umenena kweli mama, vyuo vyetu Kila mwaka vinazalisha wasomi wazuri tu, lakini kwenye kuunda serikali watu ni walewale. Tena hata akifanya madudu ya wazi hatoki anahamishwa tu, hapo mimi ndiyo nachoka sana..!!! Halafu wafanyakazu wa uma Kila mwaka maslahi yao ni kupigwa changa la macho. Kipaumbele ni mawaziri, wabunge, na wanajeshi, waliobaki wote ni kupambana na kodi, tozo, na bei za bidhaa muhimu...ewe Mungu sikia kilio chetu na utujibu kwa wakati... in-shaallah..😭😭😭😭😭😭
Kwanza kura zikishapigwa zihesabiwe kwenye kituo na hakuna Askari yeyotenkuonfoka na masanduku ya kura. Majibu ni kwenye kituo tu. Ole wake Askari yeyote atakayechukua maboksi kituoni Atlanta joto la jiwe.
Mm mmhh jaman mwagen sera kumtukana Tulia SI vzr iv nyie mgekuwa madarakan kila mtu angekua nakaz .huo niuongo ln waliwatoza wajane huo unafiki tuliwanamkimbia anawafanya Nini achen izo
Sahihi
umenena kweli mama, vyuo vyetu Kila mwaka vinazalisha wasomi wazuri tu, lakini kwenye kuunda serikali watu ni walewale. Tena hata akifanya madudu ya wazi hatoki anahamishwa tu, hapo mimi ndiyo nachoka sana..!!! Halafu wafanyakazu wa uma Kila mwaka maslahi yao ni kupigwa changa la macho. Kipaumbele ni mawaziri, wabunge, na wanajeshi, waliobaki wote ni kupambana na kodi, tozo, na bei za bidhaa muhimu...ewe Mungu sikia kilio chetu na utujibu kwa wakati... in-shaallah..😭😭😭😭😭😭
Umeongea vzr mama achana huyu mjinga anaye beza maneno yako
Viongozi gani hao wanasemwa we lifisiemu pita kule .acha tusikilize
Hata mkoa wa songwe walienda wana ccm kuwachangisha wamama wajane pasipo huruma mpa kwa vikongwe kuchua hela
Kwanza kura zikishapigwa zihesabiwe kwenye kituo na hakuna Askari yeyotenkuonfoka na masanduku ya kura. Majibu ni kwenye kituo tu. Ole wake Askari yeyote atakayechukua maboksi kituoni Atlanta joto la jiwe.
Acha unafiki kajipange
Hakuna lolote kajipange vizuri .Hoja zakuwasema viongozi siyo Sera ujinga ndiyo mkubwa
Kwaiyo wewe ni chawa wa viongozi?
Pimbi katika ubora wako
Mm mmhh jaman mwagen sera kumtukana Tulia SI vzr iv nyie mgekuwa madarakan kila mtu angekua nakaz .huo niuongo ln waliwatoza wajane huo unafiki tuliwanamkimbia anawafanya Nini achen izo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂