Siku nikilala mauti

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 405

  • @NabiiJamesNyakia
    @NabiiJamesNyakia 3 ปีที่แล้ว +71

    Kama ulikuwa mpenzi wa nyimbo zake, gonga like hapa na Mungu akubariki sana. Tuunge mkono kazi zake
    Kama unampenda Mungu sema amina
    Kama unaamini na wewe ipo siku utakufa sema tena aminaa

  • @ezechielnshimirimana8696
    @ezechielnshimirimana8696 ปีที่แล้ว +6

    Mungu wa Islael amuraze mahari pema,nyimbo hiyi inanibariki sana,siku nikirara

  • @alextuza9892
    @alextuza9892 3 ปีที่แล้ว +274

    Kama unaangalia ii nyimbo baada ya kusikia msiba wake gonga like apa tujuane..

    • @matildasaili1981
      @matildasaili1981 3 ปีที่แล้ว +5

      Nasikitika sana ameondoka mwimbaji

    • @lisayusuphu9195
      @lisayusuphu9195 3 ปีที่แล้ว +4

      pumzika kwa amani my pastor

    • @adamfundikira1620
      @adamfundikira1620 3 ปีที่แล้ว +3

      @@matildasaili1981 nasikia chozi maana siijui siku yangu

    • @janegeogre3234
      @janegeogre3234 3 ปีที่แล้ว +1

      tupo hapa

    • @saumuomary2117
      @saumuomary2117 3 ปีที่แล้ว +1

      Apunzike kwa jamani nimeumia sana

  • @richardnixon3663
    @richardnixon3663 3 ปีที่แล้ว +9

    Mkuu....,Kamanda.... ahsante kwa msimamo wako kwa injili. Wewe ni Jemedari katika ufalme,usafiri salama,tutaonana tena siku ile ya kufufuka.Pumzika baba

  • @championtv255
    @championtv255 3 ปีที่แล้ว +9

    Nilikua mwizi wamboga sana katika makuzi yangu.ila nilipoanza kuackiaga hizi nyimbo zilinisaidia Sana nikaanza kupunguza wizi.alinisaidia kuanza kubadilika kweli

  • @kingmwaxoh6420
    @kingmwaxoh6420 3 ปีที่แล้ว +19

    pumzika kwa amani kamanda mwendo umeumaliza imani umeilinda, hakika tutakukumbuka sana. tutatesa milele itabaki kuwa moja ya album zenye nyimbo zinazoishi

  • @agnesngailo3921
    @agnesngailo3921 3 ปีที่แล้ว +43

    Ooh my God😭😭😭😭tutakukumbuka daima baba.. Siku nikilala mauti! Heri wenye moyo safi watakwenda, nyimbo zako zitaendelea kuishi..mi nazipenda sana nyimbo zako kwangu ni mpya kila wakati ninapozisikiliza na kuziimba 😭 Eeh Mungu tusaisie tumalize mwendo salama 😭 R I P mtumishi wa Mungu Ephrahim Mwansasu 😭 tulikupenda sana lakin yatupasa kumshukuru Mungu🙏🙏🙏 🙏

    • @vascomwansile8140
      @vascomwansile8140 3 ปีที่แล้ว

      Maombolezo kwa mtumishi wa MUNGU E mwansasu RIP

    • @zawadibenadi8146
      @zawadibenadi8146 3 ปีที่แล้ว

      daaa jamani shida nini ilikuwa nini mpka umauti kumkuta mwamba huyu wa gospal

    • @graceambilikile7442
      @graceambilikile7442 3 ปีที่แล้ว +1

      Ameniumiza sana mtumishi Mwansasu, lala salama mjomba kazi zako ulizoacha zitadumu milele

    • @jovianbrighton7924
      @jovianbrighton7924 3 ปีที่แล้ว

      Daa😥

    • @jestinabenedict4620
      @jestinabenedict4620 3 ปีที่แล้ว

      KWAKWEL KAMA VITA AMEVIPIGA NAKZ AMEMALIZA AKAPUMZIKE

  • @lenkbizzy30
    @lenkbizzy30 3 ปีที่แล้ว +15

    Nilinunua hii album kwa mbinde sana maana hali ilikua ngumu na ndio ilikua album yangu ya kwanza ya injili... Amegusa watu wengi sana na amefanya/ ameshawishi vijana wengi kuimba as solo artist. 🙏🙏🙏🙏 Rest in power baba 🙏 🙏

  • @johnaugustino7959
    @johnaugustino7959 3 ปีที่แล้ว +3

    Hakika mwendo umeumaliza mtumishi wa mungu na kamwe hautosahaulika kwa nyimbo zako daima.

  • @simionnyengele428
    @simionnyengele428 3 ปีที่แล้ว +11

    Nimeushika huu wimbo tangu nikiwa mdogo sana hakika nakumbuka mbali sana mtumishi.barikiwa Sana Baba

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 ปีที่แล้ว +8

    Nimeumia kuskia ulifariki, rest in peace ulitoa huduma kupitia nyimbo, Mungu akupe tunzo mbinguni

  • @erickmbua5034
    @erickmbua5034 3 ปีที่แล้ว +13

    Kweli umelala daaaah mwimbaji wangu Bora kabisa wa wakati wote

  • @rkyaruzi
    @rkyaruzi 3 ปีที่แล้ว +11

    Pumzika kwa amani! Nimetafuta nyimbo zako kukumbuka uhai wako😭

  • @lilianalunyi348
    @lilianalunyi348 3 ปีที่แล้ว +16

    Rest in peace servant of God. This song was a great prophecy...pumzika kwa amani

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 2 ปีที่แล้ว +5

    Nice song powerful message

  • @salomehaonga2863
    @salomehaonga2863 3 ปีที่แล้ว +5

    Zidi kupumzka kwa aman baba Mungu peke yake aimulike ile nuru ya milele upumzke kwa amani ,,,,awe faraja ya familia yako baba,,,mtumishi

  • @emanuelmbise2192
    @emanuelmbise2192 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akulinde na akupe tu amani ya milele nyimbo zako zinaishi kama upo vile du pumzika pot

  • @mariajoseph5347
    @mariajoseph5347 2 ปีที่แล้ว +8

    Hakika Baba umelala mauti na hakuna alieweza kukuamsha😭😭😭😭😭
    Isipokua Mungu Mwenyewe ndiyo awezae kukuamsha ile siku ya misho 😭😭😭
    Pumzika kwa Amani Baba 🙏

  • @NaomiMwiituWaTata
    @NaomiMwiituWaTata 2 ปีที่แล้ว +13

    I loved your songs and still love them, you were a true Gods minister, rest in eternal peace.

    • @wilsonletu9243
      @wilsonletu9243 ปีที่แล้ว +1

      What am shocked, what happened?

    • @naomytom1646
      @naomytom1646 ปีที่แล้ว

      Kwani alikufa ak 😭😭😭ni mara yangu ya kwanza kuutegea huu wimbo umenigusa saana

    • @NaomiMwiituWaTata
      @NaomiMwiituWaTata ปีที่แล้ว

      @@naomytom1646 ni mipango ya Mungu tu

    • @jamesshimba8755
      @jamesshimba8755 10 หลายเดือนก่อน

      00000000000000000ⁿ

  • @shukranimwasilembo1763
    @shukranimwasilembo1763 3 ปีที่แล้ว +6

    Kwaheri baba, tunamshukuru Mungu kwa maisha yako hapa duniani..umevipiga vita vilivyo vizuri mwendo umeumaliza Imani umeilinda 😭😭😭😭😭

  • @davidmumo2512
    @davidmumo2512 2 ปีที่แล้ว +9

    I salute you God's general,I heard you for the first time preaching the gospel at Mikindani Msa it was gospel with manifestation of the power of God R.I.P till we meet again.

    • @NaomiMwiituWaTata
      @NaomiMwiituWaTata 2 ปีที่แล้ว

      He was realy a Gods called minister, sikujua aliaga R. I. P

  • @janethsamson7919
    @janethsamson7919 3 ปีที่แล้ว +4

    Tutakukumbuka Diama ...Nimeanza kusikia NYIMBO zako nikiwa mdogo..hadi nimekuwa sijaacha kusikiliza nyimbo zako😭😭😭R.I.P

  • @trainertz3805
    @trainertz3805 3 ปีที่แล้ว +14

    R.i.p Umelala na nina imani umelala mkono wa bwana,huu wimbo utakuwa faraja kwa wafuasi wa nyimbo zako na ndugu zako kwa ujumla,Tukutane jerusalem mpya.

  • @fedrickeliezer5521
    @fedrickeliezer5521 3 ปีที่แล้ว +26

    R.I.P my lovely father of gospel songs,,, ikitima

    • @kellyanekeya2738
      @kellyanekeya2738 3 ปีที่แล้ว

      I'm deeply wounded by His Excellency Bishop Ephraim Mwansasu's demise....
      Holy God has harvested his Holy Product.
      R .I.P

  • @jacksonsungwana2344
    @jacksonsungwana2344 ปีที่แล้ว +7

    Prophetic song!Rest in peace Mwansasu

  • @davidjumanne9950
    @davidjumanne9950 3 ปีที่แล้ว +13

    Ndg na jamaa wataliaa lakn hata hvo stowaskia,,,,😭😭😭😭😭

  • @yusuphmtitu3089
    @yusuphmtitu3089 4 ปีที่แล้ว +10

    Wimbo uliojaa ujumbe mzuri

  • @agneseddy5891
    @agneseddy5891 3 ปีที่แล้ว +8

    Rest In peace Mtumishi wa Mungu...Swali ni moja tuu tukilalal tuna lala ktk nani?...Bwana Yesu nipe mwisho mema

  • @paschalntahondi1190
    @paschalntahondi1190 3 ปีที่แล้ว +7

    Hakika Kaka nyimbo zako zinatisha mungu akubaliki

    • @benardmunyao6281
      @benardmunyao6281 3 ปีที่แล้ว

      Woooi😭😭😭😭pumuzika kwa amani mtume....

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 3 ปีที่แล้ว +3

    Hakika umelala Efrahim Mwasansu umemaliza kazi uliyoitiwa na Mungu baba

  • @monicamabula3278
    @monicamabula3278 3 ปีที่แล้ว +6

    Kwa huu wimbo unanionyesha Dunia tunapita tangulia Mwansasu huduma yako haikuwa bure mbele za Mungu

  • @stevemulasteve2858
    @stevemulasteve2858 ปีที่แล้ว

    Mungu akupe Raha ya milele Raha ya milele umpe we bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani amina

  • @edgarmwandemani1590
    @edgarmwandemani1590 2 ปีที่แล้ว +18

    Umelala usingizi wa milele, umetuachia wimbo unaotukumbusha siku zetu za mwisho. Rest well Ephraim, the true melody of Nyakyusa.

  • @geraldmhagama1055
    @geraldmhagama1055 4 ปีที่แล้ว +4

    Nyimbo zako zote zpo good pia znaujumbe mwenye kuxikia amexikia mungu akubarik mtumixh wa mungu uzdi kuxonga mbele

  • @isayamwasile3103
    @isayamwasile3103 3 ปีที่แล้ว +18

    R.I.P Gospel music Legendary

  • @happymollel9705
    @happymollel9705 2 ปีที่แล้ว +4

    Am really blessed by this song

  • @jenalajohn1431
    @jenalajohn1431 2 ปีที่แล้ว

    Pumzika kwa Amani Kaka Mwambie Mosesi Krola Imani tunailinda

  • @yesuarankunda4492
    @yesuarankunda4492 3 ปีที่แล้ว +7

    🙈🙈🙈😭😭😭😭Eee Mungu wangu unisamehe dhambi zangu,R.I.P pastor 😭😭😭😭😭😭

  • @rhodandubulayohana4126
    @rhodandubulayohana4126 3 ปีที่แล้ว

    Mwendo umeumaliza alama umeiacha nenda shujaa Vita njema umepigana Imani umeilinda🙏🙏

  • @peterabwaro6440
    @peterabwaro6440 2 ปีที่แล้ว +1

    Akika wimbo umetukumbusha nyakati zijazo, ee mungu tuongoze.

  • @josephclemence4441
    @josephclemence4441 3 ปีที่แล้ว +6

    Unaimba vizuli Sana 👏👏👏

    • @princebruno1924
      @princebruno1924 3 ปีที่แล้ว +1

      Finally he rest in peace 😭😭😭😭

  • @ezekielenock4650
    @ezekielenock4650 ปีที่แล้ว +1

    Lala salama huko Mtumishi nakumbuka sana nyimbo zako

  • @esthermariwa635
    @esthermariwa635 3 ปีที่แล้ว

    Baba nitakukumbuka sana baba dah mwansasu tangulia baba utuombee Kwa mungu

  • @jeanettebyamungu1609
    @jeanettebyamungu1609 ปีที่แล้ว

    Duniani sote tu wapitaji , Mungu tupe neema ya mwisho muzuri baba

  • @matayhando6519
    @matayhando6519 3 ปีที่แล้ว +3

    Hongera na barikiwa mtumishi

  • @victoriatamba5830
    @victoriatamba5830 2 ปีที่แล้ว +1

    Umelala baba dah Siamini kabisaa wala siku hiyo sikujua kama umekufa najua kwenye mtandao dah kweli nipo busy Naomba Mungu aniafanyie wepesi nitubu leoo

  • @paulmayunga2006
    @paulmayunga2006 ปีที่แล้ว +1

    R.I.P my Brother Dickson Mayunga,you loved this song

  • @noelkasheshe7602
    @noelkasheshe7602 3 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa Amani Mtumishi wa Mungu E.Mwansasu Daima tutakukumbuka xana Mafundisho yako ya Mungu Kupitia Nyimbo Zako.

  • @eliathomas8446
    @eliathomas8446 3 ปีที่แล้ว +1

    Imeniuma mnoo kiasi kwamba nataman tungelikufa Mimi na yeye but nakumbuka Sina hata jema nililomfanyiaMungu ndipo Sasa nasema Bora mtumishi wa Mungu yeye keshaifanya kazi ya Mungu mpaka kafikia hapo alipofika na Mungu anisamehe kwa kujiwazia kifo Ni kwamba imeniuma Sana😭😭😭 😭😭😭

  • @nickmoshi8243
    @nickmoshi8243 3 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika Mtumishi wa Mungu, umetumikia shauri la Bwana kwa muda uliopewa hapa duniani

  • @godgiver100
    @godgiver100 3 ปีที่แล้ว +1

    Hatimaye umelala baba na huwezi kutusikia tena. Tutakukumbuka.

  • @paul1985ization
    @paul1985ization 3 ปีที่แล้ว +13

    R.I.P mtumishi wa Mungu. Wimbo huu ni utabiri tosha!

  • @agineshalison96
    @agineshalison96 3 ปีที่แล้ว +3

    Daaah ni huzuni sana RIP Bishop mwansasu

  • @gloriajohn9061
    @gloriajohn9061 3 ปีที่แล้ว

    Inaumiza sana but ni mpango wa MUNGU Ameeeen

  • @mwambinguphilip55
    @mwambinguphilip55 3 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Kenya tutakumiss mtumishi kwa huduma yako

  • @llorentefreddie9071
    @llorentefreddie9071 3 ปีที่แล้ว +7

    God bless you

  • @japhethmbusyamwanaufufuona4646
    @japhethmbusyamwanaufufuona4646 3 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 naumia moyo aiseh! inaniuma sana baba kwa kutangulia mbele za haki mapema hivi. Sina budi kukumbali,,vita umevimaliza mwendo umeumaliza. Pumzika kwa amani. Wasalimie Angela Chibalonza,,Emmachichi,,fanuel sedekiah,,na wengineo

  • @bukuruphilibert8658
    @bukuruphilibert8658 3 ปีที่แล้ว

    Ukiambiwa uhai wa nyimbo ndio hii nyimbo iliimbwa zaman lakin inaishi milemile watunzi tumwombe Mungu atupe nyimbo zinazoishi tuache nyimbo za majungu mambo ya kizungu zungu kimewapata zishapitwa

  • @blessedkuya993
    @blessedkuya993 3 ปีที่แล้ว +10

    Soldiers dont die,the rest and sleep well...sleep well God's general.

  • @vannyg4271
    @vannyg4271 2 ปีที่แล้ว +4

    R.i.p brother we will met again Glory of God

  • @catherinelandas3711
    @catherinelandas3711 3 ปีที่แล้ว +6

    Nmemkumbuka sana aunt yangu. Rest in peace my lovely aunt

  • @frankyohana208
    @frankyohana208 3 ปีที่แล้ว

    HEBU LIONDOE WAZO HILOOOOO YAKWAMBA UTATUBU UTAKAPO KUFAA,,,,dah R.I.P

  • @lordrichreuben1446
    @lordrichreuben1446 3 ปีที่แล้ว +1

    Daah huyu jamaa alikuwa chanzo cha iman yangu kukua kila kukicha kila ninaposikiliza nyimbo zake R.I.P

  • @user-jm3fq8tb9s
    @user-jm3fq8tb9s 10 หลายเดือนก่อน +1

    🎉mungu u mwema

  • @neemasteven7372
    @neemasteven7372 3 ปีที่แล้ว +1

    Hatimae umelala pastor na tunalia kwl lakin hautusikii....tuonane bandarini kule

  • @Lumegilemukata
    @Lumegilemukata 3 ปีที่แล้ว +7

    Mbele yake,nyuma yetu😭😭,,R.I.P Mwansansu

  • @jofreysinchenje1995
    @jofreysinchenje1995 3 ปีที่แล้ว

    Duh,aridhi imetafuna Legendary wengi Sanaa

  • @kasisimashaka389
    @kasisimashaka389 ปีที่แล้ว

    Mungu..akuagaziye..wgawamilele

  • @luluemmanuely6390
    @luluemmanuely6390 3 ปีที่แล้ว +9

    Rest easy pastor😭😭😭

  • @rehemamtenda3032
    @rehemamtenda3032 3 ปีที่แล้ว +2

    Neno la Mungu linaishi ubarikiwe sana

  • @reubenlucumay1929
    @reubenlucumay1929 11 หลายเดือนก่อน

    Nilikupenda Kwa uimbaji wako wa pekee ila Sina Namna brother huko uliko ulipata Taji la kuongoza Malaika 😢😢😭

  • @jeanpaulmpfubusa3873
    @jeanpaulmpfubusa3873 2 ปีที่แล้ว

    Mungu awabaliki saaaana

  • @emmynyange3594
    @emmynyange3594 3 ปีที่แล้ว +9

    😭 so sad Rest In Peace Man of God

  • @esterswai7843
    @esterswai7843 3 ปีที่แล้ว +12

    Rest in peace pastor

  • @thobiaslaizer9547
    @thobiaslaizer9547 หลายเดือนก่อน

    Pumzika Kwa aman mchungaj nakumbuka mikutano Yako kule kyela nimelia sana

  • @ireenmichael131
    @ireenmichael131 3 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭 R I P baba wa iman pumzika katika yeye atupaye uhai umetangulia mbele yako nyuma yetu baba inauma ilaa hatuna budi😭😭😭😭😭🙆😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @jylishura7665
    @jylishura7665 3 ปีที่แล้ว +7

    RIP my pastor.

  • @StephenMJohn-hx8gu
    @StephenMJohn-hx8gu 3 ปีที่แล้ว +7

    R.I.P Bishop Ephraem Mwansasu

  • @user-wp4ji9hk5d
    @user-wp4ji9hk5d หลายเดือนก่อน

    Jamani sikama nimemwona boney mwaitege

  • @agnesskombe712
    @agnesskombe712 2 ปีที่แล้ว +2

    So sad,RIP pastor mwasau

  • @agineshalison96
    @agineshalison96 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilivosikia umefarikia nikaingia TH-cam kuusikikiza tena wimbo Huu, hakika duniani tu wapitaji, RIP Bishop Mwansasu, hakika tunalia kuondoka kwako.

  • @EmmanuelDaka-nu2dh
    @EmmanuelDaka-nu2dh ปีที่แล้ว

    Touchable message

  • @JohnjuliusJohnjulius
    @JohnjuliusJohnjulius 3 ปีที่แล้ว +4

    Bwana alitoa na Bwana ametwaa.RIP EPHRAIM

  • @tumainimligo3079
    @tumainimligo3079 3 ปีที่แล้ว +11

    Rest in peace, man of God

  • @mackdoni2273
    @mackdoni2273 3 ปีที่แล้ว +4

    Hakika utakua mgeni wanani wakati kifo kikitika R.I.P man of God 😭🙌

  • @IbraKasongwa
    @IbraKasongwa 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akulaze mahala pema pepon

  • @irenejohn8194
    @irenejohn8194 3 ปีที่แล้ว +10

    Rest in peace 😭😭😭😭

  • @leahgerus2041
    @leahgerus2041 3 ปีที่แล้ว

    Jamani mungu amemchukua mtoto wake

  • @domitirajames2196
    @domitirajames2196 3 ปีที่แล้ว

    Sio utabili nimuongozo haris wa maisha ya binadam ambao hauta kaa ubadilike

  • @gasper-vk3sb
    @gasper-vk3sb 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akupumzishe mahali pema peponi amina mch.mwansasu

  • @ngagaonesmo4521
    @ngagaonesmo4521 2 ปีที่แล้ว

    Good song

  • @salomehaonga2863
    @salomehaonga2863 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wangu unaliza huu wimbo

  • @ruthmunthali
    @ruthmunthali ปีที่แล้ว

    Mungu amlaze mahali pema peponi,

  • @rojazslojazz4287
    @rojazslojazz4287 3 ปีที่แล้ว +2

    Da huyu jamaa anajua sana

  • @joycemwankuga2233
    @joycemwankuga2233 3 ปีที่แล้ว +3

    Lala salama Mtumishi wa Mungu

  • @cosmaskomba2723
    @cosmaskomba2723 3 ปีที่แล้ว

    Hatimae neno limetimia, pumzikla kwa amani bishop mtumishi wa Mungu

  • @user-hb8lb4zi3z
    @user-hb8lb4zi3z 11 หลายเดือนก่อน

    Pumzika kwa amani mwaka 2023, hiyo.

  • @scholasticahawuor1724
    @scholasticahawuor1724 3 ปีที่แล้ว +2

    It was last year when you came to our church now you are no more😥😥😥😥😥😥😥you will be miss....rip

  • @babymalisa3259
    @babymalisa3259 2 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa amani baba😭😭😭

  • @mariamwaikeke6240
    @mariamwaikeke6240 3 ปีที่แล้ว +9

    Rest in peace father of gospel😭😭😭😭😭