Inatuumiza sana Watanzania, rais amekufa akiwa madarakani lakini kifo cha utata utata. Kumbukizi inabidi kutusononesha mno. Miaka yake 5 tu makubwa yalifanyika na hakuna atakayeweza kama yeye. Mungu ibaraki Tanzania.
Huyo mama anatokwa povu la nini kwenye swali la katiba mpya na mpaka aibu hiyo, ameonyesha madhaifu yake ya wazi kuwa hana hata chembe ya uwezo wa kujibu hoja kidiplomasia halafu eti ni mkuu wa nchi, loooh.... Hii ni hatari sana kwa mstakabali wa nchi yetu
Kwajinsi Samia anavyomjibu Salim kikeke anaonyesha hayuko tayari kuleta katiba mpya kwamweelewa uta mweelwa hivyo kutokana namjibu yake,mabadoliko ya katiba kwahuyu mama itakuwa ndoto
Tanzania Bado wako mbali kidemokrasia hii inadhihirika kwa jinsi anavyo jibu maswali raisi. Njoo Kenya uone raisi anavyo jibu swali moja kwa moja bila kumdharirisha wanahabari .
Demokrasia ni upuuzi wamarekani na ndy maana kwenye chaguz zenu mnauana kila wakat baadae akina odinga wanakula maisha na kenyatta si hakili hamna , Trump alikuwa anawajibu hovyohovyo wandishi wa habar au ulikuwa mdogo
Mama yohana huyu ndiyo Rais kama una chuki zako binafsi kakae huko chadema yako moshi ndiyo maana wanasema wanawake hatupendani roho mbaya tu inakusumbua
Ukipaniki kwenye Uongozi Ni Picha Halisi kwamba Unaongoza Nchi Bila Misingi ya Democracy Bali Ni Mawazo yako wew... na Kwa Namna nyingne Wew Mama Hujui kero za Watu wa Chini But unaangalia Upande wa Vigogo walio Wekeza kwaajir ya Maslahi yenu Viongoz But sio Kwaajiri ya Watanzania wa Hali Ya Chini na Kibaya Zaid....KODI, Rushwa Manyanyaso yote umeyaibua Wew 🤔✍🏼
Mbona unajibu kana kwamba unajibu kuhusu nyumbani kwako. Hii ni serikali ya kila mtu usidhani hii ni serikali yako tu. Kwahiyo ukiudhi watu waje wakusifu. Kama Mbowe alikuja kukushukuru wakati wewe ndiyo ulimuweka ndani bila tatizo lo lote alafu unataka Mbowe akuombe msamaha kweli tumekufaham vizuri
Ameshindwa kujibu maswali kama Rais. Jazba na hasira. Huwezi kuulizwa swali na BBC chombo kinachofanya Tafiti pia una sema niache na Watanzania. Toa majibu kama Kiongozi wa Taifa.
Mama uko vzr Sana mungu akupe ulinzi zaidi inshaallah dhidi ya wenye wivu na Nia mbaya juu yako nchi yetu wote ss anaedhani atajaribu kusubutu kukutingisha atakuja shangaaa hakuna wajinga hapa
Hemed tena yuko vizuri sana mama ana majibu mazuri sana katiba yetu hatuingiliwi na yeyote watanzania tuna maamuzi yetu mama samia oyeeeee kazi inaendelea
Kwa majibu hayo kwa viandishi vya habar vyenye kiherehere Kama huyo kikeke ndyo yanatakiwa! Anadhani kuwa BBC ni kukaa upande wa upinzani! No mjinga huyo jamaa na ndyo wanaofarakanisha nchi Mara nyingi!
Surprise ya maswali ya kisomi kama hayo unategemea atajibu nini zaidi ya majibu kama yale ya mipasho ya taarabu? Head of the State eti anakuwa na majibu kama ya hadija kopa kwenye suala nyeti la katiba mpya ya nchi ambayo ndiyo Mungo's wa takriban Watanzania milioni 60 na zaidi halafu huyu mama anajibu just kama vile wanajibishana na mashoga zake... Hebu ajitahmini
Omary iddy kamjibu vizuri sana nimefurahi ajabu wasaka tonge la urais kwa katiba wamesikia kwa raha zote chadema haipati urais kamwe pengine kitokee chama kingine nani anataka chama chenye fujo kinachonunuliwa na mabeberu kuvuruga Tanzania siye tunapenda amani tu
@@margarethpolepole7438 achana na mihemko ya mapenzi ya vyama kando, ww umeelewa nn hapo! Maana binafsi cjaelewa nikiwa km mtanzania wakaida ambae sina chama chchete ila nilikua nataka ufafanuz kuhusiana na alicho ulizwa baasi.. nilitaman nipate elim kupitia rais wetu ambae ni mama yetu sasa
Hata ukijazwa na jaziba wewe utamaliza tutapa raisi mwingine atupe KATIBA. HIVI WEWE HUJUI KUWA HII NI MUDA TU USIDHANI UTAWALA MILELE UKIULIZWA TUNAITAJI KATIBA. Watanganyika
Huyu Ni mpelelezi, sio mwandishi wa habari, Nakumbuka hata wakati Magufuti kafa, BBC walikuwa wanatangaza Mabaya tu kumhusu magufuli. Mara Ni Dikteta,Mara alibania Uhuru wa waandish wa habari Mara vyama vya siasa,. Mama ametambua kuwa huyu katumwa ndio maana Anamjibu mkato,, Unaambiwa mwandishi wa habari ukimpa Sana Uhuru atakufuata Hadi bafuni, au hata Chooni ukiwa unakunya
Na katumwa kweli na mwenzie kamkuta majibu kama kazi na hayati magufuli alikuwa chuma cha pua kila mtu mavi debe hakuna kumsumbua hao chadema kama wametumwa na mabeberu na mama nae wamemkuta yuko vizuri jasho litawatoka wawashukuru viongozi wa dini angeozea huko jela
Sawa sawa mama unamjibu vizuri sana anataka kukusumbua akili kwa ajili ya hao wasaka tonge la urais chadema hamna kitu hao kama wanatumwa na mabeberu washindwe na walegee nchi hii hatukupata kwa kumwaga damu hata bendera yetu haina alama ya damu wao sare zao ni alama ya damu hatuwataki kabisa
Yaani waje kivingine, mara nyingine Bi Mkubwa hakuna kufanya nao mahojiano wapuuuzi kama hao, Sisi tuko nyuma na tunakuombea saana , maombi ya mtu ambae humfaham na Wala hatafuti cheo yanakubalika mara moja, Bi Mkubwa anaupiga mwingi mno hadi mabeberu wanaweweseka maana wanachezea kichapo hatari bora Sisi tushazoea shida, mfumuko wa bei unawaua Mabeberu, ila na Sisi pia tujitahidi hata kulima kabustani, kama umejaliwa kakiwanja kidogo lima mbogamboga maana mfumuko wa bei ni kilio dunia nzima ila Sisi tunafaida tunaweza kuwa na bustani uani kwetu
*Boya wew mfumuko wa bei tunaumia masikini siyo mabeberu make kuna baadhi ya vitu havkwepek lazima ununue na bei ipo juu, alafu unaongelea bustan unazan kila mtu anacho hiko kipande cha ardhi?.*
Wengine wanasema Rais ameshindwa kujibu maswali, hiyo siyo kweli, muuliza maswali ndio alikwama kuweka maswali vzr, alipaswa kuuliza ni yapi mawazo ya Rais ktk maeneo hayo yote!!!
Kwahiyo nchi hii niyawafuasi wa hicho chama ulichokitaja peke yake kiasi kwamba kila wanachokitaka kifanyike???!!!!!! Jitahidi ufanye mahojiano na putin,jiping ili upate sifa zaidi
Mama kama Mama, waache dharau wakina Kikeke na vibaraka wote, kama kweli kidume aandae kipindi na maswali na akamuulize Malikia wa Uingereza, kama Kweli Hao waliomtuma na kumuajiri wanaamini kwenye democracy, Kazi buti Mama uko vizuri mnooo Tena mnooo, Mwenyezi akupe umri mrefu na akulinde na wenye chuki na vijicho, na kama Kuna kiumbe ana chuki na Raisi wetu hiyo chuki yake immalizie mbali, nasema kwa msisitizo: Kazi iendelee
Baada ya issue ya bandari,ni wazi sasa Kikeke nimekuelewa katika mahojiano haya japo mwanzoni sikukuelewa,big up bro...wewe ni mwandishi jasiri
Inatuumiza sana Watanzania, rais amekufa akiwa madarakani lakini kifo cha utata utata. Kumbukizi inabidi kutusononesha mno. Miaka yake 5 tu makubwa yalifanyika na hakuna atakayeweza kama yeye. Mungu ibaraki Tanzania.
Naumia sana kupoteza chuma JPM
@@abmmediastudio4388RIP JPM
Mwandishi mzuri ni yule anauliza maswali ya mojakwamoja hii ndo BBC good you made
Huyu Rais hakujibu kama alivyo ulizwa ametumia jazba amejibu kana kwamba sio Rais
Glory denis toa uchadema wako kajibu vizuri sana
@@margarethpolepole7438 waandishi wa habari wanaogopwa sn, Ila Nyerere alikuwa kiboko Yao iwe kiingereza au kiswahili bila kusoma
Uchadema na kujibu maswali inatoka wapi. Vague answers
Asante sana mtangazaji maswali mazur san
Maswali magumu kikeke kweli nimwandishi 🤣🤣🤣🤣
Huyo mama anatokwa povu la nini kwenye swali la katiba mpya na mpaka aibu hiyo, ameonyesha madhaifu yake ya wazi kuwa hana hata chembe ya uwezo wa kujibu hoja kidiplomasia halafu eti ni mkuu wa nchi, loooh.... Hii ni hatari sana kwa mstakabali wa nchi yetu
*Sahihi*
😃😀😀😃😆 umepaniki errrrrrrooooo🤣🤣🤣
Huyu ndo yule Mungu wa Tz watanzania kazi ipo hapa
Safi sana umemjibu vzr sana Big up our president
Katiba mpya ni muhimu Tanzania huwezi pata tume huru pasipo kuwa na katiba mpya.
Kwajinsi Samia anavyomjibu Salim kikeke anaonyesha hayuko tayari kuleta katiba mpya kwamweelewa uta mweelwa hivyo kutokana namjibu yake,mabadoliko ya katiba kwahuyu mama itakuwa ndoto
Sawa sawa mama umemjibu vizuri sana kikeke arudi tu usalama wake uko kwa mkewe kwani sisi ni ukraine na urusi aje akae kama sisi watanzania
Tanzania Bado wako mbali kidemokrasia hii inadhihirika kwa jinsi anavyo jibu maswali raisi. Njoo Kenya uone raisi anavyo jibu swali moja kwa moja bila kumdharirisha wanahabari .
Demokrasia ni upuuzi wamarekani na ndy maana kwenye chaguz zenu mnauana kila wakat baadae akina odinga wanakula maisha na kenyatta si hakili hamna , Trump alikuwa anawajibu hovyohovyo wandishi wa habar au ulikuwa mdogo
Good joseph Kenya ni kenya na Tanzania ni Tanzania hao wanaotaka kuliweka hilo zee kama museven asiyetaka kuachia madaraka kafie mbele huko
Huyu no raise kweli sijawahi kusikia nice unaulizwa Mambo muhimu unajibu mbovu huwezi mama nchi haiendi ivo krmwe nakingine utaki kukosolewa kwanin mama? Wew ninani? Raise imeandikwa kukosolewa kupo hta ndan unajiendesha xio?
Mhe. Rais anafanya vizuri ameleta matumaini makubwa! Hofu kwa wafanya siasa na biashara imepungua Sana!
Nenda kawe rais ww! Unaropoka tu ulitaka huyo mjinga mwenzio ajibiwe nn kwa upumbavu?
Mama yohana huyu ndiyo Rais kama una chuki zako binafsi kakae huko chadema yako moshi ndiyo maana wanasema wanawake hatupendani roho mbaya tu inakusumbua
@@mangwembecompany7039 Akili kisoda
@@ndogoroedson9438 Hata jina lako limekaa kimwehu mwehu
Mmm chezea mama Samia wewe majibu ya Katiba kaupiga mwingi sanaa.
How
Tumepigwa Ee MUNGU tusaidie hapa hatuna Raisi
Ukipaniki kwenye Uongozi Ni Picha Halisi kwamba Unaongoza Nchi Bila Misingi ya Democracy Bali Ni Mawazo yako wew... na Kwa Namna nyingne Wew Mama Hujui kero za Watu wa Chini But unaangalia Upande wa Vigogo walio Wekeza kwaajir ya Maslahi yenu Viongoz But sio Kwaajiri ya Watanzania wa Hali Ya Chini na Kibaya Zaid....KODI, Rushwa Manyanyaso yote umeyaibua Wew 🤔✍🏼
Salim una moyo huyu mama majibu yake hayaridhishi kabisa
Laa!
Ameshindwa kujibu.
Mbona unajibu kana kwamba unajibu kuhusu nyumbani kwako. Hii ni serikali ya kila mtu usidhani hii ni serikali yako tu. Kwahiyo ukiudhi watu waje wakusifu. Kama Mbowe alikuja kukushukuru wakati wewe ndiyo ulimuweka ndani bila tatizo lo lote alafu unataka Mbowe akuombe msamaha kweli tumekufaham vizuri
Hayo siyo majibu Kwa waandishi
Ameshindwa kujibu maswali kama Rais. Jazba na hasira. Huwezi kuulizwa swali na BBC chombo kinachofanya Tafiti pia una sema niache na Watanzania. Toa majibu kama Kiongozi wa Taifa.
BBC ni nini Mama hayumbishwi na tumaswali twa mtengo
@@rosetreffert4179 Hii ngo'mbe inayotoa damu na haifi ndio hujipendekeza inaelekea huna ufanyacho zaidi ya sehemu za risi kuumia.
Watanzania wanataka katiba mpya tu.
Wamekutuma?
Mh!!
Maswali ya katiba mpyaa yanatakiwa yajibiwe kisiasa zaidi, dunia nzima inasubiri majibu sasa isije ikaleta picha mbaya.
Ccm Mungu anatuona.
Mama yuko Vizuri Sana na anajiamini. Big Up Madame President. You do know how to defend your territory.
😂
Majibu ya kwenye modem taarabu weweeee sikia iyo Tanzania yetu buanaaaa
Wana Habari tupo hatarini
Rais alijibu haya maswali kiwaki sana..yaani kama sio rais aseee
Mama uko vzr Sana mungu akupe ulinzi zaidi inshaallah dhidi ya wenye wivu na Nia mbaya juu yako nchi yetu wote ss anaedhani atajaribu kusubutu kukutingisha atakuja shangaaa hakuna wajinga hapa
Hemed tena yuko vizuri sana mama ana majibu mazuri sana katiba yetu hatuingiliwi na yeyote watanzania tuna maamuzi yetu mama samia oyeeeee kazi inaendelea
🇹🇿 we were finished the time they deletedt our precious late honorable 💜🌹 present dk. J,j,pmagufuli🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kwa majibu hayo kwa viandishi vya habar vyenye kiherehere Kama huyo kikeke ndyo yanatakiwa! Anadhani kuwa BBC ni kukaa upande wa upinzani! No mjinga huyo jamaa na ndyo wanaofarakanisha nchi Mara nyingi!
Ndogoro tena sana yuko kama ngurumo mpaka kakimbia mwenyewe sasa ana kazi ya kubwabwanya mitandaoni
Huyu mama na hii kiburi atasumbua watu. You have to send her home in 2026
Tumechoka sana hakuna haki hivi hakuna umoja au
Thanks
Hongera sana mama kwa majibu yako ya msingi
Majibu konzi mama huyu 🤣
Yaani hii Tanzania
Uko sawa mama
Surprise ya maswali ya kisomi kama hayo unategemea atajibu nini zaidi ya majibu kama yale ya mipasho ya taarabu? Head of the State eti anakuwa na majibu kama ya hadija kopa kwenye suala nyeti la katiba mpya ya nchi ambayo ndiyo Mungo's wa takriban Watanzania milioni 60 na zaidi halafu huyu mama anajibu just kama vile wanajibishana na mashoga zake... Hebu ajitahmini
Mama hapakua na sababu ya kupaniki mbn nimaswal yakujibu tu
Omary iddy kamjibu vizuri sana nimefurahi ajabu wasaka tonge la urais kwa katiba wamesikia kwa raha zote chadema haipati urais kamwe pengine kitokee chama kingine nani anataka chama chenye fujo kinachonunuliwa na mabeberu kuvuruga Tanzania siye tunapenda amani tu
@@margarethpolepole7438 achana na mihemko ya mapenzi ya vyama kando, ww umeelewa nn hapo! Maana binafsi cjaelewa nikiwa km mtanzania wakaida ambae sina chama chchete ila nilikua nataka ufafanuz kuhusiana na alicho ulizwa baasi.. nilitaman nipate elim kupitia rais wetu ambae ni mama yetu sasa
Jibu vizuri basi mama 😁😁
Nikweli.tunataka.katimbampiya
Hivi haya mazungumzo ya raisi wetu huwa anayasikiliza au mwanzo alikua anafanya kwa hofu
Unaulizwa kuhusu katiba unasema waachie watanzania
Akuna kazi
Hata ukijazwa na jaziba wewe utamaliza tutapa raisi mwingine atupe KATIBA. HIVI WEWE HUJUI KUWA HII NI MUDA TU USIDHANI UTAWALA MILELE UKIULIZWA TUNAITAJI KATIBA. Watanganyika
Safi sana Mama Mungu akutunze
Kikeke umetumwa mbn unakua una maswali ya kipuuzi acha uo upumbav na siku nyingine akuna kuongea na mama
Maswali ya msingi hayana majibu ila polojo utsjibiwa fast
Safi mama.usionyeshe udhaifu kwa sababu.mambo ya katiba yayakuanza leo na c lazima utimize wewe
Kikeke maswali gani hayo muulize maswali ya msingi nch inamipango gani ya kufanya kwa wananchi
Utafungiwa kikeke ,aupgp wye
Ww samiya watu wanaumiya
Huyu samia ni mtu hatari kuliko watanzania wanavyo fikiri
Alikuwa anajua nn kinatokea sijaelewa vizue
Huwezi kutoa majibu kama hayo wewe kama raisi wa nchi tena mbele ya media
Huyu Ni mpelelezi, sio mwandishi wa habari,
Nakumbuka hata wakati Magufuti kafa, BBC walikuwa wanatangaza Mabaya tu kumhusu magufuli.
Mara Ni Dikteta,Mara alibania Uhuru wa waandish wa habari Mara vyama vya siasa,.
Mama ametambua kuwa huyu katumwa ndio maana Anamjibu mkato,,
Unaambiwa mwandishi wa habari ukimpa Sana Uhuru atakufuata Hadi bafuni, au hata Chooni ukiwa unakunya
Na katumwa kweli na mwenzie kamkuta majibu kama kazi na hayati magufuli alikuwa chuma cha pua kila mtu mavi debe hakuna kumsumbua hao chadema kama wametumwa na mabeberu na mama nae wamemkuta yuko vizuri jasho litawatoka wawashukuru viongozi wa dini angeozea huko jela
Hapa hatuna Rais
Leo tunauziwa mafuta dumu 115000 dah
I R P magufuli
Masoud acha lawama za kujinga kwani hujui wenye mafuta wana vita huko siye Tanzania tuna visima vya mafuta
Raisi wetu upovizuri kwakujibu maswari vizur ongera
Sawa sawa mama unamjibu vizuri sana anataka kukusumbua akili kwa ajili ya hao wasaka tonge la urais chadema hamna kitu hao kama wanatumwa na mabeberu washindwe na walegee nchi hii hatukupata kwa kumwaga damu hata bendera yetu haina alama ya damu wao sare zao ni alama ya damu hatuwataki kabisa
Kakeke acha uzushi ww kwena huko ulikoto
😂😂ila samia ogopa
😂😂😂😂nomasanaa
Majibu mhuu
Yaani waje kivingine, mara nyingine Bi Mkubwa hakuna kufanya nao mahojiano wapuuuzi kama hao, Sisi tuko nyuma na tunakuombea saana , maombi ya mtu ambae humfaham na Wala hatafuti cheo yanakubalika mara moja, Bi Mkubwa anaupiga mwingi mno hadi mabeberu wanaweweseka maana wanachezea kichapo hatari bora Sisi tushazoea shida, mfumuko wa bei unawaua Mabeberu, ila na Sisi pia tujitahidi hata kulima kabustani, kama umejaliwa kakiwanja kidogo lima mbogamboga maana mfumuko wa bei ni kilio dunia nzima ila Sisi tunafaida tunaweza kuwa na bustani uani kwetu
Hujitambui sio kosa lako
*Boya wew mfumuko wa bei tunaumia masikini siyo mabeberu make kuna baadhi ya vitu havkwepek lazima ununue na bei ipo juu, alafu unaongelea bustan unazan kila mtu anacho hiko kipande cha ardhi?.*
Huyu jamaa k kweli
Amos kweli ww kavu
Hayo majibu ni sahihi kwa upande mmoja maana hao ni chawa tu kutoka BBC
@@rashid3562 Ngombe ingine hii isiyojielewq
Mama naona ana pete konki
Waambie mama, kwa majibu yako kuhusu Lisu yananifurahisha Sana.
Valena hata mimi nimefurahishwa sana mama alivyo mjibu huyo tundu ni nani aje tu tumemchoka na kelele zake apambane na hali yake na alindwe na mkewe
Mwanaumee ukitumwaa umbeyaa kazii hasaa kama unakiparaaa na madevu hunaaa
B.mkubwaaa 🔥🔥
Wengine wanasema Rais ameshindwa kujibu maswali, hiyo siyo kweli, muuliza maswali ndio alikwama kuweka maswali vzr, alipaswa kuuliza ni yapi mawazo ya Rais ktk maeneo hayo yote!!!
Hujisomi wewe
Kikeke.we.jasiri.sana
Kwahiyo nchi hii niyawafuasi wa hicho chama ulichokitaja peke yake kiasi kwamba kila wanachokitaka kifanyike???!!!!!!
Jitahidi ufanye mahojiano na putin,jiping ili upate sifa zaidi
Safi sana mama uyo jamaa ni mchonganishi mkubwa sana asante kwa kuliona jambo fulani ktk upeo wake wa kigeni kibaraka uyo wa wazungu ktk Africa
Samia Kama samia Rais w tz unajibu maswali vizur sn 🙏🏻🙏🏻🇰🇪
Acha unafiki weww
Mama uko makini sana na unajibu kwa ufasaa sana, mwenyezi mungu aendelee kukulinda mama yangu Rais wetu mpendwa
Pole
Safı sana, hatujasahau cku anafanya mahojıano na Alhabııb ,almarhuum Maalım Seıf akıjıona mtangazajı ccm hata fursa hatoı yakuongea, mbona mama kakukata ulımı,
Mama yupo makini maamuzi yake ,unawasiwasi gani
Hongeraa nani kama mama
Ipo kazi rais tunae
Mh hy mjb niabu2
Hua napenda majibu ya hivi
Doctor Samia yupo makini hongera zako
Mbona kikeke anauliza maswali ya kiupelelezi , siku nyingine mama Samia usikubali kuhojiwa hao ni vibaraka
Kikeke please please kisha please usimsumbuwe mama mungu anakuona
Atajijua mi namtafuta ht kibaba Cha unga nakosa
Mhhh mama
TULIMJULIA KTK KUTAFUTA KATIBA MPYA.
Mbona kikeke Kama sielewi vile
Mama kama Mama, waache dharau wakina Kikeke na vibaraka wote, kama kweli kidume aandae kipindi na maswali na akamuulize Malikia wa Uingereza, kama Kweli Hao waliomtuma na kumuajiri wanaamini kwenye democracy, Kazi buti Mama uko vizuri mnooo Tena mnooo, Mwenyezi akupe umri mrefu na akulinde na wenye chuki na vijicho, na kama Kuna kiumbe ana chuki na Raisi wetu hiyo chuki yake immalizie mbali, nasema kwa msisitizo: Kazi iendelee
Raymamba jitathamini wewe mwenyewe unaweza ukawa ndio Kibaraka !!!🤷🏿♀️🤷🏿♀️
Mama uko bomba sana.
Mama usiyumbushwe kabisa✍️
ACHENI UONGO, UHURU ULIONAO USIUCHEZEE KUTANGAZA VISIVYO MTAKUJA FUNGIWA KISHA MSEME MUMEONEWA
Samia unazingua