Rais Magufuli ‘amkaanga’ hadharani Mkurungenzi Butiama kisa mamilioni ya ujenzi wa hospitali

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2018
  • Rais Magufuli amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiama mkoani Mara Mabula Alphonce kushughulikia haraka ujenzi wa Hospitali ya Wilaya hiyo, huku akibainisha kuwa tayari kuna fedha kiasi cha shilingi milioni 400 ambazo tayari zimetolewa.
    Rais Magufuli amemuita mkurugenzi huyo mbele ya wananchi na kumtaka kuzitumia fedha hizo kwanza kabla ya kuomba fedha nyingine, huku akiahidi kumfuatilia.
    Ni katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Septemba 6 kwenye Uwanja wa Mwenge wilayani Butiama, mkoani Mara.

ความคิดเห็น • 142

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 2 ปีที่แล้ว +24

    Je ni wangapi siku ipiti Kama hawajaiona hotuba ya Shujaa wetu MAGUFULI?mie bado naumia tu kwakumpoteza Raisi wetu kipenzi cha WATANZANIA wanyonge Daima tutamkumbuka PUMZIKA kwa Amani Raisi wetu MAGUFULI 😭 😭😭😭😭

    • @luciajohn2395
      @luciajohn2395 2 ปีที่แล้ว

      Watu tulikuwa tunafatilia kila ziara ya huyu mwamba maana utacheza na kujifunza pia

    • @samwelilaizer661
      @samwelilaizer661 2 ปีที่แล้ว

      Me kila kuitwapo Leo nangalia hotuba yake Jembe LA kazi hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima saivi hatuna Rais wakutetea nchi yetu kwa Hali hii ya Watu kuwawa ovyo

  • @privamushi2512
    @privamushi2512 2 ปีที่แล้ว +2

    Chozi langu miyeeee saiv wamebakia wapigaji tu.

  • @mohamedabdalah9124
    @mohamedabdalah9124 2 ปีที่แล้ว +4

    Tutakukumbuka daima mwenyenzi mungu akupereke peponi

  • @ibrahimmfundo8455
    @ibrahimmfundo8455 5 ปีที่แล้ว +6

    Mkuu had walinz wanatabasam kweli Hapa kazi tu

  • @freddynzabakiza597
    @freddynzabakiza597 2 ปีที่แล้ว +3

    True leader never die rip Dr magufuri

  • @mhamedabdalah2234
    @mhamedabdalah2234 2 ปีที่แล้ว +4

    Labda wateu tena kutoka kanda ya ziwa ndo tutapata Rais kama Gpm

  • @majorflavour6193
    @majorflavour6193 2 ปีที่แล้ว +1

    I wish kenya had this kind of President. Kenya ni wizi tu

  • @ivankivinge2987
    @ivankivinge2987 2 ปีที่แล้ว +9

    Rest in peace baba

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 2 ปีที่แล้ว +7

    Hakika utakumbukwa katika historia ya nchi yetu baba rest in piece jpm

  • @shihume256
    @shihume256 2 ปีที่แล้ว +7

    Rest in peace Mungu akutunze

  • @mrishogange4276
    @mrishogange4276 3 ปีที่แล้ว +11

    🤣🤣🤣 hiki chuma kilikuwa knaogopeka Wallah

  • @feisalhassan4301
    @feisalhassan4301 2 ปีที่แล้ว +12

    RIP Kiongozi

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph4558 2 ปีที่แล้ว +4

    Eti mkurugenzi mwenyewe kajaaa🤣🤣🤣 baba ulikua mtani wetu sana

  • @mohamedjumbe9309
    @mohamedjumbe9309 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaa huyu mwambaa ni genius

  • @japhetpyuza6088
    @japhetpyuza6088 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Mkuruzenzi mpya wa Butiama fanya kazi vizuri

  • @stn4873
    @stn4873 5 ปีที่แล้ว +5

    amejiletileza mwenyewe😂😂😂😂😂

  • @samsonsaisi5473
    @samsonsaisi5473 2 ปีที่แล้ว

    Ilike late magufuli saisi from Kenya

  • @jumasengerema5285
    @jumasengerema5285 2 ปีที่แล้ว +8

    Magufuli bwana uliogopeka siyo mchezo, hatari Sana tulia mzee uko uliko

  • @millionsofreasons9806
    @millionsofreasons9806 2 ปีที่แล้ว +9

    I miss him 😥

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 5 ปีที่แล้ว +13

    Mh: Rais naomba utuongezee fedha mkuruzemkuzenzi mkurugenzi mpya😁😁😁

  • @Ruchanwa
    @Ruchanwa 5 ปีที่แล้ว +5

    Safi Magori 👍🏽👍🏽

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 2 ปีที่แล้ว +8

    It is historic and glorious time TZ went through

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 ปีที่แล้ว +5

    Safi mkurugenzi

  • @dangotethomas3586
    @dangotethomas3586 ปีที่แล้ว

    Jembe kutuacha dah mungu ailaze roho mahala pema peponi amen

  • @erodycostantin6866
    @erodycostantin6866 5 ปีที่แล้ว +7

    majamaa yakiwa yana hojiwa na Rais yana tamani utokee ufa yazame mazima a hari ya hewa inabadirika

  • @michaelfabin7097
    @michaelfabin7097 2 ปีที่แล้ว +3

    R.I.P my Father miss you so much

  • @edwardmarie8277
    @edwardmarie8277 5 ปีที่แล้ว +3

    daaa kweli wew ako ni kiboko mkurugenz anatetemeka

  • @baptistebasumingera9410
    @baptistebasumingera9410 2 ปีที่แล้ว +2

    Alikua anaogopeka sio siri ila tunamupendaaaaaa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪💪💪💪💪

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 2 ปีที่แล้ว

    Daah mzee alkuwa anatisha aiseee,kwamba mkurunzinzi😁😁😁 r i p shujaa✊ nidham ilkuwepo,now tumeisahau tayar😢

  • @jumasaidntayomba9200
    @jumasaidntayomba9200 2 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @richardonguto3529
    @richardonguto3529 2 ปีที่แล้ว +31

    Rest in Peace Magufuli, you were the best leader I ever seen in Africa

  • @jumasengerema5285
    @jumasengerema5285 2 ปีที่แล้ว +1

    Hatari sana

  • @juliusvicent8247
    @juliusvicent8247 2 ปีที่แล้ว +11

    R.I.P AKUNA ATAKAE WEZA ZIBA PENGO

  • @lazarothadeo7994
    @lazarothadeo7994 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akupumzishe salama

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 2 ปีที่แล้ว

    Nitakukumbuka daima uliupiga mwingi sana

  • @saidrashid5972
    @saidrashid5972 2 ปีที่แล้ว +1

    Nitakuja kufuata nyayo za Mzee Magu bila kupepesa Mungu akupenda.
    Huyu kiongozi hajawahi kutokea kabisa

  • @abdulbast8453
    @abdulbast8453 5 ปีที่แล้ว +7

    Uyu mzee namvutia picha alivyo kuwa mwalimu mhhh

  • @ericmunoru622
    @ericmunoru622 2 ปีที่แล้ว

    Aisee ww salimia mungu

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 4 ปีที่แล้ว +3

    Viongozi wa Kiafrica ndivyo walivyo.

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 2 ปีที่แล้ว

    We had one

  • @fabianmkway3662
    @fabianmkway3662 2 ปีที่แล้ว +1

    Maguu Baba Tangu uondoke Tanzania nachokiona ni mapichapicha na ,miwani kubwakubwa lakini hakuna kinacho endelea

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 3 ปีที่แล้ว +2

    Zege halilali, tumalizane hapa hapa

  • @mishimwalimu7212
    @mishimwalimu7212 2 ปีที่แล้ว +2

    Kiongozi wangu bora

  • @clementgerald2988
    @clementgerald2988 5 ปีที่แล้ว +2

    Uncle ni Noma Wakurugenzi wanapata Wenge hadi kuongea wanashindwa

  • @bazilkisibo5811
    @bazilkisibo5811 5 ปีที่แล้ว +7

    Magori be calm!

  • @collyalinani2407
    @collyalinani2407 2 ปีที่แล้ว

    alikua anatisha huyu baba. akikusogelea unaeza sema hii kazi bora niiache😀

  • @eugenepoultryfarmlimited
    @eugenepoultryfarmlimited 2 ปีที่แล้ว

    I will like to work hard like magufuli

  • @aishabashiru8608
    @aishabashiru8608 2 ปีที่แล้ว

    Tutakukumbuka daima

  • @oscacharles909
    @oscacharles909 2 ปีที่แล้ว

    Mkurugenz ana mteru balaA R I P chuma😭

  • @wazirisa6043
    @wazirisa6043 2 ปีที่แล้ว

    we miss you

  • @juliasjolamu407
    @juliasjolamu407 2 ปีที่แล้ว

    Ok

  • @dieudonnejohnson5200
    @dieudonnejohnson5200 2 ปีที่แล้ว +1

    0:40 mkurugenzi mwenyewe kajaa..🤣🤣🤣
    May your gentle soul continue to rest in peace Uncle MAGU❤

  • @amisbakar1903
    @amisbakar1903 2 ปีที่แล้ว

    Imiss you baba yetu

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 18 วันที่ผ่านมา

    Uso wa chuma. JPM NENDA Kwa amani Mzee ulituonesha njia

  • @emmanuelisaac8540
    @emmanuelisaac8540 5 ปีที่แล้ว +4

    Mkuruzenzi mpya uyo mmemuona jamaani

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 5 ปีที่แล้ว +7

    😂😂😂

  • @masoudsultani9163
    @masoudsultani9163 2 ปีที่แล้ว +1

    Kama utani vile.R.i.p mwamba

  • @mwalimukea4076
    @mwalimukea4076 2 ปีที่แล้ว

    Try

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 4 ปีที่แล้ว +2

    Kusimama mbele ya MAGU si mchezo

  • @horthykasongo5961
    @horthykasongo5961 2 ปีที่แล้ว +2

    Presidente

  • @hamadiabdallah3906
    @hamadiabdallah3906 2 ปีที่แล้ว

    Mwambaaaaaaa
    Dah RIP

  • @lulanjemohamed7949
    @lulanjemohamed7949 2 ปีที่แล้ว

    Machozi yananitoka jamani, huyu mzee apumzike kwa amani

  • @adammwalie4090
    @adammwalie4090 2 ปีที่แล้ว

    anatetemeka. aiseee

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 2 หลายเดือนก่อน

    Moto wa petrol uliozima ghafla

  • @kabaisamsuketv3201
    @kabaisamsuketv3201 2 ปีที่แล้ว

    Mhh dunia hiiii

  • @rechomzava1471
    @rechomzava1471 2 ปีที่แล้ว

    Remember u msguful

  • @alexjosephat9030
    @alexjosephat9030 5 ปีที่แล้ว

    Mbavu zanguuu jamanii

  • @japhetmafwolo6249
    @japhetmafwolo6249 5 ปีที่แล้ว +1

    yaan kajichanganya san ajamalza anaomba zingne

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 5 ปีที่แล้ว +1

    Lazima wanyooke..........me nadhani uyu mzeee kama atapenda awe mfalme wa TANZANIA INSHAALLAH

  • @richkinji2583
    @richkinji2583 2 ปีที่แล้ว +5

    R.I.P mzee hakika ulikuwa mzalendo

    • @johnkorromboi2694
      @johnkorromboi2694 2 ปีที่แล้ว

      Hakuna mwingine kama yeye Wala haitawai patikana

  • @methodchuleha9673
    @methodchuleha9673 2 ปีที่แล้ว +1

    Jembe

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 ปีที่แล้ว

    Anko Sf Sana wanyooshe

  • @izacmumius1785
    @izacmumius1785 2 ปีที่แล้ว

    Baba rest pc

  • @robertchugu7932
    @robertchugu7932 2 ปีที่แล้ว

    Ivi huyu faza wetu alikuwa anjua kwamba watu wanamgwaya daaaa

  • @daudishiyogo3330
    @daudishiyogo3330 2 ปีที่แล้ว

    Dai

  • @boruiya1376
    @boruiya1376 2 ปีที่แล้ว +1

    We do we get such leader in Kenya.

  • @papyiochimikalano4611
    @papyiochimikalano4611 2 ปีที่แล้ว

    Voici l'homme qu'il faut a la place qu'il faut ?

  • @amosjuma4536
    @amosjuma4536 2 ปีที่แล้ว

    Mukurugez mwenyewe kajaa

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 5 ปีที่แล้ว +1

    Mkurugenzi mbona mbavu sana alfu anaongea kibos Bos alfu ndo ivo anaongozwa na jpm hahahaa

  • @jalimpanga9315
    @jalimpanga9315 ปีที่แล้ว

    Pumuzika kwa amani babaagu nilikupenda saaaaana nahaipit siku bilakukufatilia katika mitandao naukizingatia wewe ndouliekuwa rais wangu wakwanza kukupigia kula tokaniigie kwenye mfumo wakupiga kula.

  • @tumpessayo5857
    @tumpessayo5857 2 ปีที่แล้ว +1

    Kopkop tv

  • @sayendakasukalugimba6063
    @sayendakasukalugimba6063 2 ปีที่แล้ว

    Sayendakasuka Kasuka lugimba

  • @gracesoko184
    @gracesoko184 2 ปีที่แล้ว

    Mpumzika
    Kwa
    Amani

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 2 ปีที่แล้ว

    Hakika pengo lako halizibiki hata siku

  • @bahathmakalanga4191
    @bahathmakalanga4191 2 ปีที่แล้ว +1

    Vg

  • @saidirwambo9204
    @saidirwambo9204 2 ปีที่แล้ว

    Masho ga

  • @fadhilimalila242
    @fadhilimalila242 ปีที่แล้ว

    XB

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 2 ปีที่แล้ว

    mkurunzenz,mkurunzenz yaani ni fullmchecheto

  • @ramamachaku3348
    @ramamachaku3348 2 ปีที่แล้ว

    Mzee huyumuqu asaidiee hukokuzimu kupataraisi kamahuyu nizaidi yamwaka miyamoja

  • @emmsonemangwanda5053
    @emmsonemangwanda5053 2 ปีที่แล้ว

    Baba tunaomba urudi bas jaman

  • @kuchiafricancinema
    @kuchiafricancinema 5 ปีที่แล้ว

    huyo atakua mkurugenzi wa upinzani maana rais ndo anavowafanyia wapinzani

  • @abdilatif7577
    @abdilatif7577 5 ปีที่แล้ว +1

    hahahahaha

  • @joelaloyce2277
    @joelaloyce2277 4 ปีที่แล้ว

    Uyu mkurugenzi namjua anapenda mademu sio poa tupo nae mbezi bechi tuu uyu jmaa

  • @veronicajohnmathias2918
    @veronicajohnmathias2918 2 ปีที่แล้ว

    Daima tutakukumbuka

  • @collethamponzi7457
    @collethamponzi7457 2 ปีที่แล้ว

    Hutuba ya magufuli tarime

  • @enhardyfaraja5924
    @enhardyfaraja5924 2 ปีที่แล้ว

    Magu

  • @pasterjohnwilibardwlilbard248
    @pasterjohnwilibardwlilbard248 2 ปีที่แล้ว

    Nema ya kristo

  • @shaibumabula6418
    @shaibumabula6418 2 ปีที่แล้ว

    Sayasuruu

  • @ntemanyamwitaseko1386
    @ntemanyamwitaseko1386 2 ปีที่แล้ว

    Masubwe

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 2 ปีที่แล้ว

    Mkuruzenzi