Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu kwa kuwa mwalimu na mwelekezi wangu nikiwa nchi hii ya ugeni ambako hakuna mahubiri kama haya..asante kuyaleta mitandaoni...niko Saudi Arabia from Kenya
tunashukuru mm nimepata kuelewa sana kupitia wewee asanteeee sana mungu akupe miaka ming ukomboe weng kupitia wewee nikwel watu weng wanaona aibu kusali sabato kisa wataonekana washamba lakin akiambiwa mroma anaonekana mjanja zote hizo ni mbinu za shetan tu hamna kingne lakin shetan kaifedhehesha sabato ya mungu ili watu waite et ni siku c din jaman mbona mungu ameikazia sana sabato inamaana nayye aliiabudu siku??? maana amesema mkinipenda mtazishika sabato zangu sasa hapo vip mbona hajasema mkinipenda mtaishika siku ya kwanza ya juma ?? fikiri chukua hatua mpendwa na sio wasabato kuwa wanaishika siku hapana wanaikumbuka siku iliyotakaswa na mungu mwanzo 2:2--3
Mungu akuongoze mtumishi wa Mungu..akuna kanisa linalo weza ongea aya ...makanisa mengi yamesimama kwenye maombi ya baraka na miujiza na sio kumtafuta Mungu wa kweli na ibada ya kweli ....wengine wanakufa kwa kukanyaga mafuta 🙄🙄kweli jesus kasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa
Jaman sisi sote ni wapitaji tu katika dunia cha msingi shika ulichonacho asije muovu akakubeba hatuokolewi kwa uwezo wetu bali ni kwa neema ya Yesu pekee
Amina sana, Mungu akubariki kwa kuwa mfuatiliji mzuri wa mikutano hii, endelea kushirikisha wengine mibaraka hii, tukiendelea kujiandaa kumlaki Kristo ajapo Mara ya pili
hata yesu pia nae aliitunza SABATHO luka 4:16 je wewe nan hutak kuitunzaa sabato .Ama kweliii sabato ni ya mungu hakika imesimikwaaa na mungu mwenyewe haleluyaaaa
Ameen
Umekua mwalimu wangu......barikiwa sana
Amen
Well done Eng Machota
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu kwa kuwa mwalimu na mwelekezi wangu nikiwa nchi hii ya ugeni ambako hakuna mahubiri kama haya..asante kuyaleta mitandaoni...niko Saudi Arabia from Kenya
Nakubali mtumishi
Leo nimeona sehemu popu ameruhusu ndoa za jinsia moja..apa maandiko yanatimia kutoka ktk Daniel na ufunuo wa yohana
Nashukuru xanaaa Mtumishi maana umenifundisha Mambo mengi kuhusu kuijua kweli
Ndunia iko ukingoni kweli mambo ya bibilia sasa yanaendelea kuonekana na kutimia
Hakika nimepata kitu chakuondoka nacho
Ukweli mchungaji mashalti mazuri barikiwa
tunashukuru mm nimepata kuelewa sana kupitia wewee asanteeee sana mungu akupe miaka ming ukomboe weng kupitia wewee nikwel watu weng wanaona aibu kusali sabato kisa wataonekana washamba lakin akiambiwa mroma anaonekana mjanja zote hizo ni mbinu za shetan tu hamna kingne lakin shetan kaifedhehesha sabato ya mungu ili watu waite et ni siku c din jaman mbona mungu ameikazia sana sabato inamaana nayye aliiabudu siku??? maana amesema mkinipenda mtazishika sabato zangu sasa hapo vip mbona hajasema mkinipenda mtaishika siku ya kwanza ya juma ?? fikiri chukua hatua mpendwa na sio wasabato kuwa wanaishika siku hapana wanaikumbuka siku iliyotakaswa na mungu mwanzo 2:2--3
Mungu akuongoze mtumishi wa Mungu..akuna kanisa linalo weza ongea aya ...makanisa mengi yamesimama kwenye maombi ya baraka na miujiza na sio kumtafuta Mungu wa kweli na ibada ya kweli ....wengine wanakufa kwa kukanyaga mafuta 🙄🙄kweli jesus kasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa
Jaman sisi sote ni wapitaji tu katika dunia cha msingi shika ulichonacho asije muovu akakubeba hatuokolewi kwa uwezo wetu bali ni kwa neema ya Yesu pekee
Napenda mahupiri yako sana Mungu akuongezeye na akupariki
Napenda mafundisho yako
Mungu akubariki Sana
mwinjilist mung akubariki sana tukumbushe tuluoanguka katika kweli ya biblia
mwinjilist mungu akubariki sana maana hauipotosh kweli ya biblia
Mungu akubirk sana mwinjilist
Brother Ubalikiwe
Asanten sana watumishi wa Bwana Balaka za Bwana na Amani yake yawe kwenu daima.
Amina sana, Mungu akubariki kwa kuwa mfuatiliji mzuri wa mikutano hii, endelea kushirikisha wengine mibaraka hii, tukiendelea kujiandaa kumlaki Kristo ajapo Mara ya pili
@@MwinjilistiMachota Ahsante Sana Mtumishi Wa Mungu Mwenye Nguvu Na Uwezo Wote. Pokea Salaam Zaangu
hata yesu pia nae aliitunza SABATHO luka 4:16 je wewe nan hutak kuitunzaa sabato .Ama kweliii sabato ni ya mungu hakika imesimikwaaa na mungu mwenyewe haleluyaaaa
I'm blessed
Mtumishi Wa Mungu mimi ni mlokole je ? Walokole na sisi tu watoto wa mama wa makahaba ( R.C)
Tafadhali nisaidie katika hilo
Abarikiwe mtumish wa Baba, iende mbele injili hiyoooo
jibu ni ndio Emma
Unaabudu juma ngapi
Ubarikiwe Sana mwinjiristi