Kazi zako zinamfanya Mungu aone duniani bado watumishi wapo,wanaojua wokovu ukwako 2 sio nyumba wala magari wala hizo suti,(Jambo moja2 Neno lako tulijue na roho wako utupe Bwana),Amina.
Hata injili inapojaribiwa kuzushwa Kristo anabaki kuwa yule tu habadiliki,tafadhali subscribe tunataka kurejesha channeli hii palepale 🙏na mengine tuwachie mungu anayo kila sababu kila mwanzo mpya 🙏mnaenda mbali mwakipesi maombi yangu kwenyu🙏
Hapa nathibitisha hata sasa tu hayajawa ya bure. Kwani naona hata hii tenzi ilivyokaangizwa, inathibitisha kazi ya ibada. Yaani ni tenzi no 67 ile ile, ila huu ukaangizaji inaonesha kweli ibada si bure.
Kazi zako zinamfanya Mungu aone duniani bado watumishi wapo,wanaojua wokovu ukwako 2 sio nyumba wala magari wala hizo suti,(Jambo moja2 Neno lako tulijue na roho wako utupe Bwana),Amina.
Sitamuangusha Mungu na mtu wake... Hayatakuwa ya bure.
Hayatakuwa ya buree haya maneno yako Bwana. Eee BWANA nisaidie niweze kuyashika sawa sawa haya maneno yako. Ni tayali Bwana nitume Mimi.
Ameeeeen .hatukuwaa hivi maneno yako si buree
Ubarikiwe mtumishi
Amen; hayatakuwa ya bure haya maneno yako
Hata injili inapojaribiwa kuzushwa Kristo anabaki kuwa yule tu habadiliki,tafadhali subscribe tunataka kurejesha channeli hii palepale 🙏na mengine tuwachie mungu anayo kila sababu kila mwanzo mpya 🙏mnaenda mbali mwakipesi maombi yangu kwenyu🙏
Aminaaaa sana..kweli hayatakuwa yabure haya maneno
Huyu ni Sauti nyuma yake IPO nguvu ya ufalme. Sikuijua kabla. Mungu akuvushe
Ameen kamanda hakika hayatakuwa ya bure
Ameeen mubakiwe saana Watumishi wa Mungu.nijengwa saana. Hakika hayatakuwa ya bure.
Mungu nisaidie nizidi kupiga mbio.Hayatakuwa ya bure haya maneno yako
Amen amen,.
hakika wakili wa mungu
Ameen
Hayatakua yabure hakika na Hata machache niliyoyasikia hayajawa bure pia. Hayatakua ya bure nakuahidi Bwana nitakua nimimi umtafutae ktk ibada hizi
Ameni Ameni
Ameen ubarikiwe. Sana
Baba asante sana! Haýatakuwa ya burr....!
Nikikumbuka nilivyo kuwa na mateso mengi kwenye ufahamu(maisha) nasema,
EEEEEE BWANA, HAYATAKUWA YABURE HAYA MANENO YAKO.
Ameeen.
Ameeeeeen
Mtumishi wa Mungu Mwakipesile, ubarikiwe sana, hakika uimbaji ndiyo huduma yako hasa. Tumia muda wako sana katika hiyo.
Kama kuna kitu ambacho huwa k inanifanya kupambana kila wakati ni zile gharama zitolewazo ili mimi kubadilika.
HAYATAKUWA YA BULE HAYA MANENO YAKO.
Hayatakuwa ya bure haya maneno yako.
Hapa nathibitisha hata sasa tu hayajawa ya bure. Kwani naona hata hii tenzi ilivyokaangizwa, inathibitisha kazi ya ibada. Yaani ni tenzi no 67 ile ile, ila huu ukaangizaji inaonesha kweli ibada si bure.
Ameeen kamanda
Huyu ni Sauti nyuma yake IPO nguvu ya ufalme. Sikuijua kabla. Mungu akuvushe