Be careful if ur in Christ, then don't judge any Pastor,usije uka kua judged mwenyewe..chunga kaka, Take the gospel far to all corners, n know how the bible says..🤷 Judging pastor's hehehehehe, mto kwa ur head 🗣️🔥🔥🔥in Jesus mighty name Amen 🙏 Wewe bado uko kwa darkness. Jesus never talked about any human being in a bad way...he loved them ❤. Now Ur judgement back to you itself ijn🙏
Hivi wewe kama unamtumikia Mungu hubili neno la Mungu kila napokuona unasema mambo ya kishetani tu. Huyu shetani unampa utukufu bila kujua. Ebu fundisha neno la Mungu achana hayo. Fundisha Yesu nani watu waokoke
🎉i trust this boy , remember we can only be Christians by birth not never believers by birth,i do really wonder which kind of God we are currently serving ,i dont want to mention but just read your back bibles ,we are not following christ in anyway ,guys wake up
John 8 [vs: 12] - [NIV] When Jesus spoke again to the people, he said, “I am the light of the world. Whoever follows me will never walk in darkness, but will have the light of life.” [vs: 44] - [NIV] You belong to your father, the devil, and you want to carry out your father’s desire. He was a murderer from the beginning, not holding to the truth, for there is no truth in him. When he lies, he speaks his native language, for he is a liar and the father of lies.
Ni kweli umesema vyema kuhusu kutaman kumtumikia Mungu, lakin mambo ya kwamba ni wa kweli ama si wa kweli mwachie aliyemwita we fanya yako aliyokuitia Mungu achana na mambo ya watumishi, izo picha mnazowawekelea sii nzuri fanya yako kijana acha kiki
Ametaja wachungaji wenu mmekasilika!...mimi wangu alivyotajwa nikafatilia...sikujua mchungaji wangu ni warlot and wizard ila nilibaini kuwa mch wang ni womenizer kapiga mabinti about whole church...nikaona hata kuitwa freemason ni kutumia tafsida.
Msisemee kwa akili zenuu Munguu uwa afichii jamboo wewe kama unaona ni uwongoo ni boraa uwendee ukamliliee Munguu ali asemee ukwerii yeye ndo mwenye majibuu yotee na Munguu uwa afichi jamboo kwa Mtumishi wakee Ila kikubwa ni kufunga na kuombaa maana hata yesuu aliona na akasemaa WATAKUJA KWA JINA LANGUU. Kikubwa ni maombii kila wakatii sio kupoteza muda wa kubishanaa kila wakatii
MBONA WALE WASIO NA ROHO WA MUNGU HAWAFANYI MIUJIZA BALI NI WALE TU WATUMISHI WA MUNGU WALIOJAZWA ROHO MTAKATIFU TU NDIO WAFSNYAO MIUJIZA. WEWE NI MUONGO MKUBWA BWANA AKUKEMEE
Ndugu yangu kama wewe mungu ashakukomboa wao waache wafanye yao na wewe fanya yako unatukata mastimu Mimi mwenyewe nategemea hao wachungaji wanisaidie wewe nawe watafuta kujulikana Wacha basi ata mara moja😮😮😮
Wewe ndio unamkashifu wacha nikwambie kijana umetumwa na watu wako. Bibilia inasema waheshimu wakubwa wako hao watumishi unaowaharibu marina yao utawakumbuka siku moja .The Bible says do not judge Judgement is 2 God usitwambie ujinga kwani umelipwa pesa ngapi?
Binafsi niseme, Watumishi wa Mungu wapo ngazi za kila aina. Kuna Mashemasi,Wachungaji,Wainjiristi na Manabii wa Munguu. Na kila mmoja ana nguvu zake kadri Munhu anavyomtumiaa.
Nasema hivi! lipo andiko limeandikwa Usiende,Usiingie nyumbani mwa Bwana Mikono mitupuuuu. Sada ni sawasawa na nihaki. Pia Waacheni Manabii wa Bwana waponye watu kadri Mungu alivyowatuma na kuwapatia kiballi kikubwa cha kuona shida za wanadamu na kuwasaidiaa. Tusiwaseme vibaya Manabii wa Bwana tuwaombee wana kazi kubwaa sana Mungu azidi kuwapa Kibali. Tusiwaseme watumishi wa Mungu kila mwenye utumishi apambane na hali yake mwenye kutaka nguvu zaidi ya kuinuliwa kihuduma basi achuchumilie mbele ya Nabii na kupata kibali zaidi. lakini sio kujinuua kuwasema vibaya. Mungu awabariki wte
Wewe pia nishadadi wa shetani kama kweli wewe umeokoka usingekuwa unang'ata na kupuliza Mungu hapendi watu vuguvugu. biblia inasema huwezi kukiona kibanzi kwenye jicho la mwenzio wakati wewe una boriti kwenye jicho lako....biblia inasema toa boriti kwenye jicho lako kwanza ndipo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzio
kama wachngaj n freemason s uponye ww wagnjwa ,we acha upuuz bs hvyo watu wafe tu bs taja manabii wa kwel wakapnye watu mana we unajfnya una maono au watatlie matatzo ww 19:25
Kumbe una akir et????😢😢😢 alafu ni thambi kuwasema vibaya watumishi wa mungu iv we uwog0p?? au ndo unatafuta kik kwa watumish wa mungu??? tunajua ata yesu alisema watakuja manabii weng wa uwongo na watap0nya kwa kutumia jina lake ww nan ulie shindwa kukaa kimya ukaenda shamban kurima maind ule ujaze choo mbwa weweeee
Na hiyo yako yaukweli ji gani sema tuisikie pia tukufuate wewe sababu Kama mtu anafunza watu kuacha dhambi na kurudia ndoka zao za kwanza ambayo ndio imeandikwa kwa bible na mwasema ni uongo si museme yenu ya ukweli tuisikie
Courage! Mungu aku okowe zaidi.
Mungu atusaidie sana
Everyone cannot be fishers of men...Acha wahubiri waendeshe neno la Mungu...Wanalofanya kinyume ni kati yao na Mungu sisi mm...👐👐👐
Mchungaji ambae afaa nguo nyeupe,nyekundu au green Jiulize kwanini? Siavae tu lawaida na aubiri
Believe him and play for your self
Mungu ni Moto 🔥 🔥 🔥 🔥
Mungu atusaidie sana
Kazi ya samweli ni nzuri...kutaja kuwa watumishi wale ni wa Mungu au wale wanajifanya watuwamungu kumbe siyo....ni KIBIBLIA.
Be careful if ur in Christ, then don't judge any Pastor,usije uka kua judged mwenyewe..chunga kaka,
Take the gospel far to all corners, n know how the bible says..🤷
Judging pastor's hehehehehe, mto kwa ur head 🗣️🔥🔥🔥in Jesus mighty name Amen 🙏
Wewe bado uko kwa darkness.
Jesus never talked about any human being in a bad way...he loved them ❤.
Now Ur judgement back to you itself ijn🙏
This is true
Please your message is understandable
Exactly
Go straight to the point.Bwana!
Allah mkubwa xana kalibun katika din yakisilam
Wapinga christo wameyanza kujitokeza...eee mungu tusaidiye....anakula mdomo tu akuna..chaukweli hapa wee kula uongo wako nakuchukuwa hukumu ....zake mungu
Hivi wewe kama unamtumikia Mungu hubili neno la Mungu kila napokuona unasema mambo ya kishetani tu. Huyu shetani unampa utukufu bila kujua. Ebu fundisha neno la Mungu achana hayo. Fundisha Yesu nani watu waokoke
Uko sahihi Sana...Ila ustoke juu yakit unachoonnglea
Kama umelipwa wacha kuaribu majina ya wachungaji wacha kuhukumu achia mungu kazi yake
Ukweli ndohuyo!
Bibiliya Ina sema siku za mwisho wengi watafanya maajabu kupitia jina la yesu kumbe hao hao ndo wako conected na ibirisi.
Ni Kweli kabisa
Nikweli kabisa huyo kijana anongea ukweli.
Kumbuka Mungu ni moto ulao
Nguvu sa mungu sishuke kwako uwache kuonge ujinga ezekiel 36 :26
Mm Pamela naabudu ninacho kijua, tena na shika sana nilicho nacho hakika sitapotoshwa na watu kaa ww.
Ajaujinga ndugu muogope Mungu
Acha kurudia maneno plz.
Mungu akuadhibu
Ukweli huuma sana mungu tusaidie
Naitaji number ya Ezekiel pastor pa kenya
Mungu atusayidiye.
tumuombe mungu
🎉i trust this boy , remember we can only be Christians by birth not never believers by birth,i do really wonder which kind of God we are currently serving ,i dont want to mention but just read your back bibles ,we are not following christ in anyway ,guys wake up
Unasema kweli
Aiseee fanya Kaz uliyotumwa na mungu na sioo kuongea usivyo vijuaa Yan huelewek upo kama haupoo auu utoto unakusumbua
Njoo kwa waislamu uko akuna din sujudu kwaajili Allah
🎉 😂😂😂
Kwa usilam ndo kunani?hebu chunguza waganga wengi hapa duniani kama wanadini gani.
John 8
[vs: 12] - [NIV] When Jesus spoke again to the people, he said, “I am the light of the world. Whoever follows me will never walk in darkness, but will have the light of life.”
[vs: 44] - [NIV] You belong to your father, the devil, and you want to carry out your father’s desire. He was a murderer from the beginning, not holding to the truth, for there is no truth in him. When he lies, he speaks his native language, for he is a liar and the father of lies.
Catch fire 🔥
The truth will set you free
Kweli wew umetumwa tofauti unahubili mambo ya xhetani
Chunga kufa mapema kijana,,and never talk to pastors ata kama Ako aje ,
Zichunguzeni roho maana zote hazitoki kwa Mungu.kipimo ni Biblia.usemi wako unaenda ukikosa njia.Hata hizo siri za Kuzimu huzijui
every one do her business
Atar aiseeeeeee
The truth must be revealed
We Ni fala sanar nakuhurumia Sana mjinga wewe Ady mungu anaweza kufanya Bubu ,zuzu Na mjinga Zaidi Enda utubu dhambi kijana otherwise utajizi nanii
Niqwli
😢ww umechanganyikiwa nkt!
Benny hinn alikuja Kenya ,sasa kuna shida Sana
It's true vile alikam Kenya ni makubwa yameibuka mengi
Amini Analowaambia Huyu Kijana Acheni Mabishano Yasiyokuwa Na Maana Unless Unasupport Sheitani
I believe 😐😐
Ni kweli umesema vyema kuhusu kutaman kumtumikia Mungu, lakin mambo ya kwamba ni wa kweli ama si wa kweli mwachie aliyemwita we fanya yako aliyokuitia Mungu achana na mambo ya watumishi, izo picha mnazowawekelea sii nzuri fanya yako kijana acha kiki
Kijana kama kiki tafta kwingine itakucost kundanganyana kutumia majina ya wachunganji.
Wakati wa nuhu watu walitahadharishwa hawakuskia,,sasa huyu anayo siri kubwa
Sema yote tujue kweli
😢
Ametaja wachungaji wenu mmekasilika!...mimi wangu alivyotajwa nikafatilia...sikujua mchungaji wangu ni warlot and wizard ila nilibaini kuwa mch wang ni womenizer kapiga mabinti about whole church...nikaona hata kuitwa freemason ni kutumia tafsida.
Kama na wwe umosema mwache aseme ukwel tunajua Ving nasi
Mmmh toboa 2jue ukwel
Sidhani kama Kuna ukweli hapo
Aya bn
Acha kuwazungumzia watu kwa ubaya Broo
Msisemee kwa akili zenuu Munguu uwa afichii jamboo wewe kama unaona ni uwongoo ni boraa uwendee ukamliliee Munguu ali asemee ukwerii yeye ndo mwenye majibuu yotee na Munguu uwa afichi jamboo kwa Mtumishi wakee
Ila kikubwa ni kufunga na kuombaa maana hata yesuu aliona na akasemaa WATAKUJA KWA JINA LANGUU. Kikubwa ni maombii kila wakatii sio kupoteza muda wa kubishanaa kila wakatii
Kweli
Tayali kengele ya atali imekwisha Lia samwel kiujumla unatukumbusha kuwa macho kwani Dunia Ina waya waya cna
MBONA WALE WASIO NA ROHO WA MUNGU HAWAFANYI MIUJIZA BALI NI WALE TU WATUMISHI WA MUNGU WALIOJAZWA ROHO MTAKATIFU TU NDIO WAFSNYAO MIUJIZA. WEWE NI MUONGO MKUBWA BWANA AKUKEMEE
lisemalo lipo kama hakuna linakuja emung tusaidie wajawako
Sawa kama nikweli unachokisema maketuko nyakati zamwisho 6:16
Kindly leave for Himself to judge please
Ni kama umekosa kazi,utalaniwa kwa uongo wako, mpuuzi we ushindwe.
Agent wa kuzimu unajulikana umekuja kuhari ukweli wa Mungu.
Kaka achana na hizo story zako hazina mashiko pia hueleweki aliyekutuma mwambie afanye mpango mwingine huu umedunda
Kijana chunga utapigwa upofu wa laana usiingiliye wachungaji
usiniambukizee ugumu wako wa Maisha
Ndugu yangu kama wewe mungu ashakukomboa wao waache wafanye yao na wewe fanya yako unatukata mastimu Mimi mwenyewe nategemea hao wachungaji wanisaidie wewe nawe watafuta kujulikana Wacha basi ata mara moja😮😮😮
Mapast wengi sahii wanatumikia shetani chungeni
Ukweli ni mchungu Sana
Wewe ndio unamkashifu wacha nikwambie kijana umetumwa na watu wako. Bibilia inasema waheshimu wakubwa wako hao watumishi unaowaharibu marina yao utawakumbuka siku moja .The Bible says do not judge Judgement is 2 God usitwambie ujinga kwani umelipwa pesa ngapi?
Mm ata sikuelewi
" Waamwa kilamo! Hedu akale waira msumbo!!
mbona ni mdogo saaaana
Ezekiel simpendi kabisaa
Ezekiel humpendi kwa sababu gani?
Mwongoo uyu kijana
Atawewe umeisha
Kaka unakera hubir injil achana na hiz habar unajichanganya
Hizo sauti za kunguru mnyuma yako zaeleweka pia.
Huyu kijana haeleweki anachoongea hajielewi
beni hini
Aja ujinga bana Ezekiel n nabii WA kweli tangu lini mwenye amekudanganya naenda mkatase mwambie naye ajaribu sense
Mpime kwa sheria na ushuhuda kisha uniambie
Huyu kijana hanaraniwa sana
Na pia ww unasinya kuongea pole pole kila mara unatoboa siri siutoboe tusikiye mshenzi nini
HIVI WEWE FREE MASONS UNAIJUWAA?. 😢
Na yeye huyu mbona hatukumuona akiwa na pesa alizopewa na freemason
We mshenzi
Psams 35:5 kwa ajili ya watumishi wa mungu, na huwe makapi mbele ya upepo malaika wa bwana akikufuatilia
Huyu anasema atatoa siri. Siri gani sasa
😭😭😭
Wew ni mbuz kam mbuz wengin
Ht sikuelewi unabadilisha maneno Kuna kipindi ulisema Eze na mwamposa iweje leo unasema una Mashak nao muongowewe
Kijana unaongea ukweli.
Anasema ukweli uyu
Nafikiri unatakuwa uende kuombewa kwa pastor Ezekiel ukombolewe! Inaonekana una mapepo. Bado na nadhani umetumwa ili kupata kick pumbavu wewe
Ukweli ukweli ukweli tunaskiliza uoukweli wenyewe uko wap
Sema sometime naweza sema naamni maneno ya hyu dogo kwa sababu lait ungekua uongo ao anao wachafua wangekua wamesha mtafta wamnyooshe..hvi nyie mnadhani isinge kuwa ukwer fremason wangekubali kuchafiwa?wangemfata dogo wakamkanda kama chapati unafanya masiara nin,
Binafsi niseme, Watumishi wa Mungu wapo ngazi za kila aina. Kuna Mashemasi,Wachungaji,Wainjiristi na Manabii wa Munguu. Na kila mmoja ana nguvu zake kadri Munhu anavyomtumiaa.
Nasema hivi! lipo andiko limeandikwa Usiende,Usiingie nyumbani mwa Bwana Mikono mitupuuuu. Sada ni sawasawa na nihaki. Pia Waacheni Manabii wa Bwana waponye watu kadri Mungu alivyowatuma na kuwapatia kiballi kikubwa cha kuona shida za wanadamu na kuwasaidiaa. Tusiwaseme vibaya Manabii wa Bwana tuwaombee wana kazi kubwaa sana Mungu azidi kuwapa Kibali. Tusiwaseme watumishi wa Mungu kila mwenye utumishi apambane na hali yake mwenye kutaka nguvu zaidi ya kuinuliwa kihuduma basi achuchumilie mbele ya Nabii na kupata kibali zaidi. lakini sio kujinuua kuwasema vibaya. Mungu awabariki wte
Akuna mtu mwenye muda wa kushindana kwenye mitandao, acha Kila mtu afanye mwito wake
Wewe pia nishadadi wa shetani kama kweli wewe umeokoka usingekuwa unang'ata na kupuliza Mungu hapendi watu vuguvugu. biblia inasema huwezi kukiona kibanzi kwenye jicho la mwenzio wakati wewe una boriti kwenye jicho lako....biblia inasema toa boriti kwenye jicho lako kwanza ndipo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzio
Mtoto huyu kavulugwa
Wewe nawe hatukuelewi,kipindi kile ulisema kanisa la ezekiel ni moto kuna mungu wa kweli,hivi leo ushageuka.yafaa upimwe akili pia
Huu bado yuko pale pale muongo
Mshenee n dhambi jitakase sn kk
Wewe acha uongo
Mtu anaongea vitu vya maana na tusimu twenu mmeshavamia wengine hata mlango wa kanisa hauujui embu mpishe kijana wa maana aongee
NATAMANI NINGEKUKAMATA KIPIGO CHAKO CHA MBWA KOKO MBWA WEWE
kama wachngaj n freemason s uponye ww wagnjwa ,we acha upuuz bs hvyo watu wafe tu bs taja manabii wa kwel wakapnye watu mana we unajfnya una maono au watatlie matatzo ww 19:25
Kumbe una akir et????😢😢😢 alafu ni thambi kuwasema vibaya watumishi wa mungu iv we uwog0p?? au ndo unatafuta kik kwa watumish wa mungu??? tunajua ata yesu alisema watakuja manabii weng wa uwongo na watap0nya kwa kutumia jina lake ww nan ulie shindwa kukaa kimya ukaenda shamban kurima maind ule ujaze choo mbwa weweeee
Kwakweli inaleta kigugumzi sana huyo eze siyo much wakweli lakin anachanganyaa
Na hiyo yako yaukweli ji gani sema tuisikie pia tukufuate wewe sababu Kama mtu anafunza watu kuacha dhambi na kurudia ndoka zao za kwanza ambayo ndio imeandikwa kwa bible na mwasema ni uongo si museme yenu ya ukweli tuisikie
Ss tukuelewe vp maana kuna crip ulisema Ezekiel na mwamposa wako sahihi leo umesema mengine mhh mtihan
msikilize vizuri hajasema tofauti
Kapime akir weee kenge alaf mind your life