Part 2_USHUHUDA WA PETER RASHID ALIYEKUWA SHEHE SHARIF ABUBAKAR MAJINI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Amen hadi chozi lanidondoka kwasababu nampenda Yesu. Yaan Yesu ni mkuu sana kuliko vitu vingine vya aina yoyote. Yaan Bwana Yesu ni mkuu kuliko Miungu yote. Wala hakuna wa kumfananisha na Yesu ulimwenguni mwote. Amen.
Amen tunampenda sote
BWANA YESU ASIFIWE SANA.
NAWASLIMU NYOTE .
NIMEBARIKIWA SANA NA HUO USHUHUDA, MUNGU AWABARIKI.
Amen 🙏🏿
Yesu ni njia na uzima nitakuwa nawe Yesu wangu siku zote za uhai wangu
Nani kama YESU hakuna bwana. ..
YESU akikuhitaji anakupata popote pale... Barikiwa mtumishi
Yesu tufunike na damu ya yesu hii dunia imejaa maovu😢
Kwa ushuhuda huu wakristo tumshukuru sana Mungu wetu Maanandiyo Mungu wa kweli wapendwa tuongeze biidi tuta,barikiwa sana
Hongera kaka kwa kupata Neema ya Wokovu. Bwana Yesu apewe sifa.
Mungu atuepushe na atufunike na damu yake!🙏🏽🙏🏽
HALLELUJAH AND Glory be to God the Lord Jesus Christ may God bless you and Protect you and your family 👪 very interesting we need more of your Testimony
Peter Rashid,ubarikiwe kaka, lugha fasaha sana,wewe pia karama ya utangazaji pia unayo.
Yesu ni Bwana,majini walizuiliwa wote,ujumbe wa Yesu ukakufikia.
Hakuna kama Yesu,Atukuzwe milele.
Amen, Yesu ni muweza🙏kwa Yesu kuna raha tele
Waisilamu watapinga hii ushuhuda kwa sababu inalenga Imani yao
Natamani kwenda kanisani aliko Hakika Yesu Kristo atosha tu
Huyu mtumish ana ushuhuda mrefu tu,kaka Jaktan umesahau kumuuliza alisema walikuwa 8 wenzake 7 wte wamekufa amebaki yy peke yke,nini kiliwauwa hao wenzake?na hajaeleza jins walivyokuwa wanapinga ukristo na kutaka kuwauwa wale watumish wakubwa waliokuwa wakimtumikia Mungu kweli na wamesimama lkn walishindwa kuwauwa.
Ushuhuda huu mmeukatisha kaka Jactan bdo huyu mtumishi wa Mungu alikuwa na mengi ya kutueleza ili tujifunze na kuuthamini wokovu🙏
Ni kweli,ndio maana nikasema tutakuwa na mwendelezo
@@PromovertvTz sawa kaka Jackan🙏
@@joylynenalija4795 🛤️🏃🤲🤲🤲
Nimekukubali mtumishi unazidi kuniongeza Imani Kwa ushuuda mzuri
YESU NI TAA YA UZIMA DAAH ,NIMEBARIKIWA SANA NA HUU USHUHUDA
Damu ya Bwana Yesu mtakatifu, naomba utuokoe kutokana na maofu ya shetani Amina,
Power full testimony! Praise Lord God of Israel for might name of king Jesus Christ 🙏🙏
Bwana Yesu asifiwe. Ushuhuda mzuri ningeomba kama angerudi tena atoboe siri yote. Pia ushuhuda wa Omar jojo tungeomba bwana Jactan utuletee majaliwa. Asante
Yesu wewe ni Bwana.Utukufu ni wako Jehovah...ahsante kwa kutuokoa🙏
Amen tupee ushuhuda wote jamani tujue ujanja wote
Damu ya Yesu inaokoa Amen 🙏🙏🇰🇪
Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU kwa maswali uko poa sana
Mungu ni wa watu WOTE. Kwaio usiadaike ata wewe unaesoma text hii mungu anaweza kukusikia na kukutendea. Kikubwa ni IMANI....
dini nyingi ni UTAFUTAJI wa pesa. Cha zaid utanunua mafuta. Utatoa sadaka. utafulia na ndugu mchungaji anatajirika. SHITUKA. God is rich he dosen't need money. He need BELIVE. take that. Peaceeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Yani we need more episodes
Thank you very much Jactan God bless you.
Amen
Barikiwa sana kweli damu ya yesu usafisha kabisa amen
Yesu ni Bwana
Karibu katika jamaa takatifu
Asante Yesu kwakua wewe ni kweli yote
We need more this is not even close to what we wanna know
True
Powerful testimony
Thxs so much mchungaji jactan kwa watumishi tofauti tofauti wanatufundisha mambo ya manufa kwa roho zetu endelea hivyo hivyo Amen
Hongera saana kwa kumpata YESU. Kumbe tuache bla bla za wokovu.
Endelea ndugu ushapokelewa kwa YESU ni uzima
Asante kwa ushuhuda umenijenga sana.Hakika Mungu mwema
Thank u Juses
Mungu akubariki kwa ushuhuda mzuri
Ubarikiwe sana kwa ushuhuda wako na tunahitaji zaidi kuskiliza zaiidi
Nikisoma baba na mama nitapata nini?
Chekesha sana Peter.😂😂😂😂❤
asante yesuu🙌
Hongera sana Mchungajii kwa kipata neema ya wokovu.
Yesu atosha tu,, Hallelujah🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu ni mwema
Apostle una ushuhuda mrefu sana mbona kuufupisha
Ninachukuru kumuonatena mtumiski wa Mungu uchuhuhda wakemtamusana ubarikiwe
Amen YESU ANAWEZA
YESU NI BWANA AZIDI KUHIMIDIWA MILELE.
Mtumishi, Je, unakumbuka huko miaka ya nyuma wakati unatoa ushuhuda wa chanzo cha wokovu wako ulishuhudia kwamba Mke wako wa ndoa ndiyo chanzo na siyo hivyo unavyoshuhudia (sijui kama bado ungali na mkeo wa kwanza ktk ndoa; maana nalikuona ktk TH-cam ukifunga ndoa na kimwana mwingine kule SA).
Ubarikiwe Mtumishi.
Nilijua kuwa labda ni ndo tu nakumbuka hilo,Hii dunia bwana
eeh yn miaka 8 mtu anasoma uchawi kweli tunahitaji maombi jaman
Amen
God bless you
Mungu asingeweka msamaha,sijui ingekuwajewachawi watu wabaya saana
Mungu akuongose k wa maisha yako
Asante Yesu kwa wokovu
Huyu jamaa tapeli! Ukimcontact ataanza kumwambia umpatie majina yako kamili. Atakunasa na uchawi wake!!!!😊😊😊😊😊
Aaah Groly be to God
Mungu akuinue zaid
Yesu ni wangu
Nimejifunza mengi sana barikiwa sana Mtumishi
AminA kubwa
KWELI KWA YESU KUNA RAHA
MTUMISHI ANASIMULIA NA FLOW NZURI NA AMANI YA KRISTO.IMETAWALA
ASNTE KAKA JACTAN KWA USHUHUDA HUU
Hakika Mungu ni mkuu sana
Nimejifunza kitu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Haya mambo yanafanywa baadhi ya uchawi na Mashia wahindi Khoja wakifanya sehemu yao ya dini na hakuna anaweza akapambana nao kwa uchawi wao na itikadi zao mbaya na pesa walizanazo walizopata kwa uchawi. Wenyewe wanachukia na wanaweza wakaniua zaidi ya kunitenga kwa kuwafichua wenyewe wakiona hayo wakiyaona lakini wanafurahi wenzao kama hawa serikali ya Zambia kama hapa nilipo wanapambana na mimi wakiwa na uadui na mimi kama wale watu wa Afrika Kusini na uchawi na mabaya yao, na ukatili wao, kwa sababu ya mimi kuzaliwa kwa kasoro ya hulka za kike na jinsia mbili, na vile nilivyobakwa na watu utotoni, na vile nilivyosoma dini na nikasomeshwa kwa mwenyewe kutaka na Mungu kuniteua nikiwa nina jinsia mbili, na kwa mafundisho ya kweli ya Mungu inayoenda na maandiko niliopata ambayo nayofundisha na mafundisho ya upendo na ya kumrudia Mungu inayoendana na maandiko na imani ya kweli ya Manabii
Dah watu wanaumbuka
JESUS IS GOD
Yesu ni BWANA
Fundisha jinsi ya kukabiliana na uchawi wowote ule.
Jacktan yuko makini sana hasahau kabisa,ina wezekana ume someya utangazaji,nakama hawu kusameya basi uko vizuli kabisa uwa una wauliza yale ambayo tungetaka kuwa uliza.
Fanya basi kwa uhakika tone kama kweli au fanya lote
Hii dini haki haifai kabisa
Alete ushuhuda zaidi.🏃🏃
Haeleweki
Hizo hela zinavyoshuka inaogopesha
David Richard pia alisema shetan I ni kijana handsome boy hajabadlika toka alipofukuzwa mbinguni
Kwingine kote sawa. Hapo penye kukausha kuni hapo, na huyo mama hakuuwawa baada ya watu kumshuhudia ni mchawi....badala yake wakamshtaki, mmmmh.
Swali ni mbona Yesu huwa hawatokei akaawaambia hubiri Uislamu achana na uchawi.Ama Muhammad hawatokei kuwakanya?
Yesu huwaambia acheni uchawi hubiri Injili nitumikie mimi.
Jactan huu ushuhuda ndio uliishiaga hapa hapa.mpendwa haukuendelea??
Ndio umeishia hapo kwa sasa, mwendelezo bado
Yaani wanaweza kutoa pepo? Kivipi?
Tunaomba mwendelezo
Sasa kimatamshi hiyo herufi ndogo unaitamkaje na hiyo ya herufi kubwa unaitamkaje? Yes Allah amekataza kumshirikisha ila uchawi ni mashaka ya kishetwani. Wewe ulizaliwa kwenye mashaka na umeenda kwenye mashaka tena.
hukusama dini ya uhakika ulisoma mambo ya majini
Hayo masomo syako kwa kurani
Usipagawe rudia tena kumsikiliza
Naomba Uwaulize hao waislam ili kutoa majini Kwa watu huwa wanatoa Kwa nini? Jina la mtume au? Kama sisi tunavyoharibu nguvu za Giza Kwa jina la Yesu
Majini wabaya wanatolewa kwa uwezo wa Allah pekee anaposomewa Quran wanaunguzwa kwa ukali wa maneno ya Allah wala hakuna kiumbe chochote kinachoweza kudhuru au kunufaisha siyo yesu wala muhammad kiumbe bora kuliko wote duniani
Katika uislam, kuna mbingu baada ya Kifo kama sisi tulivyoandaliwa makao yetu na Yesu?
Waefeso 4.5 Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja.
Amna dini yyte duniani wala mbinguni zaidi ya Yesu kristo...kwaiyo ukiona mtu ni muislam au muhindu jua uyo anamtumikia shetani na mbingu zao ni kuzimu then motoni milele....kama misukule saiz ipo kuzimu inateseka jua ndo ivyo maana awapo ktk nuru Bali ni giza
Siyo kweli hakuna mbinga baada ya kifo lete ushahidi wa hayo maneno ikiwa weye ni mkweli?
Makao yenu mliyoandaliwa yapo ni kweli ni jehannam milele
@@fadhiliswalehe9286 wewe inashida kijana, unasahau nyie waislamu mnasema mungu wenu atawapa wake kibao huko ahera, onana mnavyoendekeza zinaa😀
Yaani 1hata kupangilia majina kashindwa eti Rashidi shehe sharif Abubakar kasoma Quraan hata kuiigizia hujui lakini kwa vile unazungumza na kondoo hamna shida huwa wanaamini kila jambo Hao najua mwanzo wa kutafuta njia ya kuanzisha kanisa ule sadaka za kondoo
Sorry achakufindisha watu mabaya
......mungu wangu Lucifer hivi kwamba huyo ndiye mungu wa waislamu ama vipi huyo ndiye wanamuita allah?
Hapana
Allaah siyo lucifer bali lucifer ni mkubwa wa mashetani wote.Allah ni Mungu wa viumbe vyote ukiwemo na wewe piya na yesu piya na sote tutakuja tutarudi kwake kwa Allah atatuhukumu motoni au peponi .Allaah akuondolee giza la ukafiri uingie katika nuru ya uislamu dini ya haki siyo ya ubabaishaji
Mungu mmoja kwan mungu wangap
NDUGU JACTAN TUNAOMBA UMTAFUTE TENA UYU NDUGU UMUHOJI ZAIDI
Mhuuu
Kwa kweli mnachokitafuta kwa waisilamu mtakipata hasa haka kachanell kamichongo
Hahahaha.....Daaaa hizi injili hizi.
Mungu yuko na ww atakuukum, kuzalilisha dini ya wengine, labda mnakuwa mumelipwa, maana taha alhamdulilah ww kama ulikuwaga sheikh haujuwi ku itamka, muongo ww
Lahaula walaquwata illabillah
Wewe Acha ujinga wewe uongo huo umeupata wapi ngoje tukukamate uje uthibitishe maneno mbele ya Sheria uje useme na huo ujinga wa jina lako unalotaka kudanganyia watu
Sasa mumkamate kwakosa gani mbona unalipuka
Haha hahahahaaa, acha mpewe dozi
Kaka Jacktan hulali???naona ndio umepost😅😅😅😅
Sasa naomba umtafute mtumishi Jamal jojo yupo mombassa na alikuwa pamoja na sheikh omari mnyeshani pls wahoji hao wagu wana ushuhuda mzito mnooooooo
😆hakuna kulala
@@PromovertvTz Please, bring more testimony from him. Please, please.
@@PromovertvTz Good catch brother Jacktan. You reminded him about misukule
@@PromovertvTz Please brother, bring him more and allow him to talk more.
Mnapohoji hawa watu Tafaadhali muwe mnawapa pia nafasi ya kuflow freely,washuhudie bila kuwa interrupted na maswali mengi sana ila waulizwe maswali ya msingi na pia uwepo ushahidi wa wanayoyasema sababu walinga Kristo uwa hawaamini wao wanatetea lidini lao tuu na wanawakana kuwa hawakutokea kwao,,
Rashidi hahahaha.....
Mpumbavu mmoja unamzalilisha mzaziwako alieluwekatumboni.kwa njaazadunia akuna laukweli hata moja labda kwa matahila ndo wataamini make wapowengi mjini...nabiasharahio inalipa na inawateja kikubwa nikujiita nabii namtume nakuliita jina layesu basi
Tafuta njia nyingine ya utapeli hii ni ya kijinga sana.
YANI SANAAAAA🤣🤣🤣
Asante sana Mohamed. Huyu ana matatizo na hakuujua na wala hataujua uislamu.
Hahaha inauma sana waisilamu wakimuona Murtad.
@@giftwema9542 kilamtu anaimani yake
Okoka acha kupinga
Utadhani CCM wakiwa wanatafuta kura....huu ukafiri yaani mtu hapati watu ampka adanganye.
Hahaha muokoke sasa
Naam huyu alikuwa mchawi aliyezaliwa katika uislamu kama ambavyo kuna wachawi waliozaliwa katika wakristo. Muogope Allah SW na ipo siku Allah atafanya watu wajue ukweli wako.
Huwezi kuchukua sura za biblia ukafanya uchawi, lakini quran linawezekana Hilo..
@@Mhandisi2008 sio kweli. Quran haina maneno ya kiuchawi hata kidogo. Wewe hujawahi hata kusoma sura moja ndio maana unabisha kitu usichokijua. Hawa waleta story wenye njaa wanawaponza sana. Mbona hasemi namna gani alifanya akachukua akili? Anasema tu
Yessu alikutokea wewe nyie makafiri huyo Yessu alikuwa kwako wewe Sasa hubiri Sasa injili tukuulize masuali ujibu au huwezi kujibu
Maana ya kafiri ni nini?
KWELI KWA YESU KUNA RAHA
MTUMISHI ANASIMULIA NA FLOW NZURI NA AMANI YA KRISTO.IMETAWALA
ASNTE KAKA JACTAN KWA USHUHUDA HUU