Je ni wangapi siku ipiti Kama hawajaiona hotuba ya Shujaa wetu MAGUFULI?mie bado naumia tu kwakumpoteza Raisi wetu kipenzi cha WATANZANIA wanyonge Daima tutamkumbuka PUMZIKA kwa Amani Raisi wetu MAGUFULI 😭 😭😭😭😭
Me kila kuitwapo Leo nangalia hotuba yake Jembe LA kazi hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima saivi hatuna Rais wakutetea nchi yetu kwa Hali hii ya Watu kuwawa ovyo
Pumuzika kwa amani babaagu nilikupenda saaaaana nahaipit siku bilakukufatilia katika mitandao naukizingatia wewe ndouliekuwa rais wangu wakwanza kukupigia kula tokaniigie kwenye mfumo wakupiga kula.
Chozi langu miyeeee saiv wamebakia wapigaji tu.
Je ni wangapi siku ipiti Kama hawajaiona hotuba ya Shujaa wetu MAGUFULI?mie bado naumia tu kwakumpoteza Raisi wetu kipenzi cha WATANZANIA wanyonge Daima tutamkumbuka PUMZIKA kwa Amani Raisi wetu MAGUFULI 😭 😭😭😭😭
Watu tulikuwa tunafatilia kila ziara ya huyu mwamba maana utacheza na kujifunza pia
Me kila kuitwapo Leo nangalia hotuba yake Jembe LA kazi hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima saivi hatuna Rais wakutetea nchi yetu kwa Hali hii ya Watu kuwawa ovyo
Hongera sana Mkuruzenzi mpya wa Butiama fanya kazi vizuri
Tutakukumbuka daima mwenyenzi mungu akupereke peponi
Ilike late magufuli saisi from Kenya
True leader never die rip Dr magufuri
Mwenyezi. Mungu uwabariki watu wako ulio waumba kwa mkono ,wako
Daaa huyu mwambaa ni genius
I wish kenya had this kind of President. Kenya ni wizi tu
Mkuu had walinz wanatabasam kweli Hapa kazi tu
Jembe kutuacha dah mungu ailaze roho mahala pema peponi amen
Eti mkurugenzi mwenyewe kajaaa🤣🤣🤣 baba ulikua mtani wetu sana
Hakika utakumbukwa katika historia ya nchi yetu baba rest in piece jpm
Labda wateu tena kutoka kanda ya ziwa ndo tutapata Rais kama Gpm
Safi Magori 👍🏽👍🏽
RIP Kiongozi
🤣🤣🤣 hiki chuma kilikuwa knaogopeka Wallah
Safi mkurugenzi
Alikua anaogopeka sio siri ila tunamupendaaaaaa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪💪💪💪💪
Rest in Peace Magufuli, you were the best leader I ever seen in Africa
Fact bro😭😭
In the world
Rest in peace baba
Daah mzee alkuwa anatisha aiseee,kwamba mkurunzinzi😁😁😁 r i p shujaa✊ nidham ilkuwepo,now tumeisahau tayar😢
Mh: Rais naomba utuongezee fedha mkuruzemkuzenzi mkurugenzi mpya😁😁😁
sakina we mnoko kweli ha ha ha
😁😁😁
Nimecheka hadi nimetokwa na udende, kwamba mkuruzenzi
daaa kweli wew ako ni kiboko mkurugenz anatetemeka
Nitakukumbuka daima uliupiga mwingi sana
amejiletileza mwenyewe😂😂😂😂😂
Mungu akupumzishe salama
Aisee ww salimia mungu
0:40 mkurugenzi mwenyewe kajaa..🤣🤣🤣
May your gentle soul continue to rest in peace Uncle MAGU❤
😹😹😹🙈
I miss him 😥
R.I.P my Father miss you so much
Rest in peace Mungu akutunze
Hatari sana
It is historic and glorious time TZ went through
Yuko kama Rais wetu William Ruto
Presidente
Jetutapata jembe Kama Hilo?
Magufuli bwana uliogopeka siyo mchezo, hatari Sana tulia mzee uko uliko
Balaa
I will like to work hard like magufuli
Nitakuja kufuata nyayo za Mzee Magu bila kupepesa Mungu akupenda.
Huyu kiongozi hajawahi kutokea kabisa
Magori be calm!
ahsante baba msimamo huo huo mpak kieleweke magufuli oyeeee
Duuu jamaa viongozi wengi wanatetemeka boss wako akikuhoji shidaa
Uyu mzee namvutia picha alivyo kuwa mwalimu mhhh
Mungu ni mwema
alikua anatisha huyu baba. akikusogelea unaeza sema hii kazi bora niiache😀
Shukran
Zege halilali, tumalizane hapa hapa
anatetemeka. aiseee
Mkurugenz ana mteru balaA R I P chuma😭
R.I.P AKUNA ATAKAE WEZA ZIBA PENGO
Hakika jamani inauma
Maguu Baba Tangu uondoke Tanzania nachokiona ni mapichapicha na ,miwani kubwakubwa lakini hakuna kinacho endelea
Kiongozi wangu bora
Viongozi wa Kiafrica ndivyo walivyo.
majamaa yakiwa yana hojiwa na Rais yana tamani utokee ufa yazame mazima a hari ya hewa inabadirika
Lazima wanyooke..........me nadhani uyu mzeee kama atapenda awe mfalme wa TANZANIA INSHAALLAH
Akim Mbar go
Akim Mbwego p
Mjambo pls don't reduce your spliit
Mwambaaaaaaa
Dah RIP
Baba rest pc
mpukuruzenzi.., mkuruzenzi.., mkyuruguenzi.., 😂😂😂
2024 let's gather here
Kama utani vile.R.i.p mwamba
we miss you
Uncle ni Noma Wakurugenzi wanapata Wenge hadi kuongea wanashindwa
Kisima majabala 2:24
Maguful apopewa sumu dodom
Tutakukumbuka daima
Uso wa chuma. JPM NENDA Kwa amani Mzee ulituonesha njia
Dai
Remember u msguful
Machozi yananitoka jamani, huyu mzee apumzike kwa amani
We had one
Huyu alikua Rais was kaz
Moto wa petrol uliozima ghafla
Body guard kacheka
Ivi huyu faza wetu alikuwa anjua kwamba watu wanamgwaya daaaa
Mzee huyumuqu asaidiee hukokuzimu kupataraisi kamahuyu nizaidi yamwaka miyamoja
We do we get such leader in Kenya.
Mkuruzenzi mpya uyo mmemuona jamaani
Imiss you baba yetu
Kusimama mbele ya MAGU si mchezo
Mukurugez mwenyewe kajaa
Masubwe
Mhh dunia hiiii
yaan kajichanganya san ajamalza anaomba zingne
Sayendakasuka Kasuka lugimba
Pumuzika kwa amani babaagu nilikupenda saaaaana nahaipit siku bilakukufatilia katika mitandao naukizingatia wewe ndouliekuwa rais wangu wakwanza kukupigia kula tokaniigie kwenye mfumo wakupiga kula.
Hakika pengo lako halizibiki hata siku
Nema ya kristo
Hutuba ya magufuli tarime
Voici l'homme qu'il faut a la place qu'il faut ?
Ok
Kopkop tv
Mpumzika
Kwa
Amani
mkurunzenz,mkurunzenz yaani ni fullmchecheto
R.I.P mzee hakika ulikuwa mzalendo
Hakuna mwingine kama yeye Wala haitawai patikana
Try
😂😂😂
Anko Sf Sana wanyooshe
Daima tutakukumbuka
Baba tunaomba urudi bas jaman
Hello ❤😂😂🎉 🎉😢😢😮
Magu
Masho ga
Mwanaspot