hapa ukiangalia macho ya hao wanaolalamika utagundua kwamba hata kile wanacholalamikia wanajua hakipo maana tuliokuwa uwanjani tuliona kabisa kibu kaotea hata kocha fadru hakushangilia maana ilikuwa ni offside ya wazi... tusitafute vichaka vya kujikingia maana hata huyo ateba alikosa goli lakini move yenyewe ilikuwa tayali kaotea na kama angefanikiwa kufunga simba wangeshangilia... kwani refa alimwambia kamala aufuate mpira uliokuwa unatoka aurudishe kwenye mchezo na kusababisha goli, au alimwambia kijiri ajifunge mpira ambao tayari ushagonga mwamba na kurudi uwanjani ! tatizo tunakuja ya matokeo uwanjani na kuamini tunashinda ilhali mpira unadunda ... tengeneza kikosi ambacho hata wakitoka key players watatu wanaoingia wanakuwa kama wale waliotoka na kuendeleza momentum ya timu sio kurundika wachezaji ambao watawavyonza wengine na kupunguza momentum ya timu...
Wewe nimpumbv kumbe gori la offside nyie ndio mnatuponza tim mbovu mnakaa kulaumu marefa hapa simba tuache shobo kikosi hiki bado tumepigwa yaani bado sana
@@mhehejrtv9637 ww ndio hujui mpira game ya ngao ya jamii sasi alitubeba jmn tuache utot tutafte timu angalia sub za yanga na uan galie sub zetu. Chama simzee basi kakupaka wewe mafta na ahmed ally unaemsaport usenge wakati sisi wenye card za simba tunaumia
Anafanya kazi hajitolei ana familia na mipango yake punguza ushauri kwenye maisha ya watu yeye ndio anajua wap na nini anataka Kwan unataka kampuni au mtu?
Tatizo waandishi mnawahoji hadi matahaira. Kisugu nati imefyatuka hakuona red cad wala alichofanyiwa msonda😊
😂😂 kisugu hadi sauti imepotea😂😂
This is football
Léo kisugu umeongea kimichezo huu ndio mpira umekubali kushindwa
hapa ukiangalia macho ya hao wanaolalamika utagundua kwamba hata kile wanacholalamikia wanajua hakipo maana tuliokuwa uwanjani tuliona kabisa kibu kaotea hata kocha fadru hakushangilia maana ilikuwa ni offside ya wazi... tusitafute vichaka vya kujikingia maana hata huyo ateba alikosa goli lakini move yenyewe ilikuwa tayali kaotea na kama angefanikiwa kufunga simba wangeshangilia...
kwani refa alimwambia kamala aufuate mpira uliokuwa unatoka aurudishe kwenye mchezo na kusababisha goli, au alimwambia kijiri ajifunge mpira ambao tayari ushagonga mwamba na kurudi uwanjani !
tatizo tunakuja ya matokeo uwanjani na kuamini tunashinda ilhali mpira unadunda ...
tengeneza kikosi ambacho hata wakitoka key players watatu wanaoingia wanakuwa kama wale waliotoka na kuendeleza momentum ya timu sio kurundika wachezaji ambao watawavyonza wengine na kupunguza momentum ya timu...
Leo kisugu umeongea ya maana😅😅
Wapeni goli la kibubu jaman wanalia sisi tukae pemben tuangalie filamu 🍿🍿🍿🍿.
Clears penalty two...
Clears goal...
Sio lazima kuongea english
Kachanganyikiwa kisugu mechi yao yasita hii yeye kakomaa ya yano😂😂😂
Itachukuwa miaka miwili kwenda tena mkapa
Kawaida tuu, kwanza tumejifunga na yanga kabebwa
Tatizo Simba inacheza kipindi chakwanza Tu ila wanakata Moto haraka sana
Acheni kuhoji machizi
Kayoko anyongwe
Kisugu kuanzia leo ukitaja yanga malizia midabangulo yaan sema yanga midabangulo wazee wa kudabangula tumesha wadabangula OK haua****
kisugu reo inakuuma refa kukataagori. umesaau tanga irishinda gori mbiri kwenye ngao refa kakataa ikajirudia juzituu kwa mkapa ngao tena umekataa gori mbiri jani harioni kundure ndiyo wewe kisugu
Wewe nimpumbv kumbe gori la offside nyie ndio mnatuponza tim mbovu mnakaa kulaumu marefa hapa simba tuache shobo kikosi hiki bado tumepigwa yaani bado sana
Na za kibu denisi hukuziona au hujui mpira.....¿
@@mhehejrtv9637 ww ndio hujui mpira game ya ngao ya jamii sasi alitubeba jmn tuache utot tutafte timu angalia sub za yanga na uan galie sub zetu. Chama simzee basi kakupaka wewe mafta na ahmed ally unaemsaport usenge wakati sisi wenye card za simba tunaumia
Mtangazaji Jane, Rudi mpenja tv ndo ulikuwa unachangamsha mashabiki wa team zote. Kwa sasa mambo hayako mazuri
Kweli
Kumbe kaondoka. Malisho ya Kijani zaidi yamemvutia huko Wasafi bila Shaka
Anafanya kazi hajitolei ana familia na mipango yake punguza ushauri kwenye maisha ya watu yeye ndio anajua wap na nini anataka Kwan unataka kampuni au mtu?
Uyu mbwa sindo arikuwa anaambia mashabiki wezie waende kuroga sasa imekuaje warionekana makaburini awa navichungu nvao mungu kawaumbua nyie munaenda makaburini wariko rara binadamu zenu wemunafukua kama si raana nini nabado tutawatimba sana mbwa nyie