelewa jmn kazi zimenibana sana ila siombaya maua yenu munadupa mambo kwa wakati ❤❤❤❤
Cool ❤❤❤
Nimefuatilia hii tamthilia kutoka mwanzo . Nimejifunza mengi kama jinsi ya kuishi na watu katika mazingira ya kazi. Much love❤ from Kenya 🇰🇪
Congratulations to all the organizers
Thanks bro kazi Safi nmefatia tangu episode 1 mpaka mwisho, am a big fun of you from 245 side, nkupenda bure kakaangu
Kazi nzuri hongera sana uko vizuri sana hongera yani nimetumia kama vile kweli.
Pongezi kwa kaz nzr san msamaha ni kiti bora dunian mungu atufanyie wepes tuwe tunasamehe kila wakat inshallah 🎉🎉🎉🎉🤲🤲🤲🤲🥰🥰🥰
Waiting for season two brother imekua nzuri sana
Daaaah Leo mmejua kunitoa machoz Hakika Mungu azidi kuwainua zaidi katika kazi zijazo
Hongera sana ndugu zangu Mungu awabariki sana mmetisha sana leteni vitu vingine❤❤❤