KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 84

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

    Ameshakuwa Mzee🎉

  • @athumanmbululo3980
    @athumanmbululo3980 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mzee wamwache apumzike,, mbona vijana tupoooi

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 2 หลายเดือนก่อน +5

    Au kwasababu vijana wake wapigaji wametumbuliwa mama achana nae mzigo huooo

  • @husseinsalum5908
    @husseinsalum5908 2 หลายเดือนก่อน +8

    Eti barua yake moja anabdili tarehe tu😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 2 หลายเดือนก่อน +4

    Sio Kususa Nyie Wajinga, Mtu anayejua Uongozi, Bosi wako Akifanya Maamuzi Huyapendi au akikutuma Ukafanye Kazi huikubali.. Unajiuzulu na Kufunga Mdomo. Si Lile Macho ya Nyoka Msigwa! Linaongea Uwongo Kama Limemeza Kengele ya Kuchunga Ng'ombe.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน +7

    Yeye aliwaona mwezake kakosea akawarudisha wanawake bwana

  • @Kaka_Rambo
    @Kaka_Rambo 2 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂 Ila Zembwera

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 2 หลายเดือนก่อน +6

    Sasa kinachotokea nini na magu alifanya nini?? Mzee alikuwa anaona mbali.

    • @LumumbaFarhani
      @LumumbaFarhani 2 หลายเดือนก่อน

      wengi hawawezi ona hilo

  • @olembetonga7341
    @olembetonga7341 2 หลายเดือนก่อน +5

    😂watu siowajinga bwanaa 😂😂michezo ya ccm hiyo yote ni mipango ya uchaguzi tunaijua hiyoo😂😂😂😂

  • @JohnRwabigene
    @JohnRwabigene 2 หลายเดือนก่อน

    Ningependa nami niwe kwenye studio

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 2 หลายเดือนก่อน +7

    CCM ni anguko kubwa sana mbeleni huko

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 หลายเดือนก่อน

      Pole,utasubiri sana kama fisi anavyovizia mizoga

  • @salehKoshuma
    @salehKoshuma 2 หลายเดือนก่อน

    .Mnatuharibia profession ya Habari..Kelele zimekuwa nyingi na Ukomedi humo

  • @DorcusiDor-mm1sb
    @DorcusiDor-mm1sb 2 หลายเดือนก่อน

    Alitangaza kujiuzulu mara 3 lakini kila alijiuzulu matukio yanatokea kwanza sio mtanzania

  • @daudimusoma3337
    @daudimusoma3337 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tulishamchoka Kila wakati anajiuzulu. Huyo Mzee akalee wajikuu maana ni Kama anawafanyia mzaha wana ccm

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hii inchi haina vijana?

  • @Hamil-ud7yw
    @Hamil-ud7yw หลายเดือนก่อน

    Wamuaacheeeeeee tna huyu mzee kwan wengne hmna ? Ccm mbna chama kipo Smart lkn mnafel kwa uyu babu

  • @rydo09tzgo
    @rydo09tzgo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hii collabo haieleweki, ulinzi uimarishwe kwa taifa😆😅😆

  • @sakuranitillya6088
    @sakuranitillya6088 2 หลายเดือนก่อน +2

    Akafie mbali hiko

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน +6

    Tena rudi kwenu Mogadishu Somalia Bado Bashe

    • @abdulyrazacky7969
      @abdulyrazacky7969 2 หลายเดือนก่อน

      na wewe rudi congo

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน +2

      @@abdulyrazacky7969 nawewe ni wale wale rudini Mogadishu mkaendeleze Al shabab

    • @vladimirputn1809
      @vladimirputn1809 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@robertphilip385😂

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@robertphilip385😂😂😂😂

    • @LumumbaFarhani
      @LumumbaFarhani 2 หลายเดือนก่อน

      muda huo utakuwa umesharudi kwenu rumonge?

  • @cngeze
    @cngeze 2 หลายเดือนก่อน

    Ana Dementia 😅

  • @michaelkalamu4465
    @michaelkalamu4465 2 หลายเดือนก่อน

    Yusuph makamba aendelee kutukana tena ili mwae awe rais

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 2 หลายเดือนก่อน +4

    Orodha ya makapi yaliyotupwa na Kikwete na kubebwa na samia orodha imekamilika. Hawa wote ni kundi moja la mafia hawawezi kutengana. Hawa na mzee Makamba si ndio walimtukana Magufuli

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndiyo wenye nchi. Wamejitajirisha kwa mali za wengi. Genge la hatari Tanzania. Watanzania yetu macho. Tumeaambiwa KAENI KIMYA

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 2 หลายเดือนก่อน

    Ccm mbele kwa mbeleeee

  • @brownmarwa
    @brownmarwa 2 หลายเดือนก่อน +1

    kijana Kila Mara anapojiuzuru anasema anaachia nafasi kwa vijana , vijana hawapewi nafasi kwa nin?

  • @emanuelmpare772
    @emanuelmpare772 หลายเดือนก่อน

    Babu pumzika

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watangazaji wa kitanzania ni very local, hiyo ni taarifa be serious!

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 2 หลายเดือนก่อน

      Ukiwa serious wewe inatosha

  • @PoulFred
    @PoulFred 2 หลายเดือนก่อน

    Harafu hao ni watu hatari sana nchi hii rwanda ndiko kulikuwa kunawafaa kuishi wangelijuta kuzaliwa lakini huku tunawachekea tu

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 2 หลายเดือนก่อน +4

    ki ukweli hii chama ya ccm inachezea watu sana..huyo bwana kwa nini huwa mnapenda kumrudisha?????yani hakuna anayejali uchumi unaenda wapi???bado kidogo tutaishtaki ccm kwa Mungu

    • @simonzakaria4770
      @simonzakaria4770 2 หลายเดือนก่อน +1

      Huyo mzee ni mtetezi wa majambazi.majambazi yake yakitumbuliwa anatishia kujihuzuru kuyatetea majambazi yake

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ikisha uchaguzi tu arudishwa hakuna viongozi.wanarudi haohao vikongwe hadi wafe

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@HalidMuhammad-gi9qy haa haa nakweli asee niusanii tu unafanyika inchi hi

  • @vanemmy6043
    @vanemmy6043 2 หลายเดือนก่อน +7

    Aende zake shenzi tu mxm

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 หลายเดือนก่อน +2

    Matamaniyo yake niya wizii tu hana lolote aondoke tu maana vijana wake wamesha fukuzwa na yeye hawezi kubaki iyo mzee kala sana Cake ya taifa

  • @AjuaeAbromo
    @AjuaeAbromo 2 หลายเดือนก่อน

    Kwelli

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 2 หลายเดือนก่อน +1

    3 chafu poziii 😂😂😂 namba witiri hizo Kapate D mbili ndo uwelewe 🤣🤣 MGUSE MMOJA UNATE

  • @JayndevuNgare
    @JayndevuNgare 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwel kitenge kelele zimezid sanaa mpk kipind akina uzur na kuonyesha yy n chama gan?....

    • @ryangratius623
      @ryangratius623 2 หลายเดือนก่อน

      Naunga mkono, hapo njaa tu

  • @samasob8233
    @samasob8233 2 หลายเดือนก่อน

    Hatuvai miwani ya jua ndani ya jengo lolote, hakuna jua, unless otherwise

  • @michaelkalamu4465
    @michaelkalamu4465 2 หลายเดือนก่อน

    Mipango ya KINANA ,Nape,na January makamba ya kutaka kumpindua Samia suluhu na RAIS wa Tanzania ili asigombee tena 2025 imevuja ndiomana ameona ajiuzuru kabla ya kufukuzwa kazi kwa udhalili.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 หลายเดือนก่อน

    Wazalendo kama Dr Bashiru waliondolewa na timu ya mama. Wengine wakatupwa Cuba. Watanzania lazima tutafute dawa ya kututibu ugonjwa unaoitwa WOGA. HATA VIONGOZI WAKUBWA WOTE WAMEINGIA UVUNGUNI. Ni nani ataiokowa nchi?

  • @EmanuelJoseph-j4m
    @EmanuelJoseph-j4m 2 หลายเดือนก่อน

    Mpo wa vizur ndy maana mn avamiwaga n bunduki.

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mnatia aibu mnapoteza mashabiki mjitathimini

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kwakosa lipi?

    • @aginsagins-jf4vz
      @aginsagins-jf4vz 2 หลายเดือนก่อน

      @@vanemmy6043 huoni uongeaji wao kama wapo kijiwe cha kahawa wanabweka tu mpaka wanajisahau kama wapo sehemu gani

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 2 หลายเดือนก่อน +1

      Jitathmini wewe mwenyewe

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 2 หลายเดือนก่อน

    Kwaumri alionao asingependa aingie kwenye uchaguzi utakao tawaliwa na dhulma na hila...

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kinana anautaka urais 2025

    • @ZenaUsangi
      @ZenaUsangi 2 หลายเดือนก่อน

      NANI ATAMPA LABDA KIPOFU

  • @afrovines7996
    @afrovines7996 2 หลายเดือนก่อน

    1

  • @jacobmbeta5612
    @jacobmbeta5612 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani nyie hamuwezi kutangaza mpaka mpige mikelele kama Malaya wanagombea bwana

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa mujibu ya waandishi wa habarani ni kioo cha jamii ispokua angalia hawa waandishi alafu waangalie kinaa salimu kikeke kina tido muhando kina ziyana sefu kina umu lhary kwali hawa tuwaweke kundi gani jins wanapotoa habary wao hawatafakary

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 หลายเดือนก่อน +5

    CHANEL YA WASAFI KWANN HAMUACHIANI NAFASI YA KUONGEA? HAPO NI KELELE TUU KITENGE UNA KELELE SANA HAPO. CHANEL HAINA UTULIVU.

    • @dimosomkoba356
      @dimosomkoba356 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ni bora hata tusinge kuwa tunawaona, maadam wamewekwa kama timu yaani watu watatu basi ilitakiwa waheshimiane wapeane nafasi ya kuchangia hoja siyo baadhi kutaka kujionesha kuwa ni wazuri zaidi ya kuongea kuliko wenzao!! Kwa ushauri hilo wanatakiwa walifanyie kazi, bila ya kuficha bwana kitenge jali mawazo ya wenzako maama unawafanya wengine wajione wanyonge na kama kila mtu akitaka kujionesha ni mwamba asikilizwe yeye basi hapo hapatokuwa na kipindi hapo!!

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kitenge ni chawa mkubwa wa ccm

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ndo burdan

    • @daudimusoma3337
      @daudimusoma3337 2 หลายเดือนก่อน

      @@anithawidambe7543 kweli anko hata Mimi sipendi. Hiyo si burdan ni kelo

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@dimosomkoba356nenda kaombe hiyo kazi wewe mtulivu, uone kama utapewa😅😅 hawa ndio wananogesha

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 2 หลายเดือนก่อน +1

    Majizi wameyafukuza 😂 fukuzawahuni

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 2 หลายเดือนก่อน

    Mtaabishaji wa nchi acha aende

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 2 หลายเดือนก่อน

    KINANA ANA UJAUZITO NDIO MAANA AMEACHIA NGAZI ILI AJIFUNGUE USALAMA, NA BAADAE CCM WATAMRUDISHA👁️👁️

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 2 หลายเดือนก่อน

    Mpasuko huo

  • @EliaBeatus
    @EliaBeatus 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa wa2 nyie hamuogopi

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni kundi la Nape na Makamba..Mama ajiangalie uchaguzi unakaribia

  • @AliDulla
    @AliDulla 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @hamisiHamza-q8l
    @hamisiHamza-q8l 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps 2 หลายเดือนก่อน

    😂

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 2 หลายเดือนก่อน

    Bora aendezake tumemchoka kabisa

  • @JohnRwabigene
    @JohnRwabigene 2 หลายเดือนก่อน

    Kinana tukichunguza atakua Mzee WA tamaa alitakiwa ajitoe mapema,ila vijana ndo wanamtumia
    Umli alionao Mzee ovyo,kanyumbani ulemaisha waachie vijana.
    Tulia Acha maneno umalizemaisha ya yako Kwa eshima

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yeye aliwaona mwezake kakosea akawarudisha wanawake bwana

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps 2 หลายเดือนก่อน

    😂

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps 2 หลายเดือนก่อน

    😂

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps 2 หลายเดือนก่อน

    😂