Rais Magufuli ‘amkaanga’ hadharani Mkurungenzi Butiama kisa mamilioni ya ujenzi wa hospitali
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2018
- Rais Magufuli amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiama mkoani Mara Mabula Alphonce kushughulikia haraka ujenzi wa Hospitali ya Wilaya hiyo, huku akibainisha kuwa tayari kuna fedha kiasi cha shilingi milioni 400 ambazo tayari zimetolewa.
Rais Magufuli amemuita mkurugenzi huyo mbele ya wananchi na kumtaka kuzitumia fedha hizo kwanza kabla ya kuomba fedha nyingine, huku akiahidi kumfuatilia.
Ni katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Septemba 6 kwenye Uwanja wa Mwenge wilayani Butiama, mkoani Mara.
Je ni wangapi siku ipiti Kama hawajaiona hotuba ya Shujaa wetu MAGUFULI?mie bado naumia tu kwakumpoteza Raisi wetu kipenzi cha WATANZANIA wanyonge Daima tutamkumbuka PUMZIKA kwa Amani Raisi wetu MAGUFULI 😭 😭😭😭😭
Watu tulikuwa tunafatilia kila ziara ya huyu mwamba maana utacheza na kujifunza pia
Me kila kuitwapo Leo nangalia hotuba yake Jembe LA kazi hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima saivi hatuna Rais wakutetea nchi yetu kwa Hali hii ya Watu kuwawa ovyo
Chozi langu miyeeee saiv wamebakia wapigaji tu.
Tutakukumbuka daima mwenyenzi mungu akupereke peponi
Mkuu had walinz wanatabasam kweli Hapa kazi tu
True leader never die rip Dr magufuri
Labda wateu tena kutoka kanda ya ziwa ndo tutapata Rais kama Gpm
I wish kenya had this kind of President. Kenya ni wizi tu
Rest in peace baba
Hakika utakumbukwa katika historia ya nchi yetu baba rest in piece jpm
Rest in peace Mungu akutunze
🤣🤣🤣 hiki chuma kilikuwa knaogopeka Wallah
RIP Kiongozi
Eti mkurugenzi mwenyewe kajaaa🤣🤣🤣 baba ulikua mtani wetu sana
Daaa huyu mwambaa ni genius
Hongera sana Mkuruzenzi mpya wa Butiama fanya kazi vizuri
amejiletileza mwenyewe😂😂😂😂😂
Ilike late magufuli saisi from Kenya
Magufuli bwana uliogopeka siyo mchezo, hatari Sana tulia mzee uko uliko
Balaa
I miss him 😥
Mh: Rais naomba utuongezee fedha mkuruzemkuzenzi mkurugenzi mpya😁😁😁
sakina we mnoko kweli ha ha ha
😁😁😁
Nimecheka hadi nimetokwa na udende, kwamba mkuruzenzi
Safi Magori 👍🏽👍🏽
It is historic and glorious time TZ went through
Safi mkurugenzi
Jembe kutuacha dah mungu ailaze roho mahala pema peponi amen
majamaa yakiwa yana hojiwa na Rais yana tamani utokee ufa yazame mazima a hari ya hewa inabadirika
R.I.P my Father miss you so much
daaa kweli wew ako ni kiboko mkurugenz anatetemeka
Alikua anaogopeka sio siri ila tunamupendaaaaaa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪💪💪💪💪
Daah mzee alkuwa anatisha aiseee,kwamba mkurunzinzi😁😁😁 r i p shujaa✊ nidham ilkuwepo,now tumeisahau tayar😢
Shukran
Rest in Peace Magufuli, you were the best leader I ever seen in Africa
Fact bro😭😭
In the world
Hatari sana
R.I.P AKUNA ATAKAE WEZA ZIBA PENGO
Hakika jamani inauma
Mungu akupumzishe salama
Nitakukumbuka daima uliupiga mwingi sana
Nitakuja kufuata nyayo za Mzee Magu bila kupepesa Mungu akupenda.
Huyu kiongozi hajawahi kutokea kabisa
Uyu mzee namvutia picha alivyo kuwa mwalimu mhhh
Mungu ni mwema
Aisee ww salimia mungu
Viongozi wa Kiafrica ndivyo walivyo.
We had one
Maguu Baba Tangu uondoke Tanzania nachokiona ni mapichapicha na ,miwani kubwakubwa lakini hakuna kinacho endelea
Zege halilali, tumalizane hapa hapa
Kiongozi wangu bora
Uncle ni Noma Wakurugenzi wanapata Wenge hadi kuongea wanashindwa
Magori be calm!
ahsante baba msimamo huo huo mpak kieleweke magufuli oyeeee
Duuu jamaa viongozi wengi wanatetemeka boss wako akikuhoji shidaa
alikua anatisha huyu baba. akikusogelea unaeza sema hii kazi bora niiache😀
I will like to work hard like magufuli
Tutakukumbuka daima
Mkurugenz ana mteru balaA R I P chuma😭
we miss you
Ok
0:40 mkurugenzi mwenyewe kajaa..🤣🤣🤣
May your gentle soul continue to rest in peace Uncle MAGU❤
😹😹😹🙈
Imiss you baba yetu
Uso wa chuma. JPM NENDA Kwa amani Mzee ulituonesha njia
Mkuruzenzi mpya uyo mmemuona jamaani
😂😂😂
Kama utani vile.R.i.p mwamba
Try
Kusimama mbele ya MAGU si mchezo
Presidente
Jetutapata jembe Kama Hilo?
Mwambaaaaaaa
Dah RIP
Machozi yananitoka jamani, huyu mzee apumzike kwa amani
anatetemeka. aiseee
Moto wa petrol uliozima ghafla
Mhh dunia hiiii
Remember u msguful
Mbavu zanguuu jamanii
yaan kajichanganya san ajamalza anaomba zingne
Lazima wanyooke..........me nadhani uyu mzeee kama atapenda awe mfalme wa TANZANIA INSHAALLAH
Akim Mbar go
Akim Mbwego p
Mjambo pls don't reduce your spliit
R.I.P mzee hakika ulikuwa mzalendo
Hakuna mwingine kama yeye Wala haitawai patikana
Jembe
Anko Sf Sana wanyooshe
Baba rest pc
Ivi huyu faza wetu alikuwa anjua kwamba watu wanamgwaya daaaa
Dai
We do we get such leader in Kenya.
Voici l'homme qu'il faut a la place qu'il faut ?
Mukurugez mwenyewe kajaa
Mkurugenzi mbona mbavu sana alfu anaongea kibos Bos alfu ndo ivo anaongozwa na jpm hahahaa
Pumuzika kwa amani babaagu nilikupenda saaaaana nahaipit siku bilakukufatilia katika mitandao naukizingatia wewe ndouliekuwa rais wangu wakwanza kukupigia kula tokaniigie kwenye mfumo wakupiga kula.
Kopkop tv
Sayendakasuka Kasuka lugimba
Mpumzika
Kwa
Amani
Hakika pengo lako halizibiki hata siku
Vg
Masho ga
XB
mkurunzenz,mkurunzenz yaani ni fullmchecheto
Mzee huyumuqu asaidiee hukokuzimu kupataraisi kamahuyu nizaidi yamwaka miyamoja
Baba tunaomba urudi bas jaman
huyo atakua mkurugenzi wa upinzani maana rais ndo anavowafanyia wapinzani
hahahahaha
Uyu mkurugenzi namjua anapenda mademu sio poa tupo nae mbezi bechi tuu uyu jmaa
Daima tutakukumbuka
Hutuba ya magufuli tarime
Magu
Nema ya kristo
Sayasuruu
Masubwe
Mkuruzenzi