Wewe kaka unajua kuimba nyimbo zako zina maudhui na ujumbe tosha kwa jamii na isitoshe hadi hapa wewe ni msanii msomi kulingana na nyimbo zako good job brother wimbo huu huwa unanitoa machozi nautaishi daima😢😢
Nakukubli sana ikumbuke ile roli ulikuwa unaipakizia mahindi nikirudi huko nitkuj nikuone ....komaa mwanangu life jepesi san ukijituma mimi kutoka kuwa tan boy mpka kuwa mtu fulani...
mpanda mjinini,milupwa,milala,kagwira,sijonga,kalila,ikaka,ikaka kona,kona mnyagala,kona mwamkulu,senta maria,iloba,nkungwi,sibwesa,magogo,kasekese ndio zipo hizo studio zilizo upika huo wimbo chini ya mtaalam wa kuimba kisima nyanda majabala nakuelewa sana nikiwa rock city
Hujawahi kuniangusha, nakubali kazi zako
The greatest singer never give up brother congole sana
Daaah we jamaaaaa😂😂😂😂😂❤❤❤❤😊😊
❤❤❤❤❤❤peleka mbiyo mbiyo sana
Ngoma kari sana tutolee video yake 🎉🎉🎉
Kazi nzuri 🔥 🔥
Kwa namna hii burudani haitaishiaaaa!! Usukumani
Kisima kisima kisima unajua Rafiki angu unajua ❤
Wewe kaka unajua kuimba nyimbo zako zina maudhui na ujumbe tosha kwa jamii na isitoshe hadi hapa wewe ni msanii msomi kulingana na nyimbo zako good job brother wimbo huu huwa unanitoa machozi nautaishi daima😢😢
Nakubali sana kaka kisima
Kuna nyimbo zingine bhana ukiiskiliza mpaka machoz yanakutoka😢🔥
Hakika😢😢😢😢
Sema hiii umecheza kwahiyo umetembea studio zote wew jamaa akil mingi sana
More proudly sukuma trible
MTC shiliwa shikalaga hanze 🎻🎸📢
congratulations kisima🎉🎉🎉🎉
Kisima wewe noma Sana huu wimbo wa dunia umetisha Sana Kaka endelea hivyo hivyo kuwaelimisha watu
Tunakuamini sana msanii wetu mungu akuongezee umalufu
Kakukubali sana yaniiiiiiiii
Kisima kikweli muziki wako unatembea katika maisha ya kila siku ya jamii
Umetisha hizi ngoma❤❤❤❤
Pongez zang zikufikie bro🎉🎉
Kaka nakukubali sana wayumbanai unajua sana kuimba Yani hiii nyimbo yadunia imenimusa sana moyoni Yani nikalisana
Uko Sawa mkuu namanisha kazi nzuri sana
Hahahahaaaa wela hange nho bhobho,dàaaah mungu tu ñdio anajua unako tupeleka wewe majabala
Tangu nyimbo za furola hujawahi kufeli kaka Mwenyezi Mungu akusimamie tu ndugu yangu
The greatest big man umetisha mkuu🎉🎉
Big up saana nkoi ahasante kwa ujumbe wako huu umetuelimixha xaana wabheja
kweli kjana
Hiii hatarii sanaa
Kuna kisima na bhudagala wengine wasubili kwanza Msalimie sana mahega Nigo Mwana shija
Nakukubli sana ikumbuke ile roli ulikuwa unaipakizia mahindi nikirudi huko nitkuj nikuone ....komaa mwanangu life jepesi san ukijituma mimi kutoka kuwa tan boy mpka kuwa mtu fulani...
Kisima nyanda majabala we noma
Unatisha bro
Kisima anasumbua sanna hakuna kama yeye moto 🔥🔥🔥 ni ule ule 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Endelea kupambana Nyanda majabala Nakutakia mafanikio zaidi ya hapo ulipo
Ngoma kali sana hii❤ endelea kutuletea vitu bora
Naenjoy sana wasukuma tupo🎉🎉
Kweli kabisa kk kalibu kwetu luguru baridi
Kwa huu mwaka sijakudai kitu .huu wimbo kweli ni mwimbo wa dunia bs uwafikie 🌍🙏
🔥🔥 Lakn kalifaa kaeishe bila kolas
Umetisha kisima🎉🎉🎉
Uko vzr Sana kwenye huu wimbo umefundisha watu
Nakuelewa sana kisima nyimbo zako nipo Chato
Hakika wewe ni msanii namba Moja Kwa wasanii wa kisukuma, Mungu akubariki sana
🎉❤🎉
Kisima wewe nimusanihi kweli hiyonyimbo inafudisha watu wengi sana ninasubilia video yake niko UGADA
Moto fire mwaka huu Salamiti imefika tayari kwa DJ JUMA MANAMBA
mpanda mjinini,milupwa,milala,kagwira,sijonga,kalila,ikaka,ikaka kona,kona mnyagala,kona mwamkulu,senta maria,iloba,nkungwi,sibwesa,magogo,kasekese ndio zipo hizo studio zilizo upika huo wimbo chini ya mtaalam wa kuimba kisima nyanda majabala nakuelewa sana nikiwa rock city
Kazi nzuli hongera kaka🎉🎉🎉❤
Wasukuma nguvu moja
Mle mle kwa kipenzi chang unafuat
Dogo unaimba vizuri siku umekuja zanzibar niambie
Hii nikali sana sio ya kukosa kusiliza kama una akiri ya usikivu
Nipo arusha lkn nafatilia mtc hakik napenda nyimbo zako big up bro 😮😮😮 kinacho takiwa lida tu cheo chako kwa sasa
Hizi ngoma nakuomba video ziwahi kidogo ili tuendane na kasi ya hizi nyimbo zako pendwa nimezipenda bureeeee
Nakuelewa sana kisima nipo Mwandoya-Meatu
Kaka endelea kuwashushia kipigo
Huyu jamaa bhana napenda kusikiliza nyimbo zake yuko vizuri
Hongera sana nyanda majabala kwa kazi yako ya usanii maana nyimbo zako zinamafundisho ubarikiwe sana
🔥🔥🔥🔥🎶🎶🎶
hiii nzuri kuliko zote 🔥🔥🔥
MTC TANZANIA kazi nzuri sana mkali wangu
Sasa wasiokpenda wajiuuue tu tayar we ni mkubwa
Kweli kweli haujakosea ,video ake xaxa tunaiomba
Wewe ni jembe kweli mungu akujalie
By lukago maduhu
🎉🎉🎉🎉🎉 daaaaa!!!!!
Kaz nzr saaana brother yang kalibu bariad simiyu tumekumisi
Wewe gumada mimi mlagwa
@@MlagwaSack-jn5bh mlagwa wawp
Niko geita ila ni mwenyeji wa nangale jina la gumada kama vile jina la ukoo wangu mimi ni daktari Niko geita vijijini@@gumadambiti4071
Kiukwer hii nyimbo imejaa mafundisho na maadili hongera kaka angu Kahama one
Mbona ilikua sjaipata hii na nimetegesha kabisa kila ngoma ya kisima niipate iwapo akiweka
Hongera sana unaelimisha jamiii❤
Big up❤❤❤❤❤❤❤
Broo❤❤❤ 🎉🎉🎉🎉🎉
we need this kind of artist come on kama huelewi tagi mstari nitakutafasilia hapa kwenye comments
Mwamba nakubali sana
dah re tribe singer bhane👊
Dunia ubiza kaya ya mva mpaga natumunda tuyomoka
Bariadi moja
tungo tata,mafankioo upatee kaka zaid
Kama vile unaongeaga Na dunia Kaka Piga kaz ❤❤❤
nakumbari kaka izi nyimbo
Ep ya kisukuma umetisha mbaya mno😂😂😂
Hii nyimbo ingeenda kwa rhythms ile ile iliyoanza nayo
Msalimie manjagata nyanda ong,ana bodi
Like gude gude
MTC ni moja tu nayo ni majabala traction cuter
Hizi ndizo nyimbo za akili
Namkubali xn mm kisima
Uish miaka elf 1000 ya kobe mpaga wijimelwe
Ni hatar
Good
kwanini haileti video
kazi zako zinatamba xana hapa mtaani kwe2 fanya ata kupita tu ata siku moja tu
Kisima mbona kwetu kakese haujagi
Good song
MTC
❤❤
My favorite
Wafundash kaka wafundash kaka dunia tuitaka video yake sasa musalimiee mwalimu wako mwanamalonja
Umetisha hizi ngoma❤❤❤❤
Like gude gude