Ukweli wa kutisha na uliojificha wa biashara ya silaha duniani | The Classroom

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...

ความคิดเห็น • 85

  • @HusseinAli-g9w
    @HusseinAli-g9w 4 หลายเดือนก่อน +17

    Wa kwanza leo ni kutoka zanzibar
    Sns mupo juu sana
    Halla👋

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 4 หลายเดือนก่อน +9

    Pia Ally tuandalie makala kuzihusu BlackRock,State street na Vanguard jinsi zinavyo control asset za makampuni mengine makubwa duniani na jinsi zinavyoendesha chumi za dunia

  • @richardomondi3107
    @richardomondi3107 4 หลายเดือนก่อน +3

    Uko na kitu ndani Yako ambacho ni Cha kipekee.. congratulation my bro Ali masubi💪💪

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka Ally Utatisha sana nilikuwa na hamu sana ya kuijua Industrial military compex.Barikiwa sana Ally

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 4 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera kaka Ally Masubi kwa kutupa madini kutokea SNS.

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤I say sns mnaupiga mwingi sana. Keep going. My favourite online channel. Love from Kenya

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 4 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa hapa bwana Masubi hapa umekuja kama Don Yen mzee wang kwanza saut umeipangilia vizuri si kama zamani ulipokuwa ukitoa makala fupi mzee, mimi kama Chair Man wa GPS nakupa nyota 5 bro big up kwa team sns mnatisha saaana 🎉❤️ 🌹

  • @anny19988
    @anny19988 4 หลายเดือนก่อน +4

    Watanzania tutulie. Tutulie, anaehubiri demokrasia akahubiri Saudia huko atukomee😂😂😂

  • @nassoraly5438
    @nassoraly5438 4 หลายเดือนก่อน +6

    Marekani uyo ndo mnuafaika no1

  • @alexlucas2099
    @alexlucas2099 4 หลายเดือนก่อน +3

    Marekan ndio mnufaika no 1

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 4 หลายเดือนก่อน +4

    Unyamaa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nickbrown8350
    @nickbrown8350 4 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa anajua

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 4 หลายเดือนก่อน +2

    #SNS Atujawaifeli mwnang #MASUBI kipindi cha kinyama 🔥🔥kizazi kabisaaa

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 4 หลายเดือนก่อน +4

    Marekani, Russia,china, UK,na ujeremanii ndoo waleta balaaa😢😢😢

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 4 หลายเดือนก่อน +1

      Unajua wanao leta balaa asaa hapa duniani, na sie tuna wajua

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz 4 หลายเดือนก่อน +2

    Proudly SNS

  • @ReyzDon
    @ReyzDon 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ali simulia kawada Bhana ndio inakuwa poa Zaid

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 4 หลายเดือนก่อน

    YAKOBO.4:1"Vita vyatoka wapi? na mapigano yaliko Kati yenu yatoka wapi? Si humu, katika tamaa zenu zifanyazo vita katika viungo vyenu?"

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sio kwa ubaya lakini bro ungebakia kuwa muandaaji na mtayarishaji ila kusimulia nadhani kuna test flani hivi ikakaa hapo ingechangamka zaid sio kwa ubaya lakini

    • @BARAKA-ns3jv
      @BARAKA-ns3jv 4 หลายเดือนก่อน +2

      Angebaki sky mwenyewe,au wamtafute mtiga abdallah wa story book zamani au ajifunze jinsi ya kusimulia

  • @GABRIELGEORGE-qq1nj
    @GABRIELGEORGE-qq1nj 4 หลายเดือนก่อน +3

    SNS NI JITU KUBWA SANA, MUDA UTAONGEA TU KUDADADADEQ

  • @dereckdavid9609
    @dereckdavid9609 4 หลายเดือนก่อน

    this is content!

  • @MohamedAhmada-ie7ke
    @MohamedAhmada-ie7ke 4 หลายเดือนก่อน +3

    Alafu linatokea jitu lina anza kuwasifia watu wa magharibi, haswa hawa marekani, yani sjui nalionane jitu hilo

    • @jerryndondole1965
      @jerryndondole1965 4 หลายเดือนก่อน

      Huwaga napata shida juu ya uelewa zao

    • @LeandreCelestin
      @LeandreCelestin 4 หลายเดือนก่อน

      Tulia ujui kitu pumbu wewe

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 4 หลายเดือนก่อน

      @@LeandreCelestin ndio nyie awo tunao waongelea mshoga mkubwa wee

  • @AnjelMwaluka
    @AnjelMwaluka 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ally kipenz changu ❤❤

  • @anny19988
    @anny19988 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna video George Bush anasema " war trumps peace" huku anafurahi😢😢😢 Hapo ndo uelewe eti vita ni bora kuliko amanii

  • @Muba-Gucci-TV
    @Muba-Gucci-TV 4 หลายเดือนก่อน +1

    Marekan na Urusi sababu ndo silaha nyingi zinatumika dunianj

  • @fredymwanzi4448
    @fredymwanzi4448 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mada nzuri,lakini usimuliaji wake haivutii.

    • @MBUZI-29
      @MBUZI-29 4 หลายเดือนก่อน

      Mwanaume unataka sauti ya kuvutia 😅😅😅 nenda kwa Diddy

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน

      ​@beberu29 😂😂😂 muhimu content mzee.

  • @daudijohn2881
    @daudijohn2881 4 หลายเดือนก่อน +1

    Speed kubwa sana
    Na hamna pause although content imetulia

  • @georgemasumbigana7434
    @georgemasumbigana7434 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna tofauti gani kati ya kombora na bomu ?

    • @visionstudios6804
      @visionstudios6804 4 หลายเดือนก่อน +4

      Kombora linarushwa kutoka kwenye launcher mfano RPG ama kutoka kwenye ndege, Ila bomu linaweza kurushwa kwa mkono ama kutegwa.

  • @HamzaMbasha-xs2ky
    @HamzaMbasha-xs2ky 4 หลายเดือนก่อน +2

    Vita ni biashara kubwa

  • @hansiempire5093
    @hansiempire5093 4 หลายเดือนก่อน +3

    Good Ally ..

  • @JuliusKiria-j7i
    @JuliusKiria-j7i 4 หลายเดือนก่อน +2

  • @Daudimakaza-s1v
    @Daudimakaza-s1v 4 หลายเดือนก่อน

    Mislaamu mijinga inapenda wtu wtoe tarfa za kushnda ht kma awakushinda

  • @williamkisinga3618
    @williamkisinga3618 4 หลายเดือนก่อน +2

    Classroom iendelee tafadhari

  • @browndee205
    @browndee205 4 หลายเดือนก่อน

    Ongea kawaida tu brother mbona km unapanga sauti sana

  • @michaelboaz8108
    @michaelboaz8108 4 หลายเดือนก่อน

    Safi

  • @abdullahmapesa
    @abdullahmapesa 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nataka jina lako la Instagram

  • @yarmfayce167
    @yarmfayce167 4 หลายเดือนก่อน

    Umesema kweli #AllyMasubi.
    Asilimia kubwa U.S ndiyo nchi namba 1 inayohusika kwa karibu katika kila mzozo kote duniani. Na bila shaka ndiyo ya kwanza inayonufaika kwa mauzo makubwa ya biashara ya silaha duniani, kisha ndo wengine wanafuata kama tunavyoona katika ripoti ya SIPRI.

  • @nkeshimanayuda1115
    @nkeshimanayuda1115 4 หลายเดือนก่อน

    Marekani ndio chanzo cha hayo yote

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 4 หลายเดือนก่อน

    Biashara ya siraha ina Siri nzito saana maana huwa wanatengeneza ili wauze

  • @anny19988
    @anny19988 4 หลายเดือนก่อน +4

    Na mfaidika mkuu ni Marekani. Ukitaka kuwa salama hapa duniani usimsikilize Marekani yaani usimsikilize Marekani kabisaaa. Marekani anachotaka ni vita ili imuingizie pesa. Nyie mfe mfe hajali anachotaka ni PESAAA.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน

      🙏🏾

    • @jerryndondole1965
      @jerryndondole1965 4 หลายเดือนก่อน

      Henry Kissinger anasema "To be an enemy of the US is dangerous, but to be a friend is fatal"

    • @anny19988
      @anny19988 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@jerryndondole1965Kabisa angalia Ukraine

  • @fallykhan2383
    @fallykhan2383 4 หลายเดือนก่อน

    Hata kuchanganya picha tu umeshindwa😂

  • @HassanhaidaryKamana
    @HassanhaidaryKamana 3 หลายเดือนก่อน

    Tuambie droni zinapiga nyumba ya Netanyahou ulinzi Wa anga umelala

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 4 หลายเดือนก่อน

    MASUBI UNA KITU, UTAFIKA MBALI🤘

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน

      Ahsante kaka.endelea kusaport sns.

  • @Daudimakaza-s1v
    @Daudimakaza-s1v 4 หลายเดือนก่อน

    Lichanel la kisram

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ila itakua unyama sana kama utakua unawasilisha content zako kwa ku behave na ule uhalisia wako tuliokuzoea nao,, sio lazima wote msound km msomaji wa habari kutoka bbc swahili au doch vere🙌in all and all content kali mzee

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน +1

      🙏🏾

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hii ni makala kaka analysis itakuwa inaendelea kama kawa

    • @youngbona3804
      @youngbona3804 4 หลายเดือนก่อน

      Bless sana mkar✊🏽✊🏽✊🏽

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 4 หลายเดือนก่อน

    Bila American kuangamia kwenye huu ulimwengu kamwe Dunia haiwezi kuwa salama

    • @BARAKA-ns3jv
      @BARAKA-ns3jv 4 หลายเดือนก่อน

      Ulimwengu ni sayari zote ,nyota na vingine tusivyovijua Kwa hiyo neno elimwengu Lina maaana Pana ila sisi watanzania tu ndo tunaharibu maaana

  • @anny19988
    @anny19988 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna Channel inaitwa Lena Petrova waliupload video inaelezea jinsi gani vita ya Ukraine imewaingizia faida kampuni za silaha hatariiiiiii.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน

      😢😢

    • @anny19988
      @anny19988 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@thefactbook...1607Kafatilie hiyo Channel ujionee mwenyewe

    • @jerryndondole1965
      @jerryndondole1965 4 หลายเดือนก่อน

      Thanks kunijuza naenda kufuatilia

    • @anny19988
      @anny19988 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@jerryndondole1965All the best. Ni vyema tufuatilie yanayoendelea duniani ili tusije kurudia makosa ya wengine

    • @anny19988
      @anny19988 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@jerryndondole1965Na kuna Channel inaitwa Geopolítical Economy Report iko vizuri

  • @KadriNgomba
    @KadriNgomba 4 หลายเดือนก่อน +1

    ALI MASUBI MBONI UNANIANGUSHA BRAZA,MAANA NAKUFAHSMU WE NI MCHAMBUZI MZULI WA MAMBO AYO ILA MAKALA ZAKO AZIMA MVUTO SABABU HAUCHAMBUI BALI UNAELEZEA

    • @jerryndondole1965
      @jerryndondole1965 4 หลายเดือนก่อน

      Ally ni mzuri sana kuelezea na Dj Sma na Henry ni wazuri sana kwa kuchambua

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน

      Uchambuzi utakuepo kama kawa hii ila hii ndyo zone yetu karibu The classroom

  • @ahmedshariffu2108
    @ahmedshariffu2108 4 หลายเดือนก่อน

    Makala nzri kwa mujibu ya makala yako tyri tunmjuwa mchawi wa Ili jnmizi ni mmarkni ndio black mamba mkubwa haha