Kabla sijamkalibisha mtu kuwa rafiki angu. Nahakikisha kutofungua milango xana. So binadam ni watu wa kuwa nao mkini sana . AHSANTE 🙏 nazidi kuwa imala
Nimejifunza kitu,nimeumizwa sana na ukaribu wa urafiki kwa kufungua milango ya ndani kabisa ya moyo wangu pasipo kujiuliza au kufahamu mambo haya ambayo Brother umeyafundisha hapo.Sasa moyo umepona na amani nimeipata.Asanteh sana ubarikiwe kwa somo zuri
Mim nipo na rafiki yngu mmoja yeye anapenda sanaa kudidimiza kifedha. Pia mim nina hasira sanaa naitaji nibadilike nisiwe hvi napenda sanaa ila njia ndio sijuh nifanyeje
Unachokiongea nichakweli na kimenitokea mara kadhaa namuamini rafiki kwa haraka nakumpa siri za maisha yangu kumbe amekuja kwa lengo latekeleza alichodhamiria kukifanya Ila huwez kumjuwa anavyokuja kwasababu anajiweka karibu sana had inafikia hatua unamuamini
Brother nilitapeliwa pesa mingi.na watu niliowaingiza moyoni na kuniharibia kazini so niko makini sana kupitia somo hili sitafanya makosa tena hiyo imeenda.thanks brother Joe tunapona.be blessed
@@joelnanauka Kaka mume wangu ananiuliza Sana nimekua mtu wakuliya Sana namaumivu Mali mpaka kidua kinawaka Moto nielekeze nifanye Nini kupona hili tatizo kwani mpaka BP IPO juu mda mlefu haishuki
Ad leo sina rafiki sababu nawauliza malengo yako kwenye maisha yako vip Kama ujibu wewe n mwana mambo powa tu na sio rafiki ang naishi upweke saana nakosa mshirika ktk ndoto zangu😢
Naomba kujua kwanini mtu anakuwa unakupinga kila unachoongea au kila unachokifanya kwake wewe unakosea yaan huwezi kufanya kitu kikawa right kwake jamani hili jambo linaniumiza hata nikijaribu kukaa kimya bado namkosea ni kwanini lakini 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 NAOMBA MSAADA 😢😢😢😢😢
Da nikweli kabisa na Hadi leo nimepoteza mwelekeo,. Na kupoteza vitu vingi ambapo inanigharimu na sijaweza kurudi Tena maisha yangu .kweli nilazima kutafakari kwanza
Inafika wakati unaachana narafiki unaweka ukaribu na ndugu at the end unaanza kutafuta kasolo yako mwenyewe i mean unajikuta upo katika mgogolo na nafsi yako 😂😂😂 all in all nimejifunza kitu ku atofaut sana katika vitu hiv yaani love interest and intensions
Purpose is the function for what we're designed for. Joe is fulfilling his reason for why he was created for. God blessed you. I'm a professional therapist and life coach but each day I used to watch over and over your videos
Asante sana kaka kwa mafundisho yako mazuri watu wengi tunajiingiza katika marafiki wabaya pasipo kujiuliza mungu awe nawe ili uzidi kutupatia maarifa?
Ni halisi wapo watu kweli nilikutana nao na bila kujiuliza interest zao ni zipi unajikuta unaamini interest uliyonayo naye anayo lakini imeishia ktk majuto ya kupoteza vitu na nafasi muhimu.Upo sahihi Joel
Kabla sijamkalibisha mtu kuwa rafiki angu. Nahakikisha kutofungua milango xana. So binadam ni watu wa kuwa nao mkini sana . AHSANTE 🙏 nazidi kuwa imala
Nimejifunza kitu,nimeumizwa sana na ukaribu wa urafiki kwa kufungua milango ya ndani kabisa ya moyo wangu pasipo kujiuliza au kufahamu mambo haya ambayo Brother umeyafundisha hapo.Sasa moyo umepona na amani nimeipata.Asanteh sana ubarikiwe kwa somo zuri
Dah hii imenikutana kuna mtu akiwa na kitu huwa anajifanya yupo busy sana ila akiishiwa ndo anajifanya kuwa karbu nami😢😢
Ni kweli kabisa na tukizingatia haya ni rahisi kupata rafiki sahihi na kujiepusha na migogoro kwa kutokukaa na watu wasio sahihi.
Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki
Ahsante kaka
Mim nipo na rafiki yngu mmoja yeye anapenda sanaa kudidimiza kifedha. Pia mim nina hasira sanaa naitaji nibadilike nisiwe hvi napenda sanaa ila njia ndio sijuh nifanyeje
Friends nilikuwa nao na tumeishi mda mrefu sana but suddenly wamebadilika ni tofaut na nilivyowazoea
Kweli kanisa mafundisho unayofundisha tukiyashika na kuyatenea kazi yatatusaidia sana
Nikweli brother Joel nanauka hata mimi nimeshapitia namna ya ivyo nanilipata maumivu makalisana kwakusababishiwa na watu wangu wakalibu
Unachokiongea nichakweli na kimenitokea mara kadhaa namuamini rafiki kwa haraka nakumpa siri za maisha yangu kumbe amekuja kwa lengo latekeleza alichodhamiria kukifanya
Ila huwez kumjuwa anavyokuja kwasababu anajiweka karibu sana had inafikia hatua unamuamini
Brother nilitapeliwa pesa mingi.na watu niliowaingiza moyoni na kuniharibia kazini so niko makini sana kupitia somo hili sitafanya makosa tena hiyo imeenda.thanks brother Joe tunapona.be blessed
Ushauri mzuri brother unazidi kutujenga akili Mungu awe karibu na wewe 🇹🇿🙏.
Ameen nashukuru sana
@@joelnanauka Broooh UNAJUA hunaa bayaah
@@joelnanauka Kaka mume wangu ananiuliza Sana nimekua mtu wakuliya Sana namaumivu Mali mpaka kidua kinawaka Moto nielekeze nifanye Nini kupona hili tatizo kwani mpaka BP IPO juu mda mlefu haishuki
@@joelnanauka nisaidie Kaka ntakufa
@@mbanga6759 Usiruhusu mtu yeyote akuvunje moyo,kwani ulikuja duniani kwa Ajili take? Jipe moyo na achana nae,
Asante Cana boro nitaanza kuyafuata ambayo umetufunxa
Ndiyo nimeshawahi kukutana na mtu nikamweka karibu lakini baadae alibadilika,niliumia Sana ila naomba Mungu anisaidie niwe nachunguza kwanza marafiki.
Ad leo sina rafiki sababu nawauliza malengo yako kwenye maisha yako vip
Kama ujibu wewe n mwana mambo powa tu na sio rafiki ang naishi upweke saana nakosa mshirika ktk ndoto zangu😢
Naomba kujua kwanini mtu anakuwa unakupinga kila unachoongea au kila unachokifanya kwake wewe unakosea yaan huwezi kufanya kitu kikawa right kwake jamani hili jambo linaniumiza hata nikijaribu kukaa kimya bado namkosea ni kwanini lakini 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 NAOMBA MSAADA 😢😢😢😢😢
😂😂😂😂hii kwel kabisa
Ana roho mbaya hapend kufanikiwa yupo kukukandamiza Ili usijiamini.
barikiwa ,nmejifinza kitu
Nikweli hatamm nimewahikuna mtu wa namna hii lkn Sasa nimejifunza
Kweli kaka ni kuwa makini Mimi mwenyewe nishakutana na hao marafiki
Yaani Niko ivo kama umeniona
Live brother I am under stand you
Nilikuwa nafanya biashara bila kujua ndio mana nilikuwa siendei ahsante kaka mafunzo mazuri nitajiunga na kikundi chako
Uko vizuli mm naita chakula Cha mandeleo nilifata ushauli wako nimefanikiwa sana ile mada ya heshima ya feza❤
Kwakweli umenisaidia niliruhusu watu ambao sio sahihi kuingia kwenye maisha yangu
Barikiwa 🙏🙏
Hakika mkuu sijawai kujutia kusikiliza ushauli wako wa youtube na vitabu vyako hakika najiona kabisa yule wa Jana sio wa leo balikiwa Sana
Kweli kabisa watu wanaumia sana,kukuta mtu hayuko kama alivyotarajia
Darasa langu ni channel Yako kaka Joel Nanauka tangu nianze kukufutilia huku hakika nimeona thamani ya maarifa Yako.
Yamenisaidia pakubwa sana
Mi nilishawahi kukutana na rafiki wa hivyo na nikaumia.kweli kaka huo ni ukweli
Nimeshajuta mara 3 na leo nimejua namna ya kuangalia kwanza nani awe karibu na mimi nadhani abaki tu mke wangu
Asante sana kaka J kwa kutuelimisha mambo ya muhimu katika maisha tunoyoishi Mungu hawe pamoja nawe
Exactly kaka ni wengi muno walio nifanyia hivyo sina ata hamu nikahisi km mungu hayuko nami
Habarkaka Joel nashkuru kwa ushauri kwakweli kuna mtu unakuta k
Barikiwa kaka
Thanks uncle j...i will always swim in your helpful advices
nishaipenda mrembo mwenye apendi mpira wa Miguu kama mimi.
Da nikweli kabisa na Hadi leo nimepoteza mwelekeo,. Na kupoteza vitu vingi ambapo inanigharimu na sijaweza kurudi Tena maisha yangu .kweli nilazima kutafakari kwanza
Nilikuwa na mtu wangu nampenda sana lakini akaniumiza vibaya sana
Yaani mimi naomba unisaidiye sana nataka ni kuongeleshe kwenye WhatsApp
Ni ushauri mzuri kakangu.
Mm nishatendwa na mwanadada mmoja nilie ona ni mshirika wangu katika mafanikio yangu na yeye
Asante sana bro. Mi binafsi unanijenga sana kupitia video zako.
Vitabu vyako vinapatikanaje...?
Big up!!
Ni Kweli kaka nakubaliana na ww, hakika najifunza mengi kutoka kwako be blessed sana.
Yamenikuta kaka nimemueka karibu kumbe alitaka kutumia jina langu baadae kabadulika kama sio yye
Kabisaa nilifanyaga ujinga huu Ila kwa Sasa siwezi umenielimisha
Blessed bro you tourched me
Hii nzuri pia nilipitia kumchunguza mtu niliemueka karibu❤
Amina
Fact ❤🎉
Pia nitumie nin kwa wingi ilinnipunguze hasira
Mungu akubariki,nilishakuwa kwenye mahusiano alafu sikuchunguza kati ya hayo mambo 4
Sijutii mada zako bro
Kaka joeli asante sana 😊😊😊 tufundishe zaidi
Asateee sana kaka napendaa sana mafunzo yako mungu akubalikii
Inafika wakati unaachana narafiki unaweka ukaribu na ndugu at the end unaanza kutafuta kasolo yako mwenyewe i mean unajikuta upo katika mgogolo na nafsi yako 😂😂😂 all in all nimejifunza kitu ku atofaut sana katika vitu hiv yaani love interest and intensions
Ni kweli,nimewahi kutana nao sio mara moja 😊
aisee kwakweli mbona kama inanihusu ivi
Wa kwanza Leo nipen likes zangu
It's facts imenitesa sana up to This moment sijapata majibu nimeishia kumuachia Mungu
Your a great leader
Nilimpata mtuhuyo
Asante Kwa maarifa.
Nazidi kujifunza mengi kwako kaka, na Mungu akubariki
Yaani mungu akubariki sana, kuna watu niliwasimulia magumu yangu mwisho wake wakaanza kuyatumia hayohayo kuniumiza,
Pole sana
Asante sana kaka Jo unachozungumza ni kweli namba 4 ilinitenganisha na mtu namshukuru Mungu sana
Ahsante kwa mafundisho mweshimiwa!!!👍👍👏👏👏
Wakati naendelea kusikiliza nikawa kumbuka aina 4 za maadui katika topic iliyopita nazidi kuimarika💪 shukrani sir
Ni kweli kabisaaa
Oh thanks a lesson learned
Daaaaah! MUNGU azidi kukupa maisha marefu ili tuendelee kukifaidi hicho ambacho MUNGU ameweka kwako🙏🙏
Purpose is the function for what we're designed for. Joe is fulfilling his reason for why he was created for. God blessed you. I'm a professional therapist and life coach but each day I used to watch over and over your videos
True.
Asante sana kaka kwa mafundisho yako mazuri watu wengi tunajiingiza katika marafiki wabaya pasipo kujiuliza mungu awe nawe ili uzidi kutupatia maarifa?
Ubarikiwe Joel 👊✊
Asante bro Joël yani iyi dunia hayiishi mafunzo.
Great point,,,,
nime wai lakini nili gundua mapemaa na kuachaa kufatana naee
Asante kakangu kwa ushauri mzuri je ?nikiwa nishajiingiza tayari ntajisaidia vipi naomba ushauri kaka cz ht nikijaribu kujitoa ananitishia
Huyu jamaa naitaji nifanye nae biashara kwasababu yeye yupo clear kibiashara hana hasira
Wengi sana nishakuwa nao karibu kwa style hio
Ni halisi wapo watu kweli nilikutana nao na bila kujiuliza interest zao ni zipi unajikuta unaamini interest uliyonayo naye anayo lakini imeishia ktk majuto ya kupoteza vitu na nafasi muhimu.Upo sahihi Joel
Shukrani 📚📚📚
Ahsante brother
Hii imenikuta sana mwalimu,nashukuru sana kwa mafundisho haya,sasa najua pakuanzia
Nmepata kitu kizuri kwenye somo la leo,,,, thanks much my teacher of life
Noted.
Amina sana 🔥
jamaa nilie soma nae ndio alikua darsa kubwa kwngu ikapelekea kua na rafik nimtakae mm mwenyewe
Asante kaka nazid kuelimika
Mm nilifanya biashara na Rafiki baada ya muda nilishindwa mm cos yeye alikua mtu wa kujikweza na matumizi yasiyo sahihi
Asante nazid kujifunza 🙏
Asante sana brother ubarikiwe siku zote
Ujumbe umefika baba
Asante kaka Joel kwa mafunzo unayotupatia Mungu akubariki
Hii ni kweli kabisa
Nimekuelewa brother, nitalifanyia kazi
Asante sana kwa somo zuri
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙌
Ubarikiwe
Barikiwa zaidi kaka @Joel hakina unabariki wengi Mungu azidi kukubariki nakuzidi
Asante