Ramani za nyumba ndogo za kisasa, 2 Bedrooms House Plan 220804, 0679253640

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • Ramani ya vyumba viwili yakuanzia maisha ikiwa na;
    1 Master Bedroom
    Single Bedroom
    Living room + Kitchen
    Public toilet
    Front Verandah
    WhatsApp: wa.me/255679253640
    Call: 0679253640

ความคิดเห็น • 114

  • @RestuterProsper
    @RestuterProsper 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ramani nzuri Sana Maana Mimi Nimevurugwa hapa

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 วันที่ผ่านมา +1

      Karibu sana mkuu

  • @VedastusJoseph
    @VedastusJoseph ปีที่แล้ว +2

    Ramani hii nimeipenda iko bomba

  • @ShamsaMohamedi-r9i
    @ShamsaMohamedi-r9i หลายเดือนก่อน +1

    Nimeipenda sana naomba unitumie raman yake

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  หลายเดือนก่อน +1

      Tuwasiliane kwa namba zetu 0679253640

  • @ankaldally2734
    @ankaldally2734 หลายเดือนก่อน +1

    Nzuri sana

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว +1

    Ndio love nzur

  • @lovenessraymond6993
    @lovenessraymond6993 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa sana Raman hiii

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  ปีที่แล้ว +1

      Karibu sana mkuu 🤝

  • @ElkanaElly-f2y
    @ElkanaElly-f2y 13 วันที่ผ่านมา

    IPO vizurii

  • @Swaumu-md8jz
    @Swaumu-md8jz 8 หลายเดือนก่อน

    nimeipenda..naipataje

  • @AndullHamza
    @AndullHamza ปีที่แล้ว +1

    NIME ipendA sana

  • @festoyakobo
    @festoyakobo ปีที่แล้ว +1

    Pamoja sana

  • @Ibrahimj4-p1t
    @Ibrahimj4-p1t ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda naomba vipimo vyake

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  9 หลายเดือนก่อน +1

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @MeryNdarai-ux7fw
    @MeryNdarai-ux7fw ปีที่แล้ว +1

    Nzuri sana gharama yake ni sh ngapi mpaka nyumba iishe

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  ปีที่แล้ว +1

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @KennedyJohn-y7i
    @KennedyJohn-y7i 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nampataje fundi

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  3 หลายเดือนก่อน +1

      @@KennedyJohn-y7i tuwasiliane wa.me/255679253640

  • @HalimaYahaya-mo6il
    @HalimaYahaya-mo6il 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa jmn

  • @ismailmadati3242
    @ismailmadati3242 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi.. kazi nzuri

  • @GeneseAhadi
    @GeneseAhadi หลายเดือนก่อน

    Good hourse

  • @HusseinHassan-t2q
    @HusseinHassan-t2q 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nataka kujua gharama ya ujenz wa nyumba kama hii

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  หลายเดือนก่อน +1

      Tuwasiliane kwa namba zetu 0679253640

  • @KennedyJohn-y7i
    @KennedyJohn-y7i 3 หลายเดือนก่อน +1

    Napia naomba nitumie namba zako kaka

  • @OlivierKaaya
    @OlivierKaaya 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipen ramani ya nyumba hii garama paka kuisha shingap

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  4 หลายเดือนก่อน +1

      Tsh 25,000,000

  • @SaotmAlohtm
    @SaotmAlohtm 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka semanambei yake sasa tujuwe

  • @ElizabethNdalahwa
    @ElizabethNdalahwa 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nambaako nitumie kaka

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  6 หลายเดือนก่อน +1

      0679253640

  • @tausimnemwa8212
    @tausimnemwa8212 10 หลายเดือนก่อน +1

    Bat babdo ngapi😊

  • @abasstephano7914
    @abasstephano7914 ปีที่แล้ว +1

    Nyumba kali

  • @ElishaKingluta
    @ElishaKingluta 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bei gani hyo laman hadi kukamilika kaka.

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  3 หลายเดือนก่อน +2

      Tsh 25,000,000

  • @SoomaSoma-t8x
    @SoomaSoma-t8x ปีที่แล้ว +1

    Mashalwaa ❤

  • @Ganzaboke
    @Ganzaboke ปีที่แล้ว

    Shida kaka una towa ramani sawa tena sawa sanaaa tu shida inakuja utowi mulolongo wagarama ili kilia atakaye ona akufwate ata kutakuwa na mabadiliko ata amini akuna 30%ita panda

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  ปีที่แล้ว

      Pamoja mkuu🤝

    • @saidimpako5186
      @saidimpako5186 2 หลายเดือนก่อน +1

      namba yako please

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 หลายเดือนก่อน +1

      @saidimpako5186 0679253640

  • @winniebenson6658
    @winniebenson6658 3 หลายเดือนก่อน +1

    Boss nahitaji yooo

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  3 หลายเดือนก่อน +1

      Tuwasiliane wa.me/255679253640

  • @kepherbwire6006
    @kepherbwire6006 2 ปีที่แล้ว +3

    What are the heights of the four side of the house

  • @anethinnocent8581
    @anethinnocent8581 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimeikubali

  • @Miriam760ful
    @Miriam760ful ปีที่แล้ว +1

    Naomba ramani hii

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  ปีที่แล้ว +1

      Tuwasiliane kupitia whatsapp wa.me/255679253640

  • @gracianamvula8060
    @gracianamvula8060 2 ปีที่แล้ว +2

    Ramani nzuri, nimeipenda

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      Karibu sana boss tunaweza kuwasiliana kupitia wa.me/255679253640

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว +1

    Nilikuwa nawazaga kujenga kajumba kama haka halafu kawe na mlango wa jikon kama hii.leo nilivyoiona raman niliyokuww nawaza nimefurah

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  ปีที่แล้ว +1

      Nashukuru kusikia hivyo tuwasiliane kupitia whatsapp wa.me/255679253640

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hata mikoani mnaweza kwenda

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  9 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio mkuu

  • @mikidadirajabu8987
    @mikidadirajabu8987 2 ปีที่แล้ว +1

    Raman nzuri

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      Mashaallaah karibu sana wa.me/255679253640

  • @Fatuma-v7b
    @Fatuma-v7b ปีที่แล้ว +1

    Mm naomba kujua juml gharm nishilingp 😊

    • @Fatuma-v7b
      @Fatuma-v7b ปีที่แล้ว +1

      Bor naomba kujua

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  ปีที่แล้ว +1

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 2 ปีที่แล้ว +2

    Etii kaka kuchora ramani ni sh ngap kama nataka nyumba ya 4rooms hidden roof

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      Tunaweza kuwasiliana kupitia wa.me/255679253640 kwa maelezo zaidi

  • @RoseGabriel-o3p
    @RoseGabriel-o3p ปีที่แล้ว

    Tunaomba bei ya hiyo nyumba had kuisna

  • @SelemaniKulemwa
    @SelemaniKulemwa 7 หลายเดือนก่อน

    Nyumba kali bei yeke hadi kuixha bei gani?

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 2 ปีที่แล้ว

    Nzur jaman

  • @ZaiRashid-p4d
    @ZaiRashid-p4d หลายเดือนก่อน

    Natak kukuwa haramu yanyumb

  • @ElizabethKisaka-ng8gi
    @ElizabethKisaka-ng8gi ปีที่แล้ว +1

    Inatumia gharama ya shingapi

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  9 หลายเดือนก่อน +1

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @Jahariyashum
    @Jahariyashum ปีที่แล้ว +1

    Mm naomb raman

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  ปีที่แล้ว

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @keziakajaira9108
    @keziakajaira9108 ปีที่แล้ว +1

    Niliwa na material unaweza jenga na doo ngapi

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  9 หลายเดือนก่อน +1

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @sirielrichard7134
    @sirielrichard7134 ปีที่แล้ว +1

    Nimeielewa naomb ramani yake ya vyumba vya wapangaji

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  ปีที่แล้ว +1

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @florashirima1224
    @florashirima1224 2 ปีที่แล้ว +1

    Shida kaka naomba kuliza nibatingap na Raman ni shingap inagarimu

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      Bati 21
      wa.me/255679253640

  • @KechibMahende
    @KechibMahende 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bei gani inagalimu kujenga

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 ปีที่แล้ว +1

    Jumla tofari ni 1600 au sijakuelewa

  • @bsrabbitfarm
    @bsrabbitfarm 3 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji hii ramani

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  3 หลายเดือนก่อน

      Tuwasiliane wa.me/255679253640

  • @sophiaevodius8058
    @sophiaevodius8058 2 ปีที่แล้ว +1

    Inagharim shngap?

  • @VenancBruno-dz2ok
    @VenancBruno-dz2ok ปีที่แล้ว +1

    Ramani ya musingi

  • @sumahyajuma318
    @sumahyajuma318 ปีที่แล้ว +1

    Ramani nitapataje

  • @RamadhanMwenga
    @RamadhanMwenga ปีที่แล้ว +1

    Gharama yake bei gani

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  ปีที่แล้ว +1

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @FloridaJohn-p1r
    @FloridaJohn-p1r ปีที่แล้ว +1

    Mkoani mnajeng

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  9 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio mkuu

  • @kelvinimpagike909
    @kelvinimpagike909 2 ปีที่แล้ว +1

    Kama najenga mbaka iishe inanigarim shingapi

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      TZS 25,000,000

    • @nobledangote7854
      @nobledangote7854 2 ปีที่แล้ว +2

      @@RamaniTZ mzee acha kuwatisha watu waone ujenz wa kujenga ni mgumu nyumba ya milion 8 unasem milion 25 dah 😂😂😂😂

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      Ahsante umenikumbusha kuangalia post niliyoitolea majibu si yake ni TZS 15,000,000 🤝

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +2

      Samahani mkuu nimerejea post niliyoijibia swali si lake, hiyo nyumba mpaka hapo ni TZS 15,000,000

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah kazur sana

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      Karibu sana 🤝

  • @lazaromwambene4516
    @lazaromwambene4516 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤

  • @saidymatejoe2212
    @saidymatejoe2212 2 ปีที่แล้ว +1

    Tofar za kuchoma ngap

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      Tunaweza kuwasiliana kwa maelezo zaidi wa.me/255679253640

  • @azamajid9530
    @azamajid9530 2 ปีที่แล้ว

    Ushaur

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @cutemagreth4291
    @cutemagreth4291 11 หลายเดือนก่อน

    How much it cost pls

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  11 หลายเดือนก่อน +1

      Wa.me/255679253640 au 0679253640

  • @patricemaratati5594
    @patricemaratati5594 2 ปีที่แล้ว +2

    Niko Geita mjini, inaisha kea shilling ngapi?

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      TZS 18,000,000

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 2 ปีที่แล้ว

    Bro tuchoree bas hii Raman

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว

      Tuwasiliane kupitia whatsapp wa.me/255679253640

  • @emmanuelpondamali6822
    @emmanuelpondamali6822 2 ปีที่แล้ว +1

    akitaka raman unamchorea

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      Bilashaka tupo kwa ajili hiyo karibuni sana 🤝

    • @emmanuelpondamali6822
      @emmanuelpondamali6822 2 ปีที่แล้ว +1

      Nikitaka vyumba vitatu raman inakuaje bei

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  2 ปีที่แล้ว +1

      Tuwasiliane kupitia wa.me/255679253640

  • @JoycePeter-u9i
    @JoycePeter-u9i วันที่ผ่านมา +1

    Naomba bajeti

    • @RamaniTZ
      @RamaniTZ  วันที่ผ่านมา +1

      Tuwasiliane wa.me/255679253640

  • @HusseinHassan-t2q
    @HusseinHassan-t2q 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi nataka kujua gharama ya ujenz wa nyumba kama hii