Iran yazindua meli kubwa ya kivita kwaajili ya kubebea drones (Drones Carrier)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii - / simulizinasauti

ความคิดเห็น • 176

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +23

    WAAJEMI HAWAKOSEI kabisa🎉🎉

  • @zainulabidiendhulfikar7398
    @zainulabidiendhulfikar7398 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Kwasis waislm hatushangai kwan allah ametwambia katika waumin kuna wanaume wakisawasaw ......,

    • @raymrash
      @raymrash 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Uislamu umeingiaje hapo

  • @TheStreams-i4s
    @TheStreams-i4s 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

    Kwenye vitisho pia niushindi, Asante IRAN 🇮🇷

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +26

    kazi nzuri Kwa Iran 🥷🏾🥷🏾🧠
    Iran sio omba omba kama isreal 😅

    • @سعدههوام
      @سعدههوام 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +11

      Kabisa 😂😂 Iran 🇮🇷 kiboko yao

    • @mchjohnmasegese8193
      @mchjohnmasegese8193 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Irani kiboko Yao wakati ilidundwa na Israeli na haijajibu tena

    • @SAYMOEKARIM
      @SAYMOEKARIM 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      @mchjohnmasegese8193 tuonyeshe video za Iran akipigwa ?! tuonyeshe mvua ya mabomu uko TelAviv 😂😂😂

    • @hassanmlawa-o6s
      @hassanmlawa-o6s 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      ​@@mchjohnmasegese8193Israel ni mtoto kwa Iran tambua hilo

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Wangap wame uwawa hapo hapo Iran na wame tulia tuuu maana yake nini Sasa pia ubalozi wake kulipuliwa Syria na viongozi wame kufa nao wame tulia tuu maana yake nn xx

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

    Huyu jamaa noma

  • @mwanakitimbaraka2574
    @mwanakitimbaraka2574 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +17

    ALLAH awalinde

    • @aminaali792
      @aminaali792 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      Ameen yaa Rabbi🤲🏽🤲🏽🤲🏽🤲🏽

    • @raymrash
      @raymrash 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 Hezbollah shwaa, Hamas shwaaa, Syria shwaa ...bado mnaomba ulinzi!?

  • @ZakariaAbdalla-j8o
    @ZakariaAbdalla-j8o 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    nilikua nakusbr sana ally masud angalau uitaje iran yaliojiri karibun twaskia kwa vyomb vyemgne tu asante

  • @RDaN420
    @RDaN420 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    #SaluteIran
    #RespectIran

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Iran haigusiki. Wangekuwa wameshaipiga siku nyingi sana

    • @raymrash
      @raymrash 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂... jiandae kustaajabishwa

  • @mahadmatebe9775
    @mahadmatebe9775 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Wakwanza leo

  • @AbdillahSuleiman-l6p
    @AbdillahSuleiman-l6p 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Wanaumee

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    AHSANTE SANA SOR.

  • @ShijaNshunju-s4z
    @ShijaNshunju-s4z 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Munaipenda sana ilan nakipamba lakin ilan bado sana kuwa taifa kubwa

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Jidanganye juzi tu ila china namba moja kiuchumi

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      mbona sasa mpaka sasa ni taifa kubwa kijeshi

    • @fikirininasoro5272
      @fikirininasoro5272 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Unajidanganya ww we unafkiri Iran ingekuwa nyonge kihivyo Marekani na Islael wangesha ishambulia toka zaman na kuuangusha utawala wa khamenei ila wanaujua moto wa Irani

    • @jumakibwana1810
      @jumakibwana1810 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Je unaeza ifananisha Iran na inchi gani Africa

    • @ShijaNshunju-s4z
      @ShijaNshunju-s4z 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @jumakibwana1810 uchumi wa ilan unazidiwa na afrika kusin

  • @RajabuAbdallah-yp5dp
    @RajabuAbdallah-yp5dp 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

    Hamakatiki Huyu Mwanaume

    • @mchjohnmasegese8193
      @mchjohnmasegese8193 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Akidundwa Huwa mnalia Lia.

    • @RajabuAbdallah-yp5dp
      @RajabuAbdallah-yp5dp 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @mchjohnmasegese8193 labda we mgeni siasa za kimataifa, km kupigwa angepigwa siku nyingi

    • @hassanmlawa-o6s
      @hassanmlawa-o6s 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Angekuwa kashapgwa siku nyng tena anavyoitimbwiza Israel kupitia makund yke

  • @FxL_87
    @FxL_87 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +9

    WAMAREKANI WANAIPIGA VIKWAZO LAKINI IRAN HELA YAKE INASHUKA THAMANI NA MAMBO YAKE YANAENDA KAMA KAWAIDA NANI BINGWA 😂😂😂😂

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      sasa ule si ulikuwa ni mambo ya uwongo uwongo tu

  • @fadhilamour836
    @fadhilamour836 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +9

    Tuache ushabiki silaha za Iran ni bora kuliko Marekani, mwaka jana tumeshuhudia mengi yakiwemo:
    1) Houthi kudondosha drone 13 za MQ-9 Reaper za Marekani.
    2) Houthi wameidungua ndege ya kivita ya Marekani ya F-18
    3) Houthi wameishambulia aircraft carriers za Marekani ambazo ni USS Harry Truman na USS Gerald R. Ford
    4) Iran alirepua mfumo wa ulinzi wa anga wa Marekani wa THAAD katika shambulio lake la pili la (True Promise 2)
    5)Hesbollah wameharibu mifumo ya anga ya Israel ambayo ni Iron dome, david sling na arrow 3
    6) Hamas wamerepua vifaru vingi vya Merkava kwa kutumia mabomu ya sukari.
    Mwisho: Marekani yupo vizuri kwa propaganda lakini kwa silaha hamna kitu, hata hivyo silaha za Iran ni rahisi na zina uharibifu (kali).

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      Kweli kabisa
      🙏🍯✋✋✋

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

      Na ipo chini ya vikwazo.Tatizo west zinajipa sana promo.jamaa wanajitambua hongera wao na korea kaskazini. Sisi tz na africa tuzidi kuomba mikopo na misaada tu.inazidi kutulemaza tu.Tupo chini yao.

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      hiyo ni sera ya china kitu cha elfu 3000 kinalipua kifaru cha milioni 40😅😅

    • @yuscoramadhan8462
      @yuscoramadhan8462 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Hii ni kubwa mnoooo

    • @PUTINN365
      @PUTINN365 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Ujengewe sanamu

  • @muhitira
    @muhitira 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    IRAN Cuma ❤❤❤

  • @Allyiddsud
    @Allyiddsud 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    ❤❤❤ viva

  • @SeifChima
    @SeifChima 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mbona kinyonge sana

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Pro west

  • @IbrahimMachano-x6x
    @IbrahimMachano-x6x 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wengi tunafeli tunaeka udini badala ya kuwapa hongera

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga6687 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kweli nch maskin kaz tunayo kuzuiwa dawa za ukimw tuna limeliaa ona hawa jamaa wanaongoza kwa vkwazo dunian lkn bad Wana endelea kubuni madude🙆

  • @anny19988
    @anny19988 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Na wana vikwazo. Sisi kukatiwa misaada tunalalamika😂😂😂😂.

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla7410 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Safi 😂

  • @dullah-f7p
    @dullah-f7p 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    tanzania hatuna makombora au air craftcarry

    • @TravisAbu
      @TravisAbu 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mkajambe mfe

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Viva 🇮🇷

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Vikwazo ni Africa tu lkn sio Iran na wengne

  • @mapundarajabu5416
    @mapundarajabu5416 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Awa jamaa wanavikwazo vingi ila bado wanasonga sisi kunyimwa Masaada tuko hoi

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Waajemi watu wasije kuwasahau ni watu wenye akili nyingi sana

  • @Chw_Kdmn83
    @Chw_Kdmn83 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Masubi ingelikua meli hiyo ni ya marekani au urusi ungelisema "ni ya kisasa walivyosema wenyewe"

  • @ZUWENADELLOW
    @ZUWENADELLOW 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    🎉🎉🎉

  • @muhamedmsomally4175
    @muhamedmsomally4175 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Marekani ajipange

    • @InnocentZamkulu
      @InnocentZamkulu 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwalipi? Usione Israel kairipua iyo meli 😂😂😂

    • @kkhalifairumba2932
      @kkhalifairumba2932 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      ​@@InnocentZamkuluisrael alifanya nn alivyoshambulia iran na itan alifanya nn ndani ya irael angali video iko you tube usikariri kuambiwa

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      ​@@InnocentZamkulu
      🦍🦍🦍🐒🐒🐒🐄🐄🐄💯😂😂😂

  • @mozamoza3960
    @mozamoza3960 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Trump Ata kufa kwa presha

  • @DaudiMalema
    @DaudiMalema 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hizi ni nchi za kale sana alafu hawa jamaaa ukisoma historia muajemi alikuwepo miaka mingi sana ya kale BC koo hata ki technology wako vzr sana na ndio maana Israel wanaumiza kichwa sana jinsi ya kumshambulia

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Muajemi. Kashindikana 😂😂

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Dunia inaendelea kuchangamka kwa kasi kwelikweli

  • @Awakening-w5b
    @Awakening-w5b 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tunajiandaa Kwa vita vya tatu vya dunia

  • @AsiaAsi-s3u
    @AsiaAsi-s3u 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mimi natamani wafuge nyuki kwenye mzinga ,halafu wakamwage izrael waenee nchi nzima,maana naona kila adhabu haiwatoshi

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    🎉

  • @hamisiomary8681
    @hamisiomary8681 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Marekani kazi anayo 😅😅😅😅😅

  • @mapundarajabu5416
    @mapundarajabu5416 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Jamani muda ndio huu tuandamane tumuombe mchina alete dawa za ukimwi

  • @MarineVeda
    @MarineVeda 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Alisema ataipiga islael au vipi?

  • @nellymans-f1v
    @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    yani leo hii unampania mwenzako kumshusha na vikwazo kumbe mwenzako nae anakuandalia drone 😅😅😅tena sio drone tu na meli zake zinazo kusogezea pale ulipo ili wakupate tu kama kawaida haya sasa acha sisi tutakuwa kunatazama kama kawaida.ila mimi naona kuna makombora ambayo lazima yatakuwa yanafika marekani ??

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sio tishio kwa Israel tu ila kwa mfadhili wake mmarekan na adui zake wote

  • @rithlaam5829
    @rithlaam5829 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    USS F Kennedy imestaafu ko so 11 tena

  • @mutatashanny1
    @mutatashanny1 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Ni kuutia tu kasi< atapigwa mtu tako tisini per second!!

  • @diehansi
    @diehansi 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Geographical ya Iran inakuwa ngumu kuishambulia japo Iran anajiwezaga miaka yote

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      anajienga siku zote kivita😅😅atakae jichanganya lazima kitamlamba tu kwa njia yoyote

  • @khalidibero
    @khalidibero 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Vikwazo vimewafunza vingi ajabu sisi huku tumeanza kutafutana maana Trump anakata misaada afrika na tuna karibu kilakitu

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mie huwa naona irani inae nyenzo ila hawaga akili kwenye miti hapana wajenzi

  • @nellymans-f1v
    @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    haya sasa huo ni ugunduzi wa iran kwa drone zako hakuna nchi yoyote duniani ambayo imesha fanyaga ugunduzi wa hii kitu.ila hii meli inamambo mengi 🤣🤣

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Mashallah Hapa sasa TRUMP ajipange akitaka kuishambulia Iran ajue nini kitaenda kumtokea

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Unajidanganya sana yaani irani ipambane na Marekani

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Watengenezeee nyuklia kama kiduku trumpu ataogopa tuuu

  • @bishweko
    @bishweko 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Na eti hapo tunatangaziwa kuwa Iran imewekewa vikwazo Kila Idara😂😂😂😂😂😂 swali ni je kabla ya Marekani kuwa super power na Iran ikiitwa Pashian kingdom waliishi vipi walimiliki vipi utawala wao? Na ndio eti Sasa washindwe kwa jina la Vikwazo

  • @bigtengwemela3153
    @bigtengwemela3153 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Ilan Kwa marekan kiukwel bdo sana

    • @HammyJey
      @HammyJey 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Ilan ndy nchi Gani?😅

  • @Elimishatv
    @Elimishatv 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    🇹🇿

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee01 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sisi tuambie uchawa tu na utelezi,watu walikua sirias na hii dunia hao.tena na vikwazo juu.sisi tumegoma kabisa kuacha uboya.

  • @tekashisixtynin9threewithd727
    @tekashisixtynin9threewithd727 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Marekani alishatengeneza hizi kwankupewa tecnology na ISRAEL miaka ya 1980 😂😂😂 iran ndo anaanza tengeneza izi NAVY SHIP 2025😂😂😂

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wacha tuone

  • @FredWabwire-w3q
    @FredWabwire-w3q 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Akunakituhapo nimajigambotu, Ata wanajuwa wawezipigana na marekani

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      si Wanakula kichapo huko yucreni, Gaza, Yêmen, na vile walikimbia, Afganistan, huko kwa Taliban, Sasa ubingwa Ganai wa Marikani unaesifia hapo😂😂😂😂😂😂😂

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      shida sio mpaka mpige marekani ila shida inakuja pale marekani itakapo mshusha marekani kutoka pale juu mpaka kufanana na yemen.maana najua pale mashariki ya kati kama kuna chimbo la marekani lisilo julikana na iran

    • @SeifChima
      @SeifChima 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mtoto wake ndekaji kala kichapo na wahuth wake wayemen na makomando wa gaza kakubali yaishe vita ni malengo sio kuua raia wasio na hatia wazee wanapiga moyo kambi ndege za kizazi cha tano kanyosha mikono Palestine 2 simchezo😂😂😂

  • @martinroman1273
    @martinroman1273 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Iran kuna makundi mengi hawana umoja kama hamas

    • @aminaali792
      @aminaali792 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Alie kwambis HAMAS hawana umoja nani😅

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@aminaali792 muulize kwani anae weka ushawishi kwa hamas ni nani

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hivi huyu Netapaka muda wote anawaza kutoa roho za watu daaah ila tuko Tofauti Sana. Yaani hapa kama Mimi kumtukana mtu naona kama namtoa uhai yeye anawaza kuua ndo apate Amani kichwani.

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Alon mask anatengeza robot marekan hukoo wesubir msiwaone marekan wajingaaa😂😂😂

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      sasa kwenye vita usije ukajaribu kuweka robot maan robot ni kitu chepes san n nirahis kushindw kufany kazi

    • @CantonaKunona
      @CantonaKunona 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @nellymans-f1v lakin wanajesh wangu hawafii wako wanapungua elewa neno robot alf akosei mjomba kasetiwa🤗

  • @CryptoCaptain-o6s
    @CryptoCaptain-o6s 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tuletee technology ambayo Soviet union walijaribu kuiba ya Marekani

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      bomu la kufata

  • @omondiowino7875
    @omondiowino7875 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Wanapoteza time...si waanzishe vita... Israel bado inamsubiri ajichanganye 🤣

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

      Unaongelea Israel wakati baba wa huyo Israel anaempa jeuri kasema akifa ni Iran kahusika, nyie mpo Dunia gani hata mnashindwa kufuatilia habari? Baba wa Israel ambae ni Marekani anamjua Iran nani

    • @سعدههوام
      @سعدههوام 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

      ​@@minicooper9642iyo ana akili acha nanae anajuwa iran aitegemei msada wowote kama ao mashoga wakizayun😂😂

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @minicooper9642 Iran mwenyewe tangu Israel imtandike pamoja na zile air defence system zao za china na Russia.. mpaka Leo ameshindwa kujibu pigo Hilo...kazi ni kelele Tu... walisema watajibu vipi mbona hawafanyi chochote 😂😂😂

    • @EriyaRichard
      @EriyaRichard 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Wewe umepigana na nani uchumi wako2 una kushinda kolo kweli wewe

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

      ​@@omondiowino7875mbona walijibu ukuona wakasema Iran wameingilia ugomvi😂😂

  • @Georgebush-g3r
    @Georgebush-g3r 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Naona wengi mmesha Anza kumponza Iran et marekani ajipange😂 kwa hichi ki sikeretoni kimoja? Daah huyu kwa marekani mnaenda mbari sana 😢 izilaer tu inatosha kuigeuza Iran ghaza ngoja wamalizie hizo nini zao kutengeneza halafu walete mrejesho kama tayari wako ft ipigwe mechi Moja ya kibabe 😮😮Kisha ulimwenguni kote zisikike yowe play for Iran 😡 hizi kelele zisiwape wazim watu wanajihami 😡🙌

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😅😅 israel na iran au umesem israel na baba yak marekani wapigane na iran hapo saw ila sio israel vs iran kwa maan israel bado bado kupmbn n iran bila kumtegemea marekani..

    • @fikirininasoro5272
      @fikirininasoro5272 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ujielewi ww ndio unafkiri Iran ingekuwa nyonge kihivyo Marekani na Islael wangesha ishambulia toka kitambo na jinsi walivyokuwa awaipend ila wanaujua moto wa Irani yan kitanuka tu

    • @Georgebush-g3r
      @Georgebush-g3r 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@fikirininasoro5272 Sasa wanashambulia Nini wakati Irani mwenyewe kasha jichokea kiuchumi😂😂 nikuharibu tu Risasi🧐 ndio maana wanacho kifanya wakigundua tu Kuna kiongozi ana mdomo sana Wana mshugulikia ,akiibuka mwingine ana kelele Wana Luka nae ukiona wame muacha ujue wamegundua nyuki wa mashineni hana madhara🤭

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mbona mechi imeshapigwa na hao Israeli wako walipigwa vibaya mbona hawakuigeuza Gaza ?

    • @Georgebush-g3r
      @Georgebush-g3r 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@Hussein-gx4qu izilaer aliamua kuiacha Irani ipenyeze tukombora twake dhaifu ili ipate sababu ya kuisambaratisha kabsa😒 sema Kuna namna wakaona Hawa tukiamua kuwa piga kwa pamoja hamasi Hezbollah na Irani tutazua taharuki kubwa Dunia 🥱 ngoja kwanza tuwatie adabu Hawa majirani🤣 ndo vile ilivyo fanywa gazha na baadhi ya maeneo ya Lebanon Lile ni onyo tu we huogopi🤣

  • @martinroman1273
    @martinroman1273 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Iran kuna makundi mengi hawana umoja kama hamas, raia gaza na hamas ni kitu kimoja, mwenye siraha haonyeshi iran kila siku inasema itaiangamiza ezrael wayaudi kauli yao moja toka kwenye tourati aangamie kwanza yeye anayetaka kuiangamiza ezrael, palestina naye anasema myaudi ana laana, myaudi anasema palestina ana laana laana ni ya kutomwamini kristo pekee wakistopisha mapigano ndipo yesu anaonekana mfalme wa amani hamas na wafungwa wa kiyaudi wanapeana zawadi

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Kafirwe na Israel 🦍🐒🐕💯

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      rudia tena