Daah... Hii kwaya inanikumbusha marehemu Babu mzaa Mama alikuwa akiitwa Mzee John Isaka Mlaule alikuwa mpenzi sana wa hii kwaya, hasa wimbo wao wa " nimemuona shetani anateremka sura yake kama umeme huyo amekasirika"
Mungu awabaliki saba nafulahishwa sana na nyimbo zenu huwaga natamani nami siku nikiwa Tz niwe mmoja wenu Kwasasa nawafatilia nikiwa Oman 🇴🇲 nawapenda sana.
chama langu pendwa, MUNGU awainue kuzidi
Amen
Mnaimba.vizuri lakini weke zenu wange jifunika vichwani
Sindio neno la.Mungu linasema❤❤
Mimi pia nawapenda sana UVUKE CHOIR
Mwenyezi MUNGU awabariki Kwa hatua ya kuwa na you tube chanel,
Wakongwe tuwekeeni za zamani, kama watoto sokoni,
Ni huruma za bwana nk
Uyu mpiga solo kipofu ila show yake ni moto ❤️
Wimbo mzuri hakika! Waimbaji mmeimba! SOLOIST WA KWENYE KINANDA UNAJUA KAZI IKUPASAYO❤
Kwanza mmependeza sana
Mulungu yamdimenyi wose 😍
Ahsante Mtumishi
Daah... Hii kwaya inanikumbusha marehemu Babu mzaa Mama alikuwa akiitwa Mzee John Isaka Mlaule alikuwa mpenzi sana wa hii kwaya, hasa wimbo wao wa " nimemuona shetani anateremka sura yake kama umeme huyo amekasirika"
Wimbo umenibariki sana! Mbarikiwe.....!
Uimbaji wa kiutu uzima sana huu,umetulia,vyombo vimepigwa kwa stadium mkubwa sana,ujumbe umejitosheleza.kwaya Bora kabisa Mungu awabariki sana.
Uvuke itabaki kuwa uvuke Mungu awabariki sana
Jamani kwaya yangu mungu awatie nguvu
Uvuke congregations
Hongeren Kwa huduma nzr ya kiroho
Congratulations what a beautiful song. Be blessed by our God.❤❤❤
Niliaminishwa hawa ma faza hawajui kuimba😢😢 nisameheni aiseee
Nawapenda sana nabarikiwa sana nanyimbo zenu
Sifa na utukufu ni kwa MUNGU hongereni sana watumishi
Safi Sana watumish mbarikiwe sana
Mungu awabariki na azidi kuwainua
Nabarikiwa sana na uimbaji wenu Mungu awabarikini
Ngoma Kali sana
Muhubili mke akisoma.neno au akihubili ajifunike kitamba kichwani
Rumbaaa la yesuuu hamjawahiii kukosea tunawaombea sanaaa
Mko vizuri Sana jaman
Mungu awabarik sana
Endeleeen kubalikiwa🙏🙏
Mungu azidi kuwainua kwenye viwango vya juu zaidi. Wimbo unaniliza Sana huu😭😭😭
Safi sana.....
Kazi nzuri mbarikiwe
Barikiwa pia mtumishi
Wimbo unanibariki sana huu,,Mbarikiwe uvuke!
mbarikiwe
Mungu awabaliki saba nafulahishwa sana na nyimbo zenu huwaga natamani nami siku nikiwa Tz niwe mmoja wenu
Kwasasa nawafatilia nikiwa Oman 🇴🇲 nawapenda sana.
Mungu akubariki Rafiki yetu karibu sana Uvuke.
Amen Mungu akubariki sana
Amen Asante sana nimebalikiwa tuko pamoja
Wimbo bora wa kufungia mwaka na album ambayo itailendelea kuishi maishani kwetu uvuke hawajawahi kuniangusha
mbarikuwe nabwana
Shikamooni Uvuke ! 😀😀😀 huwa nabarikiwa sana na nyimbo zenu Mungu akazidi kuwabariki muifanye kazi yake hiyo, amina. 🙏🙏
Amina Asante sana tunawapenda mno marafiki, wadau na wapenzi wa UVUKE
Nice song be blessed
Safi sana Mungu akae nanyi
Mbarikiwe sana
AS USUAL.CONGRANT.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
👏👏👏👏
Adam Francis chambo
Wimbo unanibariki sana huu,,Mbarikiwe uvuke!