USTADHI DANIEL AWACHARUKIA WACHUNGAJI WA MIUJIZA KAMA MACKENZIE, ZUMARIDI, EZEKIEL NA GEOR DAVIE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 60

  • @happnesskitumbo5713
    @happnesskitumbo5713 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ninakuelewa sana Yesu akubariki sana.

  • @samuelmwakasungula178
    @samuelmwakasungula178 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hilo ndilo ukweli wa neno la Mungu, hongera sana mishenari kujitoa mwanga kwa ajili ya kazi ya Mungu,

  • @ramadhanimandoa716
    @ramadhanimandoa716 7 หลายเดือนก่อน +3

    Uislamu haujaletw n Mtume Muhammad bal umeletw n Nabii Adams mwenyew

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 7 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂
      Unahitaji msaada wa mafundisho zaidi
      Adamu hakuwa nabii Wala mtume

    • @musakibwana4596
      @musakibwana4596 3 หลายเดือนก่อน

      @@charlesboniphace2249 hata wewe unahitaji mafundisho zaidi.

  • @AgapeSMatosha
    @AgapeSMatosha 7 หลายเดือนก่อน

    Soma 1korintho 14:2 Inasema Anenae kwa Lugha Hasemi na Watu bali Husema na Mungu. Na Hakuna Mwanadamu Awezae Kuelewa Kinachosemwa. Mpaka Roho Mtakatifu Atoe Tafasri. Na Hata Siku Ya Pentecoste Wale Wote Waliokuwepo Walipewa Tafasri na Roho mt. By Rev. Agape Yohana. Toka Tanzania.

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 7 หลายเดือนก่อน +4

    Matendo ya mitume 36-10, 4:8 MIUJIZA YAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA.Maisha Yetu ni ya Vita na VITA VYAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA kwahiyo TUSIKOME KATIKA KUOMBA Maana yake ndipo tunashinda vita.

  • @joyceMaleo
    @joyceMaleo 7 หลายเดือนก่อน +2

    Basi waislamu wangekuwa na miujiza mingi sana kwa sababu wao wanayakubali majini mazuri

  • @samuelmwakasungula178
    @samuelmwakasungula178 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amina

  • @chrisshonga
    @chrisshonga 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna sindano moja ya kutibu kifua inaitwa Christapen sasa mara nyingi ile sindano ina maumivu makali sana lakini ukiandikiwa na daktari na ukachomwa uponyaji wake ni mkubwa sana sasa hii ndio hali ambayo ninayoiona kwa ndugu zetu Waislamu katika hii program ya siku ya leo! MUNGU atusaidie wakati mwingine tukubali kupona kuliko kubisha hata kama sindano ni chungu

  • @dailantz4073
    @dailantz4073 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nigumu mtu kusukuma mlima kwa mikono yake lakini guvu ya mungu nilaisi sana hacha mungu hatende yote

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mitume wote wamefanya muujiza kwa uwezo wa Mungu kwa nini nyinyi makafri Mungu mnamkwepa

    • @abdullahkazungu4025
      @abdullahkazungu4025 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ushasema mitume sio sisi binadamu tusidanganyane

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hakuna anayefundishwa kunena kwa lugha --- mwandishi acha kusikiliza ujinga wa watu wa asili wasio jua mambo ya rohoni " mambo ya rohoni yanatambulikana kwa jinsi ya rohoni" Suala la mtu anayenena kwa lugha,halafu akanyamaza baada ya kutakiwa kunyama,ni sawa,kwasababu mtu anaponena kwa lugha haimaanishi anapoteza kabisa ufahamu na kumbumbu zake,anakuwa na ufahamu,na anaweza kuwasiliana na mazingira yanayomzunguka.

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  7 หลายเดือนก่อน +2

      Unaonekana una point, swali langu kwako, yale maneno yanayonenwa kwa lugha, yanatafsirika kwa lugha ya wanadamu, au ni Mungu tu ndio anaelewa?

    • @DodomaTanzania-r5z
      @DodomaTanzania-r5z 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@SIMULIZIZONEmwandishi,, kunena kwa lugha sio kwamba unaongea kwa lugha ya mbinguni bali inatumika lugha ya mtu mwingine ambapo mtu yyte anaweza akatafsiri mwenye uelewa wa lugha hyo!
      Na ikitokea mtu amenena kwa lugha ya mbinguni basi hapo kuna mawasiliano ya siri Kati ya yeye anenaye na mwenyezi mungu

    • @m.m.tvmbebamaono
      @m.m.tvmbebamaono 7 หลายเดือนก่อน

      Heri yako mwenye ufahamu tufundishe vya kwako

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 7 หลายเดือนก่อน +2

    Anaeweza kukusaidia siyo mwanadam bali ROHO MTAKATIFU maana binadam hana kipimo tuchunge ndimi zetu

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahio yesu nae ni tapeli?❤

  • @eliasramadhan1452
    @eliasramadhan1452 7 หลายเดือนก่อน

    we imekuuma nini ? kumkashifu ustadhi ! omba kipindi na ww uelezee unachoweza kusema au kuelezea kinyume ww ni mnafiki usiye na muda wa kutafakari,ustadhi Daniel Mungu akuzidishie neema ya ufunuo kwa ukombozi wa fikra kwa mwanadamu.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 7 หลายเดือนก่อน +1

    Vizuri hakusema

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk 7 หลายเดือนก่อน +1

    safi

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 7 หลายเดือนก่อน +2

    Unapotosha SANA.POLE SANA.Naomba soma Luka 24:45

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 7 หลายเดือนก่อน

    naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 7 หลายเดือนก่อน

    Uislamu ulikuwepo kabla Jesus alipokuja hapo Ustadhi Daniël eka maneno yako sahihi

    • @fredykiluka6606
      @fredykiluka6606 7 หลายเดือนก่อน

      Kaseme vizur 😭😭

    • @paulurio5204
      @paulurio5204 7 หลายเดือนก่อน

      History ulisoma?

  • @samxx411
    @samxx411 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ikisha baadhi ya wakristo wanamuona bonge la mwalimu 😂😂😂

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 7 หลายเดือนก่อน

      @@samxx411 aiseee!!! Ila Hana lolote

    • @rukiakadzo8053
      @rukiakadzo8053 7 หลายเดือนก่อน

      @@samxx411 just imagine 😂😂

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wacha Uwongo.

  • @feizalmas
    @feizalmas 7 หลายเดือนก่อน +2

    Dah jamanii jitahidini msome acheni ushabiki huyu mtu anaongea uongo kabisa. Mungu atusaidie sana juu ya wanafiki wa namna hii

  • @DodomaTanzania-r5z
    @DodomaTanzania-r5z 7 หลายเดือนก่อน +2

    Daniel ni kichwa ni kiboko ya waislamu pia ni zaidi ya ndacha anaongea yaliyo ya kweli

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ukiwa na elimu utajua sio kiboko kwa lolote, ila kwenu tu kwa sababu hampendi kusoma .wachungaji ndo huwasomea.

  • @filbertvictor6159
    @filbertvictor6159 7 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vzr ww nizaidi ya Mwalimu

    • @ramadhanimandoa716
      @ramadhanimandoa716 7 หลายเดือนก่อน

      Huna elimu wew hamna anacho jua huyo ni mjing tu

  • @binseif2216
    @binseif2216 7 หลายเดือนก่อน +1

    Daniel ni kibaraka wa wayahudi kwahiyo kwake uislamu ni adui yupo tofaut na wakristo wengne

  • @JofryDaud-kc2du
    @JofryDaud-kc2du 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mtu yoyo atampimwa na amri Za MUNGU hata wewe tutakupima Kwa amri)

    • @TAFAKARITVNewlife
      @TAFAKARITVNewlife 7 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ilikuwa wakati wa torati

  • @mukhusinathuman6596
    @mukhusinathuman6596 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bonge la kafiri alafu bonge la muongo kama huna elimu ya dini ya uislamu naelimu ya tiba no right to speak..

  • @AlbertMakori-u2l
    @AlbertMakori-u2l 7 หลายเดือนก่อน +1

    Aki ya Mungu wewe daniel ni mjinga kabisa , kwani jina la Allah lina matatizo gani unachanganya watu.

  • @RastaSuma
    @RastaSuma 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mwalimu wa waongo ila ni ngumu kumfaamu kwani anatekniki nyingi sana za kudanganya wale wasio na elimu.

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe ni kafiri mkubwa sana waambia makafri wenzio asitukuzwe Mungu bali atukuzwe Yesu hiyo kauli yako wewe ni sawa na shetani usirudie tena hiyo kauli ni mbaya sana kwa Mungu wakutukuzwa ni Mungu peke yake na wakuabudiwa ni Mungu peke yake

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 7 หลายเดือนก่อน +3

      Uislamu ni ukafiri mana umekuja kupinga ukiristo ulio tangulia

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 7 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe ni kafiri na ni shetwani upo gizani ndomana huwezi elewa kinacho fundisha hapa kwa ustadi mwankemwa

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Ni mealimu, anayetaka kujifundisha aululize Swali sio kukimbilia kashifa

  • @ramadhanimandoa716
    @ramadhanimandoa716 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan huyu jamaa ni kafiri mkubw Majina ya Allah na majini wapii na wapii wakati kila jina lina maana yake iliyo wazi ,Laana tu llah Allah Akuvunje mgongo

  • @Khmediy3241
    @Khmediy3241 7 หลายเดือนก่อน +1

    Uwez mvuta mwislam kweny dini yako kwa kuongea uongo labda unafanya ivo kuwalizisha ao wa iman yako wabaki uongo mtuuupu

  • @dullahfar7775
    @dullahfar7775 7 หลายเดือนก่อน

    Ndacha hakukosea kuwaita nyie wanafiki tena muongo mkubwa wewe Daniel

  • @8pistons194
    @8pistons194 7 หลายเดือนก่อน +1

    Allah is not God it is gods full stop

  • @HajiAmbali-jq9dr
    @HajiAmbali-jq9dr 7 หลายเดือนก่อน

    Hili kafiri liongo

  • @AlbertMakori-u2l
    @AlbertMakori-u2l 7 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni kafiri, na ukafiri wako umepita kiazi

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha6668 6 หลายเดือนก่อน

    Usipotoshe watu, Uislamu haujaletwa karne ya 7. Ulikuwepo tangu wakati wa Nabii Adam.

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha6668 6 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni muongo uliekubuu toa ushahidi wa hayo unayoongea usilete chuki zako dhidi ya uislamu, maana usituchokoze sisi waislamu hutuwezi tukiamua kuku-deal.

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 7 หลายเดือนก่อน

    naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 7 หลายเดือนก่อน +1

    naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 7 หลายเดือนก่อน

    naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini