I’m so grateful to have the grace to hear this truth revelation 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙇🏽♀️🙇🏽♀️🙇🏽♀️ Thank you Lord God almighty in the name of Jesus Christ Amen amen 🔥🔥🔥 God bless you and give you revelation Apostle 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙇🏽♀️🙇🏽♀️👏🏽👏🏽🤗 you are a gift man from God
Shalom and blessing thanks so much apostle mtoto wangu anachekwa ana dharauliwa apostle naomba umuombee mwanangu afunguliwe. Thanks kwa haya mafundisho god bless you apostle mungu azidi kukutumia.
Amen...Ni Mimi mtumishi Ni Mimi nimekusikliza kwa makini mahubiri yako yamenilega Mimi napitia uchungu katika familia yangu tuko kumi kwa mama moja baba moja. Kwenye ukoo Ni Joseph njoroge
Mungu atusamehe kwa kutojua maarifa haya ni kweli kuna wengi tumewapoteza kwa kuona hawafai , asante Mtumishibwa Mungu kwa mafunuo haya Mungu aendelee kukupa mafuo tupone.Mungu turehemu.
Hakika mtumishi tuna kuombembea afianjema Mungu azidikukutumia nawatuwoote wenyemapenzi mema tufunguliwe katika familia zetu,koozetu,mijiyeetu,vijiji vyetu,wilaya,mikoa na hatimae Taifazima balikiwa MTU wa MUNGU
Siongei Sana apostle mung azidi kukuongoza kwa huu unabii ulio tumwa kwangu maana unanihusu kiundani zaidi nandio maana nasema siongei Sana nina mengi baba nina mengi itatimia siku yangu nikija kukuona apo ecg church mungu akulinde na mimi anilinde maana bwana ndio mchungaji wetu azidi kutulinda 🙏
Oooh hallelujah kumbe nimetengwa na Mungu amenikomboa nafunguliwa vifungo walivyonifunga.kwasababu nimebeba hatima ya familia na ndio maana wanapesa Ila hawana furaha wanahangaika sasa
I’m so grateful to have the grace to hear this truth revelation 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙇🏽♀️🙇🏽♀️🙇🏽♀️ Thank you Lord God almighty in the name of Jesus Christ Amen amen 🔥🔥🔥 God bless you and give you revelation Apostle 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙇🏽♀️🙇🏽♀️👏🏽👏🏽🤗 you are a gift man from God
Asante MUNGU kwakutupatia mtumishi huyu mwenye mafundisho mazuri yakutufungua
Uishi myaka mingi apostle Mungu akuinue zaidi katika huduma yako
Amen nabarikiwa mnooo namafundisho yako Apostle
Nimebarikiwa sana asubuhi ya leo KWA ajiri ya hilo neno mpakww mafuta wa Bwana ubarikiwe zaidi ya kubarikiwa
Amèeeeeeeeeen. Glory to Almighty God.
Nashukuru mungu Kwa kunielekeza hapa,mungu anasababu ya kunichagua,hizi mapepo zitaniachia ili nikauone baraka za familia yangu.
Najiunganisha nami ktk jina la Yesu na mafundisho haya
With this teaching,God is good
Shalom and blessing thanks so much apostle mtoto wangu anachekwa ana dharauliwa apostle naomba umuombee mwanangu afunguliwe. Thanks kwa haya mafundisho god bless you apostle mungu azidi kukutumia.
Thx Jesus kwakuwatoa ndugu zetu mashimoni🙏
Asante mtumishi kwa neno zuri nahisi kufahamu zaidi na zaidi 🙌🙌
Ubarikiwe sana kwakweli,sipati cha kisema nimeguswa,Daudi wetu 🙏🙏🙏
Huyo Daud wenu ! Inatakiwa kwenda kanisani na apate wazazi wa kiroho ili wam link na roho mtakatifu.
Amen...Ni Mimi mtumishi Ni Mimi nimekusikliza kwa makini mahubiri yako yamenilega Mimi napitia uchungu katika familia yangu tuko kumi kwa mama moja baba moja. Kwenye ukoo Ni Joseph njoroge
Yes yes sir. Very true God bless you apostle
Amen, barikiwa mtumishi
Ameen Apostle kunaktu nimejifunza
Pray for us dear Apostle. God bless you 🙏
Love the way you explained everything
Ahsantee Apostle Mtalemwa, hakika nabarikiwa na huduma unayoifanya.
Amina nimewaleta madhibahuni mtoto wangu valarie vigehi na ndungu wangu Gilbert kabusundu haoi ndiyo yusufu wa kwetu
Barikiwa sana apostle
Amen .Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Nimeelewa Mungu Ahsante kwaajiri yamtumishi uyu
Ahsante pastor kwa huduma yako unatufunulia na unatujengea ufahamu ktk neno
Amen waliofungwa wakafunguliwe.
Mungu atusamehe kwa kutojua maarifa haya ni kweli kuna wengi tumewapoteza kwa kuona hawafai , asante Mtumishibwa Mungu kwa mafunuo haya Mungu aendelee kukupa mafuo tupone.Mungu turehemu.
Amen
Powerful revelation. Barikiwa mtumishi wa Bwana
Asante yesu kwa kutufungua
Hii injili ni yangu,barikiwa mtumishi wa.mungu
Nashukuru kwa mahubiri yako pastor, God bless you 🙏🙏🙏 amen 🌹🌹🌹🌹🌹
Aminaaaaaaaaaaa.nimejifunza baba ubarikiwe sanaaa
Amen! Asante sana
Amen,wewe ni msema kweli,kutoka kenya
Hakika mtumishi tuna kuombembea afianjema Mungu azidikukutumia nawatuwoote wenyemapenzi mema tufunguliwe katika familia zetu,koozetu,mijiyeetu,vijiji vyetu,wilaya,mikoa na hatimae Taifazima balikiwa MTU wa MUNGU
Amen man of God
Asee Apostle
Haya mafundisho ni konki..
Nimekuelewa sana
Apostle Mungu akupe Nguvu katika maisha ya Huduma yako
Powerful...Thank you Apostle! Be Blessed Always...Amen!
Napeta sana mafudisho yako. Inatuba nguvu. Barikiwa sana
Amina! MUNGU akubariki sana kwa kuelimisha WATU wa MUNGU.
I love the message
God bless you.
You have blessed me.
Asante kwa enlightening
Thanks so much apostle god bless you
Amen nakuelewa vizuri 🔥
Mungu azidi kukupa mafunue maana najivunia kukufam napenda injili unayoubir
Amina baba nme barikiwa sana sana
Ameeen, ameeen, ameeen watumishi, nimebarikiwa Sana na somo hili.
Thank you Apostle 🙏🏿
Deliver us from those demons Man of God amen I receive in Jesus powerful name Amen
Siongei Sana apostle mung azidi kukuongoza kwa huu unabii ulio tumwa kwangu maana unanihusu kiundani zaidi nandio maana nasema siongei Sana nina mengi baba nina mengi itatimia siku yangu nikija kukuona apo ecg church mungu akulinde na mimi anilinde maana bwana ndio mchungaji wetu azidi kutulinda 🙏
Mungu anirehemu na mm katika maisha yangu yote
Amina mtumishi
Glory to Jesus Christ in Heaven and Earth. Amen
Amen Mtumishi
Baba nimekuelewa barikiwa sana
Baba baba baba ubarikiwe hakika nimefunguliwa
😍😍😍😍mungu akuinue
I'm so so blessed
Naomba mtumishi FARAJA na CAROLINE
afunguliwe. Ubarikiwe sana
Amazing grace to God ,break those chains of evilness in our families in the might Name of Jesus Christ. Amen
Sema baba
Am here after the viral video of Muzina...u made my day mtumishi
Mafundisho mazuri Sana..nafarijika sana
Yusufu alikua na Hatima Ya Dunia nzima Maana njaa ilikuepo dunia yote!!!!
My brother Fregustus my sister zipporah Paul mwaniki and my brother in-law musyoka my beatrice
Naomba unifungulie brother yangu JOASH IDAKWA
Naomb inifungulie mume wangu elvis zacharia
Apostle ayo mambo unayo ongea nmekuwa nkiptia plz qwetu iko naopa maobii plz
SHALOOM🙋♀️VERY TRUE🙇♀️IT MAKE SENSE🙇♀️KWA KWELI BINAFSI NATAKIWA KUFUNGULIWA😭SI KWA MAPITO NA MATESO HAYA🙌🙌
Amen.
Duuuh hii Ni Hatari Sana
I receive in Jesus name🙏
Aristark,Daudi,
Oooh hallelujah kumbe nimetengwa na Mungu amenikomboa nafunguliwa vifungo walivyonifunga.kwasababu nimebeba hatima ya familia na ndio maana wanapesa Ila hawana furaha wanahangaika sasa
Amen
ASANTE BWANA YESU CHRIST 💕🙏
Nimeguzwa,maombi kwa kijana wangu,Emmanuel.
Toka.zanzibar wapooo dady
Miami nawaweka ndugu zangu madhabauni wafunguliwe katika jina LA Yesu.
Jamani sisemi kitu Yesu tutembelee ktk familia zetu
Soor +ombeni Mungu wafungue
amen
Wapooo kabisa ata kwetu wapo mtumishi tupone Leo
Hakika mungu Ni mkuu
Very true and powerful
Mungu baba nimewaleta kwako watu wa kwetu Frank Rweyemamu na Wichlaus Baguma
My son Caleb Moses my wife Mary
Na manabii wengi baadhi yao wanatumia nguvu za giza sana chuma ulete
Natamani kila anaekusikiliza akuelewe kama mimi.
Martin hillary
Samweli polly na saraphina saidi
Faustine
Jeremias Priska Antônio Martina
Apostle unafundisha hatarii yaaaani unarikiwe na Bwana
THIS FULL TRUTH REVELATION
AMINA KUBWA AMINA AMINA 🙏🏿
Somo Tamu zuri
Apostle naomba unifungue hata kwa njia ya simu natafuta mawasiliano yako siyapati....
Amen tuko pamoja Mtalemwa"
kwann hauna kipnd kwenye tv jaman s wakt wote tuna bando napenda san hYa mahubr
Kwangu kaka anaitwa safari,, upande wa babu ni babangu kesi ni yeye kila mwezi hata sasa ako ngerezani, hasikii la mtu
Hélio