1:40 waimbaji hawa walimaanisha kabisa ktk kumsifu Mungu hata ukiangalia sura zao ni uchaji mtupu nawaombea nafasi mbinguni kwa Mungu baba baada ya maisha ya hapa duniani
I give thanks to the Almighty for whoever composed this song for it is a blessing to many as it blessed my heart, and also made it known that human beings are special creatures before the Lord. May God Bless you "Maingi Mbai, Murang'a University"
Hakika MUNGU aliwapa macho ya rohoni katika kuieneza INJIRI watumishi wake, hakika maono yenu na upeo wenu Bado mnaendelea kutujenga daima nasi wa nyakati hizi kuendelea kutambua ya kuwa MUNGU ndiye asili ya vyote vionekanavyo na visivyoonekana. AMINA.
Glory to God. He created me in His own image and the bible continues to say that his creation to subdue and gives names to His creation. What an honour He gave us. This song reminds me 1980s Bibilia usema studio
Hakika wema wa Mungu ulikuwa kwa waimbaji Hawa, nakumbuka mwaka 97 kaka yangu alikuwa akiziweka hizi nyimbo Kila jioni baada ya kazi za kutwa, ukweli zimetufanya kuwa Neema mbele za Mungu. Mungu awabariki na kuwarehemu watumishi Hawa. Amina🙏
Glory be to GOD. This choir is so special. the songs reminds me of the preciours child memories and family members. The songs are purely bible words. God bless you dears so fearfully wonderfully a human was created. enjoying the songs from Italy
Nakumbuka hii kwaya ilikuwa inanisababishia kugombezwa mara kwa mara kwa kosa la kumaliza bettri. Zilikuwa bettrii za bello na wakati mwingine National. Dah! Kitambo raha sana. Hizi kwaya leo hazipatikani.
SAUTI ZILIZOPANGWA KWELIKWELI NATAMANI SANA KUKUTANA NA KWAYA HII, HUWA NASIKILIZA NYIMBO HIZI ZAO JUMAPILI KATIKA KIPINDI CHA NYIMBO ZA ZAMA BHB STUDIO KENYA NA MCHUNGAJI FESTUS KIMUYU BARIKIWA SANA KIKUNDI NZIMA AMINA
Thanks brethren. You are a blessing. I hope the same faithful God who gave you that grace has kept you through all those years, for a lot has changed since that time.
2024 huu wimbo bado unanibariki!
Wimbo huu haujachujaaaaa hadi leo hiii 2024
Abarikiwe sana alieweka kumbukumbu za hizi nyimbo! Zinanitia nguvu yakusonga mbele❤️❤️
This people did worship in true worship...am here 2024 bado nikiskiza nyimbo zao
Wapo wapi Hawa waimbaji kwa Sasa? Mungu aliwajalia nyimbo zenye mvuto,za ujumbe Bora na hazichuji utadhani umetoka Leo asubuhi!♥️🇹🇿🙏
Wengine nafikili washa lala
Bado wapo etii tn wanaimba
Wote wako uhai bythaway,,
@@JacksonMutinda-jw5qw kweli???
Wapo jaman
October 2024 Mungu mwema sanaaaaa Toka ningali mdogo Hadi sasa namshukur mungu kukua katoka kristo.
Wimbo mzuriii enzi na enzii bado unadumu mioyoni mwetu...2023
Whenever I miss my dad I come here to listen to this ....I know this song because of him....he still plays the whole album to date
Me 2
The song reminds me of my childhood days. Be blessed brethren...☺
1:40 waimbaji hawa walimaanisha kabisa ktk kumsifu Mungu hata ukiangalia sura zao ni uchaji mtupu nawaombea nafasi mbinguni kwa Mungu baba baada ya maisha ya hapa duniani
Nimebarikiwa zaidi since2004sijawahi kusikia huu wimbo tena Mungu awatende mema
Hizi ndio zilikuwa nyimbo enzi zetu, hazichuji aloo❤
i really recommend who ever composed this song..its so spiritual and educative.May God bless this choir team
Amen
Nakumbuka 1999 nikiwa Mbeya city Tz
Christmas 🎄 Mama alikua ana tu wekea tuna angalia ili tu enjoy
Wowww lovely, reminds me of early 90s listening to Biblia Husema programme whilst growing up in Kericho
Wimbo huu unanikumbusha wakati nilikata kauli kumkubali Yesu kama Mwokozi wangu, mnamo mwaka 2000. Nimeutafuta sana .
Kwa kweli waimbaji hawa walikuwa wakitumikishwa na Mungu, mubarikiwe tena kama mukingli hapa Duniani
2022 Bado inaishi maishani mwangu na inanibariki sana.
Ata mm aisee
When I hear flashback gospel songs my heart start beats slowly and steadily may God blesses you legends 👌
Natamani utoto jamani,,,,,nakumbuka tukiekewa cassettes hizi na Mama,bibi,babu aiseee mnanikumbusha mbali..Beautiful music
I will never ever forget a singe lyric in these songs
Mungu awabariki sana. Nyimbo hazichuji kabisa. Mko wapi jamani. ❤
I can't forget these songs, I feel good and blessed.
Hakika yesu ni watofauti
1988 mpaka 2024 bado ni wimbo bora kwangu
30 years on . This song is a great blessing]
Waimbaji wazuri sana nyimbo zenye ujumbe halisi. Wakina Habona
Huu wimbo hunibariki mno. Asante waimbaji.
Nasikia walikufa kwenye ajali ya Mv. Bukoba 97 😥😥😥😥. Miongoni mwa nyimbo za utotoni mwangu zilizonilea
Huu ni moja ya nyimbo iliyo na uwepo wa Mungu ndani yake kwa maana waimbaji hawakuwa mtazamo wa kibiashara
This choir has got good timeless Songs.. God bless these legends of Gospel industry
Hata leo nasikiliza tena hii wimbo
Ijapokuwa ni mpagani/athist lakini hapa ni pale talent,passion na originality vimekutana hizi zilikuwa good old days.
I give thanks to the Almighty for whoever composed this song for it is a blessing to many as it blessed my heart, and also made it known that human beings are special creatures before the Lord. May God Bless you "Maingi Mbai, Murang'a University"
This songs are very attractive you can even listen even from morning to night without getting tired
One hundreds years coming it Will remain that's songs
2023 bado nipo wangapi tupo
After asking myself endless questions because of the pain caused to me by people, God has brought this song to my mind. Glory to God
Wonderful song. Blessed this 2024 listening and reflecting
Kwel yan mnajua mungu awabarik popote mlipo .
Wimbo mzuri wa enzi zile. Mungu awabariki waimbaji!
Songs of all time (timeless)
katika viumbe vyote vilivyoumbwa, binadamu kaumbika kuliko vyote.
Hakika MUNGU aliwapa macho ya rohoni katika kuieneza INJIRI watumishi wake, hakika maono yenu na upeo wenu Bado mnaendelea kutujenga daima nasi wa nyakati hizi kuendelea kutambua ya kuwa MUNGU ndiye asili ya vyote vionekanavyo na visivyoonekana. AMINA.
I wish one day any promoter to prepare an event where all the old choirs and singers will meet and perform their old hits
Glory to God. He created me in His own image and the bible continues to say that his creation to subdue and gives names to His creation. What an honour He gave us.
This song reminds me 1980s Bibilia usema studio
Hakika wema wa Mungu ulikuwa kwa waimbaji Hawa, nakumbuka mwaka 97 kaka yangu alikuwa akiziweka hizi nyimbo Kila jioni baada ya kazi za kutwa, ukweli zimetufanya kuwa Neema mbele za Mungu. Mungu awabariki na kuwarehemu watumishi Hawa. Amina🙏
Hivi wako hai kweli. Aki nakumbuka mbali sana ❣️❣️❣️❣️
Nyimbo za hil kundi ki ukweli wamejaaliwa Sana, nyimbo zao ukizisikiliza kw makini zaweza kukutoa machozi, m'barikiwe sana
Always I'm Blessed with this songs
We used to listen to this song on a cassette back in 1995.
Nakumbuka mbali Sana miaka hyo
Namkumbuka enzi hizo walipatika Makazi ya Ulyankukulu Wilaya ya Urambo ambapo kwa Sasa Ni Wiliya ya Kaliua Mkoa wa Tabora ukweli walivuma sana
Hallelujah Mungu ni mwema. Waimbaji hawa walitubariki sana kwa nyimbo zao. Amina
Kwa kweli kwaya hii kwa viumbe vyote . mungu awabariki
Nimeupenda sana wimbo.walinizunguka kama nyuki st.veronika mko juu
Mm ulibariki sana huu wimbo 1992
Glory be to GOD. This choir is so special. the songs reminds me of the preciours child memories and family members. The songs are purely bible words. God bless you dears so fearfully wonderfully a human was created. enjoying the songs from Italy
nyimbo bora kwa wakati wote. kazi nzuri ibarkiwe daima.
this is very very old song, i bought this choir tape 18 years ago in Arusha
Bado tupo hapa 2020, nyimbo ni tamu sanaaa
Nakumbuka hii kwaya ilikuwa inanisababishia kugombezwa mara kwa mara kwa kosa la kumaliza bettri. Zilikuwa bettrii za bello na wakati mwingine National. Dah! Kitambo raha sana. Hizi kwaya leo hazipatikani.
Dah hatari sana betrii za national
2024 nko uku in full force.i belong to tbt❤
SAUTI ZILIZOPANGWA KWELIKWELI NATAMANI SANA KUKUTANA NA KWAYA HII, HUWA NASIKILIZA NYIMBO HIZI ZAO JUMAPILI KATIKA KIPINDI CHA NYIMBO ZA ZAMA BHB STUDIO KENYA NA MCHUNGAJI FESTUS KIMUYU BARIKIWA SANA KIKUNDI NZIMA AMINA
Mungu awabariki sana waimbaji wa wimbo huu, na mtunzi wa wimbo huu.
Nice music ever🙏🙏may continue blessing them wherever they're 🙏
Mulitumika vizuri mungu atawalipa
Wamama walipendeza sana umo
Mungu awabaliki popote mulipo
Mungu awabariki sana hawa waimbaji walinibariki ni kiwa mdogo.
My favorite since 1990.. Touches heart so much. God bless them richly
Barikuwa aliye weka huu wimbo
This song has is still tops since 1980s to date
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉😂😅
Huu wimbo nakumbuka miaka ya tisini na kitu nikiwa mdogo Kuna wapangaji walikuwa wanaupenda Sana
Mwaka wa1994 nilikuwa nasikiya iyi nyimbo wayimbaji wakingali paka sasa yivi nazani siyo wengi
Waimbaji wa sasa pia Mungu anawatumia warekebishe mambo madogo madogo
Mungu na hawabariki tu sana
2023 pita na likes
Kuna mtangazaji alikua analeta hizi nyimbo Kila Sunday morning in 1990s hadi 2000 from KBC nairobi.Alikua anaitwa nani???
Enzi hizo...hata kuzaliwa bhado.Nyimbo nzuri sana
Mungu awabariki sn Wana mwaya ya Ulyankulu❤❤
This is not MAPIGANO CHOIR ti is BARABARA YA 13 ULYANKULU CHOIR, please correct
Nyimbo ambazo hazichuji maishan mwangu
Thank you Jesus for having created me the greatest product on earth
All depends in sake of God's love and not our thoughts,thanks God for your creatures.
Thanks All powerful GOD...the creator of everything...you are greater...Amen
Amen . Mungu atukuzwe kwa wimbo mzuri
Thanks brethren. You are a blessing. I hope the same faithful God who gave you that grace has kept you through all those years, for a lot has changed since that time.
Najivunia huu wimbo
5-5-2099 still watching this beautiful song ❤
Thanks Jesus Almighty God For Making me don't me Perish
Those servants of God still a live?
Praise be to God for the beautiful and wonderful song
When ever I listened to the song I thank God for creating me human being
Very amazing song ❤❤❤
Nakumbuka 1998
Barikiwa sana 🙏 🙌 👏 amen amen 🙏 🙌 👏 wimbo safi sana 🙏
Hawa walikuwa ni waimbaji wa kipekee sana walikuwa wanaimba na kuweka picha za kile wanachokiimba siku hizi ni mastepu ndio yanayoonyeshwa:
The wonderful song, ever forgotten
Tu❤nawapenda Kwa ujumbe wa kutumbusha mmbarikiwe sana Kwa vipawa na kuvitumia kwaajili yake
Nyimbo bora kwa karne zote
Wimbo tamu
Indeed old is Gold, thank you God this far, you're Ebenezer
Kweli waliimba vizur
God bless you all.Your songs were purely from the holy spirit
Nabarkiwa.sana
Wow, this songs bless me to date. I miss you servants of God
Nyimbo hiyo bora sana kwa binahdamu
Mungu Atusamehe maana tu wepesi kusahau.