🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- 🔴#LIVE: RAIS SAMIA ATEMBELEA KABURI LA HAYATI MAGUFULI NA KUWEKA MASHADA...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Pole kwa Wananchi wote
Wengineo pamojana
Marafiki wake.
Pole kubwa kwa familia.
Yaani ni kama..kumbe
Imeshakuwa mwaka.
Bado tuna uchungu.
Pumzika ndugu yetu na rafiki
Yetu.
Amina.
Yaani ni kama jana.
Kumbe imeshakuwa
Mwaka.
Pumzika kwa amani.
Amina.
Mungu azidi kumu weka fasi nzuri na viote aliyo fanya hatuta kusahau afrika zima na rdcongo woote ni wewe tuuu amen.
⭐MPENDWA ⭐RAIS ⭐MAGUFULI⭐ MWENYEZI⭐ MUNGU⭐ BADO ANAIANDAA VENGE YAKO KWA WALIOKUUWA KABLA YA WAKATI WAKO!! TUNAKUPENA TUNA KUKUMBUKA SIKU ZOTE DAIMA❤🙏
Auwaye Kwa upanga atauwawa Kwa upanga
Malipo ni Hapa Hapa
Kweli kabisa watalipwa tu hakika ...Wote pua zimetazama chini hakuna atayeishi milele
Mungu iweke pema roho ya kiongozi wetu shupavu
JPM alikua Baba tulieshuhudia baraka za mvua ktk uongozi wake, na Leo hii baada tu ya Misa Takatifu mvua kubwa tumeshuhudia baada yakuteseka na ukame .Asante Mungu kwa zawadi ya maisha ya mtumishi wake
Alikuwa chaguo la Mungu
Ni kwel
Baraka kubwa
Poleni sana people of Tanzania mungu let his rest in peace🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
asante sana Irene. God bless you and Kenya as a whole
Serikali imeshindwa kumfanyia misa anafanyiwa na mkewe wao wamealikwa kama wageni wakati marehemu kafa kabla muda wake na ni tukio la Kwanza la aina yake. Ama kweli 😭😭😭😭
Aliandaa mke ila sapoti kubwa ya kifedha atakuwa alipewa na serikali
Rest in peace baba.bado tunalia
R.I.P magufuli
Yote mema lala shujaaa, anakuja mwingine Mungu katuandalia hatotuacha kamwe, mama naye anachapa Kazi kwa zamu yake barikiwa mama kuwaongoza wtu wenye midevu ni Kazi mno unajitahidi Sana Ila usisahau kabisa kufuata nyayo za shujaaa angalau hata tano tu zitatutosha moja ikiwa makato yanaumiza jamani. Halafu usitusahau wajasiriamali wadogo tuite siku moja tukupe yetu ya moyo Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Africa
Mungu ampe pumziko la Amani (kenya)
Mungu muweza wayote jamaani magu tutamkumbuka wanyonge miaka yote atosaulika kabisa aitokei kabisa tz kupata tena lais kama yule
Pumzika kwa Amani Baba
Apumzike kwa amani
Thanks mama Samia wa Suluhu kushiriki ktk kumbukizi hii. tunakupenda mno mama yetu. Mungu na azidi kukujalia heri, afya, upendo na hekma Yake. tunashukuru kwa kazi unayofanya kwetu sie Tanzania
Inauma sana all in all alale mahal pem
Daima tutakukumbuka mzarendowetu
Just for consultations kwani huyu raisi Magufuli alizikwa apa ama ni ile ameletwa leo for remembering
Alizikwa papa hapa
Alizikwa hapa.. Kwao Chato
Hivi kwenye haya madaftari huwa kinaandikwaga kitu gani kwa anayefahamu anifahamishe. Maana naona mheshimiwa Rais anaaandika vitu vingi mi nilijuaga ni jina la mhudhuriaji na mchango 🙆
Anaandika wimbo wa taifa
@@ciarmnyone738 nyie wabongo noma badala ya kumwelemisha mtu kinachoandikwa, ety unamwambia wimbo wa taifa
R.I.P PRESIDENT MAGUFULI 😢😢😢
Kwani na waislamu dini yao inawaruhusu kutoa heshma kama hivyo kwa aliyekufa?
Haidhuru
Hairuhusi
Nani kakwambia? Msifanye dini ngumu…. Islam ni dini ya haki na nyepesi lakini baadhi ya viongozi wanaifanya impossible religion to follow-- haram aleikum
Abbas. Ukiwa kiongozi. Inakubid. Ufanye jambo bila kubagua din kulingana. Na wazifa ulio nao mfano. Islamu. Nikosa kubwa kutositli. Maremu tumezoea. Siku 2 ila. Ukiwa kiongozi utahifhaziwa. Mpaka taratibu za kiserikak
Ipo siku huyu mama na WAHUNI watajaribu kukimbilia mapango na mapango nayo yatawakimbia
Siku zinakuja
Yahni
Hamna shukrani... Ningekuwa ninyi, ningemshukuru huyu Mama na Serikali yake, maana wamemuenzi Hayati na kumheshimisha Janeth Magufuli... Haikuwa lazima... Lakini wao wamefanya... Mama ameamua... Asante Mama Rais Samia, hongera kwa wema wako na utu wako... Rip JPM
Ingekuwa si lazima kama angekuwa amemaliza muda wake wa urais akafariki kama vile Mkapa. Lakn ni jambo la kushangaza Rais wa nchi kufariki ghafla bila taarifa zozote za ugonjwa wake hapo kabla. Jambo hili litabaki kuwa historia katika nchi hii, walifurahia kifo hiki watakufa na wala hawatakumbukwa kwa lolote na taifa hili, mali wanazochuma sasa wala hazitawasaidia chochote n furaha ya muda mfupi tu
@@gamechangeryoutubeofficial7928 naam,umesema vema
@@j.c.maxima816 umesikia hotuba ya Mama Janet? Kwa nini yeye ndo afanye kumbukumbu ya kifo cha mume wake badala ya huyo mama ako? Sasa tumshukuru Kwa kipi? Well labda kwa kupanda ndege kwenda kuhudhulia hiyo service! Shame on all, wameshindwa kuandaa misa ya mwaka mmoja wa raisi WA Kwanza kufa akiwa madarakani! Seriously
Anatafuta nini hapo kaburini msaliti mkubwa hyo
Poleni maskini wenzangu
Pole
Tulikupenda kipenzi cha wanyonge ,hatuna jinsi mungu kakupenda zaidi
Hii nchii bwana,,,
Yahni
Nchi ya maendeleo hongereni
Ukishakua mwanasiasa huna dini
Nawaona mnavyo tupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ilihali muendelee kutuumiza mungu anawaona
Pumzika kwa Aman jpm, Wala atuwez kukusahau baba yetu mzalendo wa kwel, mchapakaz na rais wa wanyonge, hasa kwa magumu tunayoyapitia kwa kipind hichi Tena Ni ndan ya mwaka 1 tu, mpaka tukamalize huu uongoz Cha Moto tutakiona, tuombee huko uliko mpendwa wetu.
Kwamadaiyenu mmemkomoa hayati jpm lakini mmejikomoa kwaulohowafeza zenyedamyawatz maskni
R i p
Muwaji
th-cam.com/video/dP3XDostMCY/w-d-xo.html
*HAKIKA ITAKUTOA MACHOZI DUH KUMBE RAISI MAGUFULI AKUTAKA MACHINGA WAFUKUZWE🙏*
RAISI MAGUFULI ALIZUNGUMZA NA MAMA SAMIA IKULU DAR