Dotto kongea FACTS kuna watu wamejenga tena watoto wadogoooo mnoooo na midomo iko kimya tena mijumba haswaaa sema doto na nyingine zimepangishwa twala kodii tuu mwaka wa 4 sasa lak 5 5 kwa mwezi wapangaji 5 na bado real estate inaendelea mpk tufike 40s....... Wtu washasahau kujenga.doto bana eti kaja mganga😊😊😊😊😊😂😂😂😂
Watu awaelewi kinacho endelea. Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
Sio ushamba yule anatafuta content ili azidi kutajika kwako inaweza ikawa ya kawaida lakini kwake ni hatua kubwa sn na ametuonesha ili 2zidi kumzungumzia kama hivi sasa
Uyu Sasa Ukimuona Unajua Amejaa Wivu Inje Moyoni Mwake Anajua Kama Mwijaku Kapga Atua Jamani Watanzania Mtu Yetote Mwenye Akili Timamu Aliepanga Anaeishi Nyumba Za Kupanga Mwenye Familia Yake Akuna Aibu Naludia Akuna Aibu Kama Mwanamke Kukwambia Mwanaume Kua Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Apo2 Mwenye Akili Anakubali Kama Kijana Akijenga Mpe Sifa
Nyumba nzuri bana acheni wivu, simpendi Mwijaku lkn amepiga hatua sana
Kweli nyumba ya peter msechu ni nzuri sana,hii ya mwijaku kama ofisi ya chama Cha siasa
Ukweli ndo uho ile nyumba ya msechu ni kali kinouma nouma,na inawezekana million 100 ikawa inafika coz decoration zake ni moto wakuotea mbali mzee
We unayo? Mungu amsaidie kambarik sana achen chuki zenu kigoma champion boy mwijaku anapambana sana hongerah sana 💯💯💯💯💯💯👍👍👍👍🙏🙏🙏
@@princekarani7836kaka milion 100 sio nyumba ya vile Ile ya msechu ni zaid ya milion 800
Ahahaha
Milion 100 Hela ndogo sanaaaa
Nyumba ya mwinjaku ni kali sana sana ,bonge moja la mjengo....huo ni wivu tuu
Mwijaku noma saana,,,,Ati alifikiria kumpa chumba DOTO kile chumba cha mlinzi wake Matias
Kweli doto magari nyumba ya chini ilio changamuka kweli kabisa.
wivu2...we unayooo...🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤..mwijaku juuu...Dotto bwege2 mchovu...
Peter msechu nyumba kali sana
Dotto kongea FACTS kuna watu wamejenga tena watoto wadogoooo mnoooo na midomo iko kimya tena mijumba haswaaa sema doto na nyingine zimepangishwa twala kodii tuu mwaka wa 4 sasa lak 5 5 kwa mwezi wapangaji 5 na bado real estate inaendelea mpk tufike 40s....... Wtu washasahau kujenga.doto bana eti kaja mganga😊😊😊😊😊😂😂😂😂
Hongera mwijaku anae kuzarau ni wivu na choyo tu
Kila nikijaribu kumskiliza huyu jamaa nagundua anaongea zaidi kuliko akili zake zinavyofanya kazi😮
😅😅😅 htr
Mwijaku ameamua kujenga shule kaanza na madarasa😊
Nakuaminia Doto unasema kweli
Doto ukija canada please tuonane bro.
Nampenda doto hana mambo mengi kaka huyu Mungu amtie nguvu
Ila uwa Kuna watu uwa ni vichaa na mahaba yatawaua yaani huyu kichaa ndo unasema hana mambo mengi au akili yako haisomi
Jamani muwe wakweli nyumba nzuri sema hamumpendi na mawavu tu
Yaani watz wanawivu dah
Yaani watz wanawivu dah
Hawa wanajuana Wala hawanaga shida 😂
Yaan ujing maish y bongo unajenga nyumb unaalik watu kweli 😂😂😂 uko sahihi doto
Yule ni star maarufu ili azidi kujulikana lazima afanye ivo
Mimi Sioni Kama Doto Yuko Na Zalau Nachoona Apo Jamaa Anajua Aibu Ya Mke Kukwambia Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Ni Aibu Kubwa
Chawa mpya
Dottooo😂😂😂 kaja mganga😂😂 unachekesha sana😂😂😂😂
Hapo dotto umepigwa za Usoo😅😅😅.. umri wako ni mkubwa kuliko adui zako... yaani bado unamawazo ya urithi?!!!😅😅😅😂😂😂
Kama ulishawai kuiona nyumba ya Peter msechu Basi mdomo mdomo wote utaisha hapa
mzaramo yeyote hana vibe na mijengo, nyumba yamzaramo banda la uani kwahiyo hapo mnapoteza muda wenu bure kumhoji Dotto kuhusu mjego,
ÇloudTV ni TV ya linings sana huwa sipotezi muda muda kuangalia
Mama Kizimkazii na Hapa ipoo!😂😂😂😂
Tanzania nitaipenda hadi kufa jamani yaani uchawa ndo habar ya mjini
😂😂😂😂doto hutaki kuumia akili yako😂😂😂😂
Watu awaelewi kinacho endelea.
Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
Banda la jiwa🕊🕊😂😂🕊🕊
nyumba ya msechu ndio top. naipenda mpaka kufa
Jenga yako na ww uwipende
Unaipenda ya kwako Jenga ya kwako nyau wewe
Eti unaipenda😂😂😂😂
Ewe Mungu tujalie na sisi tujenge tuache kisifia tuu nyumba za watu
Msechu katisha sanaaa
😂😂 zile ofisi za chama,nyumba inajengwa vile we uliona wapiii🤣🤣
Acheni wivu nyumba ni nzr sana Sema nyie wivu unawatafuna mjengo wake mzr uko sawa wivuuuuuuuuu
Wivu mbaya kweli
😂😂😂 Eti doto mrefu kuliko gorofa la mwijaku
😅😅😅gea aache kaz
Hiyo ni kawaida kwenye maendeleo, huwez sifiwa na wote
sanaaaaaa
Vijana mna kazi
Hahaha 😂😂😂😂😂 Dotto umeniacha hoy kumbe Bado upo kwenye chati kijana wangu
kila mmoja na anavopenda ..hata vyumba 2 ni nyumba tu
Ule mneeeneeee hhh
leo nakukataa doto bro hpo umeongea unafki na wivu kka
😂😂😂kwel kabisa wivuu huo
ila bongo Rahaa Sana 😂 et nyumba ya chini iliyo changamka😂
Mwingine ety nyumba yenye ngazi na sio ghorofa😂😂
Gea habibu maji ya jioni😂😂😂😂😂
We mwenyewe Huna nyumba kama ile asa unapondaje we yako ipo wapi?
Una ndangu yakuto kujenga dototumeshajuwa ukweli
Wote Wanachechemea tu😂😂😂
Yako iko wapi mmmmhh
Nimekukubali dotto .magari hiyo imeeenda
Japo zinna ata banda ila ya kawaida sana
aah hpo bos wngu doto leo nakukataa leo unaongea sivyo lile jengo tukutae tukubali
Ww mwehu kila ck mama kizmukz sukal kg 4000 unalopoka use
Kwa hyo unataka upewe bure
Onyesha yakooooooo sasa
Kiusingiziii😅
Ss acheni kusifia watu fanya kazi ujipe heshima bila kusifia watu
Anachokisema doto n kweli kigambon Kuna mijengo w a mwijaku ukasome na uwa awayangaz I kuwa nmejenga xo😂😂😂😂😂😂
Niakukubali saaaana😮😮😮
Sasa naye kabinga rangi gani hiyo
Wivu ni mbaya sana haya endelea kulala chooni
Balaaa😂😂😂😂😂
Wew unayo acheni wivu tafteni ela
Tanzania yangu mweee😂😂
We fala acha wivu😂😂
😂😂 kama sckakaah
Yeye Kapuenda ,nene jenga wewe.kila mtu anachokipenda.
Toa kwanza hayo mapete
ila waja wana maneno...ama kwer wivu mbaya sana tutafute hela vijana tuache makasiriko
Mm namshangaa sana mwijaku na kiki zake ,hiyo nyumba ni ya kawaida mbona kiki sana au ni ushamba
Sio ushamba yule anatafuta content ili azidi kutajika kwako inaweza ikawa ya kawaida lakini kwake ni hatua kubwa sn na ametuonesha ili 2zidi kumzungumzia kama hivi sasa
Karibu Canada na aap ipoo ninjaa
Wapake haoo una usemi wako awashibi mpaka wapinde mgongo😂😂😂😂
Uyu Sasa Ukimuona Unajua Amejaa Wivu Inje Moyoni Mwake Anajua Kama Mwijaku Kapga Atua Jamani Watanzania Mtu Yetote Mwenye Akili Timamu Aliepanga Anaeishi Nyumba Za Kupanga Mwenye Familia Yake Akuna Aibu Naludia Akuna Aibu Kama Mwanamke Kukwambia Mwanaume Kua Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Apo2 Mwenye Akili Anakubali Kama Kijana Akijenga Mpe Sifa
Tuonyeshe ya kwako iliyochafua kiwanja,kweli mmekereka
Wacha wivu tia bidii,be focused and invest
bola mwijaku kuliko ww una olala kweny vuru
Wanaume wa dar bana uwa sijui akili hamna alafu kuna watu wanasema dotto ana akili kweli!?? Mtu anaishi ukweni na haoni ata aibu
Tuoneshe Yako sasa
😂😂😂😂😂 wanaumia sanaaa ukipaka mafala wasio jielewa mafyoooo
5:08 PICHA MSECHU 😂😂
kusema ukweli mwijaku kakosa tu la kuongea kwa peter msechu,maan binafs yangu naona kwa msechu ni pakali kuliko kwa mwijaku
Tatzo akili zetu zpo kwny gorofa tuu nikali Peter msechu nyumba kali sanaaa ila Mwijaku alikuwa naharaka
Kwel kabis 😅😅😊😊
Vitu vya mahana hamvipi sapoti wapuuzi ndo mnawapa time kuna watu wapo wanaitaji kufikiwa watanzania wawape msahada nyinyi mpo na wapumbavu tuuu
AMBA SADA ila dotto😂😂😂😂
Hivi Dotto anajua maana ya bungalow au anaongea tu? Muonyesheni bungalow inavyofanana anyamaze.
Dotto anaakilisana mwijaku hajanfaya kama mwanaume
Kweli wajinga ni wengi Sasa ana akili Gani teja huyu anaishi ukweni
Kweli kabisa nyumba yapita msechu kali
Povu ilo mzee
Minaomba tumpongeze Mwijaku kwa alichokifanya sema apunguze sifa
Hahahaha hii wiki mmetupotezea mawazo yakuwanza Anda za wanafunzi
Kkk😂 Tanzanianos hiiii Falam muito
Huna nyumba
Tumewajua mmepatakiki za kula mb zetu povulinakutoka na jasholameno latiririka nawewe unaakiri unajisnika mtandaoni kumponda mwanaume mwezio mishipayashingo imekusimama kama umepigwanashoti ya umeme😂😂😂😂😂
OYA NYUMBA YA PETER MSECHU NI MFANO WA KUIGWA YANI Mwijaku BADO SANA KUMFIKIA PETER
Doto acha zalau kaka😂
Huyu mwandishi hamna
Nyumba ya aristote na msechu
WIVU WIVU WIVU WIVU WIVU WIVU UTAWAUWA
Dotto unamdomo san
Mmmmmm😂😂😂😂😂😂 so pw
Kukù ww muache mwijaku wetu coco ww
Acheni wivu si kajenga lakin