Hii sauti iliwahi nitokea kipindi nikiwa nimeajiriwa kwenye shule fulani ikinisisitiza niache kazi nikajiajiri. Asee niliamua kufanya maamuzi magumu ya kuacha kazi na kujiajiri Nashukuru kwa kweli maana sauti kumbe ilikuwa inaniaandaa nikaishi maisha yenye uhuru,zaidi ktk hiki ninachokifanya pia imenifanya nikutane na fursa nyingi zaidi ya pale nilipokuwa nafanyia kazi
Hii sauti ni kubwa sana kwenye moyo wangu inapiga kelele kila siku kwamba mwaka huu natakiwa kufanya maamuzi magumu ambayo hatma ya maisha yangu nami nimekubali kufanya hivyo disemba 2023.
Hii kitu ya muhimu mnooo tena mno,nilipuuzia hii sauti,lakini ilinikost zaidi ya miaka ishirini,asante Sana, jifunzeni hili SoMo nawasihi,ushahidi ninao kabisa imenigarimu vibaya hii .tafadhali mwenye kuusikia ujumbe huu aisee naomba auzingatie
Maisha yangu ni wajibu wangu..kweli kabisa..kitu kingine unapoitii hiyo sauti unajisikia amani na furaha moyoni, gafla unaona giza limeondolewa mbele yako hadi uso unang'aa, ila ukishindwa kuitii furaha hutoweka na maumivu yasiyoelezeka yanatawala moyoni.
Hii kitu nilikuwa na subiria sana. Maana mimi huwa na shida moja, Kitu nakiona kabla akijatokea, Alafu na puuzia kukifanya au kukizingatia, Mwisho wa siku najiraumu sana. Inapita muda narudia tabia hii kuikosea, Hasa leo nipate ujuzi juu ya sauti ya mdani ili nijifunze kitu. #HonMichaelDeusdedityKessy.
Kiukweli baada ya kugundua sauti ya ndani halafu ikitokea kama naipinga moyo Huwa unaniuma sanaa. Nakuwa Sina budi kuitii tu. Ndugu zangu tuwe makini na sauti za ndani. Kaka joe mungu ukubariki sana wewe ni mtu na nusu.
Samahani ningependa kuuliza swali ambalo labda lipo nje kidogo na mada Kuhusu sauti iliyojificha pia uliwahi kuizungumzia juu ya kutambua wito wako , naomba kujua tofauti iliyopo kati ya wito na kipaji cha mtu
Ndiyo kabisa nimeisha wayi kuliwa pesa na matapeli wa mitandao ,sababu kutosikiliza sauti yangu ya ndani, na kuna siku nimewahi kukwepa jeshi la polisi kwenye machimbo ya dhaabu kwa kusikiliza sauti yangu ya ndani 🙏🏼🙏🏼 mwalimu tunazidi kufuata elimu yako kutoka mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo
Asante sana MUNGU akutente mema ujombani walitudharau tulipo kua wadogo tuliwahitaji lakini walituona mavumbi leo mjomba annihita sauti ya ndani imekataaa
Heshima ya kutengeneza naiona ni nzuri sana kaka Joel natamani sana siku Moja niheshimike na jamii kubwa. Kaka Joel nmeipenda sana hii elimu ya jambo hili mungu akubariki Sana
Ahsante Sana Mwalimu Wangu. Umekuwa Msaada na Njia Sahihi Kwenye Maisha Yangu Siku Hadi Siku. Mwenyezi MUNGU Azidi Kukulinda na Kukuinua. Sauti ya Ndani Muhimu Sana
Hii sauti nakutananayo sana kunikataza vitu lkn sijawai kuifanyia kazi...Inanikataza lkn najipa moyo wishowe napoteza....Duuu Asante sana kwa kunitoa kwenye kiza.
mimi naitwa pascal ,saut yangu ya ndani imekuwa ikinishinikiza kuwa mimi ni mfanyabiashara ,sasa mimi ndio napambanja lkn wazaz na ndugu wamekuwa wakinilazisha nisome na sasa nimegoma kwenda chuo angali nimefaulu na sasa niameanza biashara yangu ,pia ninaamini sana mimi ni mfanyabiashara mkubwa sana ,pia ww nini rmwalim wangu wa maisha unanihamasisha sana ,i love u nanauka
kila binadamu au kiumbe uwa anaikokitu ni nafsi ambayao ata ukifanya dhambi inasema unakosea na ndio inayotufanya sometime tuongee pekeyetu tukiwa na jamboooo ivyo nivyema sana kuisikiliza mala zote inapotokea iyosaut basi uwa inasimama kaitka upande wa haki au kufanikiwa ila tulio wengi tunapuuza
Naomba nitoe mchango wangu kwa Jamii hiyo sauti ni kweli ipo na ina msisitzo mkubwa katika mafanikio,naweza nikasema kama ni Mwenyezimungu anatukumbusha kama yy yupo na uwezo wake ni mkubwa saana usio na mfano
Hii nimeiona mara nyingi sana Na Kwa kiasi kikubwa nikiitekeleza hiyo sauti bas napata mafanikio Ila nikiipuza kama Ni pesa au jambo lolote bas napata matatizo makubwa saana
Hiii sauti ishawahi niongelesha kipindi namhudumua mteja ikiniambia vaa groves lkn nikapuzia jmn kilichonikuta 😢 but mung nimwema nimejifunza kuwa ile sauti inamana kubwa sanaa thank you Joel 🤝
Huwa naisikia sana,kunasehem nafanya kazi kutokana Na changamoto nilitaka kuondoka,lakini niliambiwa si muda wakutoka hapo we ka,mana umewekwa kwa kusudi,nimesikiliza nimekaa,pia naweza kukaa nikasikia tu ndani yangu naambiwa kasome biblia,nakwel nikisoma kunakitu napata chenye guvu,ubarikiwe kwakwel
hi imenigusa sana moyoni kwangu kwakuwa nilvokuwana umri wa miaka 14 nilikuwana duka akaja mzee mmoja usiku akavuja akachukuwa vitu vathamani dola 140 mama yangu alikuwa mgonjwa ana miaka miwili yuko kitandani .siku ya pili nakuvunjwa duka akaota ndoto babu kaja kamwambi nenda kijiji jirani msikitini wukachukuwe viatu va mjukuu wangu kweli kaenda na kavikuta .na mwizi kapatikana .na babu alifariki kabla ya kuolewa mama yangu.
Bro hii imenitokea juzi, nilipark gari karibu na dirisha, asubuhi nataka kutoka bila gari. Nilipo angalia nikasema "dirisha ikitokea limeanguka litagonga pale then kwenye kioo cha nyuma kitamalizia", hapo natafakari mwenyewe. Nikasema nisogeze gari kwanza ndio niende nikaona nachelewa. Basi nikajipa moyo nikirudi nitalifungua dirisha.😅 mambo yote nayawaza nikiwa nimesimama. Nikaenda kurudi dirisha nimelikuta chini wiper ya nyuma imepasuka. Ila nashukuru mungu kioo hakikuguswa sababu wiper ilizuia.😢
Kupuuza iyo sauti kumeniponza Mala 2 😂 1. Mwanaume nilie zaa nae nda ya miaka mi 4 Kila nikimuangalia nasikia uyu c wako nikapuuza Nikapata mamba mwaka wa 4 Nipo zaa ndo nilijua ukweli ni mume wa mtu na anawatoto wawili na mkewe 2. Biasha nilikopa seem nyingi ili niboleshe Ila ckuwa na aamani na ii biashara Sasa nimepoteza vote na deni la Milioni 30 juuu 😔😔😔
Thankc sana Broo be blessed . Ila changamoto kwang ni moja kuhusu sauti ang ya ndan na uoga. How can I differentiate kati ta sauti ang ya ndan naa uoga
Kiukweli mimi binafsi iyo hali imeshanitokea, hii hali ilinitokea mwaka 2016 wakati nataka kuomba chuo course flan hivi but kwa bahali mbaya nilisoma course ambayo nasfsi yangu ilikuwa ikiniambie ninaelekea kufeli,so ningalitamani maneno haya ningaliyapata kipindi kile!
Kuna mtu mmoja niliwai kumsikia akisema kwamba sauti kama iyo ikikujia zungumza nayo kwa kuibembeleza kabisa ili matokeo yawe tofauti yasiwe ya majuto badae ilo unaukweli ndaniyake?
Hii sauti iliwahi nitokea kipindi nikiwa nimeajiriwa kwenye shule fulani ikinisisitiza niache kazi nikajiajiri. Asee niliamua kufanya maamuzi magumu ya kuacha kazi na kujiajiri Nashukuru kwa kweli maana sauti kumbe ilikuwa inaniaandaa nikaishi maisha yenye uhuru,zaidi ktk hiki ninachokifanya pia imenifanya nikutane na fursa nyingi zaidi ya pale nilipokuwa nafanyia kazi
Hii umetisha sana, Kaka..
.
Nitajifunza kupitia wewe!
Hii sauti ni kubwa sana kwenye moyo wangu inapiga kelele kila siku kwamba mwaka huu natakiwa kufanya maamuzi magumu ambayo hatma ya maisha yangu nami nimekubali kufanya hivyo disemba 2023.
Yan kama mm broo nafanya kaz kwny taasisi shulen . Kwel cna aman nayo ila kutoka kunanpa taabuu sanaa
Mm nilishawai kuisikia ila sikuizingatia naomba msada zaid
Wewe ni mshindi
Hii kitu ya muhimu mnooo tena mno,nilipuuzia hii sauti,lakini ilinikost zaidi ya miaka ishirini,asante Sana, jifunzeni hili SoMo nawasihi,ushahidi ninao kabisa imenigarimu vibaya hii .tafadhali mwenye kuusikia ujumbe huu aisee naomba auzingatie
Nami ilinikuta hiyo mpendwa mpaka sasa naishi kwa majuto
Kuna kitu kinaniumiza sana unaweza kusikiliza sauti ya ndani lakn kwa muda huo hauna uwezo
Naitwa Jamila nakushukuru sana kaka angu Mungu akubalike nmekutana na hiyo hali na ilinitesa sana
Maisha yangu ni wajibu wangu..kweli kabisa..kitu kingine unapoitii hiyo sauti unajisikia amani na furaha moyoni, gafla unaona giza limeondolewa mbele yako hadi uso unang'aa, ila ukishindwa kuitii furaha hutoweka na maumivu yasiyoelezeka yanatawala moyoni.
Hii kitu nilikuwa na subiria sana.
Maana mimi huwa na shida moja, Kitu nakiona kabla akijatokea, Alafu na puuzia kukifanya au kukizingatia, Mwisho wa siku najiraumu sana.
Inapita muda narudia tabia hii kuikosea, Hasa leo nipate ujuzi juu ya sauti ya mdani ili nijifunze kitu.
#HonMichaelDeusdedityKessy.
Kiukweli baada ya kugundua sauti ya ndani halafu ikitokea kama naipinga moyo Huwa unaniuma sanaa. Nakuwa Sina budi kuitii tu. Ndugu zangu tuwe makini na sauti za ndani. Kaka joe mungu ukubariki sana wewe ni mtu na nusu.
Dah 😭😭😭 sikuisikiliza sauti ya ndani mara kadhaa na nikapata madhara makubwa sana.
Fact what you said broo...hiyo ni sauti ya kiroho/ilham na huwa na ukweli ndani yake kwa asilimia 100%
Naaam yaan tangu nimeanza kujifunza kwako nimetoka mahali kwenda mahali Fulani.... Mungu akutunze sana sana yani
Samahani ningependa kuuliza swali ambalo labda lipo nje kidogo na mada
Kuhusu sauti iliyojificha pia uliwahi kuizungumzia juu ya kutambua wito wako , naomba kujua tofauti iliyopo kati ya wito na kipaji cha mtu
This is true brother Joel kwel kabisa hii imewahi kunipata na inaumiza mnooo tuuuu
Ndiyo kabisa nimeisha wayi kuliwa pesa na matapeli wa mitandao ,sababu kutosikiliza sauti yangu ya ndani, na kuna siku nimewahi kukwepa jeshi la polisi kwenye machimbo ya dhaabu kwa kusikiliza sauti yangu ya ndani 🙏🏼🙏🏼 mwalimu tunazidi kufuata elimu yako kutoka mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo
sauti ya ndani naisikiliza sana na inanisaidia mambo mengi na nisipotii changamoto zinanipata. Kaka Joel Mungu akutunze tuendelee kupata Elimu.
Hii sauti ninayo tokea Jana ila Leo kupitia hapa nimepata jibu sahihi ubarikiwe sana Brother Joel 🙏🙏🙏
Asante sana MUNGU akutente mema ujombani walitudharau tulipo kua wadogo tuliwahitaji lakini walituona mavumbi leo mjomba annihita sauti ya ndani imekataaa
Heshima ya kutengeneza naiona ni nzuri sana kaka Joel natamani sana siku Moja niheshimike na jamii kubwa.
Kaka Joel nmeipenda sana hii elimu ya jambo hili mungu akubariki Sana
Ahsante Sana Mwalimu Wangu. Umekuwa Msaada na Njia Sahihi Kwenye Maisha Yangu Siku Hadi Siku. Mwenyezi MUNGU Azidi Kukulinda na Kukuinua.
Sauti ya Ndani Muhimu Sana
Hii sauti nakutananayo sana kunikataza vitu lkn sijawai kuifanyia kazi...Inanikataza lkn najipa moyo wishowe napoteza....Duuu Asante sana kwa kunitoa kwenye kiza.
Shukrani sauti ya ndani Muhimu
mimi naitwa pascal ,saut yangu ya ndani imekuwa ikinishinikiza kuwa mimi ni mfanyabiashara ,sasa mimi ndio napambanja lkn wazaz na ndugu wamekuwa wakinilazisha nisome na sasa nimegoma kwenda chuo angali nimefaulu na sasa niameanza biashara yangu ,pia ninaamini sana mimi ni mfanyabiashara mkubwa sana ,pia ww nini rmwalim wangu wa maisha unanihamasisha sana ,i love u nanauka
mmmh kaka ungesoma ukamaliz then ukajiajili wakati unaelim nzur pia.ata uyu mwalimu wetu anaelim na kipaji chake iko be careful bro
kila binadamu au kiumbe uwa anaikokitu ni nafsi ambayao ata ukifanya dhambi inasema unakosea na ndio inayotufanya sometime tuongee pekeyetu tukiwa na jamboooo ivyo nivyema sana kuisikiliza mala zote inapotokea iyosaut basi uwa inasimama kaitka upande wa haki au kufanikiwa ila tulio wengi tunapuuza
Shukran sana kaka joel
Naomba nitoe mchango wangu kwa Jamii hiyo sauti ni kweli ipo na ina msisitzo mkubwa katika mafanikio,naweza nikasema kama ni Mwenyezimungu anatukumbusha kama yy yupo na uwezo wake ni mkubwa saana usio na mfano
Amina
MUNGU akubariki sana kaka Joel umekua daraja la watu wengi sana kaka .
Asante sana jamani tunajifunza mengi toka kwako , ubarikiwe sana🙏
Hii nimeiona mara nyingi sana Na Kwa kiasi kikubwa nikiitekeleza hiyo sauti bas napata mafanikio Ila nikiipuza kama Ni pesa au jambo lolote bas napata matatizo makubwa saana
Jamaa anajua shukran unanifanya nanauka kama joel...
Hiii sauti ishawahi niongelesha kipindi namhudumua mteja ikiniambia vaa groves lkn nikapuzia jmn kilichonikuta 😢 but mung nimwema nimejifunza kuwa ile sauti inamana kubwa sanaa thank you Joel 🤝
Huwa naisikia sana,kunasehem nafanya kazi kutokana Na changamoto nilitaka kuondoka,lakini niliambiwa si muda wakutoka hapo we ka,mana umewekwa kwa kusudi,nimesikiliza nimekaa,pia naweza kukaa nikasikia tu ndani yangu naambiwa kasome biblia,nakwel nikisoma kunakitu napata chenye guvu,ubarikiwe kwakwel
Yani ni kama utani lakini hii sauti ni ina nguvu sana ukiipuuza unakosa Amani kabisa aise kwakweli wewe ni Mtaalamu
Ni kweli kabisa, sauti ya ndani ina maana kubwa, Asante kaka kwa ujumbe mzuri
Kweli kabisa kaka Kuna muda inanitokea sana lakini siitilii mkazo Asante Kwa hilo
nashukulu sana sanaaaaaaa Joel asa nanauka umeniongenzea kujiamini nakuamini sauti yangu 💪🤝
Kaka joel you're the best
Nimejifunza kitu Joel
Baraza mungu akupe maisha marefu elmu tunaipata
hi imenigusa sana moyoni kwangu kwakuwa nilvokuwana umri wa miaka 14 nilikuwana duka akaja mzee mmoja usiku akavuja akachukuwa vitu vathamani dola 140 mama yangu alikuwa mgonjwa ana miaka miwili yuko kitandani .siku ya pili nakuvunjwa duka akaota ndoto babu kaja kamwambi nenda kijiji jirani msikitini
wukachukuwe viatu va mjukuu wangu kweli kaenda na kavikuta .na mwizi kapatikana .na babu alifariki kabla ya kuolewa mama yangu.
Ahsante sana Kaka by ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi Kona 🙏🙏🙏🙏
Ni kweli kabisa yaan
Bro hii imenitokea juzi, nilipark gari karibu na dirisha, asubuhi nataka kutoka bila gari. Nilipo angalia nikasema "dirisha ikitokea limeanguka litagonga pale then kwenye kioo cha nyuma kitamalizia", hapo natafakari mwenyewe. Nikasema nisogeze gari kwanza ndio niende nikaona nachelewa. Basi nikajipa moyo nikirudi nitalifungua dirisha.😅 mambo yote nayawaza nikiwa nimesimama. Nikaenda kurudi dirisha nimelikuta chini wiper ya nyuma imepasuka. Ila nashukuru mungu kioo hakikuguswa sababu wiper ilizuia.😢
Nikweli umeongea vyema nanauka sauti ya ndani ni nzuri, kusikia sauti ya ndani imenisaidia sanaa
Kabsa kaka 254 saizi najutia sanah kutoskiza nafsi
Be blessed brother Joel,talking from Burundi
Upo perfect kwa saomo la sikolojia kaka
Daaaaah kwel😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮kewl come from
Nikweli ilinitokea Kaka Joel saiv Niko makini sana
Hongera, ni Mawazo mazuri.
🙌 kwakweli
You so good in mot...thank you Brother
Nimewahi puuzia sauti ya ndani ya moyo wangu nilipoteza pesa nyingi ssna
Asante sana kaka hakika uko sahii kabisaa
Nakuelewa sana bro keep it up tunafaidika kupitia wewe
Nilitapeliwa lakin Tano na nilisikia sauti inanikataza lakini sikuisikiliza
Mungu akupe maisha marefu bro
Waitinggggggg 🔥
Uzidi kubarikiwa kaka
Asante sana, ubarikiwe!
Naitwa magreth nikweli kabisa kaka joeli nimewahi kuttokewa mara nyingi sana kuipuzia sauti ya ndani na nikakutwa na kitu kibaya
Kweli kabisa kaka nakubali sana
Asante sana my brother 👏❤
kabisa
Kupuuza iyo sauti kumeniponza Mala 2 😂
1. Mwanaume nilie zaa nae nda ya miaka mi 4
Kila nikimuangalia nasikia uyu c wako nikapuuza
Nikapata mamba mwaka wa 4
Nipo zaa ndo nilijua ukweli ni mume wa mtu na anawatoto wawili na mkewe
2. Biasha nilikopa seem nyingi ili niboleshe
Ila ckuwa na aamani na ii biashara
Sasa nimepoteza vote na deni la Milioni 30 juuu 😔😔😔
Thank you brother Joel 👏🏻👏🏻
Ahsante mwalimu
Daaaaaah nilipuuza sauti😭😭😭 hii mada inaniuma ndoa imenifanya niishi Kwa maumivu makal mpaka sasa yaenda miaka 10
Pole sana Mungu akupe nguvu
@@eliamartine4720 ahsante 🙏
Mungu akubariki broo
Najifunza sana 😢🙏🏿
True
Asante Kaka Joel
Nakubali Boss
Niliwai ipuzia hii sauti na Kidogo nife kwa kuvamiwa na wahuni ambao sauti ilikata nifanye nao biashara 😢
Thankc sana Broo be blessed . Ila changamoto kwang ni moja kuhusu sauti ang ya ndan na uoga. How can I differentiate kati ta sauti ang ya ndan naa uoga
Kiukweli mimi binafsi iyo hali imeshanitokea, hii hali ilinitokea mwaka 2016 wakati nataka kuomba chuo course flan hivi but kwa bahali mbaya nilisoma course ambayo nasfsi yangu ilikuwa ikiniambie ninaelekea kufeli,so ningalitamani maneno haya ningaliyapata kipindi kile!
Nishawahi kuiskia sauti wakati nadrive gari, kuna sauti moyoni iliniambia nisubir nisifanye haraka kupinda kwenye kona, nilicho kiona mbele yangu sikuamini hadi leo, gari ziligongana muda ule ule niliosimama tu😢
Nikweli sauti hii niyamuhimu sana ilainahitaji usikilivusana ,napia kujishauri wewe mwenyewe kwa kina
Ni kweli Joel
Well said
Fact broo
It is true %, but I wish to talk with you but i don't know how............ I need your advice my brother.
Hii sauti nilisha isikia nikaipuuza ila Leo najutia kwa kuipuza
Thanks
Asante sana
Umeongea ukweli kabisa
Ni Kweli Kabisa, Ila hii Sauti Inakuwa Nyembamba Sana, Huwaga Naisikiaga Kwa Mbaali, Ila Naipuziaga, Hlafu Badae Naijutia Tena
Ndy nimepuzia kibao
Nikweli kuna wakati unahisi uzito wa kuamua jambo kumbe kuna kitu kinatokea .
❤❤❤
Hio ni sauti ya Roho mtakatifu anakua anaongea na WEWE ila hua hatujui mm hio sauti hua naisikia Kila mara
Asee ni kqweli kabisa
📝
💥
🙏🙏🙏🙏
hii sauti nmeiskia nanashuiur nmeifata ikanisaidia
Nikwe bro maana Kuna muda na ckia sauti ikisema ndani yangu usifanye kitu fulani na ninapo fatilia nakuta kumbe hicho kitu kilikuwa na hasara kwangu
Utajuaje hiyo sauti?naomba unieleze.
Kiukweli sauti hiyo hua ipo
kaka natamani kukuonana naww nitalipia ilo naomba utalatibu mkuu ili nipate kuonana naww
Kuna mtu mmoja niliwai kumsikia akisema kwamba sauti kama iyo ikikujia zungumza nayo kwa kuibembeleza kabisa ili matokeo yawe tofauti yasiwe ya majuto badae ilo unaukweli ndaniyake?
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Sauti kama hii iliwahi nitokea kunikataza jambo lkn kwa kusikiliza ushauri wa watu nikaipuuza saizi nina majuto makubwa sioni ata wakunisaidia
Ila naomba nafasi ya kuzungumza na wewe naamini utanisaidia kutatua tatizo langu sijui inagharimu sh ngapi
Sjawai kukupinga brother umenifanya nimekuwa watofaut sana namwenye upeo wakufkilia nahata kushauli watu wananierewa kupitia mafunzo yako
Ahsantee Sana hii sauti imekuwa ikinisaidia Sana Kaka J