Kisima majabala seeema tukupe nini mashabiki jamaaan nawaomba wasukuma wote kila kona tumpe supports msanii wety azidi kufanya vizuri zaidi ya hapo maana juhudi zake zinajidhihirisha kabisa kuwa amekuwa msanii mwenye mashairi safi, nyimbo zenye mafundisho na maadili, nyimbo amabazo ynaweza kusikiliza ukiwa na familia hakuna matusi wala maloloso yaani nyimbo haina KAVIVI💥💥💥💥💥KISIMA💫MAJABALA💫💥💥💥
Piga kazi Mwamba mtu yoyote anayejitambua lazima aheshimu unachokifanya wewe ni mtu wa watu kazi yako ishaonekana kitambo na ikashemika kwa kila mtu Mungu tu ndiye mwenye uwezo wa kushusha piga kazi kwenda mbele hakuna kurudi nyuma tupe tunachostahili mashabiki zako na sisi hatutachoka kukusupport. Majabala Traditional Culture. 👏👏👏👏💪💪❤❤🙏
Nitacoment mara moja tu ....ni kwamba....ulichokifanya kutoa nyimbo sehemu mbali mbali. 👉🙏. umefanya vzr sanaaa moja wapo wa kujua sehemu gn nafeli kimziki lkn kufikia hapo nakupa👉🙏🙏🙏🙏%%%%%%zote
Yani hapa ndo penyewe piga kazi jembe letu tunakukubali sana Bhazunije tena kwahii ohoooooo ohooo kisima huu wimbo nemekesha nausikiliza yan haiishiwi utamu
Big up Sana my blood,kweli elimu ni ufunguo wa maisha kwa wenye juhudi kama Kisima by Mongo kinamweli 1 Ngudu-Mwanza Tz,now nipo Dar es salaam,Congulatulations to you Kisima.
safi sanaaa bhazunije ,hiyo imeenda mungu akutangulie uendelee kuwapa madini ukisikia kioo Cha jamii ndo hivi sas inavotakiw maana naona umebaki wewe wa kuimba za ujumb andaa jiwe lingine kama Hilo hata lichukue mda ila likiingia liwe la moto
Kisima majabala seeema tukupe nini mashabiki jamaaan nawaomba wasukuma wote kila kona tumpe supports msanii wety azidi kufanya vizuri zaidi ya hapo maana juhudi zake zinajidhihirisha kabisa kuwa amekuwa msanii mwenye mashairi safi, nyimbo zenye mafundisho na maadili, nyimbo amabazo ynaweza kusikiliza ukiwa na familia hakuna matusi wala maloloso yaani nyimbo haina KAVIVI💥💥💥💥💥KISIMA💫MAJABALA💫💥💥💥
nilikuwa nasubil nyimbo ya kibabe kama hii 👍👍👍👍👍
Piga kazi Mwamba mtu yoyote anayejitambua lazima aheshimu unachokifanya wewe ni mtu wa watu kazi yako ishaonekana kitambo na ikashemika kwa kila mtu
Mungu tu ndiye mwenye uwezo wa kushusha piga kazi kwenda mbele hakuna kurudi nyuma tupe tunachostahili mashabiki zako na sisi hatutachoka kukusupport.
Majabala Traditional Culture. 👏👏👏👏💪💪❤❤🙏
Nitacoment mara moja tu ....ni kwamba....ulichokifanya kutoa nyimbo sehemu mbali mbali. 👉🙏. umefanya vzr sanaaa moja wapo wa kujua sehemu gn nafeli kimziki lkn kufikia hapo nakupa👉🙏🙏🙏🙏%%%%%%zote
Nazunije nyanda
Kweli hii nyimbo iko vzl wapizan lazima wajipange hawatakuweza zindi kuwakela baka wachoke wenyewe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥
bonge la nyimbo kama unampenda kisima like hapa
Umeniliwaza kisima nilikofikia najilaniangu niligonge alisikilize blo nakukubali nakuombea uwendereye namungu akubariki upatekingi zaid mungu yupo nawew❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
We noma sana
Unaakili sana MWAMBA , na cku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe kaka , Niko nawe MWAMBA mpaka wakuue
Kazi Nzur sana Iko poa mno Hongera sana
Kazi nzur hakika we nijabar
Moto fire mwaka huu Salamiti imefika tayari kwa DJ JUMA MANAMBA
Goma kali sana 🎉🎉🎉🎉 greatest singer in wapi jaman! Sukuma land tribe
Pamoja saaana kaka angu kisima tunakupenda sana msanii wetu kisima nyumbn kwtu bariad simiyu
Nakuelewa sana ndg, nitazidi kuwa shabiki wako. Kisima Mungu akubariki sana
My brother from another mother nakukubar sana kisima 💪💪💪
Kisima wewe Ni Msanii Namba Moja Duniani kwenye Asili Mimi Ndio Nasema Sasa❤❤🔥🔥🔥
Mungu fundi nyanda . Majabala moto Kwa kotela khole
Unafanya vzr saana pande za chato lini tumekumbuka show za nyimbo zako
wewe ni denger hatari 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Dah braza natamani ckumoja nikutane nawe tubonge
Kisima leo nime penda sana nimekua muombaji wanyimbo zako kwa madenca wako kila mda hatimae kilio changu kimejibiwa
Wew kwa sasa ni msanii bora nakuita king kisima
Saaaafi japo nimechelewa ila bado nakusikiliza
Saf kwa kaz nzuri 👍👍
Wewe jamaa kiukwel hua nafatria sana kazi zako sana hongela ikoloye. Nakukubal sana
Nimo ntale bokelaga nghubhi👏👏 kisima nyanda majabala. Ila aha giki ULUBHALINJONGA NANG'HO ULISHINA nani uokuminyiwa😂?
King kisima nani anakuzingua kama vipi umle kimya kimya bila kujua
Bhazunije nyanda gete chukua maua yako KABILA ndan🎉🎉🎉🎉
Mmh noma sana nyimbo nzur
Nyimbo nzur nimeielewa❤❤🔥🙏
Kazi nzuri,makini yenye uhalisia hakika Kuna Nguvu ndani Yako
Mungu abariki kazi ya mikono Yako Kisima*🇹🇿
Huku Moshi tunaenjoy na Nyimbo zako bwana
du! hatar sana kisima ong'wise
Okey very talented 🎉😮
Hii Ndo iwe ya kwanza kutoka video
Majabala Traditional culture tupo pa1 sana❤
good job🎉🎉🎉
Nakuku sana konko 😮😮
Bro uko pow (uko vizuri) zaidi ya hao unaofananishwa nao kikubwa pambana tu kutoa nyimbo za mafunzo
Ahahahahaha Safi sana rafiki angu nimekukubar hiii ngoma nimeierewa sanaa❤❤❤❤❤❤
Wewe
Yani hapa ndo penyewe piga kazi jembe letu tunakukubali sana
Bhazunije tena kwahii ohoooooo ohooo kisima huu wimbo nemekesha nausikiliza yan haiishiwi utamu
Nakubali kaka nimeerewa sana nyimbo iyo
Wew kaka nihatari unajua sana 🙏🙏
❤❤ upo makin Sana kaka
Kishushu bariad ndani
Wimbo Bora wa mwaka 2024 -2025
Kisima ww n mwamba
I salute you kisima majabala no one can disturbing you
Duuh ila huyu janaaa noma sana yaan
Ni hatar😮
🎉safi sana Mr kisima
Ila bhayanda ahene mletuwakisha chiza sana Sukumaland👏👏👏👏👏. Hongera sana Kisima
Kipji unacho mungu akulinde2
Safii
🎉Kazi nzuri
Umet xhakaka❤❤❤❤
Okay ❤️❤️❤️
Yani hi nyimbo hamunakitu humuwez gude gude wew hata kwa dawa
kka kaza sana tuko pmoja
Kanda ya mashariki endelea kutawala mkuu nakupata sana niko pande za chato. Ulintemi nyanda majabhala
Ila Kisima nahene 🙌🙌🙌🙌🙌🙌👊
kazi nzur kaka 🎉🎉🎉❤
Wew nouma mwamb
Kaka uko vzr sana
tungo tata🎉🎉🎉❤
We jamaa hatar
Big up Sana my blood,kweli elimu ni ufunguo wa maisha kwa wenye juhudi kama Kisima by Mongo kinamweli 1 Ngudu-Mwanza Tz,now nipo Dar es salaam,Congulatulations to you Kisima.
Corrections,congratulations instead of Congulatulations on my comment to you my greatest singer..,best wishes.
❤🙏🙏🙏❤❤❤❤MUNGU AKUJALIE ZAIDI KAKA
Beeet na ujuzi tunatak tofaut mn nyimb zinafann
Nice
Bhaliseka Bhasayile
Naigonga kunamtu anajifanya yeyendoyeye
Kazi nzuri sana
Big up my gifted and talented artist of sukuma land tribe from MTC boy
Unakubuka shalo B hap nyamala kweli miaka ming
Nakumval
Dayaga Nshimba Yakisukuma🎉❤
Oshigile ng'ewi duhu mpaga akuzunya duhu nuwei😂❤
Hauna baya
Hapo jamangu ulintula ngeloo nan japo goma lipo guda
Up milele
Video lini mkuu❤
This is very good song kisima fanya zaidi usiwe unapotea sana
Mimi nasema hivi kisima ni zawadi yetu sisi wasukuma kutoka kwa mungu hata mimi nasema safi chapa kazi ng'wanaume
unatish San kaka nataman uje uchezee show Uku Dar
watu tumekubali bado yeye tu ujumbe umeshamfikia
ngoma kali sana kaka hongera kwa utunzi wako naamini kwenye video huwezi kutuangusha
safi sanaaa bhazunije ,hiyo imeenda mungu akutangulie uendelee kuwapa madini ukisikia kioo Cha jamii ndo hivi sas inavotakiw maana naona umebaki wewe wa kuimba za ujumb andaa jiwe lingine kama Hilo hata lichukue mda ila likiingia liwe la moto
Tuzunyije ng'ana ng'wana wanee kazi nzr sana watachoka tuu songa mbele
Unyama sana kaka
Nyimbo zako zafundisha
Kisima majabhala hakika mungu akulinde unpeeled kufundisha wanaoshindana na wewe hawawezi
❤❤Hunabaya ilitu usilewe sifa kaka❤❤❤😂😂😂
poaw kaka hongera ur very talented
Kweli hukosei watu wengine wanawivu lakini ukiwaeshimu watu hata baraka unapatu
Hakili kubwa kisima majabala
Exactly
Hakika bro tumekubali ❤❤❤❤🎉
Kisima iyo nyimbo amunakitu futaa blothe ii nyimbo
Congratulation my brother kazi nzuri sana umetumia hakili nyingi afu kisukuma cha ndani kabisa
Kazi nzuri zinajionyesha zenyewe hongera kwa nyimbo nzuri
waoooh🎤⏮️⏸️⏭️🔊🙏✅☑️