Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Neno la Bwana Lililomjia Yona
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 พ.ย. 2012
- Neno la Bwana Lililomjia Yona likisema: " Ondoka, Uende Ninawi mji ule mkubwa ukapige kelele kwa maana uovu wake umetanda juu mbele za mungu." lakini Yona akaondoka kwenda Tarshishi
- เพลง
Mimi nikisikia tuu vyombo napata kupona kweli waliimba kwa ustadi huku roho mtakatifu akiwatumia ameen
Nyimbo hizi zina ujumbe wa kubariki na mafunzo ajabu ya Roho. Sifa ni kwa Mungu aliyewapa hawa ndugu na dada kipawa mashuhuri cha uwimbaji. Mbarikiwe sana. Mungu azidi kuwatumia.
Sijui kama mmefatilia hvyo vyombo vizuri vinavyopigwa,,Hawa watu waliujua sana muziki, MUNGU awape umri mrefu Kwa wale ambao bado wapo hai na Kwa wale ambao wameshatangulia mbele za haki MUNGU akawape pumziko la milele,nawapenda mno ulyankulu choir,nataman nijue japo mmoja wao anapopatikana niende nikamuone nitoe na sadaka yangu🙏🙏🙏
Hakka mungu aliwatumia ktk hak yote ujumbe mwema mavaz yaliyo tukuka wala akuna kuluka luka km ngwasuma za leo. Amen
Hakika MUNGU Awabariki sana waimbaji nyimbo zenu nifundisho kwawatu wote wenye mwili
Ila kwakwel zamani kulikuwa na vpaji halisi kutoka kwa mungu ebu sikiliza ujumbe pia kasome biblia ndipo utagundua hawa walimu walikuwa wanaongozwa na mungu mbarikiwe sana watumishi wa mungu
jamani hadi raha old is GOLD aisee h
izo nyimbo ujumbe twaupata sana mbarikiwe sana popote mlipo jamani hizo sauti zimenyooka tofauti na sasa watu wapata ujumbe wa dancing too
Nawapenda had naumwa,kwel mungu aliwapa kibar Cha kumwimbia
My Favorite till now. Ulyankulu Choir. Mungu awapende zaidi na awape Maisha marefu
Nice songs from our brothers TZ keep it up and have a blessed time.
huu wimbo uko na ujumbe wa kipekee na wanikumbusha nikiwa mdogo jumapili asubuhi nikijitayarisha kwenda kanisani.
Those days I was doing my Sunday School. I really miss this kind of Gospel ministry. Bless and Love.
Viva saaaaaaana Kwa Viumbe Choir
aksante kabisa MUNGU awajaliye ninyi na uzao wenu wote
huku rwanda nasi twamusifu mungu
Wimbo mzuri ulyankulu nawapenda sana na albamu zao zote , Wapiga gitaa mko vizuri sana . Mungu awabariki Sana.
Mungu awakum uke. Na awabariki pamoja na kizazi chao. Jameni.
Wakati huo injili ilikuwa inaimbwa kwa heshima ya hali ya juu, kiasi cha kufanya hata wale wasiosoma biblia wanaweza kupata neno kupitia kwaya lakini sikuhizi waganga njaa wameharibu kilakitu kwaajili ya pesa.
Hawa waimbaji mungu aliwajalia kilakitu..kwaajili ya kuwafikishia watu ujumbe.
Mungu anawaona ninyi wajumbe wa shetan mnaodislike nyimbo hizii
Sema Yona nae huyu mwamba alikua jeuri sana
Imagine for those many years lakini zabariki ajabu.Mungu awabariki walipo
Hizi ndio nyimbo za dini sio za sasa stail zimechanganyikana na nyimbo za kidunia
God bless our singers and give them a long time to life in the live to them. [AMEN]
Wakamkamataaaaaa na kumtupaaaa ❤❤ jan 2024
This Great Team is really Blessed by Its Great God...
Glory be to God.
Wamama walkua wakiimba wamejistiri sana
Ujumbe kamili kutoka kwa Bwana
2022 still on 🔥🔥🔥🔥
Nani nipo nae 2021
It reminds me of those good old days when god was worshiped with high respect and reverence. Tunabarikiwa tena 2020!
Mungu awatunze🙏
Sema Yona alikua jeuri sana
Nyimbo za dini za cku hizi majanga ukisema hutaki kumckia daimond ikienda kanisanini unakuta kwaya inadanc kama mond
kumsikiliza Mungu ni muhimu sana
INJILI KWA NJIA YA UIMBAJI ULIISHIA HAPO, CKU HIZI NI ndombolo
Nawapenda sana m'nanibatiki m'no,namungu azidi kuwabariki popote m'lipo,sio nyimbo zaleo watu wanakata miuno utafikiri wapo sokoni kujiuza
Ondokaaa,uendeee,ninawi mji ule mkubwaaaa,ukapige kelele kwamanaa uovu umepanda juu mbele zangu🙏🙏😭
Hats sauti zao pia zinapendeza
ziko na upakp ameni kutoka kenya
2019 ❤️❤️❤️
Namuomba sana Mungu azidi kunipa uzima siku moja nitawatembelea waimbaji hawa , Mungu awaweke hai pia ili hata niweze kuwaona baadhi yao kama itakavyompendeza Mungu wa Mbinguni.. Wabarikiwe sana na Mungu kwa injili yao inavyonigusa na kuwagusa wengine. Aaaammmmeeeeennnn
Ameeen itakuwa hvyo kwa JINA LA YESU
Wow watching this in 2018
ukiweza pata album ya Nzega town choir (amka usinziae) na Maluamo ( Enyi mataifa yote) tafadhali ziweke nazo!!
nyimbo Zuri xana.....❤ so inspiring ..nazipenda
Nyimbo zenye uvuvio wa roho mtakatifu
Kabisaw
Tanzanian
They actually burundians refuges
Nice song indeed ❤
ujumbe naupokea...napenda sauti nyororo, pia mavazi,sio kama ya wenye kujiita eti digital
Safi sana kwa nyimbo nzuri
These are beautiful memories
Zama hizo za injili tulikuwa tukiziimba kwa nidhamu siyo leo
Injili kwenye Ubora wake
Big up,nice songs
Tamu sana na mafunzo
Beautiful servants of God
Amen 🙏🙏🙏
These songs no number one.
Remind me years ago
Amen
Mie hata sichoki hata kama sioni wanavyoimba
Wakati ambao injili ilikuwa injili
September 2021 still watching mbarikiwe sasa
love it
Wow nakumbuka mbali sana
2020 whos here
amina
In God we trust fully
mungu awabariki kwaujumbe wenu
Sijui Kama waimbaji wa Leo wanaziona na kuskia nyimbo izi.
Safi Sana naomba hata namba za simu za moja wao kamazipo
It was when I am studying at ifunda school
ndio!
GWAMAKA MWAKYAMBIKI
Sikiliza namna hadi vyombo vilivyokuwa vikimtukuza Mungu 4:00
😍
Tutapata wapi waimbi Kama Hawa wapi jameni
Na wacheza vyombo waocheza kwa usitadi hivi ?
Bit
Sijui kama mmefatilia hvyo vyombo vizuri vinavyopigwa,,Hawa watu waliujua sana muziki, MUNGU awape umri mrefu Kwa wale ambao bado wapo hai na Kwa wale ambao wameshatangulia mbele za haki MUNGU akawape pumziko la milele,nawapenda mno ulyankulu choir,nataman nijue japo mmoja wao anapopatikana niende nikamuone nitoe na sadaka yangu🙏🙏🙏
Kabisa
Huyo anae piga gita yupo anaishi barabara ya 13 ulyankulu Tabora ( makazi ya wakimbizi wa Burudi )
Hao walikua wakimbizi wa kutoka burundi kabla kipewa uraia na alie kua rais wa awamu ya nne Kikwete .
Hata mm napenda kuonana nao sana
Mnopend kuonana na Ulyankulu tujuane tutafte namna tukawaon